Isaya 44 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 44:1-28

Israeli Aliyechaguliwa

144:1 Yer 30:10; Isa 41:8-10; Mwa 16:11; Isa 14:1“Lakini sasa sikiliza, ee Yakobo, mtumishi wangu,

Israeli, niliyemchagua.

244:2 Hes 23:21; Kum 32:15; Za 149:2; 139:13; Isa 41:10; Yer 30:10; 46:27Hili ndilo asemalo Bwana,

yeye aliyekuhuluku, aliyekuumba tumboni,

yeye atakayekusaidia:

Usiogope, ee Yakobo, mtumishi wangu,

Yeshuruni,44:2 Yeshuruni hapa maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia Kum 32:15). niliyekuchagua.

344:3 Yn 4:10; Yoe 3:18; Isa 65:23; Yoe 2:28; Yn 7:37-39; Mit 9:5; Eze 36:27Kwa maana nitamimina maji juu ya nchi yenye kiu,

na vijito vya maji juu ya ardhi iliyokauka;

nitamimina Roho wangu juu ya watoto wako,

nayo baraka yangu juu ya wazao wako.

444:4 Law 23:40; Ay 40:22; 5:25; Za 72:16Nao watachipua kama manyasi katika shamba la majani,

kama mierezi kando ya vijito vya maji yatiririkayo.

544:5 Kut 13:9; Neh 9:38; Zek 13:9; 14:16; 8:20-22; Yer 50:5Mmoja atasema, ‘Mimi ni wa Bwana’;

mwingine atajiita kwa jina la Yakobo;

vilevile mwingine ataandika juu ya mkono wake, ‘Wa Bwana,’

na kujiita kwa jina la Israeli.

Ni Bwana, Siyo Sanamu

644:6 Ay 19:25; Isa 41:4; Ufu 22:13; Isa 43:10; 1Nya 17:20“Hili ndilo asemalo Bwana,

Mfalme wa Israeli na Mkombozi,

Bwana Mwenye Nguvu Zote:

Mimi ni wa kwanza na Mimi ni wa mwisho;

zaidi yangu hakuna Mungu.

744:7 Kum 32:39; Isa 41:22-26Ni nani basi aliye kama mimi? Yeye na atangaze.

Yeye atangaze na kuweka mbele yangu

ni kitu gani kilichotokea tangu nilipoumba watu wangu wa kale,

tena ni nini kitakachotokea:

naam, yeye na atoe unabii ni nini kitakachokuja.

844:8 Isa 43:10; Mwa 49:24; Kum 4:35; Isa 42:9Msitetemeke, msiogope.

Je, sikutangaza hili, na kutoa unabii tangu zamani?

Ninyi ni mashahidi wangu.

Je, yuko Mungu zaidi yangu mimi?

Hasha, hakuna Mwamba mwingine;

mimi simjui mwingine.”

944:9 Isa 41:24; Kum 4:28; Kut 20:4; Law 19:4; Isa 40:19; 1:29; Yer 22:22Wote wachongao sanamu ni ubatili,

navyo vitu wanavyovithamini havifai kitu.

Wale ambao wanazitetea ni vipofu,

ni wajinga, nao waaibika.

1044:10 Yer 10:5; Mdo 19:24; Isa 41:29Ni nani atengenezaye mungu na kusubu sanamu,

ambayo haiwezi kumfaidia kitu chochote?

1144:11 2Fal 19:18; Isa 42:17; 37:19; 1:29Yeye pamoja na wenziwe wa aina yake wataaibishwa,

mafundi wao si kitu ila ni wanadamu tu.

Wote wakusanyike pamoja na kuwa na msimamo wao,

watashushwa chini kwa hofu na kwa fedheha.

1244:12 Isa 40:19; 54:16; Yer 10:3-5; Mdo 17:29; Isa 41:6-7; 40:28Muhunzi huchukua kifaa

na kukifanyia kazi kwenye makaa ya moto,

hutengeneza sanamu kwa nyundo,

huifanyiza kwa nguvu za mkono wake.

Huona njaa na kupoteza nguvu zake,

asipokunywa maji huzimia.

1344:13 Isa 41:7; Za 115:4-7; Amu 17:4-5Seremala hupima kwa kutumia kamba

na huuchora mstari kwa kalamu;

huchonga kwa patasi

na kutia alama kwa bikari.

Huifanyiza katika umbo la binadamu,

la mwanadamu katika utukufu wake wote,

ili iweze kukaa katika sehemu yake ya ibada ya miungu.

1444:14 Isa 41; 19Hukata miti ya mierezi,

huchukua mtiriza au mwaloni.

Huuacha ukue miongoni mwa miti ya msituni,

au hupanda msunobari, nayo mvua huufanya ukue.

1544:15 Ufu 9:20; 2Nya 25:14Ni kuni ya binadamu:

yeye huchukua baadhi yake na kuota moto,

huwasha moto na kuoka mkate.

