Isaya 63 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 63:1-19

Siku Ya Mungu Ya Kisasi Na Ukombozi

163:1 Mwa 36:33; Amo 1:12; Yer 42:11; Sef 3:17; 2Nya 28:17; Isa 11:14; Ufu 19:13; Ay 9:4Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,

kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu?

Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari,

anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake?

“Mimi ndimi, nisemaye katika haki,

mwenye nguvu wa kuokoa.”

263:2 Ufu 19:13; Mwa 49:11Kwa nini mavazi yako ni mekundu,

kama ya yule akanyagaye shinikizo la zabibu?

363:3 Amu 6:11; Ufu 19:15; Mao 1:15; Ufu 19:13; 14:19-20; Za 108:13“Nimekanyaga shinikizo la zabibu peke yangu;

kutoka mataifa hakuna mtu aliyekuwa pamoja nami.

Nimewaponda kwa miguu katika hasira yangu

na kuwakanyaga chini katika ghadhabu yangu;

damu yao ilitia matone kwenye mavazi yangu,

na kutia madoa nguo zangu zote.

463:4 Isa 1:24; Yer 50:15Kwa kuwa siku ya kisasi ilikuwa moyoni mwangu,

mwaka wa ukombozi wangu umefika.

563:5 2Fal 14:26; Isa 41:28; 59:16; Za 44:3; Yn 16:32; Isa 33:2Nilitazama, lakini hakuwepo yeyote wa kunisaidia,

nilishangaa kwa kuwa hakuwepo yeyote aliyetoa msaada;

hivyo mkono wangu wenyewe ndio ulionifanyia wokovu,

na ghadhabu yangu mwenyewe ndiyo iliyonitegemeza.

663:6 Isa 29:9; Mao 4:21; Isa 34:3; Ay 40:12Nilikanyaga mataifa kwa miguu katika hasira yangu,

katika ghadhabu yangu niliwalewesha,

na kumwaga damu yao juu ya ardhi.”

Kusifu Na Kuomba

763:7 Isa 54:8; Efe 2:4; Kut 18:9Nitasimulia juu ya wema wa Bwana,

kwa matendo ambayo apaswa kusifiwa,

sawasawa na yote ambayo Bwana

ametenda kwa ajili yetu:

naam, mambo mengi mema aliyoyatenda

kwa ajili ya nyumba ya Israeli,

sawasawa na huruma zake

na wema wake mwingi.

863:8 Mdo 9:4; Kut 14:19; 33:14; Kum 7:7-8; Ezr 9:9; Za 28:9; Ay 37:23Alisema, “Hakika wao ni watu wangu,

wana ambao hawatanidanganya”;

hivyo akawa Mwokozi wao.

963:9 Kut 14:19; 33:14; Kum 7:7-8; Ezr 9:9; Isa 48:20; Kum 1:31; 32:7; Za 28:9; Ay 37:23Katika taabu zao zote naye alitaabika,

na malaika wa uso wake akawaokoa.

Katika upendo wake na rehema zake aliwakomboa,

akawainua na kuwachukua siku zote zilizopita.

1063:10 Eze 20:8; Mdo 7:39-42; Efe 4:30; Za 106:40; 78:17; Isa 10:4; Yos 10:14Lakini waliasi,

na kumhuzunisha Roho Mtakatifu wake.

Hivyo aligeuka na kuwa adui yao,

na yeye mwenyewe akapigana dhidi yao.

1163:11 Kut 14:22, 30; Hes 11:17; Za 77:20Ndipo watu wake wakazikumbuka siku zilizopita,

siku za Mose na watu wake:

yuko wapi yeye aliyewaleta kupitia katikati ya bahari,

pamoja na wachungaji wa kundi lake?

Yuko wapi yule aliyeweka

Roho wake Mtakatifu katikati yao,

1263:12 Kut 14:21-22; Isa 11:15; Mwa 49:24aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu

kuwa katika mkono wa kuume wa Mose,

aliyegawa maji ya bahari mbele yao,

ili kujipatia jina milele,

1363:13 Kum 32:12; Yer 31:9; Kut 14:24; Za 119:11aliyewaongoza kupitia kwenye vilindi?

Kama farasi katika nchi iliyo wazi,

wao hawakujikwaa,

1463:14 Kut 33:14; Kum 12:9kama ngʼombe washukao bondeni kwenye malisho,

walipewa pumziko na Roho wa Bwana.

Hivi ndivyo ulivyowaongoza watu wako

ili kujipatia mwenyewe jina tukufu.

1563:15 Za 80:14; Mao 3:50; 1Fal 22:19; 2:26; Hos 11:8; Kum 26:15; Isa 64:12Tazama chini kutoka mbinguni ukaone

kutoka kiti chako cha enzi

kilichoinuliwa juu, kitakatifu na kitukufu.

