Kuugua Kwa Mfalme Hezekia
(2 Wafalme 20:1-11; 2 Nyakati 32:24-26)
138:1 Isa 37:2-3; 2Sam 17:23; 2Fal 8:10Katika siku hizo Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Nabii Isaya mwana wa Amozi akaenda kwake na kumwambia, “Hili ndilo asemalo Bwana: Tengeneza mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, hutapona.”
2Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana: 338:3 Neh 5:19; 13:14; Kum 6:18; Za 26:3; 1Fal 8:61; 2Nya 29:19; Za 6:8“Ee Bwana, kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa uaminifu na kujitoa kwa moyo wangu wote, na kufanya yaliyo mema machoni pako.” Naye Hezekia akalia kwa uchungu.
438:4 1Sam 13:13; Isa 39:5Ndipo neno la Bwana likamjia Isaya, kusema: 538:5 2Fal 18:2-3; Za 6:6“Nenda ukamwambie Hezekia, ‘Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa baba yako Daudi: Nimeyasikia maombi yako na nimeona machozi yako. Nitakuongezea miaka kumi na mitano katika maisha yako. 638:6 Isa 31:5; 37:35Nami nitakuokoa wewe pamoja na mji huu mkononi mwa mfalme wa Ashuru. Nitaulinda mji huu.
738:7 Mwa 24:14; 2Fal 20:8; 2Nya 32:31; Isa 7:11, 14; 20:3“ ‘Hii ndiyo ishara ya Bwana kwako ya kwamba Bwana atafanya kile alichoahidi: 838:8 Yos 10:13Nitafanya kivuli cha jua kwenye ngazi iliyojengwa na Ahazi kirudi nyuma madaraja kumi.’ ” Hivyo jua likarudi nyuma madaraja kumi ambayo lilikuwa limeshuka.
9Maandiko ya Hezekia mfalme wa Yuda baada ya kuugua kwake na kupona:
1038:10 Ay 17:16; Za 102:24; 2Kor 1:9; Ay 17:11; Za 107:18Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu,
je, ni lazima nipite katika malango ya mauti,38:10 Mauti hapa maana yake ni Kuzimu.
na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?”
1138:11 Za 27:13; Ay 28:13; 35:14; Isa 12:2; Za 116:5Nilisema, “Sitamwona tena Bwana,
Bwana katika nchi ya walio hai,
wala sitamtazama tena mwanadamu,
wala kuwa na wale ambao sasa wanakaa katika ulimwengu huu.
1238:12 2Kor 5:4; Ay 4:21; Isa 33:20; Ebr 1:12; Hes 11:15; Za 32:4; 1Pet 1:13-14Kama hema la mchunga mifugo,
nyumba yangu imebomolewa na kutwaliwa kutoka kwangu.
Kama mfumaji nimevingirisha maisha yangu,
naye amenikatilia mbali kutoka kitanda cha mfumi.
Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.
1338:13 Ay 9:17; Mao 3:4; Yer 34:17; Za 37:7; 51:8; Ay 10:16; Dan 6:24Nilingoja kwa uvumilivu hadi mapambazuko,
lakini alivunja mifupa yangu yote kama simba.
Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.
1438:14 Isa 59:11; Mwa 50:24; Ay 17:3; Mwa 8:8; Za 6:7Nililia kama mbayuwayu au korongo,
niliomboleza kama hua aombolezaye.
Macho yangu yalififia nilipotazama mbinguni.
Ee Bwana, ninataabika, njoo unisaidie!”
1538:15 Ay 7:11; 1Fal 21:27; Za 39:9; 2Sam 7:20Lakini niseme nini?
Amesema nami, naye yeye mwenyewe amelitenda hili.
Nitatembea kwa unyenyekevu
katika miaka yangu yote
kwa sababu ya haya maumivu makali
ya nafsi yangu.
1638:16 Ebr 12:9; Za 119:25Bwana, kwa mambo kama haya watu huishi,
nayo roho yangu hupata uzima katika hayo pia.
Uliniponya
na kuniacha niishi.
1738:17 Yer 31:34; Mik 7:19; Ay 17:16; Za 103:3, 12; Rum 8:28; Ebr 12:11; Isa 43:25Hakika ilikuwa ya faida yangu
ndiyo maana nikapata maumivu makali.
