Kumbukumbu 2 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 2:1-37

Kutangatanga Jangwani

12:1 Kut 14:27; Hes 21:4; 24:18Kisha tukageuka nyuma na kusafiri kuelekea jangwani kwa njia inayoelekea Bahari ya Shamu, kama Bwana alivyonielekeza. Kwa muda mrefu tulitembea kuzunguka vilima katika nchi ya Seiri.

2Kisha Bwana akaniambia, 32:3 Kum 1:6“Umetembea kuzunguka hii nchi ya vilima kwa muda wa kutosha; sasa geukia kaskazini. 42:4 Hes 20:14-21; Mwa 36:8; Kut 15:16Wape watu maagizo haya: ‘Mko karibu kupita katikati ya nchi ya ndugu zako ambao ni wazao wa Esau, ambao wanaishi Seiri. Watawaogopa, lakini mwe waangalifu. 52:5 Yos 24:4; Mwa 36:8; Kum 32:8; 2Nya 20:10-12; Mdo 17:26Msiwachokoze kwa vita kwa maana sitawapa ninyi sehemu yoyote ya nchi yao, hata sehemu ya kutosha kuweka wayo wenu juu yake. Nimempa Esau nchi ya vilima ya Seiri kama yake mwenyewe. 6Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’ ”

72:7 Kum 8:2-4; Kut 13:21; Kum 1:19; Hes 14:33; 32:13; Yos 5:6; Neh 9:21; Amo 2:10Bwana Mungu wenu amewabariki kwa kazi yote ya mikono yenu. Amewalinda katika safari yenu katikati ya jangwa hili kubwa. Kwa miaka hii arobaini Bwana Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamkupungukiwa na kitu chochote.

82:8 Hes 20:8; 33:35; 1Fal 9:26; Hes 21:4Basi tulipita kwa ndugu zetu wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri. Tuligeuka kutoka njia ya Araba ambayo inatokea Elathi na Esion-Geberi, tukasafiri kufuata njia ya jangwa la Moabu.

92:9 Hes 21:15; Mwa 19:38; Za 83:8Kisha Bwana akaniambia, “Usiwasumbue Wamoabu kwa vita, kwa kuwa sitawapa sehemu yoyote ya nchi yao. Nimetoa nchi ya Ari kwa wazao wa Loti kama milki yao.”

102:10 Mwa 14:5; Hes 13:22; 33; Kum 9:2(Waemi walikuwa wakiishi huko hapo zamani, watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki. 112:11 Mwa 14:5Kama walivyokuwa Waanaki, hao pia walikuwa kama Warefai, lakini Wamoabu waliwaita Waemi. 122:12 Mwa 14:6; Hes 21:25-35Wahori waliishi Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafukuza. Waliwaangamiza Wahori na kukaa mahali pao, kama Waisraeli walivyofanya katika nchi ambayo Bwana aliwapa kama milki yao.)

132:13 Hes 21:12Bwana akasema, “Sasa ondokeni mvuke Bonde la Zeredi.” Hivyo tukavuka bonde.

142:14 Kum 1:2; Hes 13:26; 14:29-35; Kum 1:34-35; Yos 5:6Miaka thelathini na minane ilipita tangu wakati tulipoondoka Kadesh-Barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi. Kwa wakati huo kile kizazi chote cha wanaume kuanzia wale wawezao kwenda vitani kilikuwa kimekufa, kama Bwana alivyokuwa amewaapia. 152:15 Za 106:26; Yud 5; 1Sam 5:6-11; 7:13; Za 95:10, 11; Ebr 4:1-5Mkono wa Bwana uliwakabili hadi alipowaangamiza wote huko kambini.

16Ikawa baada ya mtu wa mwisho kuanzia wale wawezao kwenda vitani kufa, 17Bwana akaniambia, 182:18 Hes 21:15“Leo utapita katika nchi ya Moabu huko Ari. 192:19 Mwa 19:38; 2Nya 20:10Utakapokuja kwa Waamoni, msiwasumbue wala kuwachokoza kwa vita, kwa kuwa sitawapa ardhi yoyote iliyo ya Waamoni kuwa milki yenu. Nimeitoa kama milki ya wazao wa Loti.”

202:20 Mwa 14:5(Hiyo pia ilidhaniwa kuwa nchi ya Warefai waliokuwa wakiishi huko, lakini Waamoni waliwaita Wazamzumi. 21Walikuwa watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki. Bwana akawaangamiza kutoka mbele ya Waamoni, ambao waliwafukuza na kukaa mahali pao. 222:22 Mwa 14:6; 36:8; Ay 12:23Bwana alikuwa amefanya vivyo hivyo kwa wazao wa Esau, ambao waliishi Seiri, wakati alipowaangamiza Wahori watoke mbele yao. Waliwafukuza na wao wakaishi mahali pao mpaka leo. 232:23 Yos 13:3; 18:23; 2Fal 17:31; Mwa 10:14; 19; Yer 47:4; Amo 9:7; Sef 2:4Nao Waavi ambao waliishi katika vijiji mpaka Gaza, Wakaftori waliokuja kutoka Kaftori waliwaangamiza na kukaa mahali pao.)

