Kumbukumbu 22 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 22:1-30

122:1 Kut 23:4-5; Mit 27:10; Zek 7:9Kama ukimwona ngʼombe au kondoo wa ndugu yako anapotea, usipuuze, bali uhakikishe unamrudisha kwa mwenyewe. 2Ikiwa huyo ndugu haishi karibu nawe au kama hufahamu yeye ni nani, mchukue nyumbani kwako huyo mnyama umweke mpaka mwenyewe aje kumtafuta. Ndipo umrudishie. 3Fanya vivyo hivyo ukimkuta punda wa nduguyo au joho lake au chochote alichopoteza. Usipuuze jambo hilo.

422:4 Kut 23:5; 1Kor 9:9; Rum 12:10; 2Pet 1:7; 1Yn 3:15; 4:21; Zek 7:9Kama ukimwona punda wa nduguyo au ngʼombe wake ameanguka barabarani, usipuuze jambo hilo. Msaidie asimame kwa miguu yake.

522:5 1Kor 14:40Haimpasi mwanamke kuvaa nguo za kiume wala mwanaume kuvaa nguo za kike, kwa maana Bwana Mungu wenu anachukia yeyote ambaye hufanya hivi.

622:6 Law 22:28; Neh 9:6; Za 36:6; 145:9; Mt 10:29; Lk 12:6Kama ukikuta kiota cha ndege kando ya barabara, iwe juu ya mti au chini, naye ndege amelala juu ya makinda au mayai, usimchukue huyo ndege pamoja na makinda yake. 722:7 Law 22:28; Kum 5:29; 4:20Waweza kuchukua makinda, lakini uwe na hakika ya kumwacha huyo ndege, ili upate kufanikiwa na uweze kuishi maisha marefu.

822:8 Yos 2:8; 1Sam 11:2Wakati unapojenga nyumba mpya, fanya ukuta wa kuzuia kandokando ya dari ili usijiletee hatia ya kumwaga damu juu ya nyumba yako ikiwa yeyote ataanguka kutoka humo.

922:9 Law 19:9; Mt 6:24; 9:16; 2Kor 6:14-16Usipande aina mbili za mbegu katika shamba lako la mizabibu; ikiwa utafanya hivyo, si mazao utakayopanda tu yatakuwa najisi, bali nayo matunda ya shamba la mizabibu pia.

1022:10 2Kor 6:14-16Usilime kwa maksai aliyefungwa nira pamoja na punda.

1122:11 Law 19:9; 19:19Usivae nguo za sufu na kitani zilizofumwa pamoja.

1222:12 Hes 15:37-41; Mt 23:5Fanya vishada kwenye pembe nne za joho unalovaa.

Kukiuka Taratibu Za Ndoa

1322:13 Kum 24:1; Mwa 29:21; Amu 15:1; Efe 5:28-29Ikiwa mtu atamwoa mke na, baada ya kufanya naye tendo la ndoa, akamchukia, 14akimsingizia na kumwita jina baya, akisema, “Nilimwoa mwanamke huyu, lakini nilipomkaribia sikupata uthibitisho wa ubikira wake” 1522:15 Mwa 23:10ndipo baba na mama wa msichana wataleta uthibitisho kwamba alikuwa bikira kwa wazee wa mji kwenye lango. 16Baba wa msichana atawaambia wazee, “Nilimwoza binti yangu kwa huyu mwanaume, lakini hampendi. 17Sasa amemsingizia na kusema, ‘Sikumkuta huyu binti akiwa bikira.’ Lakini hapa kuna uthibitisho wa ubikira wa binti yangu.” Kisha wazazi wake wataonyesha nguo zake kwa wazee wa mji, 1822:18 Kut 18:21; Kum 1:9-18; Rum 13:3nao wazee watamchukua huyo mwanaume na kumwadhibu. 19Watamtoza shekeli mia moja22:19 Shekeli 100 za fedha ni sawa na kilo moja. za fedha na kupewa wazazi wa msichana, kwa sababu mwanaume huyu amempa bikira wa Kiisraeli jina baya. Ataendelea kuwa mke wake; kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.

2022:20 Kum 17:4Hata hivyo, kama shtaka ni la kweli na hakuna uthibitisho juu ya ubikira wa huyo msichana ulioweza kupatikana, 2122:21 Mwa 34:7; 38:24; Law 19:29; Kum 23:17-18; 1Kor 5:13; 2Sam 13:12, 13huyo msichana ataletwa kwenye mlango wa nyumba ya baba yake, na hapo watu wa mji wake watampiga kwa mawe hadi afe. Amefanya kitu cha aibu katika Israeli kwa kufanya ukahaba akiwa nyumbani kwa babaye. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.

2222:22 2Sam 11:4; Mwa 38:24; Kut 21:12; Mt 5:27-28; Yn 8:5; 1Kor 6:9; Ebr 13:4; Law 20:10; Mit 6:22; Mal 3:5; Yn 8:5Ikiwa mwanaume atakutwa akizini na mke wa mtu mwingine, wote wawili, mwanaume na mwanamke aliyezini naye, lazima wauawe. Lazima mwondoe uovu katika Israeli.

2322:23 Mt 1:18, 19Ikiwa mwanaume atakutana na bikira mjini ambaye ameposwa na mtu akazini naye, 2422:24 1Kor 5:13; Kum 21:14; Mt 1:20, 24utawachukua wote wawili kwenye lango la mji na kuwapiga kwa mawe mpaka wafe; yule msichana kwa kuwa alikuwa mjini na hakupiga kelele kuomba msaada, na yule mwanaume kwa sababu amemtenda jeuri mke wa mtu mwingine. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.

