Kumbukumbu 31 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 31:1-30

Yoshua Kutawala Baada Ya Mose

(Hesabu 27:12-23)

1Kisha Mose akaenda akasema maneno haya kwa Waisraeli wote: 231:2 Kut 7:7; Hes 27:17; Kum 34:7; 1Fal 3:7; Kum 3:23-26“Sasa nina miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena kuwaongoza. Bwana ameniambia, ‘Hutavuka Yordani.’ 331:3 Hes 27:18; Kum 9:3; 7:1; 3:28Bwana Mungu wenu, yeye mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kama Bwana alivyosema. 431:4 Hes 21:33Naye Bwana atawafanyia watu hao kile alichowafanyia Sihoni na Ogu, wafalme wa Waamori, ambao aliwaangamiza pamoja na nchi yao. 531:5 Kum 2:33; 7:2Bwana atawakabidhi kwenu, nanyi lazima mwatendee yale yote niliyowaamuru. 631:6 Yos 1:6-9, 18; 10:23; 1Nya 22:13; 28:20; 2Nya 32:7; Yer 1:8, 17; Eze 2:6; Mwa 28:15; Kum 1:29; 20:4; Mt 28:20; Za 56:9; 118:6; Kum 4:31; 1Sam 12:22; 1Fal 6:13; Za 94:14; Isa 41:17; Ebr 13:5Kuweni imara na moyo wa ushujaa. Msiogope wala msifadhaike kwa sababu yao, kwa kuwa Bwana Mungu wenu anakwenda pamoja nanyi; kamwe hatawaacha wala hatawatupa ninyi.”

731:7 Hes 27:23; Yos 1:6; Kum 1:38; 3:28Kisha Mose akamwita Yoshua na akamwambia mbele ya Israeli wote, “Uwe imara na moyo wa ushujaa, kwa kuwa ni lazima uende na watu hawa katika nchi ile Bwana aliyowaapia baba zao kuwapa, nawe ni lazima uwagawie kama urithi wao. 831:8 Kut 13:21; Mwa 28:15; Kut 33:14; Kum 4:31Bwana mwenyewe atakutangulia naye atakuwa pamoja nawe; kamwe hatakuacha wala hatakutupa. Usiogope, wala usifadhaike.”

Kusoma Sheria

931:9 Kut 17:14; Hes 4:15; 1Nya 15:2Kwa hiyo Mose akaandika sheria hii na kuwapa makuhani, wana wa Lawi, waliochukua Sanduku la Agano la Bwana na wazee wote wa Israeli. 1031:10 Kum 15:1; Kut 23:16; Kum 16:13; Law 23:34Kisha Mose akawaamuru, akasema: “Mwishoni mwa kila miaka saba, katika mwaka wa kufuta madeni, wakati wa Sikukuu ya Vibanda, 1131:11 Kum 16:16; 12:5; Yos 8:34-35; 2Fal 23:2; Neh 8:2Waisraeli wote wanapokuja mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua, utasoma sheria hii mbele yao masikioni mwao. 1231:12 Kum 4:10; Hag 1:12; Mal 1:6; 3:5, 16Kusanya watu wote, wanaume, wanawake, watoto na wageni wanaoishi katika miji yenu, ili waweze kusikia na kujifunza kumcha Bwana Mungu wenu na kufuata kwa bidii maneno yote ya sheria hii. 1331:13 Kum 11:2; Za 78:6-7; Mit 22:6; Efe 6:4Watoto wao, ambao hawaijui sheria hii, lazima waisikie na kujifunza kumcha Bwana Mungu wenu kwa muda mtakaoishi katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”

Kuasi Kwa Waisraeli Kunatabiriwa

1431:14 Mwa 25:8; Hes 27:13; 23; Kum 34:9; Yos 1:1-9; Hes 27:19; Kut 33:9-11Bwana akamwambia Mose, “Sasa siku ya kifo chako imekaribia. Mwite Yoshua, mkajihudhurishe katika Hema la Kukutania, mahali nitakapompa maagizo ya kazi.” Kwa hiyo Mose na Yoshua wakaja na kujihudhurisha kwenye Hema la Kukutania.