Katika upendo wako ukaniokoa
kutoka shimo la uharibifu;
umeziweka dhambi zangu zote
nyuma yako.
1838:18 Mhu 9:10; Hes 16:30; Za 6:5; 30:9; 88:10-11; 115:17Kwa maana kaburi38:18 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. haliwezi kukusifu,
mauti haiwezi kuimba sifa zako;
wale washukao chini shimoni
hawawezi kuutarajia uaminifu wako.
1938:19 Kum 6:7; 11:19; Za 78:3; 118:7; 119:175Walio hai, walio hai: hao wanakusifu,
kama ninavyofanya leo.
Baba huwaambia watoto wao
habari za uaminifu wako.
2038:20 Za 68:25; 9:13; 45:8; 116:17-19; 63:4; 23:6Bwana ataniokoa,
nasi tutaimba kwa vyombo vya nyuzi
siku zote za maisha yetu
katika Hekalu la Bwana.
21Isaya alikuwa amesema, “Tengenezeni dawa ya kubandika ya tini, mweke juu ya jipu, naye atapona.”
22Hezekia alikuwa ameuliza, “Kutakuwa na ishara gani kwamba nitapanda kwenda Hekalu la Bwana?”
Болезнь и исцеление Езекии
(4 Цар. 20:1-11; 2 Лет. 32:24)
1В те дни Езекия заболел и был при смерти. Пророк Исаия, сын Амоца, пришёл к нему и сказал:
– Так говорит Вечный: «Распорядись своим домом, потому что ты умираешь; ты не выздоровеешь».
2Езекия отвернулся лицом к стене и взмолился Вечному:
3– Вспомни, о Вечный, как я верно служил Тебе от всего сердца и делал то, что было угодным в Твоих глазах!
И Езекия горько заплакал.
4Тогда к Исаии было слово Вечного:
5– Иди и скажи Езекии: Так говорит Вечный, Бог твоего предка Довуда: «Я услышал твою молитву и увидел твои слёзы; Я прибавлю к твоей жизни пятнадцать лет. 6Я избавлю тебя и этот город от руки царя Ассирии. Я защищу этот город. 7Вот тебе знамение от Вечного, что Вечный исполнит то, что обещал: 8Я отведу тень, которую заходящее солнце отбрасывает на лестницу Ахаза, на десять ступеней назад».
И солнце вернулось по лестнице Ахаза на те десять ступеней, которые оно прошло.
Молитва Езекии после его выздоровления
9Запись Езекии, царя Иудеи, после его болезни и выздоровления:
10Я сказал: «Неужели в расцвете дней
суждено мне пройти через ворота мира мёртвых,
и остатка лет я лишён?»
11Я сказал: «Я уже не увижу Вечного,
Вечного на земле живых;
не увижу больше людей,
не буду среди обитателей мира.
12Мой дом, как пастуший шатёр,
снят с места и уносится от меня.
Я скатал свою жизнь, как ткач – полотно;
Он отрежет меня от станка.
День и ночь Ты ведёшь меня к смерти!
13Я кричу о помощи до утра,
а Он, словно лев, ломает все кости мои.
День и ночь Ты ведёшь меня к смерти!
14Я кричу, словно ласточка или журавль,
и стенаю, как голубь.
Утомились глаза мои, глядя ввысь.
Я в беде! Помоги мне, Вечный!»
15Но что мне сказать?
Как Он мне говорил, так и сделал.
Буду в смирении проводить все мои годы,
помня скорбь моей души.
16Мой Владыка, этим живут люди,
этим живу и я.
Ты исцелил меня
и позволил мне жить.
17Да, во благо была мне такая мука;
Ты сохранил мою жизнь от гибельной пропасти,
все мои грехи бросил Себе за спину.
18Ведь мир мёртвых не славит Тебя,
смерть не воспоёт Тебе хвалы;
тем, кто спускается в пропасть,
нет надежды на Твою верность.
19Живые, лишь живые Тебя восславят,
как сегодня делаю я;
отцы расскажут детям
о Твоей верности.
20Вечный спасёт меня,
и под звуки струн мы будем петь
во все дни нашей жизни
в храме Вечного!
21Исаия сказал:
– Пусть возьмут пласт инжира, приложат его к нарыву, и царь выздоровеет.
22А Езекия спросил:
– Каково знамение, что я пойду в храм Вечного?