Isaya 20 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 20:1-6

Unabii Dhidi Ya Misri Na Kushi

120:1 2Fal 18:17; Yos 11:22; 13:3Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka, 220:2 Zek 13:4; Mt 3:4; Isa 3:24; Eze 4:1-12; 24:17, 23; 1Sam 19:24; Isa 13:1; 1Fal 1:8; Mik 1:8wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.

320:3 Kut 3:12; Yer 7:25; Isa 8:18; 22:20; 41:8-9; Mwa 10:6; Mdo 21:11Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi, 420:4 Yer 13:22-26; Isa 19:4; 47:3; Nah 3:5; Yer 46:19; 2Sam 10:4; Ay 12:17vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri. 520:5 2Fal 18:21; Isa 31:1-3; 8:12; 30:5; Eze 29:16Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika. 620:6 Isa 10:3; 2:11Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’ ”

O Livro

Isaías 20:1-6

Profecia contra o Egito e Cuche

1No ano em que Sargom, rei da Assíria, enviou o comandante supremo do seu exército contra Asdode, cidade da Filisteia, e a tomou, 2o Senhor disse a Isaías, o filho de Amós, que se despisse, que tirasse os sapatos e andasse assim nu e descalço. Isaías fez como lhe foi ordenado.

3Então o Senhor disse: “O meu servo Isaías, que tem andado despido e descalço nestes últimos três anos, é uma imagem das terríveis calamidades que vou enviar ao Egito e a Cuche. 4Porque o rei da Assíria virá levar os egípcios e os cuchitas como prisioneiros, fazendo-os andar nus e descalços, tanto jovens como velhos; andarão com as nádegas à mostra, para vergonha do Egito. 5Então ficarão aflitos os filisteus que contavam com o poder de Cuche, que descansavam no seu glorioso aliado, o Egito! 6E dirão nessa altura: ‘Se tal pode acontecer até ao Egito, qual não será a nossa sorte!’ ”