Lakini pia huutumia kumtengeneza mungu na akamwabudu,

huitengeneza sanamu na kuisujudia.

1644:16 Isa 47:14Sehemu ya kuni huziweka motoni,

akapikia chakula chake,

hubanika nyama na kula hadi ashibe.

Huota moto na kusema,

“Aha! Ninahisi joto, ninaona moto.”

1744:17 1Fal 18:26; Amu 10:14; Isa 47:15; Kut 20:5; Isa 45:20; 46:7Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake;

yeye huisujudia na kuiabudu.

Huiomba na kusema,

“Niokoe; wewe ni mungu wangu.”

1844:18 Isa 16:12; Yer 4:22; Isa 29:10; Rum 11:8-10; Isa 6:9-10; Yer 10:8, 14-15Hawajui chochote, hawaelewi chochote,

macho yao yamefungwa hata hawawezi kuona,

akili zao zimefungwa hata hawawezi kufahamu.

1944:19 Isa 45:20; Kum 27:15; Isa 5:13; 27:11; 40:20Hakuna anayefikiri,

hakuna mwenye maarifa wala ufahamu wa kusema,

“Sehemu yake nilitumia kwa kuni;

hata pia nilioka mkate juu ya makaa yake,

nikabanika nyama na kuila.

Je, nifanye machukizo kwa kile kilichobaki?

Je, nisujudie gogo la mti?”

2044:20 Hos 4:12; Ay 15:31; 2Tim 3:13; Rum 1:25; Za 102; 9; 2The 2:11; Kum 4:28Hujilisha kwa majivu, moyo uliodanganyika humpotosha;

hawezi kujiokoa mwenyewe, au kusema,

“Je, kitu hiki kilichoko katika mkono wangu wa kuume si ni uongo?”

2144:21 Isa 46:8; Zek 10:9; Za 27:10; Yer 31:20; Isa 49:15; 27:11“Ee Yakobo, kumbuka mambo haya,

ee Israeli, kwa kuwa wewe ni mtumishi wangu.

Nimekuumba wewe, wewe ni mtumishi wangu.

Ee Israeli, sitakusahau.

2244:22 2Nya 6:21; Mdo 3:19; Mt 20:28; Mal 3:7; 2Sam 12:13; Ay 22:23; 1Kor 6:20Nimeyafuta makosa yako kama wingu,

dhambi zako kama ukungu wa asubuhi.

Nirudie mimi,

kwa kuwa nimekukomboa wewe.”

2344:23 Za 98:4; Isa 42:10; Za 98:8; Yer 30:19; Isa 12:6; 1Nya 16:31; Za 65:13; Kut 16:7Enyi mbingu, imbeni kwa furaha,

kwa maana Bwana amefanya jambo hili.

Ee vilindi vya dunia, piga kelele.

Enyi milima, pazeni sauti kwa nyimbo,

enyi misitu na miti yenu yote,

kwa maana Bwana amemkomboa Yakobo,

ameuonyesha utukufu wake katika Israeli.

Yerusalemu Kukaliwa

2444:24 Ay 19:25; Isa 43:15; 42:5; Za 139:13“Hili ndilo asemalo Bwana,

Mkombozi wako, aliyekuumba tumboni:

“Mimi ni Bwana,

niliyeumba vitu vyote,

niliyezitanda mbingu peke yangu,

niliyeitandaza nchi mwenyewe,

2544:25 Law 19:26; Ay 5:13; 2Sam 15:31; 1Kor 1:19-20, 27; Za 33:10; 1Sam 6:2; Isa 47:13“mimi huzipinga ishara za manabii wa uongo,

na kuwatia upumbavu waaguzi,

niyapinduaye maarifa ya wenye hekima,

na kuyafanya kuwa upuzi,

2644:26 Zek 1:6; Isa 59:21; Mt 5:18; Ezr 9:9; Isa 46:10; Yer 23:20; 39:16niyathibitishaye maneno ya watumishi wake,

na kutimiza utabiri wa wajumbe wake,

“niambiaye Yerusalemu, ‘Itakaliwa na watu,’

niambiaye miji ya Yuda kuwa, ‘Itajengwa,’

na kuhusu magofu yake, ‘Mimi nitayatengeneza,’

2744:27 Isa 11:15; 19:5; Ufu 16:12niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,

nami nitakausha vijito vyako,’

2844:28 2Nya 36:22-23; Ezr 1:2-4; Isa 14:32; 41:2; 28:16; 58:12nisemaye kuhusu Koreshi, ‘Yeye ni mchungaji wangu,

naye atatimiza yote yanipendezayo;

atauambia Yerusalemu, “Ukajengwe tena,”

na kuhusu Hekalu, “Misingi yake na iwekwe.” ’

