Kumbukumbu 10 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 10:1-22

Vibao Vingine Vya Amri Kumi

(Kutoka 34:1-10)

110:1 Kut 34:2; 25:10Wakati ule Bwana aliniambia, “Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza uje kwangu juu mlimani. Pia utengeneze Sanduku la mbao. 210:2 Kut 25:16, 21; 2Nya 5:10; 6:11Nitaandika juu ya vibao maneno yaliyokuwa katika vile vibao vya kwanza, ambavyo ulivivunja. Kisha utaviweka ndani ya Sanduku.”

310:3 Kut 37:1-9; 34:4; 26:5Hivyo nikatengeneza Sanduku kwa mti wa mshita, nikachonga pia vibao vya mawe kama vile vya kwanza, kisha nikakwea mlimani nikiwa na vibao viwili mikononi mwangu. 410:4 Kut 24:12; 34:28; 20; 1; Kum 9:10; Yer 31:33Bwana akaandika juu ya hivi vibao kile alichokuwa amekiandika kabla, Amri Kumi alizokuwa amewatangazia juu mlimani, kutoka kwenye moto siku ile ya kusanyiko. Bwana akanikabidhi. 510:5 Kut 19:11; 25:10; 25:21; 34:29; 40:21; 1Sam 8:3; 1Fal 8:9Kisha nikashuka kutoka mlimani na kuweka vibao ndani ya Sanduku nililokuwa nimelitengeneza, kama Bwana alivyoniagiza, navyo viko huko sasa.

610:6 Hes 33:30; 27:13; 20:25-28; Kut 6:23(Waisraeli walisafiri kutoka visima vya Yaakani hadi Mosera. Huko Aroni alifariki na kuzikwa, naye Eleazari mwanawe akachukua nafasi yake kama kuhani. 710:7 Hes 33:32-34; Za 42:1; Wim 5:12; Isa 32:2Kutoka pale, walisafiri hadi Gudgoda wakaendelea mpaka Yotbatha, nchi yenye vijito vya maji. 810:8 Hes 3:6; 10:33; 16:9; Mwa 48:20; 1Nya 23:26; Kum 18:5; 21:5; Law 9:22Wakati huo Bwana aliteua kabila la Lawi kulibeba Sanduku la Agano la Bwana, kusimama mbele za Bwana ili kutoa huduma, na kutangaza baraka kwa Jina lake, kama wanavyofanya mpaka leo. 910:9 Hes 18:20; Eze 44:28Hiyo ndiyo sababu ya Walawi kutokuwa na sehemu wala urithi miongoni mwa ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama Bwana Mungu wao alivyowaambia.)

1010:10 Kut 33:17; 34:28; Kum 9:18-19; 25Basi nilikaa mlimani kwa siku arobaini usiku na mchana, kama nilivyofanya mara ya kwanza, pia Bwana alinisikiliza hata wakati huu. Haikuwa nia yake kuwaangamiza. 11Bwana akaniambia, “Nenda, ukawaongoze watu katika njia yao ili kwamba waweze kuingia na kuimiliki nchi ile niliyowaapia baba zao kuwapa.”

Mche Bwana

1210:12 Mik 6:8; Kut 20:20; 1Fal 2:3; 3:3; 4:4; Kum 5:32; 5:33; 6:13; 6:5; 11:13; 28:47; Mt 22:37; 1Tim 1:5; Za 100:2; Kum 6:5; Za 119:2; Kum 5:32Na sasa, ee Israeli, Bwana Mungu wako anataka nini kwako ila kumcha Bwana Mungu wako, kwenda katika njia zake, kumpenda na kumtumikia Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote, 1310:13 Kum 4:2; 5:33; 6:25na kuyashika maagizo ya Bwana na amri zake ninazokupa leo kwa mafanikio yako mwenyewe?

