Mafanikio Baada Ya Kumgeukia Bwana
130:1 Kum 11:26; Law 26:40-45; Kum 4:32; 29:28; 1Fal 8:47Wakati baraka hizi zote pamoja na laana nilizoziweka mbele yako zitakapokujia, nawe ukazitafakari moyoni popote Bwana Mungu wako atakapokutawanya miongoni mwa mataifa, 230:2 Kum 4:29-30hapo wewe na watoto wako mtakapomrudia Bwana Mungu wako, na kumtii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote kulingana na kila kitu ninachokuamuru leo, 330:3 Za 14:7; 53:6; 85:1; 126:4; Yer 30:18; 33:11; Eze 16:53; Yoe 3:1; Sef 2:7; Kum 13:17; Mwa 48:21; 11:4; Kum 4:27; Isa 11:11; Yer 12:15; 16:15; 26:4; 29:14; 48:47; 49:6ndipo Bwana Mungu wako atakapokurudisha kutoka utumwani na kukuhurumia, naye atakukusanya tena kutoka mataifa yote kule alikutawanya. 430:4 Isa 17:6; 24:13; 27:12; 40:11; 41:5; 49:5; 56:8; Eze 20:34, 41; 34:13; Za 19:6; Neh 1:8-9; Isa 11:12; 42:10; 43:6; 48:20; 62:11; Yer 31:8, 10; 50:2Hata kama umefukuziwa katika nchi ya mbali kiasi gani chini ya mbingu, kutoka huko Bwana Mungu wako atakukusanya na kukurudisha. 530:5 Yer 29:14; Kum 7:13Yeye Bwana atakurudisha katika nchi iliyokuwa mali ya baba zako, nawe utaimiliki. Naye atakufanya ufanikiwe sana na kukuzidisha kwa idadi kuliko baba zako. 630:6 Kum 6:24; 10:16; 6:5; Yer 32:29Bwana Mungu wako ataitahiri mioyo yenu na mioyo ya wazao wenu ili mweze kumpenda kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote ukaishi. 730:7 Mwa 12:3; Kum 7:15Bwana Mungu wako ataweka laana hizi zote juu ya adui zako ambao wanakuchukia na kukutesa. 8Utamtii tena Bwana na kuzishika amri zake zote ninazokupa leo. 930:9 Yer 1:10; 24:6; 31:28; 32:41; 42:10; 45:4; Kum 28:63; Eze 34:27; Yer 32:41; 33:9; Sef 3:17; Lk 15:6, 10, 32; Yn 15; 11Ndipo Bwana Mungu wako atakapokufanikisha sana katika kazi zote za mikono yako na katika uzao wa tumbo lako, wadogo wa mifugo yako na mazao ya nchi yako. Bwana atakufurahia tena na kukufanikisha, kama alivyowafurahia baba zako, 1030:10 Kum 28:61; 4:29kama ukimtii Bwana Mungu wako, na kuzishika amri zake na maagizo yake ambayo yameandikwa katika Kitabu hiki cha Sheria, na kumgeukia Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote.
Uzima Na Mauti
1130:11 Za 19:8; Isa 45:19-23; 63:1Ninachokuagiza leo sio kigumu sana kwako au usichokiweza. 1230:12 Mit 30:4; Rum 10:6; Yn 3:13Hakiko juu mbinguni, ili uulize, “Ni nani atakayepanda mbinguni kukileta na kututangazia ili tuweze kutii?” 1330:13 Ay 28:14; Rum 10:7Wala hakiko ngʼambo ya bahari, ili uulize, “Ni nani atakayevuka bahari kwenda kukichukua na kututangazia ili tupate kutii?” 1430:14 Kum 6:6; Rum 10:8La hasha! Lile neno liko karibu sana nawe; liko kinywani mwako na ndani ya moyo wako ili uweze kulitii.
