Isaya 17 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 17:1-14

Neno Dhidi Ya Dameski

117:1 Yer 49:23; Mdo 9:2; Kum 13:16; Zek 9:1; Mwa 14:15; Isa 25:2Neno kuhusu Dameski:

“Tazama, Dameski haitakuwa tena mji

bali itakuwa lundo la magofu.

217:2 Yer 7:33; Mik 4:4; Isa 5:17; 2Fal 10:33; Isa 7:21; 27:10; Eze 25:5; Law 26:6Miji ya Aroeri itaachwa

na itaachiwa mifugo ambayo italala huko,

bila yeyote wa kuyaogopesha.

317:3 Isa 7:8, 16; 21:16; Hos 9:11; Isa 8:4; Hos 10:14; Isa 25:2, 12Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu,

nao uweza wa ufalme kutoka Dameski;

mabaki ya Aramu yatakuwa

kama utukufu wa Waisraeli,”

asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

417:4 Isa 2:11; 10:16“Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia,

unono wa mwili wake utadhoofika.

517:5 Yoe 3:13; Mt 13:30; Ufu 14:15-19; Isa 33:4; Yer 51:33; Ay 24:24; Yos 17:1517:5 Yos 17:15; 1Nya 11:15Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka

na kuvuna nafaka kwa mikono yake,

kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke

katika Bonde la Warefai.

617:6 Kum 4:24; Isa 10:19; 27:12; 24:3Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki,

kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa,

kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni,

nne au tano katika matawi yazaayo sana,”

asema Bwana, Mungu wa Israeli.

717:7 Isa 9:13; 12:6; Zek 12:10; Mik 7:7; Isa 2:12; 10:20; Za 95:6Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao,

na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.

817:8 2Nya 32:19; Ufu 9:20; 2Fal 17:10Hawataziangalia tena madhabahu,

kazi za mikono yao,

nao hawataheshimu nguzo za Ashera,17:8 Ashera hapa maana yake ni mungu mke aliyekuwa akiabudiwa pamoja na Baali.

na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.

917:9 Isa 7:19Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.

1017:10 Eze 22:12; Hos 8:14; Za 68:19; Kum 6:12; Yer 2:32; Za 50:22Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu,

hamkumkumbuka Mwamba aliye ngome yenu.

Kwa hiyo, hata ingawa mlipandikiza mimea iliyo mizuri sana

na kuotesha mizabibu ya kigeni,

1117:11 Za 90:6; Ay 4:8; Kum 28:39; Yer 10:19; 30:12; Law 26:30hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote

na asubuhi ile ile unayoipanda, unaifanya ichipue,

hata hivyo mavuno yatakuwa kama si kitu

katika siku ile ya ugonjwa na maumivu yasiyoponyeka.

1217:12 Yer 6:23; Lk 21:25; Isa 41:11; Za 18:4; 46:6; Isa 8:7-9Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi,

wanaghadhibika kama bahari iliyochafuka!

Lo! Makelele ya mataifa

wanavuma kama ngurumo za maji mengi!

1317:13 Kum 28:20; Isa 13:14; Ay 13:25; Dan 2:35; Za 65:7; 46:3; Ay 21:18Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi,

wakati anapoyakemea yanakimbia mbali,

yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi juu ya milima,

kama jani livingirishwapo na dhoruba.

1417:14 2Fal 19:35; Amu 5:31; Isa 29:5; 30:13; 33:18; 54:14Wakati wa jioni, hofu ya ghafula!

Kabla ya asubuhi, wametoweka!

Hili ndilo fungu la wale wanaotupora,

fungu la wale wanaotunyangʼanya mali zetu.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以赛亚书 17:1-14

关于大马士革的预言

1以下是关于大马士革的预言:

“看啊,大马士革城必不复存在,沦为废墟。

2亚罗珥的众城邑必被废弃,

羊群将在那里栖息,

没有人惊扰它们。

3以法莲17:3 旧约中常用以法莲代表以色列国。的堡垒必被摧毁,

大马士革的王权必丧失。

幸存的亚兰人必像以色列人一样失去荣耀。”

这是万军之耶和华说的。

4“到那日,雅各的荣耀必消失,

他肥胖的身躯必渐渐消瘦。

5国家好像一块已收割的田地,

又像捡净麦穗的利乏音谷。

6幸存者寥寥无几,就像打过的橄榄树上剩下的果子,

或两三个挂在树梢,

或四五个残存在枝头。”

这是以色列的上帝耶和华说的。

7到那日,人们必仰望他们的创造主,向以色列的圣者求助。 8那时他们不再仰望自己制造的祭坛,也不再供奉自己指头所造的亚舍拉神像和香坛。 9到那日,他们因以色列人到来而遗弃的坚城必变为山林和高岗,一片荒凉。

10以色列人啊,

你们忘记了拯救你们的上帝,

不记得那保护你们的磐石。

所以,你们虽然栽种佳美的秧子,

插上远方运来的树苗,

11使它们在栽种的当天早上就生长开花,

也必一无所获。

你们得到的只是艰难和无尽的痛苦。

12看啊,列国喧嚣,如怒海汹涌;

万民骚动,如洪水滔滔。

13虽然万民喧嚣如汹涌的洪水,

但上帝一声斥责,他们便逃往远方,

像山顶上被风卷走的糠秕,

又如狂风刮走的尘埃。

14他们晚上令人恐惧,早晨已无影无踪。这就是掳掠我们之人的下场,抢夺我们之人的报应。