1410:14 Za 148:4; Isa 19:1; Hab 3:8; Neh 9:6; Ay 35:5; Za 8:3; 89:11; 104:3; Kum 33:26; Za 115:16; 1Fal 8:27; Kut 19:5; Za 24:1; Mdo 17:24Mbingu, hata mbingu za juu sana, dunia na kila kitu kilichomo ndani yake, ni mali ya Bwana Mungu wako. 1510:15 Kum 4:37; Za 105:6; 135:4; Hes 14:8; Rum 11:28; 1Pet 2:9Hata hivyo Bwana alikuwa na shauku na baba zako, akawapenda na akawachagua ninyi, wazao wao, kuliko mataifa yote, kama ilivyo leo. 1610:16 Mwa 17:11; Law 26:41; Kum 30:6; Yer 32:39; Kut 32:9; 9:13; Yer 4:4; Kum 9:6Kwa hiyo tahirini mioyo yenu, na msiwe na shingo ngumu tena. 1710:17 Yos 22:22; Za 135:9; 136:2; Dan 2:47; 11:36; Za 136:3; 1Tim 6:15; Kum 7:21; 1:17; Mal 2:9; Kut 23:8; Law 19:16; Efe 6:9Kwa kuwa Bwana Mungu wenu ni Mungu wa miungu na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye uweza na wa kutisha, ambaye hana upendeleo na hapokei rushwa. 1810:18 Kut 22:21, 22-24; 23:9; Law 19:33; Kum 27:19; Ay 29:13; Za 94:6; Isa 10:2; Yer 49:11; Hes 10:32Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi. 1910:19 Kum 7:12; Kut 22:21; Kum 24:19; Law 19:34; Eze 47:22-23Nanyi wapendeni wageni, kwa kuwa ninyi wenyewe mlikuwa wageni huko Misri. 2010:20 Mt 4:10; Kum 11:22; 13:4; 30:20; Yos 23:8; Rut 1:14; 2Fal 18:6; Za 119:31; Isa 38:3; Kut 20:7; Za 63:11Mche Bwana Mungu wako na umtumikie yeye. Shikamana naye kwa uthabiti na kuapa kwa jina lake. 2110:21 Kut 15:2; 1Sam 12:24; Za 126:2; 2Sam 7:23; Yer 17:14; Za 106:21-22Yeye ni sifa yako; yeye ni Mungu wako, ambaye alikutendea yale maajabu makubwa na ya kutisha uliyoyaona kwa macho yako mwenyewe. 2210:22 Mwa 34:30; 46:26; Mdo 7:14; Mwa 12:2; Hes 10:36Baba zako walioshuka kwenda Misri jumla yao walikuwa sabini, na sasa Bwana Mungu wako amekufanya wengi kama nyota za angani.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

申命記 10:1-22

摩西重新接受誡命

1「當時耶和華對我說,『你要鑿兩塊石版,與前兩塊一樣,也要做一個木櫃,然後上山來見我。 2我要把你摔碎的那兩塊石版上的話重新寫在你鑿的石版上。你要把它們放在櫃子裡。』 3於是,我用皂莢木做了一個櫃子,又鑿了兩塊石版,與前兩塊石版一樣,然後帶著石版上了山。 4耶和華把你們在山腳下聚會時祂在山上的火焰中向你們頒佈的十條誡命,重新刻在石版上,並把石版交給我。 5我下山後,遵照耶和華的吩咐把石版放在我做的櫃子裡。現在石版仍放在那裡。

6「我們從亞干人的井10·6 亞干人的井」或譯「比羅比尼·亞干」或「比尼亞干井」。出發,來到摩西拉亞倫死在那裡,並葬在那裡,他兒子以利亞撒接替他做大祭司。 7我們從那裡走到谷歌大,又走到溪流之鄉約巴他8那時,耶和華把利未支派分別出來,派他們抬祂的約櫃,站立在祂面前事奉祂,奉祂的名祝福,至今未變。 9因此,利未人在眾支派中沒有分到土地作產業,耶和華是他們的產業,這是你們的上帝耶和華對他們的應許。

10「和前一次一樣,我又在山上待了四十晝夜,耶和華又聽了我的祈求,答應不毀滅你們。 11耶和華對我說,『起來,帶他們走吧,去佔領我起誓賜給他們祖先的土地。』

耶和華的要求

12以色列人啊,你們的上帝耶和華對你們有何要求?無非要你們敬畏祂,遵行祂的旨意,愛祂,全心全意地事奉祂, 13遵守祂的誡命和律例。我今天把這些誡命和律例賜給你們,是為了你們的益處。 14看啊,諸天、大地和萬物都屬於你們的上帝耶和華。 15但耶和華只喜愛你們的祖先,從萬族中揀選了他們的後裔——你們,正如今日的情形。 16所以,你們要洗心革面,不可再頑固不化。 17你們的上帝耶和華是萬神之神、萬主之主,是偉大、全能、可畏的上帝。祂不徇情面,不受賄賂; 18祂為孤兒寡婦主持公道,關愛寄居者,供給他們衣食。 19所以,你們要愛寄居者,因為你們也曾寄居埃及20你們要敬畏你們的上帝耶和華,事奉祂,倚靠祂,憑祂的名起誓。 21你們要讚美祂,祂是你們的上帝,你們親眼目睹了祂為你們做的偉大而可畏的事。 22當年你們祖先下埃及時,只有七十人,現在你們的上帝耶和華使你們多如天上的星辰。