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 44:1-28

44

選ばれた者、イスラエル

1「わたしのしもべイスラエル、

わたしの選んだ者たちよ。

わたしのことばを聞け。」

2あなたを造り、あなたを助ける主は、

こう告げします。

「わたしのしもべよ、恐れるな。

わたしの選んだエルサレムよ、恐れるな。

3渇いたのどと干上がった地をうるおす水を、

ふんだんに与えよう。

あなたの子どもたちには、

わたしの霊と祝福とを注ごう。

4彼らは、水分を十分に吸った青草や

岸辺の柳のように繁栄する。

5誇らしげに、『私は主のものだ』とか

『私はユダヤ人だ』と言い、

手にわたしの名かイスラエルの名を記す。」

偶像ではなく主を

6イスラエルの王である主、

イスラエルを救う全能の主は、こう言います。

「わたしは初めであり、終わりである。

わたしのほかに神はいない。

7わたし以外にだれが、

これから先何が起こるかを言いあてることができるか。

もしそのような者がいたら、遠慮なく名乗りを上げ、

大きな力があるところを見せてみよ。

わたしが昔からしてきたのと同じことをしてみよ。

8恐れるな。決して恐れるな。

わたしは古くから、あなたを救うと言っていたではないか。

あなたがたはわたしの証人だ。

わたしのほかに神があろうか。断じていない。

わたしのほかに岩はない。」

9偶像を造り、それを神にするとは、なんと浅はかな者でしょう。そんな者たちの希望はむなしい夢にすぎません。見ることも知ることもできない偶像を頼みにしているのですから。そんな偶像を拝む者が恥を見るのは当然です。 10何のも頼りにもならない偶像を作る者は、愚か者と言われてもしかたありません。 11偶像を拝む者はみな、顔を真っ赤にして主の前に立つことでしょう。自分は神を造ったと誇っていた大工も同じです。彼らは共に震えおののきながら主の前に立ちます。

12金属細工師は斧を作るために炉のそばに立ち、焼けた鉄をかなとこの上で力いっぱいたたきます。そのうちのどが渇き、腹がへり、ふらふらになります。 13それから、大工がその斧で偶像を造るのです。木切れの寸法を測り、しるしをつけ、人の形に彫ります。こうして、一歩も歩けないのに見かけは美しい偶像ができ上がります。 14彼は杉を切り、糸杉や樫を選びます。森に月桂樹を植えれば、雨が育ててくれます。 15こうして大きくなった木の一部をたきぎにして暖をとり、またパンを焼きます。その残りはどうするのでしょう。なんと、それで人々が拝む偶像を造るのです。人々は偶像にひれ伏して祈ります。 16その木の一部で体を暖め、肉をあぶって満腹感を味わってから、 17その残り物で神を造るのです。彫って造った偶像を拝み、「私をお救いください。あなたは私の神です」と願うのです。

18こんな愚かなことがあっていいのでしょうか。神は、見えないようにと彼らの目をふさぎ、理解できないようにと心を鈍くしました。 19彼らはよく考えようともしません。「これはただの木片ではないか。同じ木で体を暖め、パンを焼き、肉をあぶった。その残りが神ということがありえるだろうか。木片にひれ伏すなど、ばかげている」と自問自答することもありません。 20人にだまされている哀れな者は灰を食べます。何の助けにもならないものを頼りにしているからです。彼はまともな考え方ができません。「この手に握っている偶像は偽の神ではないか」と自分に問うことができないのです。

21「わたしのしもべイスラエルよ、注意して聞くのだ。

わたしがあなたを造った。

だから、どんなことがあってもあなたを助ける。

22わたしは、あなたの罪をすっかり消した。

それは、昼になると朝もやが消えてなくなるように、

影も形もなくなった。

さあ、わたしのもとに帰って来なさい。

あなたを自由にする代価は支払いずみだ。」

23天よ、喜び歌え。

主がこんなにもすばらしいことを

なさったのだから。

地よ、喜び叫べ。

山々も森も木々も歌声を響かせよ。

主がイスラエルを買い戻し、

あがめられているからです。

エルサレムは人が住むようになる

24あなたを造り、あなたを買い戻した主は、

次のように言います。

「わたしはこの手ですべてのものを造った。

わたしひとりで、天を引き伸ばし、

地とその中にあるすべてのものを造った。

25わたしは、偽預言者の予想をくつがえし、

彼らが大うそつきであることを証明する。

知恵ある者に見当違いの助言をさせ、

愚か者にする。

26しかしわたしは、

わたしの預言者が語ることは必ず実現させる。

彼らが、エルサレムは敵の手から救い出され、

ユダの町々に再び人が住むようになると言うと、

そのとおりになる。

27わたしが川に、『干上がれ』と言うと、水はかれる。

28クロスに向かって、『わたしの羊飼いだ』と言うと、

彼はわたしが言ったとおりのことをする。

こうしてエルサレムは再建され、

神殿は元どおりになる。

わたしがそう言ったからだ。」