Kumbukumbu 22 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 22:1-30

122:1 Kut 23:4-5; Mit 27:10; Zek 7:9Kama ukimwona ngʼombe au kondoo wa ndugu yako anapotea, usipuuze, bali uhakikishe unamrudisha kwa mwenyewe. 2Ikiwa huyo ndugu haishi karibu nawe au kama hufahamu yeye ni nani, mchukue nyumbani kwako huyo mnyama umweke mpaka mwenyewe aje kumtafuta. Ndipo umrudishie. 3Fanya vivyo hivyo ukimkuta punda wa nduguyo au joho lake au chochote alichopoteza. Usipuuze jambo hilo.

422:4 Kut 23:5; 1Kor 9:9; Rum 12:10; 2Pet 1:7; 1Yn 3:15; 4:21; Zek 7:9Kama ukimwona punda wa nduguyo au ngʼombe wake ameanguka barabarani, usipuuze jambo hilo. Msaidie asimame kwa miguu yake.

522:5 1Kor 14:40Haimpasi mwanamke kuvaa nguo za kiume wala mwanaume kuvaa nguo za kike, kwa maana Bwana Mungu wenu anachukia yeyote ambaye hufanya hivi.

622:6 Law 22:28; Neh 9:6; Za 36:6; 145:9; Mt 10:29; Lk 12:6Kama ukikuta kiota cha ndege kando ya barabara, iwe juu ya mti au chini, naye ndege amelala juu ya makinda au mayai, usimchukue huyo ndege pamoja na makinda yake. 722:7 Law 22:28; Kum 5:29; 4:20Waweza kuchukua makinda, lakini uwe na hakika ya kumwacha huyo ndege, ili upate kufanikiwa na uweze kuishi maisha marefu.

822:8 Yos 2:8; 1Sam 11:2Wakati unapojenga nyumba mpya, fanya ukuta wa kuzuia kandokando ya dari ili usijiletee hatia ya kumwaga damu juu ya nyumba yako ikiwa yeyote ataanguka kutoka humo.

922:9 Law 19:9; Mt 6:24; 9:16; 2Kor 6:14-16Usipande aina mbili za mbegu katika shamba lako la mizabibu; ikiwa utafanya hivyo, si mazao utakayopanda tu yatakuwa najisi, bali nayo matunda ya shamba la mizabibu pia.

1022:10 2Kor 6:14-16Usilime kwa maksai aliyefungwa nira pamoja na punda.

1122:11 Law 19:9; 19:19Usivae nguo za sufu na kitani zilizofumwa pamoja.

1222:12 Hes 15:37-41; Mt 23:5Fanya vishada kwenye pembe nne za joho unalovaa.

Kukiuka Taratibu Za Ndoa

1322:13 Kum 24:1; Mwa 29:21; Amu 15:1; Efe 5:28-29Ikiwa mtu atamwoa mke na, baada ya kufanya naye tendo la ndoa, akamchukia, 14akimsingizia na kumwita jina baya, akisema, “Nilimwoa mwanamke huyu, lakini nilipomkaribia sikupata uthibitisho wa ubikira wake” 1522:15 Mwa 23:10ndipo baba na mama wa msichana wataleta uthibitisho kwamba alikuwa bikira kwa wazee wa mji kwenye lango. 16Baba wa msichana atawaambia wazee, “Nilimwoza binti yangu kwa huyu mwanaume, lakini hampendi. 17Sasa amemsingizia na kusema, ‘Sikumkuta huyu binti akiwa bikira.’ Lakini hapa kuna uthibitisho wa ubikira wa binti yangu.” Kisha wazazi wake wataonyesha nguo zake kwa wazee wa mji, 1822:18 Kut 18:21; Kum 1:9-18; Rum 13:3nao wazee watamchukua huyo mwanaume na kumwadhibu. 19Watamtoza shekeli mia moja22:19 Shekeli 100 za fedha ni sawa na kilo moja. za fedha na kupewa wazazi wa msichana, kwa sababu mwanaume huyu amempa bikira wa Kiisraeli jina baya. Ataendelea kuwa mke wake; kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.