1530:15 Mit 10:16; 11:9; 12:28; 3:1-2; Kum 28:11; Za 25:13; 106:5; Mwa 2:17; Kum 11:26Tazama, naweka mbele yako leo uzima na mafanikio, mauti na maangamizo. 1630:16 Kum 6:5; 4:1; 32:17; Neh 9:29Ninakuamuru leo kwamba umpende Bwana Mungu wako, utembee katika njia zake, na kutunza maagizo yake, amri na sheria zake; ndipo utakapoishi na kuongezeka, naye Bwana Mungu wako atakubariki katika nchi unayoingia kuimiliki.
17Lakini kama moyo wako ukigeukia mbali ukawa huna utii, kama umevutwa kuisujudia miungu mingine na kuiabudu, 1830:18 Kum 8:19nakutangazia leo hii kwamba hakika utaangamizwa. Hutaishi maisha marefu katika nchi unayovuka Yordani kuiingia na kuimiliki.
1930:19 Kum 4:26; 11:26Leo ninaziita mbingu na nchi kama mashahidi dhidi yako kwamba nimeweka mbele yako uzima na mauti, baraka na laana. Basi sasa chagueni uzima, ili wewe na watoto wako mpate kuishi, 2030:20 Kum 6:5; 4:1; 8:3; 32:47; 10:20; Za 27:1; Yn 5:26; Mdo 17:28; Mit 3:22; Mwa 12:7; Za 37:3na ili upate kumpenda Bwana Mungu wako, uisikilize sauti yake na kuambatana naye. Kwa kuwa Bwana ndiye uzima wako, na atakupa wingi wa siku ili upate kuishi katika nchi aliyoapa kuwapa baba zako Abrahamu, Isaki na Yakobo.
归向耶和华必蒙福
1“当我向你们陈明的这些祝福和咒诅都应验在你们身上时,如果你们在你们的上帝耶和华驱逐你们去的各国中回想这些话, 2归向你们的上帝耶和华,你们及子孙照我今天的吩咐全心全意地听从祂的话, 3祂必改变你们被掳的境遇,怜悯你们,把你们从祂驱逐你们去的列国招聚回来。 4即使你们被驱逐到天涯,你们的上帝耶和华也会把你们带回来, 5带到你们祖先的土地上,使你们拥有那片土地,比你们祖先更加人丁兴旺、繁荣昌盛。 6你们的上帝耶和华要洁净你们和你们子孙的心,好让你们全心全意地爱祂,并且存活。 7你们的上帝耶和华要把所有的咒诅加在你们的仇敌及憎恶你们、迫害你们的人身上。 8你们必再次听从耶和华,遵行今天祂借我吩咐你们的一切诫命。 9-10倘若你们听从你们的上帝耶和华的话,遵守这律法书上的诫命和律例,全心全意地归向祂,祂必使你们凡事蒙福、儿女众多、牛羊成群、五谷丰登。因为祂必乐意再次赐福你们,像从前赐福你们祖先一样。
生死抉择
11“我今天颁布给你们的诫命,对你们来说不难遵行,也非遥不可及。 12这诫命并非在天上,以致你们说,‘谁替我们上天取下来,讲给我们听,让我们遵行呢?’ 13这诫命也不在海的彼岸,以致你们说,‘谁替我们过海取来,讲给我们听,好让我们遵行呢?’ 14这诫命近在咫尺,就在你口里,在你心中,好让你们遵行。
15“看啊,今天我把生死祸福摆在你们面前。 16我今天吩咐你们要爱你们的上帝耶和华,遵行祂的旨意,遵守祂的诫命、律例和典章,以便你们可以存活,人口兴旺,在你们将要占领的土地上蒙祂赐福。 17但倘若你们心中偏离,不肯听从,被引诱去祭拜、供奉别的神明, 18我今天警告你们,你们必定灭亡,在约旦河对岸——你们将要占领的土地上无法长久。 19今天,我叫天地为你们作证,我已把生死祸福摆在你们面前。选择生命吧,以便你们及子孙可以存活。 20要爱你们的上帝耶和华,听从祂的话,倚靠祂,因为祂是你们的生命,祂必使你们长久住在祂起誓赐给你们祖先亚伯拉罕、以撒和雅各的土地上。”