Isaya 15 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 15:1-9

Unabii Dhidi Ya Moabu

115:1 Hes 21:28; 22:3-6; Kum 23:6; Hes 17:12; Yer 51:58; 48:24; 2Fal 3:25Neno kuhusu Moabu:

Ari iliyo Moabu imeangamizwa:

imeharibiwa kwa usiku mmoja!

Kiri iliyo Moabu imeangamizwa,

imeharibiwa kwa usiku mmoja!

215:2 Yer 48:35; Law 21:5; Ay 1:20; Hes 21:20; Isa 16:12; 2Sam 10:4; Law 13:40Diboni anakwea hadi kwenye hekalu lake,

mpaka mahali pake pa juu ili walie,

Moabu anaombolezea Nebo na Medeba.

Kila kichwa kimenyolewa

na kila ndevu limeondolewa.

315:3 Mao 2:11; Mik 1:8; Isa 3:24; Yos 2:8; Yer 48:38; Isa 14:31; Eze 7:18; Yer 47:2Wamevaa nguo za magunia barabarani,

juu ya mapaa na kwenye viwanja

wote wanaomboleza,

wamelala kifudifudi kwa kulia.

415:4 Hes 32:3; 21:23-25; Yos 13:26Heshboni na Eleale wanalia,

sauti zao zinasikika hadi Yahazi.

Kwa hiyo watu wenye silaha wa Moabu wanapiga kelele,

nayo mioyo yao imezimia.

515:5 Isa 16:11; Yer 48:31; 48:3-5; 4:20; Mwa 13:10; Hes 21:29Moyo wangu unamlilia Moabu;

wakimbizi wake wanakimbilia Soari,

hadi Eglath-Shelishiya.

Wanapanda njia ya kwenda Luhithi,

wanakwenda huku wanalia;

barabarani iendayo Horonaimu

wanaombolezea maangamizi yao.

615:6 Isa 19:5-7; Za 37:2; Hos 4:3; Yer 48:34; Isa 16:8; 33:9; 14:17; Yer 14:5Maji ya Nimrimu yamekauka

na majani yamenyauka;

mimea imekauka wala hakuna

kitu chochote kibichi kilichobaki.

715:7 Isa 30:6; Yer 48:36Kwa hiyo mali waliyoipata na kujiwekea akiba

wamezichukua na kuvuka Bonde la Mierebi.

815:8 Hes 21:16Mwangwi wa kilio chao umefika hadi mpakani mwa Moabu,

kilio chao cha huzuni kimefika hadi Eglaimu,

maombolezo yao hadi Beer-Elimu.

915:9 2Fal 17:25; Eze 25:8-11Maji ya Dimoni yamejaa damu,

lakini bado nitaleta pigo jingine juu ya Dimoni:

simba juu ya wakimbizi wa Moabu

na juu ya wale wanaobaki katika nchi.

Nueva Versión Internacional

Isaías 15:1-9

Profecía contra Moab

16:6-12Jer 48:29-36

1Profecía contra Moab:

La ciudad moabita de Ar está arruinada,

¡destruida en una noche!

La ciudad moabita de Quir está arruinada,

¡destruida en una noche!

2Acuden los de Dibón al templo,

a sus altares paganos para llorar.

Moab está gimiendo por Nebo y por Medeba.

Rapadas están todas las cabezas

y afeitadas todas las barbas.

3Todos, deshechos en llanto,

van por las calles, vestidos de luto;

¡gimen en los techos y en las plazas!

4Hesbón y Elalé claman a gritos,

hasta Yahaza se escuchan sus clamores.

Por eso gritan los valientes de Moab

y se quedan sin aliento.

5Mi corazón grita por Moab;

sus fugitivos huyen hasta Zoar,

hasta Eglat Selisiyá.

Suben llorando por la cuesta de Luhit;

ante el desastre, gritan desesperados

por el camino de Joronayin.

6Se han secado las aguas de Nimrín;

se ha marchitado la hierba.

Ya no hay vegetación,

no ha quedado nada verde.

7Por eso se llevaron, más allá del arroyo de los Sauces,

las muchas riquezas que adquirieron y almacenaron.

8Su grito desesperado va recorriendo la frontera de Moab.

Llega su gemido hasta Eglayin,

y aun llega hasta Ber Elín.

9Llenas están de sangre las aguas de Dimón,

y aún más plagas añadiré:

enviaré un león contra los moabitas fugitivos

y contra los que permanezcan en la tierra.