Isaya 39 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 39:1-8

Wajumbe Kutoka Babeli

(2 Wafalme 20:12-19)

139:1 2Fal 20:12; 2Nya 32:31Wakati huo Merodaki-Baladani, mwana wa Baladani mfalme wa Babeli, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa sababu alikuwa amesikia habari za kuugua na kupona kwake. 239:2 2Nya 32:31; 2Fal 18:15; 2Nya 32:27-29Hezekia akawapokea wale wajumbe kwa furaha na kuwaonyesha vitu vile vilivyokuwa katika ghala zake: yaani fedha, dhahabu, vikolezo na mafuta safi, ghala la silaha lote, na kila kitu kilichokuwa katika hazina zake. Hapakuwa na kitu chochote katika jumba lake la kifalme au katika ufalme wake wote ambacho Hezekia hakuwaonyesha.

339:3 Kum 28:49Ndipo nabii Isaya akaenda kwa Mfalme Hezekia na kumuuliza, “Watu hao walisema nini, na wametoka wapi?”

Hezekia akamjibu, “Wametoka nchi ya mbali. Walikuja kwangu kutoka Babeli.”

4Nabii akauliza, “Waliona nini katika jumba lako la kifalme?”

Hezekia akajibu, “Waliona kila kitu katika jumba langu la kifalme. Hakuna kitu chochote katika hazina yangu ambacho sikuwaonyesha.”

539:5 Isa 38:4Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la Bwana Mwenye Nguvu Zote: 639:6 Law 26:33; Amu 6:4; Yer 20:5; Amo 5:27; 2Fal 24:13Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema Bwana. 739:7 2Fal 24:15; Dan 1:1-7Nao baadhi ya wazao wako, nyama yako na damu yako mwenyewe watakaozaliwa kwako, watachukuliwa mbali, nao watakuwa matowashi katika jumba la mfalme wa Babeli.”

839:8 1Sam 3:18; 2Nya 32:26; Amu 10:15; Ay 1:21; Za 39:9Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la Bwana ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Patakuwepo amani na usalama wakati wa uhai wangu.”

La Bible du Semeur

Esaïe 39:1-8

L’ambassade babylonienne

(2 R 20.12-19)

1Vers cette même époque, Merodak-Baladân, fils de Baladân, roi de Babylone, fit parvenir des lettres et des présents à Ezéchias, car il avait appris sa maladie et son rétablissement39.1 Merodak-Baladân a gouverné Babylone de 721 à 710 et de 705 à 703 av. J.-C. C’est sans doute vers 713 (selon d’autres vers 703) qu’il faut situer cette ambassade qui avait pour but de se faire de Juda un allié contre l’Assyrie.. 2Enchanté de la venue de ses envoyés, Ezéchias leur fit visiter le bâtiment où l’on conservait les objets précieux, l’argent et l’or, les aromates et les huiles parfumées. Il leur montra aussi tout son arsenal militaire et tout ce que contenaient ses trésors ; il n’y eut rien dans son palais ni dans tout son domaine qu’Ezéchias ne leur fasse voir.

3Alors le prophète Esaïe se rendit auprès du roi Ezéchias et lui demanda : Qu’ont dit ces gens et d’où sont-ils venus te rendre visite ?

Ezéchias lui répondit : Ils sont venus de très loin, de Babylone, pour me voir.

4Esaïe reprit : Qu’ont-ils vu dans ton palais ?

Ezéchias répondit : Ils ont vu tout ce qui se trouve dans mon palais. Je ne leur ai rien caché de mes trésors.

5Alors Esaïe dit à Ezéchias : Ecoute ce que dit le Seigneur des armées célestes : 6Un jour viendra où tout ce qui est dans ton palais et tout ce que tes ancêtres ont amassé jusqu’à ce jour sera emporté à Babylone ; il n’en restera rien ici, déclare l’Eternel. 7Plusieurs de tes propres descendants, issus de toi, seront emmenés et deviendront serviteurs dans le palais du roi de Babylone39.7 Voir Dn 1.1-7 ; 2 R 24.10-16 ; 2 Ch 36.10..

8Ezéchias répondit à Esaïe : La parole de l’Eternel que tu viens de me transmettre est bonne. Car, ajouta-t-il, nous aurons au moins la paix et la sécurité tant que je vivrai.