Isaya 3 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 3:1-26

Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.

13:1 Law 26:26; Eze 4:16; Amo 4:6; Yer 37:21; Za 18:18; Isa 5:13; 65:13Tazama sasa, Bwana,

Bwana Mwenye Nguvu Zote,

yu karibu kuwaondolea Yerusalemu na Yuda

upatikanaji wa mahitaji na misaada,

upatikanaji wote wa chakula na tegemeo lote la maji,

23:2 Eze 17:13; Isa 9:14-15; 2Fal 24:14; Kum 18:10shujaa na mtu wa vita,

mwamuzi na nabii,

mwaguzi na mzee,

33:3 Ay 22:8; 2Fal 24:14; Mhu 10:11; Yer 8:17; 2Fal 1:9jemadari wa kikosi cha watu hamsini

na mtu mwenye cheo, mshauri,

fundi stadi na mlozi mjanja.

43:4 Mhu 10:16Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao,

watoto ndio watakaowatawala.

53:5 Za 28:3; Yer 9:8; Isa 9:19; Mik 7:2-6Watu wataoneana wao kwa wao:

mtu dhidi ya mtu, na jirani dhidi ya jirani yake.

Kijana atainuka dhidi ya mzee,

mtu mnyonge dhidi ya mtu mwenye heshima.

6Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake

katika nyumba ya baba yake na kusema,

“Unalo joho, sasa uwe kiongozi wetu,

tawala lundo hili la magofu!”

73:7 Yer 30:12; Hos 5:13; Isa 2:11; 24:2; Eze 34:4; Yoe 1:16Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema,

“Sina uponyaji.

Sina chakula wala mavazi katika nyumba yangu,

msinifanye niwe kiongozi wa watu.”

83:8 Isa 30:9; 9:15-17; 28:15; 1:7; Ay 1:11; Za 73:9-11; 2Nya 33:6; Isa 65:7Yerusalemu inapepesuka,

Yuda inaanguka;

maneno yao na matendo yao ni kinyume na Bwana,

wakiudharau uwepo wake uliotukuka.

93:9 Mwa 13:13; 2Nya 34:24; Rum 6:23; Hes 32:23; Isa 59:12; Yer 14:7; Mit 8:36; Hos 5:5Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao,

hujivunia dhambi yao kama Sodoma,

wala hawaifichi.

Ole wao!

Wamejiletea maafa juu yao wenyewe.

103:10 Za 37:17; Yer 22:15; Mwa 15:1; Za 128:2; Kum 12:28; 5:33Waambie wanyofu itakuwa heri kwao,

kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.

113:11 Kum 28:15-68; Ay 9:13; Isa 57:20; Kum 28:15-68; 2Nya 6:23; Yer 21:14; Mao 5:16; Eze 24:14Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao!

Watalipwa kwa ajili ya yale mikono yao iliyotenda.

123:12 Yer 25:16; Mik 3:5; Isa 9:16; 19:14; 28:7; Yer 23:13; 25:16Vijana wanawatesa watu wangu,

wanawake wanawatawala.

Enyi watu wangu, viongozi wenu wanawapotosha,

wanawapoteza njia.

133:13 Ay 10:2; Za 82:1; Isa 2:4Bwana anachukua nafasi yake mahakamani,

anasimama kuhukumu watu.

143:14 1Sam 12:7; Yak 2:6; Ay 22:4; 24:9; Isa 25:4; 11:4Bwana anaingia katika hukumu

dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake:

“Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu,

mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.

153:15 Za 94:5; Ay 24:14; Isa 10:6; 26:6; 29:19; 32:6; 5:7Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu

na kuzisaga nyuso za maskini?”

asema Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote.

163:16 Wim 3:11; Ay 15:25Bwana asema,

“Wanawake wa Sayuni wana kiburi,

wanatembea na shingo ndefu,

wakikonyeza kwa macho yao,

wanatembea kwa hatua za madaha,

wakiwa na mapambo ya njuga kwenye vifundo vya miguu yao.

173:17 Eze 27:31; Amo 8:10Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni;

Bwana atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.”

183:18 Mwa 41:42; Amu 8:21; Isa 2:11Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo, 193:19 Mwa 24:47; Eze 16:11-12vipuli, vikuku, shela, 203:20 Kut 39:28; Eze 44:18; 24:17, 23vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi, 213:21 Mwa 24:22; Kut 29:6pete zenye muhuri, pete za puani, 223:22 Rut 3:15majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha, 233:23 Eze 26:10; 23:26; Kut 29:6; Wim 3:11; Isa 61:3; 62:3vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.

