Kumbukumbu 3 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 3:1-29

Kushindwa Kwa Ogu Mfalme Wa Bashani

(Hesabu 21:31-35)

13:1 Hes 21:33; 32:19Kisha tukageuka tukakwea kufuata njia iliyoelekea Bashani, Ogu mfalme wa Bashani akaondoka na jeshi lake lote kupigana na sisi huko Edrei. 23:2 Yos 10:8; 2Fal 19:6; Isa 7:4Bwana akaniambia, “Usimwogope kwa kuwa nimekwisha mkabidhi mikononi mwako pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Umfanyie sawasawa na ulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”

33:3 Hes 21:24; 21:35Hivyo Bwana Mungu wetu pia akamweka Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote mikononi mwetu. Tuliwaangamiza wote, hakubakia hata mmoja. 43:4 Hes 21:24, 33; 1Fal 4:13Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani. 5Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta. 63:6 Kum 2:24; Za 135:10-12; 136:19-21Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto. 73:7 Kum 2:35Lakini wanyama wote wa kufuga pamoja na nyara kutoka kwenye miji yao tulichukua vikawa vyetu.

83:8 Hes 32:33; Yos 13:8-12; Kum 4:48; Yos 11:3; 12:1; 13:5; Amu 3:3; 1Nya 5:23; Za 42:6; 89:12; 133:3; Wim 4:8Hivyo kwa wakati huo tukachukua kutoka kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya mashariki ya Yordani, kutoka Bonde la Arnoni mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni. 93:9 Za 29:6; 89:12; 1Nya 5:23; Wim 4:8; Eze 27:5; Kum 4:48(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.) 103:10 Yos 12:5; 13:11; 1Nya 5:11; Kum 4:49Tuliteka miji yote kwenye uwanda wa juu, Gileadi yote, Bashani yote mpaka kufika Saleka na Edrei, miji ya utawala wa Ogu huko Bashani. 113:11 Mwa 14:5; Yos 13:25; 15:60; 2Sam 11:1; 12:26; 17:27; 1Nya 20:7; Yer 49:2; Eze 21:20; 25:5; Amo 1:14; 2:9(Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa3:11 Dhiraa tisa ni sawa na mita 4. na upana wa dhiraa nne.3:11 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8. Mpaka sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.)

Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Ya Yordani

(Hesabu 32:1-42)

123:12 Kum 2:36; Hes 32:32-38; Yos 13:8-13Katika nchi tuliyoiteka wakati ule, niliwapa kabila la Reubeni na Gadi eneo lililoko kaskazini la Aroeri kando ya Bonde la Arnoni, na nusu ya eneo la milima ya Gileadi, pamoja na miji yake. 133:13 Kum 29:8; Mwa 14:5Kisha nusu ya kabila la Manase niliwapa sehemu ya Gileadi iliyobaki pamoja na Bashani yote, ambayo ilikuwa utawala wa Ogu. (Eneo lote la Argobu katika Bashani lilikuwa linajulikana kama nchi ya Warefai. 143:14 Hes 32:41; Yos 12:5; 13:11-13; 2Sam 10:6; 23:34; 2Fal 25:23; 1Nya 4:19; Yer 40:8; Yos 19:46-47; Za 49:11; 1Nya 2:22Yairi, mzao wa kabila la Manase, alichukua eneo lote la nchi ya Argobu hadi kufikia mpaka wa Wageshuri na Wamaaka, ukaitwa kwa jina lake; kwa hiyo mpaka leo hii Bashani inaitwa Hawoth-Yairi.) 153:15 Mwa 50:23; Hes 32:39-40Nikampa Makiri nchi ya Gileadi. 163:16 Hes 21:24; 2Sam 24:5; Hes 21:24Lakini niliwapa Wareubeni na Wagadi eneo kuanzia Gileadi hadi Bonde la Arnoni (katikati ya bonde ulikuwa ndio mpaka), kuelekea mpaka Mto Yaboki, ambao ndio mpaka wa Waamoni. 173:17 2Sam 2:29; 4:7; Eze 47:8; Hes 34:11; 14:3; Yos 12:3; 13:27Kwa upande wa magharibi mpaka wao ulikuwa Yordani katika Araba, toka ziwa Galilaya hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), kwenye miteremko ya Pisga upande wa mashariki.

