Isaya 53 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 53:1-12

153:1 Isa 28:9; Yn 12:38; Rum 10:16; Za 98:1; Isa 30:30Ni nani aliyeamini ujumbe wetu,

na mkono wa Bwana umefunuliwa kwa nani?

253:2 Mk 9:12; Isa 52:14; 2Fal 19:26; Ay 14:7; Isa 4:2; 11:10Alikua mbele yake kama mche mwororo

na kama mzizi katika nchi kavu.

Hakuwa na uzuri wala utukufu wa kutuvutia kwake,

hakuwa na chochote katika sura yake cha kutufanya tumtamani.

353:3 Ebr 4:15; Mt 16:21; 27:29; 1Sam 2:30; Za 69:29; Kut 1:10; Lk 18:31-33Alidharauliwa na kukataliwa na wanadamu,

mtu wa huzuni nyingi, ajuaye mateso.

Kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao,

alidharauliwa, wala hatukumhesabu kuwa kitu.

453:4 Mt 8:17; Zek 13:7; Yn 19:7; Kum 5:24; Ay 4:5; Yer 23:5-6; Eze 34:23-24; Mik 5:2Hakika alichukua udhaifu wetu

na akajitwika huzuni zetu,

hata hivyo tulidhania kuwa amepigwa na Mungu,

akapigwa sana naye, na kuteswa.

553:5 Kum 32:39; Yn 3:17; 1Pet 2:24-25; 2Nya 7:14; Rum 4:25; 1Kor 15:3; Ebr 9:8; Kut 28:38Lakini alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu,

alichubuliwa kwa ajili ya maovu yetu;

adhabu iliyotuletea sisi amani ilikuwa juu yake,

na kwa majeraha yake sisi tumepona.

653:6 Za 119:176; 1Pet 2:25Sisi sote, kama kondoo, tumepotea,

kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe,

naye Bwana aliweka juu yake

maovu yetu sisi sote.

753:7 Mdo 8:32; Mk 14:61; 1Pet 2:23; Isa 49:26; Mt 27:31; Yn 1:29; Za 44:22Alionewa na kuteswa,

hata hivyo hakufungua kinywa chake;

aliongozwa kama mwana-kondoo

apelekwaye machinjoni,

kama vile kondoo anyamazavyo mbele ya wao wamkataye manyoya,

hivyo hakufungua kinywa chake.

853:8 Za 88:5; Dan 9:26; Mdo 8:32-33; Za 39:8; Mk 14:49Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa.

Nani awezaye kueleza kuhusu kizazi chake?

Kwa maana alikatiliwa mbali na nchi ya walio hai,

alipigwa kwa ajili ya makosa ya watu wangu.

953:9 Mk 15:43-46; Lk 23:50-53; Isa 42:1-3; Ay 16:17; Ufu 14:5; Yn 19:19, 38-41Wakamfanyia kaburi pamoja na waovu,

pamoja na matajiri katika kifo chake,

ingawa hakutenda jeuri,

wala hapakuwa na hila kinywani mwake.

1053:10 2Kor 5:21; Mwa 12:17; Za 22:30; Mdo 2:23; Isa 46:10; Law 5:15; Yn 3:17Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Bwana

kumchubua na kumsababisha ateseke.

Ingawa Bwana amefanya maisha yake

kuwa sadaka ya hatia,

ataona uzao wake na kuishi siku nyingi,

nayo mapenzi ya Bwana yatafanikiwa mkononi mwake.

1153:11 Yn 10:14-18; Rum 5:18-19; Ay 33:30; Isa 20:3; Mdo 7:52; Yn 1:29; Rum 4:24; Mdo 10:43Baada ya maumivu ya nafsi yake,

ataona nuru ya uzima na kuridhika;

kwa maarifa yake, mtumishi wangu mwenye haki

atawafanya wengi kuwa wenye haki,

naye atayachukua maovu yao.

1253:12 Flp 2:9; Mt 26:28, 38; 27:38; Lk 23:34; Kut 15:9; Za 119:162; Ebr 9:28; Isa 59:19; Rum 8:34; Mk 15:27; Lk 22:37Kwa hiyo nitamgawia sehemu miongoni mwa wakuu,

naye atagawana nyara pamoja na wenye nguvu,

kwa sababu aliyamimina maisha yake hadi mauti,

naye alihesabiwa pamoja na wakosaji.

Kwa kuwa alichukua dhambi za wengi,

na kuwaombea wakosaji.

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 53:1-12

53

1しかし、それを信じる人は

なんと少ないことでしょう。

だれが、耳をすまして聞くでしょう。

神はだれに、救いの力を示すのでしょう。

2主の目には、彼は不毛の地に芽を吹いた

柔らかな新芽のようで、

私たちの目には、

心引かれるものは何一つなく、

慕うようなものもありません。

3私たちは彼をさげすみ、受け入れませんでした。

彼は悲しみの人で、

苦しみをなめ尽くした人でした。

私たちは彼に背を向け、

そばを通っても顔をそらしました。

彼が侮られても、そ知らぬふりをしていました。

4しかし、彼は私たちの悲しみを負い、

私たちの嘆きをにないました。

私たちは、彼がそんなに苦しむのは、罪を犯して

神に罰せられているからだと思いました。

5しかし、私たちの罪のために傷つき、

血を流したのです。

彼は私たちに平安を与えようとして、

進んで懲らしめを受けました。

彼がむち打たれたので、私たちはいやされました。

6私たちは神の道を離れ、

羊のようにさまよい出て、

自分勝手な道を歩いてきました。

しかし神は、私たち一人一人の罪を

彼に負わせたのです。

7彼は痛めつけられ、苦しみ悩みました。

それでも、ひと言も語りませんでした。

子羊のようにおとなしくほふり場へ引いて行かれ、

毛を刈り取られる羊のように、

非難を浴びせる者たちの前に黙って立ちました。

8人々は彼を裁判にかけ、刑場へ引き立てました。

はたして、彼が死ぬのは自分たちの罪のためであり、

身代わりに罰を受けて苦しんでいることを

知っていた者が、その時代にいたでしょうか。

9彼は罪人扱いを受け、富む者の墓に葬られました。

悪いことをしたわけでもなく、

悪いことばを口にしたわけでもありません。

10彼を傷つけ、悲しみで満たすのは、

主の計画だったのです。

罪の赦しのためのささげ物として、

そのたましいをささげるとき、

彼は多くの子孫を見ることができます。

彼は復活し、

神の計画は彼の手によって成し遂げられます。

11彼は、自分のたましいが苦しみもだえた末、

神のみわざが実現するのを見て、満足します。

「わたしの正しいしもべは、

このような苦しみを経験して、

多くの人を神の前に義とする。

彼が人々の罪をすべてになうからだ。

12それゆえ、わたしは 彼に、

偉大な勝利者としての栄誉を与える。

彼は進んでいのちをささげたのだ。

彼は罪人の一人に数えられ、多くの人の罪を負い、

罪人のために神にとりなしをした。」