243:24 Es 2:12; Mit 31:24; Law 13:40; Yon 3:5-8; Isa 4:4; 20:2; Ay 1:20; 16:15; Mwa 37:34; Yer 4:8; Mao 2:10Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo;

badala ya mishipi, ni kamba;

badala ya nywele zilizotengenezwa vizuri, ni upara;

badala ya mavazi mazuri, ni nguo za magunia;

badala ya uzuri, ni alama ya aibu kwa chuma cha moto.

253:25 Isa 1:20; Yer 15:8Wanaume wako watauawa kwa upanga,

nao mashujaa wako watauawa vitani.

263:26 Yer 14:2; 4:28; Mao 2:10; Ay 2:13; Isa 14:12, 31; 33:9; 24:4, 7; Za 137:1Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia,

ataketi mavumbini akiwa fukara.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Isaías 3:1-26

Juicio sobre Jerusalén y Judá

1¡Prestad atención!

El Señor, el Señor Todopoderoso,

retira de Jerusalén y de Judá

todo apoyo y sustento:

toda provisión de pan,

toda provisión de agua.

2Él retira al valiente y al guerrero,

al juez y al profeta,

al adivino y al anciano,

3al capitán y al dignatario,

al consejero, al artesano experto

y al hábil encantador.

4Les pondré como jefes a muchachos,

y los gobernarán niños caprichosos.

5Unos a otros se maltratarán:

hombre contra hombre,

vecino contra vecino,

joven contra anciano,

plebeyo contra noble.

6Entonces un hombre agarrará a su hermano

en la casa de su padre, y le dirá:

«Sé nuestro líder, pues tienes un manto;

¡hazte cargo de este montón de ruinas!»

7Pero entonces el otro protestará:

«Yo no soy médico,

y en mi casa no hay pan ni manto;

¡no me hagas líder del pueblo!»

8Jerusalén se tambalea,

Judá se derrumba,

porque su hablar y su actuar

son contrarios al Señor:

¡desafían su gloriosa presencia!

9Su propio descaro los acusa

y, como Sodoma, se jactan de su pecado;

¡ni siquiera lo disimulan!

¡Ay de ellos,

porque causan su propia desgracia!

10Decid al justo que le irá bien,

pues gozará del fruto de sus acciones.

11¡Ay del malvado, pues le irá mal!

¡Según la obra de sus manos se le pagará!

12¡Pobre pueblo mío, oprimido por niños

y gobernado por mujeres!

¡Pobre pueblo mío, extraviado por tus guías,

que tuercen el curso de tu senda!

13El Señor se dispone a denunciar;

se levanta para enjuiciar al pueblo.

14El Señor va a juicio

contra los ancianos y jefes de su pueblo:

«¡Vosotros habéis devorado la viña,

y el despojo del pobre está en vuestras casas!

15¿Con qué derecho aplastáis a mi pueblo

y pasáis por encima de los pobres?»,

afirma el Señor,

el Señor Todopoderoso.

16El Señor dice:

«Las hijas de Sión son tan orgullosas

que caminan con el cuello estirado,

con ojos seductores y pasitos cortos,

haciendo sonar los adornos de sus pies.

17Por eso el Señor cubrirá de sarna

la cabeza de las hijas de Sión;

el Señor las dejará completamente calvas».

18En aquel día, el Señor arrancará todo adorno: hebillas, diademas, broches, 19pendientes, pulseras, velos, 20pañuelos, cadenillas de los pies, cinturones, frasquitos de perfume, amuletos, 21anillos, argollas para la nariz, 22ropas de gala, mantos, chales, bolsos, 23espejos, telas finas, turbantes y mantillas.

24Habrá pestilencia en vez de perfume,

soga en vez de cinturón,

calvicie en vez de peinado elegante,

ropa de luto en vez de trajes lujosos,

vergüenza3:24 vergüenza (Qumrán); TM no incluye esta palabra. en vez de belleza.

25Tus hombres caerán a filo de espada,

y tus valientes, en el campo de batalla.

26Las puertas de la ciudad gemirán y se vestirán de luto;

desolada, la ciudad se sentará en el suelo.