Isaya 60 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 60:1-22

Utukufu Wa Sayuni

160:1 Isa 52:2; Yn 8:12; Mal 4:2; Za 36:9; Efe 5:14; Za 118:27; Ufu 21:11; Kut 16:7“Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja

na utukufu wa Bwana umezuka juu yako.

260:2 Yer 13:16; Kol 1:13; 1Sam 2:9; Za 82:5; Isa 8:20; Za 107:14Tazama, giza litaifunika dunia

na giza kuu litayafunika mataifa,

lakini Bwana atazuka juu yako

na utukufu wake utaonekana juu yako.

360:3 Mt 2:1-11; Isa 49:23; Ufu 21:24; Isa 44:5; 45:14; 42:6Mataifa watakuja kwenye nuru yako

na wafalme kwa mwanga wa mapambazuko yako.

460:4 Isa 11:12; 43:6; 49:20-22; Yer 30:10; Isa 43:6“Inua macho yako na utazame pande zote:

Wote wanakusanyika na kukujia,

wana wako wanakuja toka mbali,

nao binti zako wanabebwa mikononi.

560:5 Rum 11:25; Kut 34:29; Isa 35:2; 65:13; 66:14; Zek 10:7; Kum 33:19; Amu 3:15; Ufu 21; 6Ndipo utatazama na kutiwa nuru,

moyo wako utasisimka na kujaa furaha,

mali zilizo baharini zitaletwa kwako,

utajiri wa mataifa utakujilia.

660:6 Mwa 25:2-4; Yer 6:20; Za 72:10; Mt 2:11; Amu 6:5; Isa 42:10Makundi ya ngamia yatajaa katika nchi yako,

ngamia vijana wa Midiani na Efa.

Nao wote watokao Sheba watakuja,

wakichukua dhahabu na uvumba

na kutangaza sifa za Bwana.

760:7 Mwa 25:13; Hag 2:3-9; Isa 18:7; Sef 3:10; Eze 20:40; 43:27; Isa 19:21Makundi yote ya Kedari yatakusanyika kwako,

kondoo dume wa Nebayothi watakutumikia,

watakubalika kama sadaka juu ya madhabahu yangu,

nami nitalipamba Hekalu langu tukufu.

860:8 Isa 49:21; 19:1“Ni nani hawa warukao kama mawingu,

kama hua kuelekea kwenye viota vyao?

960:9 Mwa 10:4; Isa 2:16; 14:2; Yer 30:19; Isa 43:6; Gal 4:26; 1Fal 10:22Hakika visiwa vinanitazama,

merikebu za Tarshishi60:9 Au: za biashara (ona pia 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16). ndizo zinazotangulia,

zikiwaleta wana wenu kutoka mbali,

wakiwa na fedha na dhahabu zao,

kwa heshima ya Bwana, Mungu wenu,

yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,

kwa maana amekujalia utukufu.

1060:10 Ezr 1:2; Ufu 21:24; Za 102:13; Isa 54:8; Kut 1:11; Isa 14:1-2; 56:6“Wageni watazijenga upya kuta zako,

na wafalme wao watakutumikia.

Ingawa katika hasira nilikupiga,

lakini katika upendeleo wangu

nitakuonyesha huruma.

1160:11 Mik 2:13; Ufu 21:25-26; Isa 2:12; 61:6; Za 24:7Malango yako yatakuwa wazi siku zote,

kamwe hayatafungwa, mchana wala usiku,

ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa:

wafalme wao wakiongoza maandamano ya ushindi.

1260:12 Isa 11:14; Zek 14:17; Za 2:12; Dan 2:34; Mwa 27:29Kwa maana taifa au ufalme ule ambao hautakutumikia utaangamia;

utaharibiwa kabisa.

1360:13 Isa 35:2; Ezr 3:7; 1Nya 28:2; Isa 41:19“Utukufu wa Lebanoni utakujilia,

msunobari, mvinje pamoja na mteashuri,

ili kupapamba mahali pangu patakatifu,

nami nitapatukuza mahali pa miguu yangu.

1460:14 Mwa 27:29; Ufu 3:9; Ebr 12:22; Isa 14:9; 1:12Wana wa wale waliokuonea watakuja wakisujudu mbele yako,

wote wanaokudharau watasujudu kwenye miguu yako,

nao watakuita Mji wa Bwana,

Sayuni ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.

1560:15 Isa 6:12; 54:6; Za 126:5; Isa 65:18; 1:7-9; Kut 14:30; Isa 33:8“Ingawa umeachwa na kuchukiwa,

bila yeyote anayesafiri ndani yako,

nitakufanya kuwa fahari ya milele,

na furaha ya vizazi vyote.

1660:16 Eze 34:30; Kut 6:2; Isa 66:11-12; Ay 19:25; Isa 59:20; Kut 14:30Utanyonya maziwa ya mataifa,

na kunyonyeshwa matiti ya wafalme.

Ndipo utakapojua kwamba Mimi, Bwana, ni Mwokozi wako,

Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.

1760:17 1Fal 10:21; Za 85:8; Isa 66:12; 9:7; Hag 2:9Badala ya shaba nitakuletea dhahabu,

na fedha badala ya chuma.

Badala ya mti nitakuletea shaba,

na chuma badala ya mawe.

Nitafanya amani kuwa mtawala wako,

na haki kuwa mfalme wako.