1531:15 Kut 33:9; Za 99:7Kisha Bwana akatokea katika Hema katika nguzo ya wingu, nalo wingu likasimama juu ya ingilio la Hema. 1631:16 Mwa 15:15; Kut 34:15; Kum 4:25-28; Amu 2:12; 10:6-13; 1Fal 9:9; 18:18; 19:10; Yer 2:13; 5:19; 19:4; 2Sam 7:12; 2Fal 22:16, 17; Isa 1:4Kisha Bwana akamwambia Mose: “Unakwenda kupumzika na baba zako, nao watu hawa hivi karibuni watazini na miungu migeni ya nchi wanayoingia. Wataniacha na kuvunja Agano nililofanya nao. 1731:17 Kum 32:16; Amu 2:14; 20; 10:7; 2Fal 13:3; 22:13; Za 106:29, 40; Yer 7:18; 21:5; 36:17; Amu 6:13; 2Nya 15:2; 24:20; Ezr 8:22; Za 44:9; Isa 2:6; Kum 32:20; Isa 1:15; 45:15; 53:3; 54:8; Ay 13:24; Za 13:1; 27:9; 30:7; 104:29; Isa 50:6; Yer 33:5; Eze 39:29; Mik 3:4; Yer 4:20; Eze 7:26; Hes 14:42; Hos 9:12Siku hiyo nitawakasirikia na kuwaacha; nitawaficha uso wangu, nao wataangamizwa. Maafa mengi na shida nyingi zitakuja juu yao, nao siku hiyo watauliza, ‘Je, maafa haya hayakuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko pamoja nasi?’ 18Nami hakika nitauficha uso wangu siku hiyo kwa sababu ya maovu yao yote kwa kugeukia miungu mingine.

1931:19 Mwa 31:50“Sasa ujiandikie wimbo huu,31:19 Wimbo huu hapa ina maana wimbo wa Mose. uwafundishe Waisraeli na uwaamuru wauimbe, ili upate kuwa ushahidi wangu dhidi yao. 2031:20 Kum 6:10-12; Za 4:2; 16:4; 40:4; Yer 13:25; Dan 3:28; Amo 2:4; Kum 8:19; 11:16-17Nitakapokwisha kuwaingiza katika nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo, nao watakapokula wakashiba na kufanikiwa, watageukia miungu mingine na kuiabudu, wakinikataa mimi na kuvunja Agano langu. 2131:21 Kum 4:30; 1Nya 28:9; Hos 5:3; Yn 2:24-25Maafa na shida zitakapokuja juu yao, wimbo huu utashuhudia dhidi yao, kwa sababu hautasahauliwa na wazao wao. Ninajua lile wanaloandaa kufanya, hata kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo.” 22Hivyo Mose akaandika wimbo huu siku ile na akawafundisha Waisraeli.

2331:23 Yos 1:6Bwana akampa Yoshua mwana wa Nuni agizo hili: “Uwe hodari na shujaa, kwa kuwa utawaleta Waisraeli katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo, nami mwenyewe nitakuwa pamoja nawe.”