242:24 Hes 21:13-14; Amu 11:13-18; Kum 1:7; 3:6“Ondoka sasa na uvuke Bonde la Arnoni. Tazama, nimemweka mikononi mwako Sihoni Mwamori, mfalme wa Heshboni na nchi yake. Anza kuimiliki nchi hiyo na umwingize katika vita. 252:25 Mwa 35:5; Kum 1:25; Yos 2:9-11; 1Nya 14:17; 2Nya 14:14; 17:10; 20:29; Isa 2:19; 13:13; 19:16; Kut 15:14-16Siku hii ya leo nitaanza kuwatia hofu na woga mataifa yote chini ya mbingu wawaogope ninyi. Watakaposikia taarifa zenu, watatetemeka na kufadhaika kwa sababu yenu.”

Kushindwa Kwa Sihoni Mfalme Wa Heshboni

(Hesabu 21:21-30)

262:26 Yos 13:18; 1Nya 6:79; Kum 1:4; Amu 1:11-22; Kum 20:10; Amu 21:13; 2Sam 20:19Kutoka jangwa la Kedemothi nilituma wajumbe wenye maneno ya amani kwa Sihoni mfalme wa Heshboni kusema, 272:27 Hes 21:21-22; Amu 11:19“Turuhusu tupite katika nchi yako. Tutapita katika barabara kuu, hatutageuka kuume wala kushoto. 282:28 Kum 23:4; Hes 20:19Tuuzie chakula tule na maji tunywe kwa thamani yake katika fedha. Turuhusu tu tupite kwa miguu, 292:29 Kum 23:3; Amu 11:17kama wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri na Wamoabu ambao wanaishi Ari walivyotufanyia, mpaka tuvuke Yordani kuingia nchi ambayo Bwana Mungu wetu anatupatia.” 302:30 Amu 14:4; 1Fal 12:15; Kut 4:21; Rum 9:18; Kut 14:17; Yos 11:20; Hes 21:23; Mao 3:65; Yos 11:19, 20; Hos 4:17; Yak 1:13-15Lakini Sihoni mfalme wa Heshboni alikataa kuturuhusu kupita. Kwa kuwa Bwana Mungu wako alikuwa ameifanya roho yake kuwa ngumu na moyo wake kuwa mkaidi ili amweke kwenye mikono yenu, kama alivyofanya sasa.

312:31 Mwa 12:7; Kum 1:8Bwana akaniambia, “Tazama, nimeanza kuwapa Mfalme Sihoni na nchi yake kwako. Sasa anzeni kuishinda na kuimiliki nchi yake.”

322:32 Hes 21:23Wakati Sihoni pamoja na jeshi lake lote walipokuja kukutana nasi katika vita huko Yahazi, 332:33 Kut 23:31; Kum 7:2; 31:5; 29:7; Hes 21:24; Za 135:10-12; 136:18-20Bwana Mungu wetu alimweka mikononi mwetu, nasi tukamwangamiza pamoja na wanawe na jeshi lake lote. 342:34 Hes 21:2; Kum 3:6; 7:2; Za 106:34; Law 27:28; Kum 7:2, 26; Yos 7:11; 8:25, 26; 9:24; 11:14; 1Sam 15:3-9Kwa wakati ule tuliteka miji yake yote na kuiangamiza kabisa: wanaume, wanawake na watoto. Hatukumwacha yeyote. 352:35 Kum 3:7; Mwa 34:29; 49:27Lakini mifugo na nyara tulizoziteka kutoka ile miji tulijichukulia wenyewe. 362:36 Hes 32:34; 32:39; Za 44:3; Yos 13:9Kutoka Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kutoka mji ulio ndani ya bonde, hata mpaka Gileadi, hapakuwa na mji hata mmoja uliokuwa na nguvu kutushinda. Bwana Mungu wetu alitupa yote. 372:37 Hes 21:21; Mwa 32:22; Kum 3:16Lakini kulingana na amri ya Bwana Mungu wetu, hamkujiingiza katika nchi yoyote ya Waamoni, wala katika sehemu yoyote iliyo kandokando ya Mto Yaboki, wala katika miji iliyoko katika vilima.

Swedish Contemporary Bible

5 Moseboken 2:1-37

En tillbakablick på vandringen

1Därefter vände vi tillbaka genom öknen mot Sävhavet, så som Herren hade sagt till mig. Under en lång tid vandrade vi omkring i området kring berget Seir. 2Sedan sa Herren till mig:

3”Nu har ni vandrat omkring här i bergen länge nog! Vänd norrut 4och säg till folket att det ska gå genom det land som tillhör deras bröder, Esaus ättlingar, som bor i Seir. Edoméerna kommer att bli rädda för er, men var ändå försiktiga. 5Ge dem ingen anledning till strid! Jag har nämligen gett dem hela Seirs bergsbygd som deras eget område och ni kommer inte att få den minsta lilla bit av deras land. 6Betala dem för den mat och det vatten ni använder. 7Herren, din Gud, har välsignat dig i allt som du företagit dig och vakat över dig under de fyrtio år du vandrat omkring i denna väldiga öken. I fyrtio år har Herren, din Gud, varit med dig och du har aldrig behövt sakna något.”

