Isaya 9 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 9:1-21

Kwa Ajili Yetu Mtoto Amezaliwa

19:1 2Fal 15:29; 1Nya 5:26; Law 26:24; Ay 15:24Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni tena kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, kando ya Yordani:

29:2 Mt 4:15-16; Eze 5:8; Mal 4:2; Yn 8:12; Za 82:5; 107:10-14; 36:9; Isa 8:20; Efe 5:8Watu wanaotembea katika giza

wameona nuru kuu,

wale wanaoishi katika nchi ya uvuli wa mauti,

nuru imewazukia.

39:3 Ay 12:23; Isa 25:9; Kut 15:9; Za 119:162; 4:7; Yos 22:8Umelikuza taifa,

na kuzidisha furaha yao,

wanafurahia mbele zako,

kama watu wanavyofurahia wakati wa mavuno,

kama watu wafurahivyo

wagawanyapo nyara.

49:4 Amu 7:22-25; Nah 1:13; Isa 10:26-27; Mt 11:30; Isa 60:18; Ay 34:24; Isa 37:36-38; 14:24; Yer 2:20; Za 81:6Kama vile siku ya kushindwa kwa Wamidiani,

umevunja nira iliyowalemea,

ile gongo mabegani mwao na

fimbo yake yeye aliyewaonea.

59:5 Isa 2:4Kila kiatu cha askari kilichotumiwa vitani,

na kila vazi lililovingirishwa katika damu

vitawekwa kwa ajili ya kuchomwa,

vitakuwa kuni za kuwasha moto.

69:6 Ebr 13:20; Mwa 3:15; Ay 15:8; Amu 13:18; Mt 28:18; Za 24:8; Lk 2:14; Mwa 3:15Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,

tumepewa mtoto mwanaume,

nao utawala utakuwa mabegani mwake.

Naye ataitwa

Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,

Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.

79:7 Dan 2:44; Yn 12:34; Yer 23:5; 2Fal 19:31; Za 85:8; 1Kor 15:25; 2Sam 7:13Kuongezeka kwa utawala wake na amani

hakutakuwa na mwisho.

Atatawala katika kiti cha enzi cha Daudi

na juu ya ufalme wake,

akiuthibitisha na kuutegemeza

kwa haki na kwa adili,

tangu wakati huo na hata milele.

Wivu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote

utatimiza haya.

Hasira Ya Bwana Dhidi Ya Israeli

8Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo,

utamwangukia Israeli.

99:9 Isa 7:9; Eze 2:4; Zek 7:11; Isa 2:4Watu wote watajua hili:

Efraimu na wakazi wa Samaria,

wanaosema kwa kiburi

na majivuno ya mioyo,

109:10 Mwa 11:3; Amo 7:14; Lk 19:14; 1Fal 7:2-3“Matofali yameanguka chini,

lakini tutajenga tena kwa mawe yaliyochongwa,

mitini imeangushwa,

lakini tutapanda mierezi badala yake.”

119:11 Isa 7:8Lakini Bwana amemtia nguvu adui wa Resini dhidi yao

na kuchochea watesi wao.

129:12 Za 79:7; Isa 5:25; 2Fal 16:6; Ay 40:11Waashuru kutoka upande wa mashariki

na Wafilisti kutoka upande wa magharibi

wameila Israeli kwa kinywa kilichopanuliwa.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

139:13 Yer 5:3; Amo 4:6-10; Sef 1:16; 2Nya 28:22; Hag 2:17; Dan 9:13; Yer 50:4; Isa 17:7Lakini watu hawajamrudia yeye aliyewapiga,

wala hawajamtafuta Bwana Mwenye Nguvu Zote.

149:14 Isa 19:15; Ufu 18:8Kwa hiyo Bwana atakatilia mbali kutoka Israeli kichwa na mkia,

tawi la mtende na tete katika siku moja.

159:15 Isa 3:2-3; 5:13; 28:7; Ay 13:4; Eze 13:2, 22; Mt 24:24Wazee na watu mashuhuri ndio vichwa,

nao manabii wanaofundisha uongo ndio mkia.

169:16 Mt 15:14; 23:16, 24; Isa 3:12Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha,

nao wale wanaoongozwa wamepotoka.

179:17 Amo 8:13; Rum 3:13-14; Yer 13:14; Isa 32:6; Mik 7:2; Isa 5:25; Yer 9:21; 11:22; Isa 27:11; 5:25; Mt 12:34; Yer 48:15; 49:26Kwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana,

wala hatawahurumia yatima na wajane,

kwa kuwa kila mmoja wao hamchi Mungu, nao ni waovu,

na kila kinywa kinanena upotovu.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

189:18 Za 83:14; Kum 29:23; Isa 1:31; 5:6Hakika uovu huwaka kama moto;

huteketeza michongoma na miiba,

huwasha moto vichaka vya msituni,

hujiviringisha kuelekea juu kama nguzo ya moshi.

