Isaya 18 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 18:1-7

Unabii Dhidi Ya Kushi

118:1 Mwa 10:6; Sef 2:12; Isa 5:8; Za 68:31; Eze 29:10; Oba 1:1Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa,18:1 Au: wa nzige.

kando ya mito ya Kushi,

218:2 Mwa 10:8-9; 2Nya 12:3; Kut 2:3; Ay 9:26; Mwa 41:14iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari

kwa mashua za mafunjo juu ya maji.

Nendeni, wajumbe wepesi,

kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,

kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,

taifa gomvi lenye lugha ngeni,

ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.

318:3 Za 60:4; Yer 4:21; Za 33:8; Isa 5:26; 5:26; 31:9; Yos 6:21; Amu 3:27Enyi mataifa yote ya ulimwengu,

ninyi mnaoishi duniani

wakati bendera itakapoinuliwa milimani,

mtaiona,

nayo tarumbeta itakapolia,

mtaisikia.

418:4 Hos 5:15; 2Sam 1:21; Za 133:3; Isa 64:12; 26:21; Amu 5:31; Za 18:12; Isa 26:19Hili ndilo Bwana aliloniambia:

“Nitatulia kimya na kutazama

kutoka maskani yangu,

kama joto linalometameta katika mwanga wa jua,

kama wingu la umande

katika joto la wakati wa mavuno.”

518:5 Isa 17:10-11; Eze 17:6; Isa 10:33Kwa maana, kabla ya mavuno,

wakati wa kuchanua ukishapita

na maua yakawa zabibu zinazoiva,

atayakata machipukizi kwa mundu wa kupogolea matawi,

naye atakata na kuyaondoa matawi yaliyopanuka.

618:6 Yer 7:33; Eze 32:4; 39:17; Isa 37:36; 8:8; 56:9Yote yataachwa kwa ajili ya ndege wawindao wa mlimani

na wanyama pori,

ndege watajilisha juu yake wakati wote wa kiangazi,

nao wanyama pori wakati wote wa masika.

718:7 Sef 3:10; Za 68:31; 2Nya 9:24; Isa 60:7; Mwa 41:4; 41:14Wakati huo matoleo yataletwa kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote

kutoka kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,

kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,

kutoka taifa gomvi lenye lugha ngeni,

ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito,

matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali pa Jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote.

Nova Versão Internacional

Isaías 18:1-7

Profecia contra a Etiópia

1Ai da terra do zumbido de insetos18.1 Ou gafanhotos

ao longo dos rios da Etiópia18.1 Hebraico: de Cuxe.,

2que manda emissários pelo mar

em barcos de papiro sobre as águas.

Vão, ágeis mensageiros,

a um povo alto e de pele macia,

a um povo temido pelos que estão perto

e pelos que estão longe,

nação agressiva e de fala estranha,

cuja terra é dividida por rios.

3Todos vocês, habitantes do mundo,

vocês que vivem na terra,

quando a bandeira for erguida

sobre os montes, vocês a verão,

e, quando soar a trombeta,

vocês a ouvirão.

4Assim diz o Senhor:

“Do lugar onde moro ficarei olhando, quieto

como o ardor do sol reluzente,

como a nuvem de orvalho no calor do tempo da colheita”.

5Pois, antes da colheita, quando a floração der lugar ao fruto

e as uvas amadurecerem,

ele cortará os brotos com a podadeira

e tirará os ramos longos.

6Serão todos entregues aos abutres das montanhas

e aos animais selvagens;

as aves se alimentarão deles todo o verão,

e os animais selvagens, todo o inverno.

7Naquela ocasião, dádivas serão trazidas ao Senhor dos Exércitos

da parte de um povo alto e de pele macia,

da parte de um povo temido pelos que estão perto

e pelos que estão longe,

nação agressiva e de fala estranha,

cuja terra é dividida por rios.

As dádivas serão trazidas ao monte Sião, ao local do nome do Senhor dos Exércitos.