Isaya 41 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 41:1-29

Msaidizi Wa Israeli

141:1 Za 37:7; Isa 48:16; 50:8; Hab 2:20; Zek 2:13; Isa 11:11; 1Sam 2:4“Nyamazeni kimya mbele zangu, enyi visiwa!

Mataifa na wafanye upya nguvu zao!

Wao na wajitokeze, kisha waseme,

tukutane pamoja mahali pa hukumu.

241:2 2Sam 22:43; Isa 40:24; Yer 51:11; Ezr 1:2; Isa 44:28; Yer 50:3; 25:9“Ni nani aliyemchochea mmoja kutoka mashariki,

akimwita katika haki kwa utumishi wake?

Huyatia mataifa mikononi mwake,

na kuwatiisha wafalme mbele zake.

Huwafanya kuwa mavumbi kwa upanga wake,

huwafanya makapi yapeperushwayo na upepo kwa upinde wake.

341:3 Dan 8:4Huwafuatia na kuendelea salama,

katika njia ambayo miguu yake haijawahi kupita.

441:4 Isa 48:12; Ufu 22:13; Mdo 15:18; Isa 43:7; Kum 32:29Ni nani aliyefanya jambo hili na kulitimiliza,

akiita vizazi tangu mwanzo?

Mimi, Bwana, ni wa kwanza

nami nitakuwa pamoja na wa mwisho:

mimi Bwana ndiye.”

541:5 Eze 26:17-18; Kum 30:4; Isa 11:11-12Visiwa vimeliona na kuogopa,

miisho ya dunia inatetemeka.

Wanakaribia na kuja mbele,

641:6 Isa 1:6kila mmoja humsaidia mwingine

na kusema kwa ndugu yake, “Uwe hodari!”

741:7 Isa 40:19; 44:13; Yer 30:3-5Fundi humtia moyo sonara,

yeye alainishaye kwa nyundo

humhimiza yeye agongeaye kwenye fuawe,

Humwambia yeye aunganishaye, “Ni kazi njema.”

Naye huikaza sanamu kwa misumari ili isitikisike.

841:8 Mwa 18:19; Isa 29:22; Neh 9:7; 2Nya 20:7; Yak 2:23; Isa 63:16; Za 136:22“Lakini wewe, ee Israeli, mtumishi wangu,

Yakobo, niliyemchagua,

ninyi wazao wa Abrahamu rafiki yangu,

941:9 Isa 37:16; Kum 7:6; Isa 20:3; 11:12nilikuchukua toka miisho ya dunia,

nilikuita kutoka pembe zake za mbali.

Nilisema, ‘Wewe ni mtumishi wangu’;

nimekuchagua, wala sikukukataa.

1041:10 Kum 3:22; Rum 8:3; Isa 49:8; Yer 30:10; 46:27-28; Ay 40:14; Za 18:35Hivyo usiogope, kwa maana niko pamoja nawe;

usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.

Nitakutia nguvu na kukusaidia;

nitakutegemeza kwa mkono wa kuume wa haki yangu.

1141:11 Isa 17:12; 54:17; Kut 23:22; Isa 29:8; Zek 12:3; Yer 2:3; Isa 29:23“Wote walioona hasira dhidi yako

hakika wataaibika na kutahayarika,

wale wakupingao

watakuwa kama vile si kitu, na kuangamia.

1241:12 Za 37:35-36; Isa 34:12; Ay 7:8; Isa 29:20; 17:14Ingawa utawatafuta adui zako,

hutawaona.

Wale wanaopigana vita dhidi yako

watakuwa kama vile si kitu kabisa.

1341:13 Za 73:23; Isa 42:6; 45:1; 51:18Kwa maana Mimi ndimi Bwana, Mungu wako,

nikushikaye mkono wako wa kuume

na kukuambia, Usiwe na hofu,

nitakusaidia.

1441:14 Ay 4:19; Za 22:6; Kut 15:13; Ay 19:23; Isa 1:27Usiogope, ee Yakobo uliye mdudu,

ee Israeli uliye mdogo,

kwa kuwa Mimi mwenyewe nitakusaidia,” asema Bwana,

Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

1541:15 Ay 41:30; Mik 4:13; Isa 21:10; Kut 19:18; Yer 9:10; Eze 33:28“Tazama, nitakufanya chombo cha kupuria,

kipya na chenye makali, chenye meno mengi.

Utaipura milima na kuiponda

na kuvifanya vilima kuwa kama makapi.

