Kumbukumbu 16 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 16:1-22

Pasaka

(Kutoka 12:1-20)

116:1 Kut 12:2; 12:11; 2Fal 23:21; Mt 26:17-29; Kut 13:4; Law 23:5; Hes 9:2-5; Yn 18:28; 1Kor 5:7, 8; Ebr 11:28; 1Kor 5:7, 8; Ebr 11:28Shikeni mwezi wa Abibu, na kuiadhimisha Pasaka ya Bwana Mungu wenu, kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Mungu aliwatoa Misri usiku. 216:2 Kum 12:5, 26Mtatoa dhabihu ya Pasaka ya mnyama kwa Bwana Mungu wenu kutoka kundi lenu la mbuzi na kondoo au la ngʼombe, mahali pale ambapo Bwana atapachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake. 316:3 Kut 12:15-20, 39; 34:18; 1Kor 5:8; Kut 12:11; Kum 4:9; Kut 13:3, 6-7; Hes 28:19; 2Nya 35:7; Mt 26:2Msile nyama hiyo pamoja na mikate iliyotiwa chachu, lakini kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu, mikate ya kujitesa, kwa sababu mliondoka Misri kwa haraka, ili kwamba siku zote za maisha yenu mpate kukumbuka wakati wenu wa kuondoka Misri. 416:4 Kut 12:6; 12:8; Mk 14:12; Kut 12:10Chachu isionekane katika mali zenu katika nchi yenu yote kwa siku saba. Nyama yoyote ya dhabihu mtakayotoa jioni ya siku ya kwanza isibakizwe mpaka asubuhi.

5Kamwe msitoe dhabihu ya Pasaka katika mji wowote ambao Bwana Mungu wenu amewapa, 616:6 Kut 12:42; Kum 12:5; Mt 27:46isipokuwa mahali atakapopachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake. Hapo ndipo lazima mtoe dhabihu ya Pasaka jioni, jua litakapotua, iwe kumbukumbu yenu ya kutoka Misri. 716:7 Kut 12:8; 2Nya 35:13; 2Fal 23:23; Yn 2:13; 11:55Okeni na mle mahali pale ambapo Bwana Mungu wenu atakapopachagua, kisha asubuhi mrudi kwenye mahema yenu. 816:8 Law 23:8; Mt 26:17; Lk 2:41; 22:7; Yn 2:13; Kut 12:16Kwa siku sita mtakula mikate isiyotiwa chachu na siku ya saba fanyeni kusanyiko kwa ajili ya Bwana Mungu wenu na msifanye kazi.

Sikukuu Ya Mavuno

(Kutoka 34:22; Walawi 23:15-21)

916:9 Mdo 2:1; Kut 23:16; 34:22; Hes 28:26; Law 23:15Mhesabu majuma saba tangu wakati mnapoanza kuchukua mundu kuvuna nafaka. 1016:10 Mt 10:22; Yoe 2:14; 1Kor 16:2Kisha msherehekee Sikukuu ya Majuma kwa Bwana Mungu wenu kwa kutoa sadaka ya hiari kwa kadiri ya baraka ambayo Bwana Mungu wenu amewapa. 1116:11 Kum 12:7; Kut 20:24; 2Sam 7:13; Kum 12:12; 14:29; Neh 8:10; Lk 14:12Shangilieni mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua kama makao ya Jina lake, ninyi, wana wenu na binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi walio katika miji yenu, na wageni, yatima na wajane waishio miongoni mwenu. 1216:12 Kum 15:15Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu.

Sikukuu Ya Vibanda

(Walawi 23:33-43)

1316:13 Law 2:14; Mwa 2:14; 27:37; Kut 23:16; Law 23:34; Mwa 15:13; Kut 1:11, 14; Za 105:23, 2516:13 Kut 23:16; Law 23:34; Hes 29:12Adhimisheni sikukuu ya vibanda kwa siku saba baada ya kukusanya mazao yenu ya nafaka na kukamua zabibu. 1416:14 Kum 26:11; Neh 8:9; Mhu 9:7; 1Sam 12:1-6; 25:6-8Mfurahie sikukuu yenu, ninyi, wana wenu, binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi, wageni, yatima na wajane ambao wanaishi katika miji yenu. 1516:15 Ay 38:7; Za 4:7; 28:7; 30:11; Law 23:39Kwa siku saba mtaiadhimisha sikukuu ya Bwana Mungu wenu katika mahali atakapopachagua Bwana. Kwa kuwa Bwana Mungu wenu atawabariki katika mavuno yenu na katika kazi zote za mikono yenu na furaha yenu itakamilika.

1616:16 Kum 31:11; Za 84:7; Kut 12:17; 23:14, 16; Ezr 3:4; Kut 34:20Wanaume wenu wote lazima wajitokeze mara tatu kwa mwaka mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua: kwa ajili ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma, na Sikukuu ya Vibanda. Hakuna mtu atakayejitokeza mbele za Bwana mikono mitupu: 1716:17 2Kor 8:12Kila mmoja wenu ni lazima alete zawadi kulingana na jinsi ambavyo Bwana Mungu wenu alivyowabariki.

