Miungu Ya Babeli
146:1 Yer 51:44; Isa 45:20; 21:9; Yer 50:2Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama;
sanamu zao zabebwa na wanyama wa mizigo.
Vinyago hivi mnavyobeba kila mahali ni mzigo wa kulemea,
mzigo kwa waliochoka.
246:2 2Sam 5:21; Yer 51:47; Amu 18:17-18Vinyago pamoja na wale wanaovibeba wanainama chini;
hiyo miungu haiwezi kuwaokoa watu,
wote wanakwenda utumwani pamoja.
346:3 Isa 48:12; Kut 19:14; Isa 44:2; Kum 1:31; Za 28:9; 22:10“Nisikilizeni mimi, ee nyumba ya Yakobo,
ninyi nyote mliobaki wa nyumba ya Israeli,
ninyi ambao nimewategemeza tangu mlipotungwa mimba,
nami nimewabeba tangu kuzaliwa kwenu.
446:4 Mal 3:6; Za 71:18; Isa 43:13; Kum 32:39; Za 18:35; 119:117Hata mpaka wakati wa uzee wenu na mvi, Mimi ndiye,
Mimi ndiye nitakayewasaidia ninyi.
Nimewahuluku, nami nitawabeba,
nitawasaidia ninyi na kuwaokoa.
546:5 Kut 15:11; Ay 41:10; Isa 40:18, 25; Yer 49:19“Mtanilinganisha na nani, au mtanihesabu kuwa sawa na nani?
Ni nani mtakayenifananisha naye ili tuweze kulinganishwa?
646:6 Kut 20:5; Hos 13:2; Isa 40:19; 44:17Wengine humwaga dhahabu kutoka kwenye mifuko yao,
na kupima fedha kwenye mizani;
huajiri mfua dhahabu kutengeneza mungu,
kisha huisujudia na kuiabudu.
746:7 1Sam 5:3; Isa 41:7; 1Fal 16:26Huiinua mabegani na kuichukua;
huiweka mahali pake, papo hapo ndipo isimamapo.
Wala haiwezi kusogea kutoka mahali pale.
Ingawa mtu huililia, haimjibu;
haiwezi kumwokoa kwenye taabu zake.
846:8 Isa 44:21; 1:2“Kumbukeni hili, litieni akilini,
liwekeni moyoni, enyi waasi.
946:9 Kum 8:10; Kut 8:10; Mk 12:32; Isa 41:22; 45:21Kumbukeni mambo yaliyopita, yale ya zamani za kale;
mimi ndimi Mungu, wala hakuna mwingine;
mimi ndimi Mungu,
wala hakuna mwingine aliye kama mimi.
1046:10 Mit 19:21; Efe 1:11; Mdo 5:39; Isa 45:21; 41:22; 7:7-9; 44:26Ni mimi nitangazaye mwisho tangu mwanzo,
naam, tangu zamani za kale,
mambo ambayo hayajatendeka.
Ninasema: Kusudi langu ndilo litakalosimama,
nami nitatenda mapenzi yangu yote.
1146:11 Mwa 41:25; Yer 44:28; Amu 4:10; Ezr 1:2; Isa 8:5Kutoka mashariki ninaita ndege awindaye;
kutoka nchi ya mbali,
mtu atakayetimiza kusudi langu.
Lile ambalo nimelisema, ndilo nitakalolitimiza;
lile nililolipanga, ndilo nitakalolitenda.
1246:12 Yer 2:5; Za 119:150; Rum 10:3; Kut 32:9; Isa 9:9Nisikilizeni, ninyi wenye mioyo migumu,
ninyi mlio mbali na haki.
1346:13 Isa 24:23; Mdo 13:36; Rum 1:17; Isa 1:26; 45:8; Rum 3:21; Yoe 2:32Ninaleta haki yangu karibu,
haiko mbali;
wala wokovu wangu hautachelewa.
Nitawapa Sayuni wokovu,
Israeli utukufu wangu.
Los dioses de Babilonia
1Bel se inclina, Nebo se somete;
sus ídolos son llevados por bestias de carga.46:1 son … carga. Alt. no son más que bestias y ganados.
Pesadas son las imágenes que por todas partes llevan;
son una carga para el agotado.
2Todos a la vez se someten y se inclinan;
no pudieron rescatar la carga
y ellos mismos van al cautiverio.
3«Escúchenme, descendientes de Jacob,
todo el resto del pueblo de Israel,
a quienes he cargado desde el vientre
y he llevado desde la cuna.
4Aun en la vejez, cuando ya peinen canas,
yo seré el mismo, yo los sostendré.
Yo los hice y cuidaré de ustedes;
los sostendré y los libraré.
5»¿Con quién vas a compararme o a quién me vas a igualar?
¿A quién vas a asemejarme para que seamos parecidos?
6Algunos derrochan oro de sus bolsas
y pesan plata en la balanza;
contratan a un joyero para que les haga un dios
y ante ese dios se postran para adorarlo.
7Lo levantan en hombros y lo cargan;
lo ponen en su lugar y allí se queda.
No se puede mover de su sitio.
Por más que clamen a él, no habrá de responderles
ni podrá salvarlos de sus aflicciones.
8»Recuerden esto, rebeldes;
piénsenlo bien, fíjenlo en su corazón.
9Recuerden las cosas pasadas, aquellas de antaño;
yo soy Dios y no hay ningún otro,
yo soy Dios y no hay nadie igual a mí.
10Yo anuncio el fin desde el principio;
desde los tiempos antiguos, lo que está por venir.
Yo digo: Mi propósito se cumplirá,
y haré todo lo que deseo.
11Del oriente llamo al ave de rapiña;
de tierra distante, al hombre que cumplirá mi propósito.
Lo que he dicho, haré que se cumpla;
lo que he planeado, lo realizaré.
12Escúchenme ustedes, gente de corazón duro,
que están lejos de la justicia.
13Mi justicia no está lejana;
mi salvación ya no tarda.
¡Estoy por traerlas!
Concederé salvación a Sión
y mi esplendor a Israel.