1641:16 Yer 51:2; Isa 45:25; 60:19; Dan 2:35; Yer 15:7; Isa 25:9; Mk 1:24Utaipepeta, nao upepo utaichukua,

dhoruba itaipeperushia mbali.

Bali wewe utajifurahisha katika Bwana

na katika utukufu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

1741:17 Isa 43:20; 35:7; 30:19“Maskini na wahitaji wanatafuta maji,

lakini hayapo,

ndimi zao zimekauka kwa kiu.

Lakini Mimi Bwana nitawajibu,

Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.

1841:18 Isa 30:25; 43:19; Ay 38:26; Isa 35:7; 2Fal 3:17Nitaifanya mito itiririke juu ya vilima vilivyo kame,

nazo chemchemi ndani ya mabonde.

Nitaligeuza jangwa liwe mabwawa ya maji,

nayo ardhi iliyokauka kuwa chemchemi za maji.

1941:19 Isa 60:13; Kut 25:10-13; Isa 37:24; 44:14Katika jangwa nitaotesha

mwerezi, mshita, mhadasi na mzeituni.

Nitaweka misunobari, mivinje na misanduku

pamoja huko nyikani,

2041:20 Ay 12:9; Isa 4:5ili kwamba watu wapate kuona na kujua,

wapate kufikiri na kuelewa,

kwamba mkono wa Bwana umetenda hili,

kwamba yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ndiye alilifanya.”

2141:21 Isa 43:14; 44:6Bwana asema, “Leta shauri lako.

Toa hoja yako,” asema Mfalme wa Yakobo.

2241:22 Isa 48:14; 65:17; Yn 13:19; Isa 43:9; 45:21“Leteni sanamu zenu zituambie

ni nini kitakachotokea.

Tuambieni mambo ya zamani yalikuwa nini,

ili tupate kuyatafakari

na kujua matokeo yake ya mwisho.

Au tutangazieni mambo yatakayokuja,

2341:23 Kum 18:22; Isa 44:7-8; Yer 10:5; Isa 43:5; 2Fal 19:26tuambieni ni nini kitakachotokea baadaye,

ili tupate kujua kuwa ninyi ni miungu.

Fanyeni jambo lolote zuri au baya,

ili tupate kutishika na kujazwa na hofu.

2441:24 Isa 37:19; 1Kor 8:4; Za 115:8; 1Sam 12:21; Isa 48:8Lakini ninyi ni zaidi ya bure kabisa,

na kazi zenu hazifai kitu kabisa;

yeye awachaguaye ni chukizo sana.

2541:25 Yer 51:48; Nah 3:14; 2Sam 22:43; Yer 50:9“Nimemchochea mtu mmoja kutoka kaskazini,

naye yuaja, mmoja toka mawio ya jua aliitaye Jina langu.

Huwakanyaga watawala kana kwamba ni matope,

kama mfinyanzi akanyagavyo udongo wa kufinyangia.

2641:26 Hab 2:18-19; 1Fal 18:26; Isa 52:6Ni nani aliyenena hili tokea mwanzoni, ili tupate kujua,

au kabla, ili tuweze kusema, ‘Alikuwa sawa’?

Hakuna aliyenena hili,

hakuna aliyetangulia kusema hili,

hakuna yeyote aliyesikia maneno kutoka kwenu.

2741:27 Isa 48:3, 16; 40:9Nilikuwa wa kwanza kumwambia Sayuni,

‘Tazama, wako hapa!’

Nilimpa Yerusalemu mjumbe wa habari njema.

2841:28 Eze 22:30; Za 22:11; Isa 40:13-14; 50:2; 59:16; 64:7; Yer 25:4Ninatazama, lakini hakuna yeyote:

hakuna yeyote miongoni mwao awezaye kutoa shauri,

hakuna yeyote wa kutoa jibu wakati ninapowauliza.

2941:29 Yer 5:13; 1Sam 12:21; Isa 37:19Tazama, wote ni ubatili!

Matendo yao ni bure;

vinyago vyao ni upepo mtupu na machafuko.