183:18 Yos 1:13; Hes 32:17Wakati huo nilikuamuru: “Bwana Mungu wako amekupa nchi hii uimiliki. Lakini ni lazima wanaume wenu wote wenye uwezo, wakiwa wamejiandaa tayari kwa vita, wavuke ngʼambo wakiwatangulia ndugu zako Waisraeli. 193:19 Yos 1:14; Hes 32:16Lakini wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu (kwani najua mnayo mifugo mingi) wanaweza kukaa katika miji niliyowapa, 203:20 Yos 22:4mpaka hapo Bwana atakapowapa ndugu zenu kupumzika kama alivyowapa ninyi, wao pia wamiliki ile nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa, ngʼambo ya Yordani. Baada ya hapo, kila mmoja wenu anaweza kurudi kwenye milki niliyowapa.”

Mose Akatazwa Kuvuka Yordani

21Wakati huo nilimwamuru Yoshua, “Umejionea kwa macho yako mwenyewe yale yote ambayo Bwana Mungu wenu amewafanyia wafalme hawa wawili. Bwana atazifanyia falme zote huko mnakokwenda vivyo hivyo. 223:22 Kum 1:29; 7:18; 20:4; 31:6; 2Nya 32:8; Za 23:4; Isa 41:10; Kut 14:143:22 Yos 23:10Msiwaogope, Bwana Mungu wenu atapigana kwa ajili yenu.”

233:23 Kum 1:37; 31:2; 32:52; 34:4Wakati huo nilimsihi Bwana: 243:24 Kum 5:24; 11:2; 32:3; Kut 8:10; Za 71:16; 86:8; 106:2; 145:12; 150:2; 2Sam 7:22; Neh 9:32; Yer 32:18-21; Kut 15:11“Ee Bwana Mwenyezi, umemwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye uweza. Kwa kuwa ni mungu yupi aliye mbinguni au duniani anayeweza kufanya kazi na matendo makuu kama ufanyayo wewe? 253:25 Kum 4:25; 1:7; Yos 1:4; 9:1; 11:17; 12:7; 13:5; Amu 3:3; 9:13; 1Fal 4:33Acha niende nikaione hiyo nchi nzuri ngʼambo ya Yordani, ile nchi nzuri ya vilima na Lebanoni.”

263:26 Kum 1:37; 31:2Lakini kwa sababu yenu Bwana alinikasirikia na hakutaka kunisikiliza. Bwana aliniambia, “Hilo latosha; usiseme nami jambo hili tena. 273:27 Hes 21:20; 27:12; Mwa 13:14; Hes 20:12; Kum 32:52Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani. 283:28 Hes 27:18-23; Kum 31:7; 1:38; 31:3-23Lakini mwagize Yoshua, mtie moyo na umtie nguvu, kwa kuwa yeye atawaongoza watu hawa hadi ngʼambo na kuwarithisha nchi utakayoiona.” 293:29 Hes 23:28; Kum 4:46; 34:6; Yos 13:20Kwa hiyo tulikaa kwenye bonde karibu na Beth-Peori.

Swedish Contemporary Bible

5 Moseboken 3:1-29

Segern över kung Og

(4 Mos 21:33-35)

1Därefter började vi gå mot Bashan. Og, kungen i Bashan mobiliserade genast sin armé för att anfalla oss vid Edrei. 2Men Herren uppmanade mig att inte vara rädd för honom: ”Allt hans folk och hela hans land överlämnar jag åt dig. Du ska göra med honom likadant som du gjorde med amoréernas kung Sichon som härskade i Heshbon.” 3Herren, vår Gud, överlämnade även Bashans kung Og och hela hans folk åt oss och vi dödade dem alla så att ingen överlevde. 4Vi intog alla hans städer, så att det inte fanns någon stad som vi inte tog från dem, sextio till antalet, hela området Argov, Ogs rike i Bashan. 5Städerna var mycket väl befästa med höga murar och portar med bommar. Vi intog också alla obefästa byar som saknade murar. 6Vi vigde dem åt förintelse, såsom vi hade gjort med kung Sichon i Heshbon och dödade allt folket; vi förgjorde städerna med både män, kvinnor och barn. 7Men boskapen och bytet från städerna behöll vi.