Uko wapi wivu wako na uweza wako?

Umetuzuilia wema wako na huruma zako.

1663:16 Ay 14:21; Gal 3:28; Isa 44:6; Kut 4:22; Yer 3:4; Yn 8:41; Isa 59:20Lakini wewe ni Baba yetu,

ingawa Abrahamu hatufahamu sisi

wala Israeli hatutambui;

wewe, Ee Bwana, ndiwe Baba yetu,

Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako.

1763:17 Isa 6:10; 29:13; Hes 10:36; Mt 13:15; Mwa 20:13; Mao 3:9; Kut 4:21; 34:9Ee Bwana, kwa nini unatuacha twende mbali na njia zako,

na kuifanya mioyo yetu migumu hata hatukukuheshimu?

Rudi kwa ajili ya watumishi wako,

yale makabila ambayo ni urithi wako.

1863:18 Law 26:31; Dan 8:24; Za 74:3-8; Kum 4:26; Isa 28:18; Lk 21:24; Dan 8:13Kwa maana kwa muda mfupi watu wako walimiliki mahali pako patakatifu,

lakini sasa adui zetu wamepakanyaga mahali patakatifu pako.

1963:19 Isa 43:7; Yer 14:9Sisi tumekuwa kama wale ambao hujawatawala kamwe,

kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Исаия 63:1-19

День возмездия и искупления

1– Кто это идёт из Эдома63:1 Эдом здесь олицетворяет все народы, враждующие со Всевышним.,

из Боцры63:1 Боцра – важный эдомитский город, представляющий здесь всю страну Эдом. в одеяниях красного цвета?

Кто это в великолепной одежде

выступает в величии Своей силы?

– Это Я, возвещающий оправдание,

имеющий силу спасать.

2– Почему одежды Твои красны,

как у топчущих виноград в давильне?

3– Я топтал в давильне один;

никого из народов со Мною не было.

Я топтал их в Своём гневе,

попирал их в негодовании.

И брызгала их кровь Мне на одежды;

Я запятнал всё Моё одеяние.

4Я решил, что пришло время спасти Мой народ,

что настал день воздать их врагам.

5Я посмотрел, но помощника не было,

был потрясён, что никто не помог.

Тогда рука Моя принесла Мне победу,

и негодование Моё Меня поддержало.

6Я топтал народы в Своём гневе;

в Своём негодовании напоил их

и вылил их кровь на землю.

Молитва о милости

7Вспомню о милостях Вечного,

о славных делах Его,

обо всем, что Он для нас совершил;

вспомню о великодушии Его к Исроилу,

что явил Он по милосердию Своему

и по великой Своей любви.

8Он сказал: «Несомненно, они – Мой народ,

сыновья, которые Мне не солгут» –

и стал их Спасителем.

9Во всех их горестях Он горевал вместе с ними,

и Ангел Его присутствия63:9 См. Исх. 23:20-23. Вероятно, имеется в виду Ангел Вечного (см. сноску на 37:36). спасал их.

По любви Своей и милости Он их искупил,

поднял их и носил

во все древние дни.

10Но они восстали

и огорчили Святого Духа Его.

И Он стал им врагом,

и Сам воевал с ними.

11Тогда народ Его вспомнил древние дни,

дни Мусо, Его раба:

«Где Тот, Кто вывел их из моря

вместе с пастухом Своего стада?

Где Тот, Кто дал им Своего Святого Духа,

12Тот, Чья могучая рука всегда была с Мусо,

Кто разделил перед ними воды,

чтобы добыть Себе вечную славу,

13Кто через бездны вёл их?63:11-13 См. Исх. 14.

Словно конь в степи,

не спотыкались они;

14словно стадо, что спускается на равнину,

они получили покой от Духа Вечного».

Так вёл Ты народ Свой,

чтобы прославить имя Своё.

15Посмотри вниз с небес,

взгляни из Своего святого и славного жилища!

Где Твои ревность и мощь?

Твои сострадание и милость от нас удалились.

16Но Ты же Отец наш;

пусть не знает нас Иброхим,

и не признаёт Якуб63:16 Букв.: «Исроил». Всевышний дал Якубу новое имя – Исроил (см. Нач. 32:27-28).,

Ты, Вечный, наш Отец,

наш Искупитель – вот Твоё имя издревле.

17Зачем, Вечный, Ты сводишь нас с Твоих путей

и ожесточаешь наши сердца, чтобы мы Тебя не боялись?

Обратись ради рабов Твоих,

ради этих родов – наследия Твоего.

18Недолгое время Твой святой народ владел землёй –

ныне наши враги растоптали святилище Твоё.

19Мы уподобились тем, кем Ты никогда не правил,

тем, над кем не провозглашалось Твоё имя.