8Vi vandrade alltså fram bland våra bröder Esaus ättlingar som bodde i Seir och lämnade sedan Aravavägen, bort från Elat och Esjon-Gever och tog vägen mot Moabs öken.

9Då sa Herren: ”Anfall inte moabiterna, strid inte mot dem, för jag tänker inte ge er något av deras land. Ar har jag nämligen gett till Lots ättlingar.” 10(Eméerna, ett stort och talrikt folk, hade bott där tidigare. De är lika storvuxna som Anaks folk. 11Både eméerna och anakiterna räknas som refaéer, men moabiterna kallade dem eméer. 12Tidigare hade horéerna bott i Seir, men de hade drivits ut av Esaus ättlingar som förgjorde dem och bosatte sig där. På samma sätt gjorde Israel i det land som Herren hade gett dem som egendom.)

13”Gå nu över floddalen Sered”, sa Herren, och vi gjorde så.

14Det tog oss trettioåtta år att komma från Kadesh Barnea till Sereddalen där vi gick över floden Sered. Då hade alla stridsdugliga män i den förra generationen dött, så som Herren hade sagt. 15Ja, Herren var mot dem, han fortsatte att utplåna dem ur lägret och till slut var alla döda.

16När den siste av krigarna bland folket hade dött, 17sa Herren till mig:

18”Idag ska du gå över gränsen till Moabs område, Ar. 19När du kommer till ammoniternas land ska du inte utmana eller anfalla dem, för jag tänker inte ge dig någon del av deras land. Det har jag gett till Lots ättlingar2:19 Moabiterna och ammoniterna var avkomlingar till de söner Lot fick med sina båda döttrar. Se 1 Mos 19:36-38..”

20(Även detta land betraktas som refaeiskt. Området hade tidigare varit bebott av refaéerna, som ammoniterna kallade samsumméer. 21De var stora och talrika, lika storvuxna som anakiterna. Men Herren förgjorde dem för ammoniterna som fördrev dem och bosatte sig i landet. 22På samma sätt hade Herren gjort med Esaus ättlingar i Seir, där han förgjorde horéerna för dem. De fördrev dem och har sedan dess varit bosatta där. 23På samma sätt blev det när kaftoréerna2:23 Befolkning på Kreta. kom från Kaftor och invaderade och förgjorde avvéerna som bodde i byar utspridda ända bort till Gaza och bosatte sig där.)

En tillbakablick på striderna

Segern över kung Sichon

(4 Mos 21:21-30)

24”Gå över floden Arnon, för jag har överlämnat amoréen Sichon, kungen i Heshbon, och hans land åt dig. Börja inta det och strid mot honom! 25Från och med idag ska jag låta alla folk på jorden darra av fruktan när de hör talas om dig.”

26Då sände jag budbärare från Kedemots öken till kung Sichon i Heshbon med en fredlig hälsning: 27”Låt oss få vandra genom ditt land. Vi ska hålla oss till huvudvägen och inte vika av vare sig åt höger eller vänster. 28Vi ska betala för allt vi äter och dricker. Det enda vi begär är att få vandra genom ditt land, 29på samma sätt som Esaus ättlingar i Seir och moabiterna i Ar lät oss göra. Vi ska gå över Jordan och in i det land som Herren, vår Gud, vill ge oss.”

30Men kung Sichon i Heshbon vägrade och lät oss inte gå genom hans land, eftersom Herren, din Gud, gjorde honom envis och hårdhjärtad, så att han skulle kunna överlämna Sichon åt dig. Och precis så blev det.

31Sedan sa Herren till mig: ”Jag börjar med att ge dig Sichon och hans land. Börja erövringen och ta hans land i besittning!”

32Sichon förklarade krig mot oss och mobiliserade sina styrkor vid Jahas. 33Men Herren, vår Gud, överlämnade honom åt oss och vi slog honom, hans söner och hela hans folk. 34Vi intog alla hans städer och vigde alla åt förintelse, även kvinnor och barn. Vi lät inte någon överleva. 35Men boskapen tog vi som byte tillsammans med det vi funnit i de städer vi erövrat. 36Från Aroer, som ligger vid floden Arnons strand, och från staden i dalen och ända till Gilead fanns inte en enda stad som var för starkt befäst för oss. Herren, vår Gud, gav oss alltsammans. 37Men ammoniternas land lämnade du i fred, hela området från floden Jabbok och städerna i bergsbygden, precis som Herren, vår Gud, hade befallt.