199:19 Mik 7:2-6; Isa 13:9-13; Ay 40:11; Za 97:3; Isa 1:31; Yer 17:27; Isa 3:5Kwa hasira ya Bwana Mwenye Nguvu Zote

nchi itachomwa kwa moto,

nao watu watakuwa kuni za kuchochea moto.

Hakuna mtu atakayemhurumia ndugu yake.

209:20 Law 26:26; Ay 18:12; Isa 49:26; Zek 11:9Upande wa kuume watakuwa wakitafuna,

lakini bado wataona njaa;

upande wa kushoto watakuwa wakila,

lakini hawatashiba.

Kila mmoja atajilisha kwa nyama ya mtoto wake mwenyewe:

219:21 Amu 7:22; 12:4; 2Nya 28:6; Isa 5:25Manase atamla Efraimu,

naye Efraimu atamla Manase;

nao pamoja watakuwa kinyume na Yuda.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

New Russian Translation

Исаия 9:1-21

«Младенец родился нам»

1Прошлое принизило землю Завулона и землю Неффалима, но грядущее прославит языческую Галилею, на пути к морю, за Иорданом.

2Народ, идущий во тьме,

увидел великий свет;

на живущих в стране смертной тени9:2 Или: «в стране мрака».

воссиял свет.

3Ты умножил народ,

увеличил их радость;

они радуются пред Тобой,

как радуются во время жатвы,

как ликуют, деля добычу.

4Ведь, как в день поражения Мадиана,

Ты сломал тяготившее их ярмо,

сломал брус у них на плечах

и палку притеснителя.

5Всякая обувь воинов, бывшая в битве,

и всякая одежда, обагренная кровью,

будут отданы на сожжение,

станут пищей огня.

6Ведь Младенец родился нам,

Сын дан нам!

На плечи Его будет возложена власть,

и Он будет назван:

Чудесный Советник9:6 Или: «Чудесный, Советник»., Могучий Бог,

Вечный Отец, Князь, дарующий мир.

7Умножению власти Его и мира

нет конца;

правит Он на престоле Давида

царством Его,

утверждая и поддерживая его

правосудием и праведностью

отныне и вовеки9:6-7 Эти слова являются пророчеством об Иисусе Христе (см. Мат. 28:18; Лк. 1:30-33)..

Ревность Господа Сил

сделает это.

Гнев Господа на Израиль

8Владыка послал слово против Иакова9:8 То есть «Израиля». Израильтяне были потомками Иакова, которому Бог дал новое имя – Израиль (см. Быт. 32:27-28).,

и падет оно на Израиль.

9Узнает его весь народ –

Ефрем9:9 То есть Израиль. и жители Самарии –

говорящие гордо,

с надменным сердцем:

10– Обрушились кирпичи –

отстроим тесаным камнем,

тутовые деревья срублены –

мы их заменим кедрами.

11Но Господь воздвиг9:11 Или: «воздвигнет». против них врагов Рецина,

поднял9:11 Или: «поднимет». на них неприятелей.

12Арамеи с востока и филистимляне с запада

с жадностью пожрали Израиль.

Но и на этом гнев Его не отвратится,

и рука Его еще будет занесена.

13Народ же не возвращается к Тому, Кто разит их,

и не ищет Господа Сил.

14Тогда Господь отсечет у Израиля и голову, и хвост,

пальмовую ветвь и тростник в один день;

15старейшины и знатный люд – это голова,

пророки, что учат лжи, – это хвост.

16Вожди этого народа сбили его с пути,

ведомые ими бредут по ложной дороге.

17Поэтому Владыка не порадуется юношам,

не пожалеет сирот и вдов,

ведь каждый – безбожник и злодей,

всякий язык говорит низости.

Но и на этом гнев Его не отвратится,

и рука Его еще будет занесена.

18Нечестие пылает, как огонь,

пожирает терновник и колючки,

поджигает лесные чащи,

так что они вздымаются ввысь столбами дыма.

19Гневом Господа Сил

опалится земля;

люди станут пищей для огня,

и никто не пощадит своего брата.

20Станут пожирать справа,

но останутся голодными;

будут есть слева,

но не наедятся;

всякий будет пожирать плоть своего потомства9:20 Или: «своей руки».:

21Манассия будет пожирать Ефрема,

Ефрем – Манассию,

и вместе они обратятся против Иуды.

Но и на этом гнев Его не отвратится,

и рука Его еще будет занесена.