25Lakini ikiwa itatokea mwanaume akakutana na msichana aliyeposwa huko mashambani, akambaka, mwanaume aliyefanya hivi peke yake ndiye atakayeuawa. 26Usimtendee msichana yule jambo lolote; hajafanya dhambi inayostahili kifo. Shauri hili ni kama lile la yeyote ambaye anamshambulia na kumuua kwa makusudi jirani yake, 2722:27 Mwa 39:14kwa maana mwanaume huyo alimkuta msichana huko mashambani, na ingawa msichana aliyeposwa alipiga kelele, hapakuwa na mtu wa kumwokoa.

2822:28 Kut 22:16, 17Ikiwa itatokea mwanaume akutane na bikira ambaye hajaposwa na kumbaka nao wakakutwa, 29mwanaume atamlipa baba wa msichana shekeli hamsini22:29 Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600. za fedha. Ni lazima amwoe huyo msichana, kwa maana amemfanyia jeuri. Kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.

3022:30 Mwa 29:29; Law 18:8; 20:9; Kum 27:20Mwanaume asimwoe mke wa baba yake; kamwe asidhalilishe kitanda cha baba yake.

Bibelen på hverdagsdansk

5. Mosebog 22:1-29

1Hvis du opdager, at en ko, en ged eller et får er kommet på afveje, må du ikke lade, som om du ikke ser det. Det er dit ansvar at føre det bortkomne dyr tilbage til ejermanden. 2Hvis han ikke bor i nærheden, eller hvis du ikke ved, hvem han er, skal du føre dyret hjem til dig selv og passe på det, indtil ejeren går rundt og spørger efter det. 3Både for bortkomne dyr og tabte ting gælder samme regel, hvad enten det drejer sig om et æsel, en beklædningsgenstand eller andet: Du skal sørge for, at ejermanden får det tabte tilbage.

4Hvis du ser en okse eller et æsel segne under sin byrde, skal du ikke se den anden vej men hjælpe ejermanden med at få dyret på benene.

5En kvinde må ikke klæde sig som en mand, og en mand må ikke klæde sig som en kvinde. Den slags er afskyeligt i Herrens øjne.

6Hvis du får øje på en fuglerede enten på jorden eller i et træ, og der er unger i reden, eller fuglen er ved at ruge æggene ud, må du ikke tage både fuglemor og ungerne. 7Du kan tage ungerne, men du skal lade moderen være, så det kan gå dig godt, og du kan nyde et langt liv.

8Ethvert hus, du bygger, skal have rækværk rundt om husets flade tag. Ellers kunne nogen falde ned fra taget ved et uheld, og du ville være skyldig i manddrab.

9Du må ikke så andre afgrøder inde imellem vinstokkene. Gør du det, har du ikke lov til at høste afgrøderne.

10Du må ikke pløje med æsel og okse i samme åg.

11Du må ikke væve uld og hør sammen til et klædningsstykke. 12Du skal sy kvaster i alle fire hjørner af dit bedesjal.

13-14Hvis en mand gifter sig med en pige og går i seng med hende, men bagefter ikke bryder sig om hende og derfor udbreder onde rygter om hende og siger: ‚Hun var ikke jomfru, da jeg giftede mig med hende!’ 15skal pigens forældre som bevis på hendes uskyld bringe det blodplettede lagen for byens ledere i retten, 16og pigens far skal afvise anklagen med ordene: ‚Jeg bortgiftede min datter til denne mand, men nu afviser han hende 17ved at påstå, at hun havde mistet sin mødom, inden de giftede sig. Men her er beviset på hendes uskyld!’ Så skal forældrene brede det blodplettede lagen ud foran lederne, 18-19og retten skal dømme manden til at betale en bøde på 100 sølvstykker til pigens far, fordi han førte falsk anklage imod en israelitisk jomfru. Derefter skal manden tage sin kone tilbage, og han må aldrig senere skille sig fra hende.

20Men hvis pigen ikke var jomfru ved ægteskabets indgåelse, og manden har ret i sin anklage, 21skal lederne føre pigen til hendes forældres hus, og uden for døren skal byens mænd stene hende til døde, fordi hun har gjort landet urent ved sin utugt, mens hun som ugift boede hos sine forældre. På den måde skal I udrydde det onde af jeres midte.

22Hvis en mand har samleje med en gift kvinde, og de tages på fersk gerning, skal de begge henrettes. På den måde skal I udrydde det onde i Israel.

23-24Hvis en mand forgriber sig på en forlovet pige, og det sker inde i byen, skal både manden og pigen føres uden for byporten og stenes til døde, pigen, fordi hun ikke skreg om hjælp, og manden, fordi han voldtog en andens forlovede. På den måde skal I udrydde det onde fra jeres midte. 25Men hvis samme forbrydelse sker på et øde sted uden for byen, er det kun manden, som skal straffes med døden. 26Pigen derimod skal frifindes. Hun blev offer for voldtægt og er lige så uskyldig som et mordoffer, 27for ingen kunne høre hende, da hun skreg om hjælp.

28Hvis en mand voldtager en pige, der ikke er forlovet, og det bliver opdaget, 29skal han dømmes til at betale pigens far en bøde på 50 sølvstykker, hvorefter han skal gifte sig med pigen, og han må aldrig senere skille sig fra hende.