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 41:1-29

41

イスラエルを助ける者

1海の向こうの島々よ。

わたしの前では口をつぐんで聞きなさい。

どんな難問でももってきなさい。

おまえたちのために法廷が開かれるから、

そこで話すがよい。

2だれが、東の国に一人の人物(クロス王を指す)を起こし、

行く先々で勝利を得させたのか。

わたし以外の者であるはずはない。

わたしが彼に、多くの国々を征服し、

王たちを踏みにじり、

敵の軍隊を剣の餌食にする力を与えたのだ。

3彼は敵を追いかけるが、

一度も通ったことのない道を安全に進んで行く。

4その進撃によって歴史は大きく塗り変えられる。

こんな途方もなく大きなことを演出したのはだれか。

それはわたし、

初めであり終わりである、このわたしだ。

わたしこそが主である。

5海の向こうの国々はおびえ、

今度の遠征計画について

彼のことばを待っている。

遠く離れた国々も戦々恐々で、戦争に備える。

6職人は互いに励まして、「心配するな。

彼が勝つはずないから」と気休めを言って、

7新しい偶像造りを急ぐ。

彫刻師は鍛冶屋をせかせ、

鋳物師は、かなとこをたたく手伝いをして、

「もう十分火が通った。

さあ、腕の部分をはんだづけしよう」と言う。

注意深く各部をつけて、堅くしめつけ、

ばらばらにならないようにする。

8しかし、わたしのしもべイスラエルよ。

あなたはわたしの友アブラハムの家族だ。

だから、わたしはあなたを選び、わたしのものとした。

9あなたを地の果てから呼び出し、

わたしだけに仕えよと言った。

わたしはあなたを選び、

どんなことがあっても見捨てない。

10恐れるな。わたしがついている。

取り乱すな。わたしはあなたの神だ。

わたしはあなたを力づけ、あなたを助け、

勝利の右の手でしっかり支える。

11いきりたつ敵はみな、無残に踏みにじられる。

あなたに刃向かう者はみな死に絶える。

12彼らの姿を捜し回っても無駄だ。

一人もいなくなるからだ。

13わたしがおまえの右手をつかみ、「恐れるな。

あなたを助けに来た」と励ます。

14イスラエルよ、たとえ軽蔑されても恐れるな。

わたしは必ずあなたを助ける。

わたしは主、あなたを贖う者だ。

わたしはイスラエルの聖なる神だ。

15あなたは新しい鋭い刃のついた打穀機となり、

敵という敵を粉々にし、もみがらの山をつくる。

16それを空中に放り上げると、風が吹き飛ばし、

つむじ風がまき散らす。

こうして主の喜びがあなたの心を満たし、

あなたはイスラエルの神を誇りに思うようになる。

17貧しい者や困っている者が水を求めても得られず、

のどは渇き、舌が上あごにつく。

そのようなとき、わたしを呼べば、わたしは答える。

イスラエルの神であるわたしは、

いつまでも彼らを見捨てない。

18わたしは台地に川を開き、谷間には泉を湧かせて、

彼らに与える。

砂漠には池ができ、からからに乾いた地には、

多くの泉から川が流れだす。

19わたしは不毛の地に、杉、アカシヤ、ミルトス、

オリーブ、糸杉、プラタナス、松の木を植える。

20だれもがこの奇跡を見て、

これをしたのはイスラエルの聖なる神だと認める。

21おまえたちの偶像に、こんなことができるのか、

わたしに見せてみなさい。

イスラエルの王である神は言います。

22昔どんなことが起こったか、

将来どんなことが起こるかを、

偶像に話させてみなさい。

23偶像が神であるなら、

これから何が起こるかを説明させてみなさい。

あるいは、わたしたちを驚かせるような、

すばらしい奇跡を行わせてみなさい。

24もちろん、そんなことができるはずはない。

神といっても名ばかりで、何一つできないのだから。

あなたがたを選んだ者は、自分の頭が正常かどうか、

調べてもらえばよい。

25わたしは北と東から人(クロス王)を起こす。

彼は国々を相手に戦いをいどみ、わたしの名を呼ぶ。

わたしはそれにこたえ、

国々の王や領主を征服する力を与えるので、

彼は陶器師が土くれを踏むように、彼らを踏みにじる。

26こんなことを、わたし以外にだれが告げたか。

いったいだれが、説得力をもって、

こうなると予告したか。

誰ひとりいなかったではないか。

ほかの神々は、ただのひと言も口をはさまなかった。

27「さあ、目を上げて見るのだ。

助けはすぐそこまで来ている」と、

真っ先にエルサレムに伝えたのは、わたしだった。

28おまえたちの偶像のどれ一つとして、

こうは言わなかった。

わたしが問いかけても返事さえしなかった。

29みな愚かで、役に立たない者ばかりだ。

まるで風のように頼りにならない。