Isaya 9 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 9:1-21

Kwa Ajili Yetu Mtoto Amezaliwa

19:1 2Fal 15:29; 1Nya 5:26; Law 26:24; Ay 15:24Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni tena kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, kando ya Yordani:

29:2 Mt 4:15-16; Eze 5:8; Mal 4:2; Yn 8:12; Za 82:5; 107:10-14; 36:9; Isa 8:20; Efe 5:8Watu wanaotembea katika giza

wameona nuru kuu,

wale wanaoishi katika nchi ya uvuli wa mauti,

nuru imewazukia.

39:3 Ay 12:23; Isa 25:9; Kut 15:9; Za 119:162; 4:7; Yos 22:8Umelikuza taifa,

na kuzidisha furaha yao,

wanafurahia mbele zako,

kama watu wanavyofurahia wakati wa mavuno,

kama watu wafurahivyo

wagawanyapo nyara.

49:4 Amu 7:22-25; Nah 1:13; Isa 10:26-27; Mt 11:30; Isa 60:18; Ay 34:24; Isa 37:36-38; 14:24; Yer 2:20; Za 81:6Kama vile siku ya kushindwa kwa Wamidiani,

umevunja nira iliyowalemea,

ile gongo mabegani mwao na

fimbo yake yeye aliyewaonea.

59:5 Isa 2:4Kila kiatu cha askari kilichotumiwa vitani,

na kila vazi lililovingirishwa katika damu

vitawekwa kwa ajili ya kuchomwa,

vitakuwa kuni za kuwasha moto.

69:6 Ebr 13:20; Mwa 3:15; Ay 15:8; Amu 13:18; Mt 28:18; Za 24:8; Lk 2:14; Mwa 3:15Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,

tumepewa mtoto mwanaume,

nao utawala utakuwa mabegani mwake.

Naye ataitwa

Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,

Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.

79:7 Dan 2:44; Yn 12:34; Yer 23:5; 2Fal 19:31; Za 85:8; 1Kor 15:25; 2Sam 7:13Kuongezeka kwa utawala wake na amani

hakutakuwa na mwisho.

Atatawala katika kiti cha enzi cha Daudi

na juu ya ufalme wake,

akiuthibitisha na kuutegemeza

kwa haki na kwa adili,

tangu wakati huo na hata milele.

Wivu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote

utatimiza haya.

Hasira Ya Bwana Dhidi Ya Israeli

8Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo,

utamwangukia Israeli.

99:9 Isa 7:9; Eze 2:4; Zek 7:11; Isa 2:4Watu wote watajua hili:

Efraimu na wakazi wa Samaria,

wanaosema kwa kiburi

na majivuno ya mioyo,

109:10 Mwa 11:3; Amo 7:14; Lk 19:14; 1Fal 7:2-3“Matofali yameanguka chini,

lakini tutajenga tena kwa mawe yaliyochongwa,

mitini imeangushwa,

lakini tutapanda mierezi badala yake.”

119:11 Isa 7:8Lakini Bwana amemtia nguvu adui wa Resini dhidi yao

na kuchochea watesi wao.

129:12 Za 79:7; Isa 5:25; 2Fal 16:6; Ay 40:11Waashuru kutoka upande wa mashariki

na Wafilisti kutoka upande wa magharibi

wameila Israeli kwa kinywa kilichopanuliwa.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

139:13 Yer 5:3; Amo 4:6-10; Sef 1:16; 2Nya 28:22; Hag 2:17; Dan 9:13; Yer 50:4; Isa 17:7Lakini watu hawajamrudia yeye aliyewapiga,

wala hawajamtafuta Bwana Mwenye Nguvu Zote.

149:14 Isa 19:15; Ufu 18:8Kwa hiyo Bwana atakatilia mbali kutoka Israeli kichwa na mkia,

tawi la mtende na tete katika siku moja.

159:15 Isa 3:2-3; 5:13; 28:7; Ay 13:4; Eze 13:2, 22; Mt 24:24Wazee na watu mashuhuri ndio vichwa,

nao manabii wanaofundisha uongo ndio mkia.

169:16 Mt 15:14; 23:16, 24; Isa 3:12Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha,

nao wale wanaoongozwa wamepotoka.