2022:20 Kum 17:4Hata hivyo, kama shtaka ni la kweli na hakuna uthibitisho juu ya ubikira wa huyo msichana ulioweza kupatikana, 2122:21 Mwa 34:7; 38:24; Law 19:29; Kum 23:17-18; 1Kor 5:13; 2Sam 13:12, 13huyo msichana ataletwa kwenye mlango wa nyumba ya baba yake, na hapo watu wa mji wake watampiga kwa mawe hadi afe. Amefanya kitu cha aibu katika Israeli kwa kufanya ukahaba akiwa nyumbani kwa babaye. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.

2222:22 2Sam 11:4; Mwa 38:24; Kut 21:12; Mt 5:27-28; Yn 8:5; 1Kor 6:9; Ebr 13:4; Law 20:10; Mit 6:22; Mal 3:5; Yn 8:5Ikiwa mwanaume atakutwa akizini na mke wa mtu mwingine, wote wawili, mwanaume na mwanamke aliyezini naye, lazima wauawe. Lazima mwondoe uovu katika Israeli.

2322:23 Mt 1:18, 19Ikiwa mwanaume atakutana na bikira mjini ambaye ameposwa na mtu akazini naye, 2422:24 1Kor 5:13; Kum 21:14; Mt 1:20, 24utawachukua wote wawili kwenye lango la mji na kuwapiga kwa mawe mpaka wafe; yule msichana kwa kuwa alikuwa mjini na hakupiga kelele kuomba msaada, na yule mwanaume kwa sababu amemtenda jeuri mke wa mtu mwingine. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.

25Lakini ikiwa itatokea mwanaume akakutana na msichana aliyeposwa huko mashambani, akambaka, mwanaume aliyefanya hivi peke yake ndiye atakayeuawa. 26Usimtendee msichana yule jambo lolote; hajafanya dhambi inayostahili kifo. Shauri hili ni kama lile la yeyote ambaye anamshambulia na kumuua kwa makusudi jirani yake, 2722:27 Mwa 39:14kwa maana mwanaume huyo alimkuta msichana huko mashambani, na ingawa msichana aliyeposwa alipiga kelele, hapakuwa na mtu wa kumwokoa.

2822:28 Kut 22:16, 17Ikiwa itatokea mwanaume akutane na bikira ambaye hajaposwa na kumbaka nao wakakutwa, 29mwanaume atamlipa baba wa msichana shekeli hamsini22:29 Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600. za fedha. Ni lazima amwoe huyo msichana, kwa maana amemfanyia jeuri. Kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.

3022:30 Mwa 29:29; Law 18:8; 20:9; Kum 27:20Mwanaume asimwoe mke wa baba yake; kamwe asidhalilishe kitanda cha baba yake.

La Bible du Semeur

Deutéronome 22:1-29

Les lois diverses

L’entraide

1Si tu vois errer à l’aventure le bœuf de ton compatriote ou son mouton, ne t’en désintéresse pas ; au contraire, tu ne manqueras pas de le ramener à son propriétaire22.1 Pour les v. 1-4, voir Ex 23.4-5.. 2Si celui-ci habite trop loin de toi ou si tu ne sais qui est le propriétaire, tu prendras l’animal chez toi, et tu le garderas dans ta maison jusqu’à ce que son propriétaire vienne le réclamer, et alors tu le lui rendras. 3Tu agiras de même si tu trouves son âne, son manteau ou tout autre objet que ton compatriote aura perdu et que tu trouveras : tu n’as pas le droit de t’en désintéresser.

4Si tu vois l’âne de ton compatriote ou son bœuf tomber sur un chemin, ne t’en désintéresse pas, va aider son propriétaire à relever l’animal.

Contre les mélanges et autres lois

5Une femme ne portera pas des habits d’homme, ni un homme des vêtements féminins, car l’Eternel a en abomination ceux qui agissent ainsi. 6Si tu trouves en chemin un nid d’oiseau sur un arbre ou par terre, un nid avec une mère couvant des œufs ou abritant des oisillons, tu ne prendras pas la mère avec sa couvée ; 7laisse s’envoler la mère, et tu pourras prendre les petits. Si tu agis ainsi, tu seras heureux et tu vivras longtemps.

8Si tu construis une nouvelle maison, tu installeras une balustrade autour de ton toit en terrasse, pour que tu ne sois pas responsable de la mort de quelqu’un qui tomberait du toit22.8 Les toits d’Orient étaient des terrasses sur lesquelles on se promenait et où l’on dormait quand la nuit était trop chaude..

