Isaya 59 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 59:1-21

Dhambi, Toba Na Ukombozi

159:1 Hes 11:23; Isa 50:2; 30:19; 41:20; 58:9; 65:24Hakika mkono wa Bwana si mfupi hata usiweze kuokoa,

wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia.

259:2 Za 18:41; Yn 9:31; Yer 11:11; Isa 58:4; Eze 39:23; Yer 5:25Lakini maovu yenu yamewatenga

ninyi na Mungu wenu,

dhambi zenu zimewaficha ninyi uso wake,

ili asisikie.

359:3 2Fal 21:16; Eze 22:9; Rum 3:15; Isa 1:15; Za 7:3; Isa 3:8Kwa maana mikono yenu imetiwa mawaa kwa damu

na vidole vyenu kwa hatia.

Midomo yenu imenena uongo,

nazo ndimi zenu zimenongʼona mambo maovu.

459:4 Za 7:14; Yak 1:15; Isa 5:23; Ay 15:31; Isa 44:20; 29:20; Ay 4:8Hakuna hata mmoja anayedai kwa haki;

hakuna hata mmoja anayetetea shauri lake kwa haki.

Wanategemea mabishano matupu na kusema uongo,

huchukua mimba ya magomvi na kuzaa uovu.

559:5 Ay 8:14; Mt 3:7; Isa 11:8Huangua mayai ya nyoka wenye sumu kali

na kutanda wavu wa buibui.

Yeyote alaye mayai yao atakufa,

na wakati moja lianguliwapo, nyoka hutoka humo.

659:6 Isa 28:20; Mit 4:17; Za 55:9; Isa 58:4Utando wao wa buibui haufai kwa nguo;

hawawezi kujifunika kwa kile walichokitengeneza.

Matendo yao ni matendo maovu,

vitendo vya jeuri vipo mikononi mwao.

759:7 2Fal 21:16; Mik 3:10; Mit 6:17; Rum 3:15-17; Mk 7:21-22Miguu yao hukimbilia kwenye dhambi,

ni myepesi kumwaga damu isiyo na hatia.

Mawazo yao ni mawazo maovu;

uharibifu na maangamizi huonekana katika njia zao.

859:8 Mit 2:15; Isa 57:21; Lk 1:79; Amu 5:6; Rum 3:15-17Hawajui njia ya amani,

hakuna haki katika mapito yao.

Wameyageuza kuwa njia za upotovu,

hakuna apitaye njia hizo atakayeifahamu amani.

959:9 Yer 8:15; Ay 19:8; Za 107:14; Isa 5:30; 8:20; Lk 1:79Hivyo uadilifu uko mbali nasi,

nayo haki haitufikii.

Tunatazamia nuru, kumbe! Yote ni giza,

tunatazamia mwanga, lakini tunatembea katika giza kuu.

1059:10 Mao 4:14; Sef 1:17; Ay 3:23; Yn 11:10; Kum 28:29; Isa 6:9-10; Mao 3:6Tunapapasa ukuta kama kipofu,

tunapapasa katika njia zetu kama watu wasio na macho.

Adhuhuri tunajikwaa kama wakati wa gizagiza;

katikati ya wenye nguvu, tuko kama wafu.

1159:11 Eze 7:16Wote tunanguruma kama dubu;

tunalia kwa maombolezo kama hua.

Tunatafuta haki, kumbe hakuna kabisa;

tunatafuta wokovu, lakini uko mbali.

1259:12 Ezr 9:6; Yer 2:19; Mwa 4:7; Isa 57; 12; 3:9; Yer 51:3Kwa sababu makosa yetu ni mengi machoni pako,

na dhambi zetu zinashuhudia dhidi yetu.

Makosa yetu yako pamoja nasi daima,

nasi tunayatambua maovu yetu:

1359:13 Hes 11:20; Za 12:5; Mt 12:34; Mk 7:21-22; Mit 30; 9; Tit 1:16; Isa 48:8Uasi na udanganyifu dhidi ya Bwana,

kumgeuzia Mungu wetu kisogo,

tukichochea udhalimu na maasi,

tukinena uongo ambao mioyo yetu imeuhifadhi.

1459:14 Neh 8:1; Isa 48:1; Yer 33:16; Isa 29:21; 1:21Hivyo uadilifu umerudishwa nyuma,

nayo haki inasimama mbali,

kweli imejikwaa njiani,

uaminifu hauwezi kuingia.

1559:15 Yer 7:28; Dan 8:12; Isa 5:7Kweli haipatikani popote,

na yeyote aepukaye uovu huwa mawindo.

Bwana alitazama naye akachukizwa

kwamba hapakuwepo haki.

1659:16 Isa 41:28; 65:3; Za 98:1; Isa 53:12; 46:13Aliona kuwa hakuwepo hata mtu mmoja,

akashangaa kwamba hakuwepo hata mmoja wa kuingilia kati;

hivyo mkono wake mwenyewe

ndio uliomfanyia wokovu,

nayo haki yake mwenyewe

ndiyo iliyomtegemeza.

1759:17 Efe 6:14; 1The 5:8; Ay 27:6; Eze 5:13; Efe 6:17; Isa 63:3Alivaa haki kama dirii kifuani mwake,

na chapeo ya wokovu kichwani mwake,

alivaa mavazi ya kisasi

naye akajifunga wivu kama joho.

1859:18 Hes 10:35; Isa 34:8; Mt 16:27Kulingana na kile walichokuwa wametenda,

ndivyo atakavyolipa

ghadhabu kwa watesi wake

na kisasi kwa adui zake,

atavilipa visiwa sawa na wanavyostahili.

1959:19 Isa 49:12; Za 113:3; Ufu 12:15; Mt 8:11; Za 97:6Kuanzia magharibi, watu wataliogopa jina la Bwana

na kuanzia mawio ya jua, watauheshimu utukufu wake.

Wakati adui atakapokuja kama mafuriko,

Roho wa Bwana atainua kiwango dhidi yake na kumshinda.

2059:20 Yer 35:15; Mdo 2:38-39; Rum 11:26; Ay 19:25; Isa 52:8; Yoe 3:21; Yer 35:15“Mkombozi atakuja Sayuni,

kwa wale wa Yakobo

wanaozitubu dhambi zao,”

asema Bwana.

2159:21 Isa 44:3; Ebr 8:10; Eze 36:37; Mwa 9:16; Kum 29:14; Isa 42:6; Kut 4:15“Kwa habari yangu mimi, hili ndilo agano langu nao,” asema Bwana. “Roho wangu, aliye juu yenu, na maneno yangu ambayo nimeyaweka katika vinywa vyenu, havitaondoka vinywani mwenu, wala kutoka vinywani mwa watoto wenu, wala kutoka vinywani mwa wazao wao, kuanzia sasa na hata milele,” asema Bwana.

Korean Living Bible

이사야 59:1-21

죄와 고백과 구원

1여호와께서 능력이 부족하여 너희를 구원하지 못하는 것이 아니며 귀가 둔하여 너희 부르짖는 소리를 듣지 못하는 것이 아니다.

2너희 죄가 너희를 하나님과 분리시켜 놓았기 때문에 그가 너희를 외면하고 너희 부르짖음에 귀를 기울이시지 않는 것이다.

3너희 손은 피로 물들었고 너희 손가락은 죄로 더러워졌으며 너희 입술은 거짓을 말하고 너희 혀는 악한 것을 내뱉고 있다.

4또 공정하고 정당한 방법으로 소송하는 자가 없으며 거짓말하고 악한 음모를 꾸며 상대방을 해치고 있다.

5-6너희가 꾸미는 악한 음모는 독사의 알 처럼 치명적이다. 그 알을 밟아 보아라. 거기서 독사가 나올 것이다. 거미줄로 옷을 짤 수 없듯이 너희 악한 행위와 계획은 아무 쓸모가 없을 것이다.

7너희가 항상 악한 것을 계획하여 그것을 신속히 행하며 죄 없는 사람을 살해하는 데 주저하지 않으니 너희가 가는 곳마다 황폐와 파멸이 뒤따를 것이다.

8너희는 참된 평안이 무엇인지 모르며 정의와 진리가 무엇을 뜻하는지도 알지 못하고 계속 잘못된 길을 가고 있다. 그러므로 너희를 따르는 자들은 결코 평안을 누리지 못할 것이다.

959:9 암시됨.백성들이 말한다. “이제야 우리는 하나님이 우리를 괴롭히는 자에게서 구원하시지 않는 이유를 알 것 같다. 우리가 빛을 기대하지만 어두움뿐이구나.

10그래서 우리가 소경처럼 더듬고 다니며 대낮에도 캄캄한 밤처럼 넘어지니 건장한 사람 가운데 있으면서도 우리가 죽은 자같이 되었다.

11우리가 곰처럼 부르짖고 비둘기처럼 슬피 울며 하나님이 우리를 구해 주시기를 바라나 아무 일도 일어나지 않고 있다.

12“여호와여, 주 앞에 우리의 허물이 많습니다. 우리 죄가 우리에게 대하여 증거하니 우리가 주께 범죄한 것을 인정합니다.

13우리는 주를 배반하고 거역하였으며 주를 따르기를 거절하였습니다. 우리가 다른 사람들을 괴롭히고 악한 것을 생각하며 거짓말을 하였습니다.

14그래서 우리 주변에는 공정과 정의와 진실과 정직이 사라졌습니다.

15이처럼 어느 곳에서도 진실을 찾아볼 수 없게 되었으므로 악을 피하는 자들이 오히려 희생되고 있습니다.” 여호와께서는 이것을 보시고 정의가 없는 것을 기뻐하지 않으시며

16자기 백성을 도와줄 사람이 없는 것을 보시고 놀라셨다. 그러므로 그가 직접 자기 능력과 의로 그들을 구하실 것이다.

17그가 의를 갑옷처럼 입으시고 구원의 투구를 쓰시며 복수와 59:17 또는 ‘열심의’의분의 옷을 입으실 것이다. 그가 자기 원수들에게 분노하셔서

18그들이 행한 대로 갚아 주실 것이며 먼 땅에 사는 대적들에게 보복하실 것이다.

19여호와께서 세차게 흐르는 강물과 강한 바람처럼 오실 것이므로 동서 사방에 있는 모든 사람들이 그의 이름과 위대한 능력을 두려워할 것이다.

20여호와께서 말씀하신다. “구원자가 시온에 올 것이니 이스라엘 백성 가운데 죄를 떠나는 사람들에게 찾아올 것이다.

21그리고 내가 그들과 맺는 계약은 이것이다. ‘내가 너희에게 준 내 성령과 말이 너희와 너희 후손들의 입에서 영원히 떠나지 않을 것이다.’ 이것은 나 여호와의 말이다.”