2431:24 Kum 17:18; 2Fal 22:8; Kum 28:58Baada ya Mose kumaliza kuandika kwenye kitabu maneno ya sheria hii kutoka mwanzo hadi mwisho, 25akawapa Walawi wale waliolibeba Sanduku la Agano la Bwana agizo hili, akawaambia: 26“Chukueni Kitabu hiki cha Sheria mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la Bwana Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu. 2731:27 Kut 23:21; 32:9; Kum 9:27; 2Nya 30:8; Za 78:8; Isa 48:4; Za 32Kwa kuwa ninajua jinsi mlivyo waasi na mlivyo na shingo ngumu. Kama mmekuwa mkiasi dhidi ya Bwana nikiwa bado niko hai na nikiwa pamoja nanyi, mtaasi mara ngapi baada ya kufa kwangu! 2831:28 Kum 4:26; 30:19; 32:1; Ay 20:27; Isa 26:21Kusanyeni mbele yangu wazee wote wa makabila yenu na maafisa wenu wote, ili nipate kusema maneno haya masikioni mwao na kuziita mbingu na nchi ili kushuhudia dhidi yao. 2931:29 Kum 4:16; Ufu 9:20; 1Fal 9:9; 22:23; 2Fal 22:16Kwa kuwa ninajua baada ya kifo changu hakika mtakuwa waovu kabisa na kugeuka kutoka njia niliyowaamuru ninyi. Katika siku zijazo, maafa yatawapata kwa sababu mtafanya maovu mbele ya macho ya Bwana, na kuchochea hasira yake kwa yale mikono yenu itakayokuwa imefanya.”

Wimbo Wa Mose

30Mose akayasoma maneno ya wimbo huu kutoka mwanzo hadi mwisho katika masikio ya kusanyiko lote la Israeli:

Persian Contemporary Bible

تثنيه 31:1‏-30

يوشع جانشين موسی می‌شود

1‏-2موسی در ادامهٔ سخنان خود به قوم اسرائيل چنين گفت: «من اكنون صد و بيست سال دارم و ديگر قادر نيستم شما را رهبری كنم. خداوند به من گفته است از رود اردن عبور نخواهم كرد. 3خود خداوند شما را رهبری خواهد نمود و قومهایی را كه در آنجا زندگی می‌كنند نابود خواهد كرد و شما سرزمين ايشان را به تصرف خود در خواهيد آورد. طبق فرمان خداوند، يوشع رهبر شما خواهد بود. 4خداوند همانطور كه سيحون و عوج، پادشاهان اموری را هلاک ساخته، سرزمينشان را ويران نمود، قومهایی را نيز كه در اين سرزمين زندگی می‌كنند نابود خواهد كرد. 5خداوند، ايشان را به دست شما تسليم خواهد كرد و شما بايد طبق دستوری كه داده‌ام با آنها رفتار كنيد. 6قوی و دلير باشيد. از ايشان نترسيد. خداوند، خدايتان با شما خواهد بود. او شما را تنها نخواهد گذاشت و ترک نخواهد كرد.»

7آنگاه موسی يوشع را احضار كرده، در حضور تمامی قوم اسرائيل به او گفت: «قوی و دلير باش، زيرا تو اين قوم را به سرزمينی كه خداوند به اجدادشان وعده داده است رهبری خواهی كرد تا آنجا را تصرف كنند. 8ترسان نباش، زيرا خداوند با تو خواهد بود و پيشاپيش تو حركت خواهد كرد. او تو را تنها نخواهد گذاشت و ترک نخواهد كرد.»

قرائت قوانين خداوند

9آنگاه موسی قوانين خدا را نوشت و آن را به كاهنان لاوی كه صندوق عهد خداوند را حمل می‌كردند و نيز به ريش‌سفيدان اسرائيل سپرد. 10‏-11او به ايشان فرمود: «اين قوانين را در پايان هر هفت سال، يعنی در سالی كه قرضها بخشيده می‌شود، هنگام عيد خيمه‌ها كه تمام قوم اسرائيل در حضور خداوند در مكانی كه او برای عبادت تعيين می‌كند جمع می‌شوند، برای آنها بخوانيد. 12تمام مردان، زنان، بچه‌ها و غريبانی را كه در ميان شما زندگی می‌كنند جمع كنيد تا قوانين خداوند را بشنوند و ياد بگيرند كه خداوند، خدايتان را احترام نمايند و دستوراتش را اطاعت كنند. 13چنين كنيد تا بچه‌هايتان كه با اين قوانين آشنايی ندارند آنها را بشنوند و بياموزند كه در سرزمين موعود تا هنگامی كه زنده‌اند، خداوند را احترام نمايند.»