1860:18 Law 26:6; 2Sam 7:10; Yer 33:9; Sef 3:20; Isa 9:4; 49:19; 33:6; 61:11; 62:7Jeuri hazitasikika tena katika nchi yako,

wala maangamizi au uharibifu ndani ya mipaka yako,

lakini utaita kuta zako Wokovu,

na malango yako Sifa.

1960:19 Zek 2:5; Za 36:9; Ufu 21:23; 22:5; Za 118:27Jua halitakuwa tena nuru yako mchana,

wala mwangaza wa mwezi hautakuangazia,

kwa maana Bwana atakuwa nuru yako ya milele,

naye Mungu wako atakuwa utukufu wako.

2060:20 Amo 8:9; Isa 30:19, 26; Ufu 7:17; Isa 35:10Jua lako halitazama tena,

nao mwezi wako hautafifia tena;

Bwana atakuwa nuru yako milele,

nazo siku zako za huzuni zitakoma.

2160:21 Efe 2:10; Law 10:3; Za 37:11, 22; Zek 8:12; Amo 9:15; Isa 4:3; Yer 32:41; Mt 15:13Ndipo watu wako wote watakuwa waadilifu,

nao wataimiliki nchi milele.

Wao ni chipukizi nililolipanda,

kazi ya mikono yangu,

ili kuonyesha utukufu wangu.

2260:22 Mwa 12:2; Kum 1:10; Isa 5:19Aliye mdogo kwenu atakuwa elfu,

mdogo kuliko wote atakuwa taifa lenye nguvu.

Mimi ndimi Bwana;

katika wakati wake nitayatimiza haya upesi.”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Isaías 60:1-22

La gloria de Sión

1»¡Levántate y resplandece, que tu luz ha llegado!

¡La gloria del Señor brilla sobre ti!

2Mira, las tinieblas cubren la tierra,

y una densa oscuridad se cierne sobre los pueblos.

Pero la aurora del Señor brillará sobre ti;

¡sobre ti se manifestará su gloria!

3Las naciones serán guiadas por tu luz,

y los reyes, por tu amanecer esplendoroso.

4»Alza los ojos, mira a tu alrededor:

todos se reúnen y acuden a ti.

Tus hijos llegan desde lejos;

a tus hijas las traen en brazos.

5Verás esto y te pondrás radiante de alegría;

vibrará tu corazón y se henchirá de gozo;

porque te traerán los tesoros del mar,

y te llegarán las riquezas de las naciones.

6Te llenarás con caravanas de camellos,

con dromedarios de Madián y de Efa.

Vendrán todos los de Sabá,

cargando oro e incienso

y proclamando las alabanzas del Señor.

7En ti se reunirán todos los rebaños de Cedar,

te servirán los carneros de Nebayot;

subirán como ofrendas agradables sobre mi altar,

y yo embelleceré mi templo glorioso.

8»¿Quiénes son los que pasan como nubes,

y como palomas rumbo a su palomar?

9En mí esperarán las costas lejanas;

a la cabeza vendrán los barcos de Tarsis

trayendo de lejos a tus hijos,

y con ellos su oro y su plata,

para la honra del Señor tu Dios,

el Santo de Israel,

porque él te ha llenado de gloria.

10»Los extranjeros reconstruirán tus muros,

y sus reyes te servirán.

Aunque en mi furor te castigué,

por mi bondad tendré compasión de ti.

11Tus puertas estarán siempre abiertas,

ni de día ni de noche se cerrarán;

te traerán las riquezas de las naciones;

ante ti desfilarán sus reyes derrotados.

12La nación o el reino que no te sirva perecerá;

quedarán arruinados por completo.

13»Te llegará la gloria del Líbano,

con el ciprés, el olmo y el abeto,

para embellecer el lugar de mi santuario.

Glorificaré el lugar donde reposan mis pies.

14Ante ti vendrán a inclinarse

los hijos de tus opresores;

todos los que te desprecian

se postrarán a tus pies,

y te llamarán “Ciudad del Señor”,

“Sión del Santo de Israel”.

15»Aunque fuiste abandonada y aborrecida,

y nadie transitaba por tus calles,

haré de ti el orgullo eterno

y la alegría de todas las generaciones.

16Te alimentarás con la leche de las naciones,

con la riqueza de los reyes serás amamantada.

Sabrás entonces que yo, el Señor, soy tu Salvador;

que yo, el Poderoso de Jacob, soy tu Redentor.

17En vez de bronce te traeré oro;

en lugar de hierro, plata.

En vez de madera te traeré bronce,

y en lugar de piedras, hierro.

Haré que la paz te gobierne,

y que la justicia te rija.

18Ya no se oirá de violencia en tu tierra,

ni de ruina y destrucción en tus fronteras,

sino que llamarás a tus muros “Salvación”,

y a tus puertas, “Alabanza”.

19Ya no será el sol tu luz durante el día,

ni con su resplandor te alumbrará la luna,

porque el Señor será tu luz eterna;

tu Dios será tu gloria.

20Tu sol no volverá a ponerse,

ni menguará tu luna;

será el Señor tu luz eterna,

y llegarán a su fin tus días de duelo.

21Entonces todo tu pueblo será justo

y poseerá la tierra para siempre.

Serán el retoño plantado por mí mismo,

la obra maestra que me glorificará.

22El más débil se multiplicará por miles,

y el menor llegará a ser una nación poderosa.

Yo soy el Señor;

cuando llegue el momento, actuaré sin demora».