Waamuzi

1816:18 Kut 18:21, 26; Mwa 31:37; Kum 1:16Wateue waamuzi na maafisa kwa kila kabila lenu katika kila mji ambao Bwana Mungu wenu anawapa, nao watawaamua watu kwa usawa. 1916:19 Kut 23:2, 8; Law 19:15; Kut 18:21; 1Sam 8:3; Kum 1:17; Mhu 7:7; Ay 31:21, 22; Mit 17:23; 24:23; Isa 1:17, 23; Mdo 10:34Msipotoshe haki wala msifanye upendeleo. Msikubali rushwa kwa sababu rushwa hupofusha macho ya wenye busara na kugeuza maneno ya wenye haki. 2016:20 Kum 4:1Mfuate haki na haki peke yake, ili mweze kuishi na kuimiliki nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa.

Kuabudu Miungu Mingine

2116:21 Kum 7:5; Kut 34:13; 1Fal 14:15; 2Fal 17:16; 21:3; 2Nya 33:3; Kut 34:13; Amu 3:7Msisimamishe nguzo yoyote ya Ashera kando ya madhabahu mliyomjengea Bwana Mungu wenu, 2216:22 Kut 23:24; Law 26:1wala msisimamishe jiwe la kuabudu, kwa maana Bwana Mungu wenu anavichukia vitu hivi.

Korean Living Bible

신명기 16:1-22

유월절

1“여러분은 16:1 태양력으로 4월.아빕월, 곧 월에 유월절을 지켜 여러분의 하나님 여호와를 기억하십시오. 이것은 그 달에 여러분의 하나님 여호와께서 여러분을 밤중에 이집트에서 구출해 내셨기 때문입니다.

2여러분은 여호와 하나님이 지정하신 곳에서 소나 양을 잡아 유월절 제물로 여러분의 하나님 여호와께 드리십시오.

3여러분은 그 제물을 누룩 넣은 빵과 함께 먹어서는 안 됩니다. 여러분이 이집트에서 급히 떠나올 때 미처 누룩을 넣지 못하고 빵을 만들어 먹어야 했던 고생을 생각하면서 여러분은 7일 동안 누룩 넣지 않은 빵을 만들어 먹도록 하십시오. 이렇게 하여 여러분은 평생 동안 이집트에서 떠나온 날을 기억하십시오.

4그 7일 동안 여러분의 땅에서 누룩이 눈에 띄게 해서는 안 됩니다. 그 명절의 첫날 저녁에 잡아서 제사 드린 고기는 다음날 아침까지 남겨 두지 마십시오.

5“여러분은 유월절 제사를 여호와 하나님이 여러분에게 주신 각 성에서 드리지 말고

6여호와께서 예배처로 지정하신 곳으로 가서 여러분이 이집트에서 나오던 시각인 저녁 해질 무렵에 드리십시오.

7여러분은 거기서 유월절 고기를 구워 먹고 다음날 아침에 집으로 돌아가십시오.

8여러분은 나머지 6일 동안 누룩 넣지 않은 빵을 먹고 7일째 되는 날에는 여러분의 하나님 여호와 앞에 거룩한 모임을 갖고 아무 일도 하지 마십시오.”

칠칠절

9“여러분은 추수하기 시작한 때부터 7주를 계산하여

10여러분의 하나님 여호와 앞에 칠칠절을 지키십시오. 그때 여러분은 여러분의 하나님 여호와께서 복을 주신 정도에 따라 자발적으로 예물을 드리십시오.

11그리고 여러분의 하나님 여호와께서 예배처로 지정하신 곳에서 여러분은 여러분의 자녀와 종들과, 여러분의 성에 사는 레위인과 외국인과 고아와 과부와 함께 다 같이 여호와 앞에서 즐거워하십시오.

12여러분은 이집트에서 종살이하던 일을 기억하고 이 규정들을 잘 지켜야 합니다.”

초막절

13“여러분은 모든 곡식을 타작하고 포도즙을 짜서 저장한 후에 7일 동안 초막절을 지키십시오.

14이 명절에 여러분은 여러분의 자녀와 종들과 여러분의 성에 사는 레위인과 외국인과 고아와 과부와 함께 다 같이 즐거워하십시오.

15여러분은 지정된 예배처에서 7일 동안 이 명절을 지키면서 여러분의 하나님 여호와께서 여러분의 농사와 여러분이 하는 모든 일에 복을 주신 것을 감사하고 기뻐하십시오.

16“모든 이스라엘 남자들은 매년 세 번씩, 곧 16:16 또는 ‘무교절’유월절과 칠칠절과 초막절에 지정된 예배처에 나와서 여호와께 예배를 드려야 합니다. 그리고 여호와 앞에 나올 때는 빈손으로 나오지 말고

17여러분의 하나님 여호와께서 복을 주신 정도에 따라 예물을 가져와서 드리십시오.”

공정한 재판

18“여러분은 여러분의 하나님 여호와께서 주신 각 성에 재판관과 사무원을 뽑아 세워 백성들을 공정하게 재판하도록 하십시오.

19여러분은 공정하지 못한 재판이나 편파적인 재판을 해서는 안 되며 뇌물을 받아서도 안 됩니다. 뇌물은 지혜로운 사람의 눈을 멀게 하고 의로운 사람의 진술을 묵살시킵니다.

20여러분은 언제나 공정하고 정직하십시오. 그러면 여러분은 살 수 있을 것이며 여러분의 하나님 여호와께서 여러분에게 주시는 땅을 소유할 것입니다.

21“여러분은 여러분의 하나님 여호와의 제단 곁에 나무로 만든 아세라 여신상을 세우지 말고

22돌기둥의 우상도 세우지 마십시오. 여러분의 하나님 여호와께서는 이런 것들을 미워하십니다.”