179:17 Amo 8:13; Rum 3:13-14; Yer 13:14; Isa 32:6; Mik 7:2; Isa 5:25; Yer 9:21; 11:22; Isa 27:11; 5:25; Mt 12:34; Yer 48:15; 49:26Kwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana,

wala hatawahurumia yatima na wajane,

kwa kuwa kila mmoja wao hamchi Mungu, nao ni waovu,

na kila kinywa kinanena upotovu.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

189:18 Za 83:14; Kum 29:23; Isa 1:31; 5:6Hakika uovu huwaka kama moto;

huteketeza michongoma na miiba,

huwasha moto vichaka vya msituni,

hujiviringisha kuelekea juu kama nguzo ya moshi.

199:19 Mik 7:2-6; Isa 13:9-13; Ay 40:11; Za 97:3; Isa 1:31; Yer 17:27; Isa 3:5Kwa hasira ya Bwana Mwenye Nguvu Zote

nchi itachomwa kwa moto,

nao watu watakuwa kuni za kuchochea moto.

Hakuna mtu atakayemhurumia ndugu yake.

209:20 Law 26:26; Ay 18:12; Isa 49:26; Zek 11:9Upande wa kuume watakuwa wakitafuna,

lakini bado wataona njaa;

upande wa kushoto watakuwa wakila,

lakini hawatashiba.

Kila mmoja atajilisha kwa nyama ya mtoto wake mwenyewe:

219:21 Amu 7:22; 12:4; 2Nya 28:6; Isa 5:25Manase atamla Efraimu,

naye Efraimu atamla Manase;

nao pamoja watakuwa kinyume na Yuda.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

New International Version

Isaiah 9:1-21

In Hebrew texts 9:1 is numbered 8:23, and 9:2-21 is numbered 9:1-20. 1Nevertheless, there will be no more gloom for those who were in distress. In the past he humbled the land of Zebulun and the land of Naphtali, but in the future he will honor Galilee of the nations, by the Way of the Sea, beyond the Jordan—

2The people walking in darkness

have seen a great light;

on those living in the land of deep darkness

a light has dawned.

3You have enlarged the nation

and increased their joy;

they rejoice before you

as people rejoice at the harvest,

as warriors rejoice

when dividing the plunder.

4For as in the day of Midian’s defeat,

you have shattered

the yoke that burdens them,

the bar across their shoulders,

the rod of their oppressor.

5Every warrior’s boot used in battle

and every garment rolled in blood

will be destined for burning,

will be fuel for the fire.

6For to us a child is born,

to us a son is given,

and the government will be on his shoulders.

And he will be called

Wonderful Counselor, Mighty God,

Everlasting Father, Prince of Peace.

7Of the greatness of his government and peace

there will be no end.

He will reign on David’s throne

and over his kingdom,

establishing and upholding it

with justice and righteousness

from that time on and forever.

The zeal of the Lord Almighty

will accomplish this.

The Lord’s Anger Against Israel

8The Lord has sent a message against Jacob;

it will fall on Israel.

9All the people will know it—

Ephraim and the inhabitants of Samaria—

who say with pride

and arrogance of heart,

10“The bricks have fallen down,

but we will rebuild with dressed stone;

the fig trees have been felled,

but we will replace them with cedars.”

11But the Lord has strengthened Rezin’s foes against them

and has spurred their enemies on.

12Arameans from the east and Philistines from the west

have devoured Israel with open mouth.

Yet for all this, his anger is not turned away,

his hand is still upraised.

13But the people have not returned to him who struck them,

nor have they sought the Lord Almighty.

14So the Lord will cut off from Israel both head and tail,

both palm branch and reed in a single day;

15the elders and dignitaries are the head,

the prophets who teach lies are the tail.

16Those who guide this people mislead them,

and those who are guided are led astray.

17Therefore the Lord will take no pleasure in the young men,

nor will he pity the fatherless and widows,

for everyone is ungodly and wicked,

every mouth speaks folly.

Yet for all this, his anger is not turned away,

his hand is still upraised.

18Surely wickedness burns like a fire;

it consumes briers and thorns,

it sets the forest thickets ablaze,

so that it rolls upward in a column of smoke.

19By the wrath of the Lord Almighty

the land will be scorched

and the people will be fuel for the fire;

they will not spare one another.

20On the right they will devour,

but still be hungry;

on the left they will eat,

but not be satisfied.

Each will feed on the flesh of their own offspring9:20 Or arm:

21Manasseh will feed on Ephraim, and Ephraim on Manasseh;

together they will turn against Judah.

Yet for all this, his anger is not turned away,

his hand is still upraised.