Isaya 9 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 9:1-21

Kwa Ajili Yetu Mtoto Amezaliwa

19:1 2Fal 15:29; 1Nya 5:26; Law 26:24; Ay 15:24Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni tena kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, kando ya Yordani:

29:2 Mt 4:15-16; Eze 5:8; Mal 4:2; Yn 8:12; Za 82:5; 107:10-14; 36:9; Isa 8:20; Efe 5:8Watu wanaotembea katika giza

wameona nuru kuu,

wale wanaoishi katika nchi ya uvuli wa mauti,

nuru imewazukia.

39:3 Ay 12:23; Isa 25:9; Kut 15:9; Za 119:162; 4:7; Yos 22:8Umelikuza taifa,

na kuzidisha furaha yao,

wanafurahia mbele zako,

kama watu wanavyofurahia wakati wa mavuno,

kama watu wafurahivyo

wagawanyapo nyara.

49:4 Amu 7:22-25; Nah 1:13; Isa 10:26-27; Mt 11:30; Isa 60:18; Ay 34:24; Isa 37:36-38; 14:24; Yer 2:20; Za 81:6Kama vile siku ya kushindwa kwa Wamidiani,

umevunja nira iliyowalemea,

ile gongo mabegani mwao na

fimbo yake yeye aliyewaonea.

59:5 Isa 2:4Kila kiatu cha askari kilichotumiwa vitani,

na kila vazi lililovingirishwa katika damu

vitawekwa kwa ajili ya kuchomwa,

vitakuwa kuni za kuwasha moto.

69:6 Ebr 13:20; Mwa 3:15; Ay 15:8; Amu 13:18; Mt 28:18; Za 24:8; Lk 2:14; Mwa 3:15Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,

tumepewa mtoto mwanaume,

nao utawala utakuwa mabegani mwake.

Naye ataitwa

Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,

Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.

79:7 Dan 2:44; Yn 12:34; Yer 23:5; 2Fal 19:31; Za 85:8; 1Kor 15:25; 2Sam 7:13Kuongezeka kwa utawala wake na amani

hakutakuwa na mwisho.

Atatawala katika kiti cha enzi cha Daudi

na juu ya ufalme wake,

akiuthibitisha na kuutegemeza

kwa haki na kwa adili,

tangu wakati huo na hata milele.

Wivu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote

utatimiza haya.

Hasira Ya Bwana Dhidi Ya Israeli

8Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo,

utamwangukia Israeli.

99:9 Isa 7:9; Eze 2:4; Zek 7:11; Isa 2:4Watu wote watajua hili:

Efraimu na wakazi wa Samaria,

wanaosema kwa kiburi

na majivuno ya mioyo,

109:10 Mwa 11:3; Amo 7:14; Lk 19:14; 1Fal 7:2-3“Matofali yameanguka chini,

lakini tutajenga tena kwa mawe yaliyochongwa,

mitini imeangushwa,

lakini tutapanda mierezi badala yake.”

119:11 Isa 7:8Lakini Bwana amemtia nguvu adui wa Resini dhidi yao

na kuchochea watesi wao.

129:12 Za 79:7; Isa 5:25; 2Fal 16:6; Ay 40:11Waashuru kutoka upande wa mashariki

na Wafilisti kutoka upande wa magharibi

wameila Israeli kwa kinywa kilichopanuliwa.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

139:13 Yer 5:3; Amo 4:6-10; Sef 1:16; 2Nya 28:22; Hag 2:17; Dan 9:13; Yer 50:4; Isa 17:7Lakini watu hawajamrudia yeye aliyewapiga,

wala hawajamtafuta Bwana Mwenye Nguvu Zote.

149:14 Isa 19:15; Ufu 18:8Kwa hiyo Bwana atakatilia mbali kutoka Israeli kichwa na mkia,

tawi la mtende na tete katika siku moja.

159:15 Isa 3:2-3; 5:13; 28:7; Ay 13:4; Eze 13:2, 22; Mt 24:24Wazee na watu mashuhuri ndio vichwa,

nao manabii wanaofundisha uongo ndio mkia.

169:16 Mt 15:14; 23:16, 24; Isa 3:12Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha,

nao wale wanaoongozwa wamepotoka.

179:17 Amo 8:13; Rum 3:13-14; Yer 13:14; Isa 32:6; Mik 7:2; Isa 5:25; Yer 9:21; 11:22; Isa 27:11; 5:25; Mt 12:34; Yer 48:15; 49:26Kwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana,

wala hatawahurumia yatima na wajane,

kwa kuwa kila mmoja wao hamchi Mungu, nao ni waovu,

na kila kinywa kinanena upotovu.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

189:18 Za 83:14; Kum 29:23; Isa 1:31; 5:6Hakika uovu huwaka kama moto;

huteketeza michongoma na miiba,

huwasha moto vichaka vya msituni,

hujiviringisha kuelekea juu kama nguzo ya moshi.