9Tu ne sèmeras pas d’autres plantes dans ta vigne, sinon tout ce qu’elle produira – les raisins comme la récolte des autres graines – deviendra sacré22.9 Pour les v. 9-11, voir Lv 19.19.. 10Tu ne laboureras pas en attelant un bœuf et un âne ensemble à la même charrue.

11Tu ne porteras pas de vêtement coupé dans un tissu de laine et de lin mélangés.

12Tu mettras des cordons aux quatre coins du vêtement dont tu t’envelopperas22.12 Voir Nb 15.38-40. Ce texte est à l’origine de la pratique juive de porter une écharpe de prière à franges. Les Juifs pieux portent aussi en permanence un vêtement avec des franges. Voir Mt 23.5..

L’épouse accusée à tort

13Supposons qu’un homme ait épousé une femme, qu’il se soit uni à elle et que, par la suite, il la prenne en aversion 14et invente contre elle une fausse accusation et lui fasse une mauvaise réputation, en disant qu’il ne l’a pas trouvée vierge quand il l’a épousée et s’est approché d’elle. 15Dans ce cas, les parents de la jeune femme apporteront aux responsables de la ville qui siègent aux portes de la cité les preuves de sa virginité. 16Le père leur déclarera : « J’ai donné ma fille en mariage à cet homme, mais il l’a prise en aversion, 17et maintenant, il invente contre elle une fausse accusation, prétextant ne pas l’avoir trouvée vierge. Or, voici les preuves de sa virginité. » Alors ils déplieront devant les responsables le drap de la nuit de noce. 18Les responsables de cette ville prendront l’homme et lui infligeront un châtiment, 19parce qu’il a porté atteinte à la réputation d’une vierge d’Israël, ils le condamneront à une amende de cent pièces d’argent qu’ils remettront au père de la jeune femme22.19 Amende sévère, double de celle imposée à celui qui séduit une vierge (voir v. 29). ; elle restera sa femme tant qu’il vivra : il n’aura plus le droit de la renvoyer.

20Si, au contraire, l’accusation s’avère fondée et si la virginité de la jeune femme n’est pas prouvée, 21on l’amènera à l’entrée de la maison de son père, ses concitoyens la feront mourir par lapidation parce qu’elle a commis une chose infâme en Israël en se déshonorant lorsqu’elle vivait encore dans la maison de son père. Ainsi vous ferez disparaître du milieu de vous la souillure qu’entraîne le mal.

Les relations sexuelles illicites

22Si l’on surprend un homme en train de coucher avec une femme mariée, tous les deux, l’homme et la femme, seront mis à mort. Ainsi vous ferez disparaître du milieu d’Israël la souillure qu’entraîne le mal22.22 Voir 1 Co 5.13..

23Si une jeune fille vierge est fiancée à quelqu’un et qu’un autre homme la rencontre dans la ville et couche avec elle, 24vous les amènerez tous les deux à la porte de la ville22.24 Voir 17.5. et vous les lapiderez pour les faire mourir. La jeune fille mourra parce qu’elle n’a pas appelé au secours, bien que cela se soit passé en ville, et l’homme parce qu’il a déshonoré la femme de son prochain. Ainsi vous ferez disparaître du milieu de vous la souillure qu’entraîne le mal22.24 Voir 1 Co 5.13.. 25Mais si c’est en pleine campagne que l’homme trouve la jeune fille fiancée et qu’il la viole, lui seul sera mis à mort. 26Vous ne ferez rien à la jeune fille, car elle n’a pas commis de faute qui mérite la mort. En effet, elle s’est trouvée dans le même cas que lorsqu’un homme attaque son prochain et le tue. 27Puisque c’est en plein champ que l’homme l’a rencontrée, elle aura eu beau crier, personne n’est venu à son secours.

28Si un homme rencontre une jeune fille non fiancée, qu’il s’empare d’elle et couche avec elle et qu’on les prenne sur le fait, 29l’homme qui a couché avec elle versera au père de la jeune fille cinquante pièces d’argent et devra l’épouser puisqu’il l’a violée. De plus, il ne pourra jamais la renvoyer tant qu’il vivra22.29 Voir Ex 22.15-16..