8Nu hade vi tagit de länder i besittning som tillhörde de båda amoreiska kungarna öster om floden Jordan, allt landområde från Arnondalen till berget Hermon. 9(Fenikierna kallade Hermon för Sirjon, medan amoréerna kallade det Senir.) 10Vi intog alla städer på slätten, hela Gilead och hela Bashan, ända bort till städerna Salka och Edrei i Ogs rike i Bashan. 11(Kung Og i Bashan var den siste av refaéerna. Hans kista av sten finns bevarad i Rabba3:11 Rabba heter idag Amman, Jordaniens huvudstad., en av ammoniternas städer, och den är fyra och en halv meter lång och 2 meter bred.)

Landet delas upp

(4 Mos 32:1-42)

12När vi hade intagit dessa landområden, gav jag Rubens och Gads stammar det område som börjar vid Aroer vid floden Arnon samt halva berget Gilead med dess städer. 13Ena hälften av Manasses stam fick resten av Gilead, hela Ogs kungarike och hela Argov. (Bashan är känt som refaéernas land.) 14Jairiterna, Manasses ättlingar, fick hela Argov ända till gränsen mot geshuréerna och maakatéerna. De gav området, Bashan, namn efter sig själva och kallade det Jairs byar, som det fortfarande heter. 15Gilead gav jag till släkten Makir3:15 Makir var son till Manasse, Josefs son. Se 1 Mos 50:23.. 16Rubens och Gads stammar fick området som sträcker sig från Gilead och ner till Arnons floddal – gränsen går mitt i floden – och ner till Jabbokdalen som är gränsen mot ammoniterna. 17Floden Jordan var gräns i väster, från Gennesaretsjön och ända till Aravasjön (Döda havet) som ligger nedanför Pisgas branter.

18Vid den tiden gav jag också er följande befallning: ”Herren, er Gud, har gett er detta område, men alla stridsdugliga män måste ta sina vapen och leda era israelitiska bröder.

19”Era hustrur och barn och er boskap – jag vet att ni har mycket boskap – ska stanna här i städerna som jag har gett er 20tills Herren har gett era bröder ett ställe där de kan leva i ro precis som ni har fått och tills de har intagit det land som Herren, er Gud, ska ge dem på andra sidan Jordan. Sedan kan var och en återvända till den del av landet som jag har gett er.”

Herren tillåter inte Mose att komma in i landet

21Sedan gav jag instruktioner till Josua: ”Du har med egna ögon sett vad Herren, din Gud, har gjort med de här båda kungarna. På samma sätt ska Herren göra med alla kungariken på andra sidan Jordan dit du går. 22Ni ska inte vara rädda för folken där, för Herren, er Gud, ska strida för er.”

23Vid samma tillfälle vände jag mig till Herren och bad: 24”Min Herre, Herre, du har börjat visa din tjänare din storhet och makt. Vilken annan gud i himlen eller på jorden kan göra sådana mäktiga under som du? 25Låt mig få gå över Jordan och se detta underbara land med alla sina vackra berg och Libanon!”

26Men Herren var arg på mig för er skull och ville inte lyssna på mig. ”Nu räcker det! Tala inte mer om det”, sa han. 27”Gå istället upp på berget Pisga och se dig omkring åt väster, norr, söder och öster. Därifrån kan du se landet på avstånd, men över Jordan ska du inte komma. 28Ge uppdraget till Josua, uppmuntra honom och ge honom mod, för det är han som ska leda folket över Jordan och ge dem det land du ser.” 29Sedan stannade vi kvar i dalen i närheten av Bet Pegor.