آخرين دستورات خداوند به موسی

14آنگاه خداوند به موسی فرمود: «پايان عمرت نزديک شده است. يوشع را بخوان و با خود به خيمهٔ عبادت بياور تا دستورات لازم را به او بدهم.» پس موسی و يوشع به خيمهٔ عبادت وارد شدند.

15در خيمهٔ عبادت، خداوند در ابر ظاهر شد و ابر، بالای در خيمه ايستاد. 16سپس خداوند به موسی گفت: «تو خواهی مرد و به پدرانت ملحق خواهی شد. بعد از تو، اين قوم در سرزمين موعود به من خيانت كرده، به پرستش خدايان بيگانه خواهند پرداخت و مرا از ياد برده، عهدی را كه با ايشان بسته‌ام خواهند شكست. 17آنگاه خشم من بر ايشان شعله‌ور شده، ايشان را ترک خواهم كرد و رويم را از ايشان برخواهم گرداند تا نابود شوند. سختيها و بلاهای بسيار بر ايشان نازل خواهد شد به طوری كه خواهند گفت: خدا ديگر در ميان ما نيست. 18من به سبب گناه بت‌پرستی‌شان رويم را از ايشان برمی‌گردانم.

19«اكنون كلمات اين سرود را كه به تو می‌دهم بنويس و به مردم اسرائيل ياد بده تا هشداری به آنها باشد. 20زمانی كه ايشان را به سرزمينی كه به پدرانشان وعده داده بودم آوردم، يعنی به سرزمينی كه شير و عسل در آن جاری است و پس از اينكه سير و فربه شدند و به پرستش خدايان ديگر پرداختند و مرا رد نموده، عهد مرا شكستند 21و به سختيها و بلاهای بسيار دچار شدند، در آن هنگام، اين سرود چون شاهدی بر ضد آنها گواهی خواهد داد. اين سرود از نسلی به نسل ديگر، سينه به سينه نقل خواهد شد. من از همين حالا، حتی قبل از اينكه وارد سرزمين موعود شوند، افكار ايشان را می‌دانم.»

22پس در همان روز، موسی كلمات سرود را نوشت و آن را به قوم اسرائيل ياد داد. 23سپس خداوند به يوشع فرمود: «قوی و دلير باش، زيرا تو بايد مردم اسرائيل را به سرزمينی كه من به ايشان وعده داده‌ام هدايت كنی، و من با تو خواهم بود.»

24وقتی كه موسی كليهٔ قوانينی را كه در اين كتاب ثبت شده است نوشت، 25به لاويانی كه صندوق عهد خداوند را حمل می‌كردند فرمود: 26«اين كتاب قانون را به عنوان هشداری جدی به قوم اسرائيل، در کنار صندوق عهد خداوند، خدايتان قرار دهيد. 27چون می‌دانم كه اين قوم چقدر ياغی و سركشند. اگر امروز كه در ميان ايشان هستم نسبت به خداوند اينچنين ياغی شده‌اند، پس، بعد از مرگ من چه خواهند كرد. 28اكنون كليهٔ رهبران و ريش‌سفيدان قبيله‌هايتان را احضار كنيد تا اين سخنان را به ايشان بگويم و زمين و آسمان را بر ايشان شاهد بگيرم. 29می‌دانم كه پس از مرگ من، خود را به کلی آلوده كرده، از دستوراتی كه به شما داده‌ام سرپيچی خواهيد كرد. در روزهای آينده، مصيبت گريبانگير شما خواهد شد، زيرا آنچه را كه خداوند نمی‌پسندد همان را انجام خواهيد داد و او را بسيار غضبناک خواهيد كرد.»

سرود موسی

30سپس موسی اين سرود را برای تمام جماعت اسرائيل خواند: