Isaya 56 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 56:1-12

Wokovu Kwa Ajili Ya Wengine

156:1 Yer 22:3; Rum 13:11; Za 85:9; Dan 9:24; Yer 23:6; Isa 26:8Hili ndilo asemalo Bwana:

“Dumisheni haki

na mkatende lile lililo sawa,

kwa maana wokovu wangu u karibu

na haki yangu itafunuliwa upesi.

256:2 Kut 20:8-10; Isa 58:3; Za 119:2Amebarikiwa mtu yule atendaye hili,

mtu yule alishikaye kwa uthabiti,

yeye ashikaye Sabato bila kuinajisi,

auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.”

356:3 Law 21:20; Mdo 8:27; Kut 12:43; 1Fal 8:41; Zek 8:20-23; Yer 38:7; Kum 23:3Usimwache mgeni aambatanaye na Bwana aseme,

“Hakika Bwana atanitenga na watu wake.”

Usimwache towashi yeyote alalamike akisema,

“Mimi ni mti mkavu tu.”

456:4 Yer 38:7; Kut 31:13Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa matowashi washikao Sabato zangu,

ambao huchagua kile kinachonipendeza

na kulishika sana agano langu:

556:5 1Tim 5:13; Isa 60:18; 48:19; 55:13; Ufu 3:12; Hes 32:42; 1Sam 15:12; Isa 47:3hao nitawapa ndani ya Hekalu langu na kuta zake

kumbukumbu na jina bora

kuliko kuwa na watoto wa kiume na wa kike:

nitawapa jina lidumulo milele,

ambalo halitakatiliwa mbali.

656:6 1Nya 22:2; Isa 61:5; Kut 12:43; 1Fal 8:41; Isa 60:7-10Wageni wanaoambatana na Bwana

ili kumtumikia,

kulipenda jina la Bwana,

na kumwabudu yeye,

wote washikao Sabato bila kuinajisi

na ambao hushika sana agano langu:

756:7 Eze 20:40; Rum 12:1; Isa 19:21; Flp 4:18; Mt 21:13; Mk 11:17; Isa 19:21; Lk 19:46hawa nitawaleta kwenye mlima wangu mtakatifu

na kuwapa furaha ndani ya nyumba yangu ya sala.

Sadaka zao za kuteketeza na dhabihu zao

zitakubalika juu ya madhabahu yangu;

kwa maana nyumba yangu itaitwa

nyumba ya sala kwa mataifa yote.”

856:8 Eze 34:12; Yn 10:16; Efe 1:10; Kum 30:4; Isa 11:12; 60:3-11Bwana Mwenyezi asema, yeye awakusanyaye

Waisraeli waliohamishwa:

“Bado nitawakusanya wengine kwao

zaidi ya hao ambao wamekusanywa tayari.”

Mashtaka Ya Mungu Dhidi Ya Waovu

956:9 Yer 12:9; Eze 34:5-8; Isa 18:6; Eze 39:17-20Njooni, enyi wanyama wote wa kondeni,

njooni mle, ninyi wanyama wote wa mwituni!

1056:10 Mt 15:14; Eze 3:17; Nah 3:18; Isa 52:8; 62:6; Yer 6:17; 31:6; 14:13-14Walinzi wa Israeli ni vipofu,

wote wamepungukiwa na maarifa;

wote ni mbwa walio bubu,

hawawezi kubweka;

hulala na kuota ndoto,

hupenda kulala.

1156:11 Yer 23:1; 8:10; Eze 34:2; Mik 3:11; Isa 53:6; Hos 4:7-8; Isa 57:17Ni mbwa wenye tamaa kubwa,

kamwe hawatosheki.

Wao ni wachungaji waliopungukiwa na ufahamu;

wote wamegeukia njia yao wenyewe,

kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.

1256:12 Za 10:6; Lk 12:18-19; Law 10:9; Mit 23:20; Isa 42:25Kila mmoja hulia, “Njooni, tupate mvinyo!

Tunywe kileo sana!

Kesho itakuwa kama leo,

au hata bora zaidi.”

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 56:1-12

56

人々の救い

1神である主はこう命じます。

「正義を守り、すべての人に公正であれ。

正しいことを行いなさい。

もうすぐ、あなたを救い出しに行くからだ。

2わたしの安息日には仕事をせず、

この日を守る人は幸いだ。

きびしく自戒して、

悪いことをしない人は幸いだ。

3わたしの祝福は、主を信じる外国人にも及ぶ。

彼らに、『主は私たちを劣った者とする』

と考えさせてはならない。

宦官(宮廷につかえる去勢男子)の場合も同じだ。

ほかの人同様、彼らも完全にわたしのものとなれる。

4安息日をきよい心で守り、わたしの喜ぶことを進んで行い、わたしの教えを守る宦官に、こう約束する。 5わたしの家とわたしの城壁のうちで、息子や娘を持つことにまさる名を彼らに与える。わたしが与える名はいつまでも価値のあるもので、決してすたれることはない。 6また、神の民の仲間入りをしてわたしに仕え、わたしの名を愛し、わたしのしもべとなって安息日をきよく守り、わたしの契約を受け入れた外国人には、次のように約束する。 7わたしは彼らをエルサレムにあるわたしの聖なる山へ連れて行き、わたしの祈りの家で喜ばせる。わたしは彼らのいけにえや供え物を受け入れる。わたしの神殿は『すべての民の祈りの家』と呼ばれるからだ。」 8追放されたイスラエルの民を呼び戻す主は、その民イスラエル以外の者たちも集めると告げます。

邪悪な者に対する神の叱責

9「野の獣よ、来て羊を裂き殺せ。

森の獣よ、来て、わたしの民の骨まで食らえ。

10わたしの立てた見張りであり羊飼いである

イスラエルの指導者は、みな目が見えないので、

危険に気づかない。

みな愚かで、危険が近づいても警告しない。

寝ころんで夢を見るのが大好きだ。

11彼らは貪欲な犬で、満足することを知らない。

自分の利益だけを追い求める愚かな羊飼いで、

めぼしいところから、

できるだけ多くもうけてやろうと目を光らせている。

12彼らはこう言った。

『さあ、酒を手に入れ、宴会を開こう。

みんなで酔っ払うのだ。

これこそ生きがいというものだ。

さあ、浴びるほど飲もう。

明日は今日よりもっとすばらしいことが

あるかもしれない。』」