199:19 Mik 7:2-6; Isa 13:9-13; Ay 40:11; Za 97:3; Isa 1:31; Yer 17:27; Isa 3:5Kwa hasira ya Bwana Mwenye Nguvu Zote

nchi itachomwa kwa moto,

nao watu watakuwa kuni za kuchochea moto.

Hakuna mtu atakayemhurumia ndugu yake.

209:20 Law 26:26; Ay 18:12; Isa 49:26; Zek 11:9Upande wa kuume watakuwa wakitafuna,

lakini bado wataona njaa;

upande wa kushoto watakuwa wakila,

lakini hawatashiba.

Kila mmoja atajilisha kwa nyama ya mtoto wake mwenyewe:

219:21 Amu 7:22; 12:4; 2Nya 28:6; Isa 5:25Manase atamla Efraimu,

naye Efraimu atamla Manase;

nao pamoja watakuwa kinyume na Yuda.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

Nova Versão Internacional

Isaías 9:1-21

O Nascimento do Príncipe da Paz

1Contudo, não haverá mais escuridão para os que estavam aflitos. No passado ele humilhou a terra de Zebulom e de Naftali, mas no futuro honrará a Galileia dos gentios, o caminho do mar, junto ao Jordão.

2O povo que caminhava em trevas

viu uma grande luz;

sobre os que viviam na terra da sombra da morte9.2 Ou terra das trevas

raiou uma luz.

3Fizeste crescer a nação

e aumentaste a sua alegria;

eles se alegram diante de ti

como os que se regozijam na colheita,

como os que exultam

quando dividem os bens tomados na batalha.

4Pois tu destruíste o jugo que os oprimia,

a canga que estava sobre os seus ombros

e a vara de castigo do seu opressor,

como no dia da derrota de Midiã.

5Pois toda bota de guerreiro usada em combate

e toda veste revolvida em sangue

serão queimadas,

como lenha no fogo.

6Porque um menino nos nasceu,

um filho nos foi dado,

e o governo está sobre os seus ombros.

E ele será chamado

Maravilhoso Conselheiro9.6 Ou chamado Maravilhoso, Conselheiro, Deus Poderoso,

Pai Eterno, Príncipe da Paz.

7Ele estenderá o seu domínio,

e haverá paz sem fim sobre o trono de Davi

e sobre o seu reino,

estabelecido e mantido

com justiça e retidão

desde agora e para sempre.

O zelo do Senhor dos Exércitos fará isso.

A Ira do Senhor contra Israel

8O Senhor enviou uma mensagem contra Jacó,

e ela atingiu Israel.

9Todo o povo ficará sabendo,

tanto Efraim como os habitantes de Samaria,

que dizem com orgulho

e arrogância de coração:

10“Os tijolos caíram,

mas nós reconstruiremos com pedras lavradas;

as figueiras bravas foram derrubadas,

mas nós as substituiremos por cedros”.

11Mas o Senhor fortaleceu os adversários de Rezim para atacá-los

e incitou contra eles os seus inimigos.

12Os arameus do leste e os filisteus do oeste

devoraram Israel, escancarando a boca.

Apesar disso tudo,

a ira divina não se desviou;

sua mão continua erguida.

13Mas o povo não voltou para aquele que o feriu,

nem buscou o Senhor dos Exércitos.

14Por essa razão o Senhor corta de Israel

tanto a cabeça como a cauda,

tanto a palma como o junco, num único dia;

15as autoridades e os homens de destaque são a cabeça,

os profetas que ensinam mentiras são a cauda.

16Aqueles que guiam este povo o desorientam,

e aqueles que são guiados deixam-se induzir ao erro.

17Por isso o Senhor não terá nos jovens motivo de alegria,

nem terá piedade dos órfãos e das viúvas,

pois todos são hipócritas e perversos,

e todos falam loucuras.

Apesar disso tudo,

a ira dele não se desviou;

sua mão continua erguida.

18Porque a impiedade queima como fogo;

consome roseiras bravas e espinheiros,

põe em chamas os matagais da floresta,

fazendo nuvens de fumaça.

19Pela ira do Senhor dos Exércitos

a terra será ressecada,

e o povo será como lenha no fogo;

ninguém poupará seu irmão.

20À direita devorarão,

mas ainda estarão com fome;

à esquerda comerão,

mas não ficarão satisfeitos.

Cada um comerá a carne do seu próprio irmão9.20 Ou braço.

21Manassés contra Efraim, Efraim contra Manassés,

e juntos eles se voltarão contra Judá.

Apesar disso tudo,

a ira divina não se desviou;

sua mão continua erguida.