Isaya 12 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 12:1-6

Kushukuru Na Kusifu

112:1 Zek 14:20-21; Isa 25:1; 10:20; Ay 13:16; Za 71:21; 9:1Katika siku ile utasema:

“Nitakusifu wewe, Ee Bwana.

Ingawa ulinikasirikia,

hasira yako imegeukia mbali

nawe umenifariji.

212:2 Kut 15:2; Dan 6:23; Za 26:1; 118:14; Isa 17:10; 25:9; 26:4; Ay 13:15Hakika Mungu ni wokovu wangu;

nitamtumaini wala sitaogopa.

Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu;

amekuwa wokovu wangu.”

312:3 Yer 2:13; 17:13; Za 39:6; Yn 4:10, 14; 2Fal 3:17; Kut 15:25Kwa furaha mtachota maji

kutoka visima vya wokovu.

412:4 Za 80:18; 113:2; Hos 12:5; Kut 3:15; Isa 10:20; 24:15; Yer 10:7Katika siku hiyo mtasema:

“Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake;

julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya,

tangazeni kuwa jina lake limetukuka.

512:5 Kut 15:1; Za 98:1Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu,

hili na lijulikane duniani kote.

612:6 Za 78:41; Eze 39:7; Sef 3:14-17; Za 46:5; 98:4; Mwa 21:6; Isa 48:20; Zek 2:10Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,

kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以赛亚书 12:1-6

赞美之歌

1到那日,你们必歌唱:

“耶和华啊,我要赞美你!

你虽然曾向我发怒,

但你的怒气已经止息,

你还安慰了我。

2“看啊,上帝是我的拯救,

我要倚靠祂,不会惧怕。

耶和华上帝是我的力量,

是我的诗歌,

祂成了我的拯救者。”

3你们必从救恩的泉源欢然取水。 4到那日,你们必歌唱:

“要称颂耶和华,求告祂的名;

要在万民中传扬祂的作为,

宣告祂的名配受尊崇。

5“耶和华成就了奇妙的事,

要向祂歌唱,

让歌声传遍世界。

6锡安的居民啊,高声欢呼吧!

因为住在你们当中的以色列的圣者无比伟大。”