Hosea 9 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 9:1-17

Adhabu Kwa Israeli

19:1 Isa 22:12-13; 24:16; Za 73:27; Hos 7:14; 10:5; Mwa 30:15Usifurahie, ee Israeli;

usishangilie kama mataifa mengine.

Kwa kuwa hukuwa

mwaminifu kwa Mungu wako;

umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafu

ya kupuria nafaka.

29:2 Isa 24:7; Yoe 1:10; Hos 2:9Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai

havitalisha watu,

divai mpya itawapungukia.

39:3 Kum 4:26-27; Amo 7:17; Eze 4:13; Hos 7:16; 8:13; 10:5; Law 25:23Hawataishi katika nchi ya Bwana,

Efraimu atarudi Misri

na atakula chakula

kilicho najisi huko Ashuru.

49:4 Yer 6:20; 16:7; Kum 26:14; Hos 8:13; Hag 2:13-14; Yoe 2:14; Eze 4:13-14Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai

wala dhabihu zao hazitampendeza.

Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao

kama mkate wa waombolezaji;

nao wote wazilao watakuwa najisi.

Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe;

kisije katika Hekalu la Bwana.

59:5 Isa 10:3; Yer 5:31; Hos 2:11Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa,

katika siku za sikukuu za Bwana?

69:6 Isa 5:6; 19:13; Hos 7:11; 8:13; 10:8; Yer 42:22; Isa 32:13; 34:13Hata ikiwa wataokoka maangamizi,

Misri atawakusanya,

nayo Memfisi9:6 Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu. itawazika.

Hazina zao za fedha zitasongwa na michongoma,

nayo miiba itafunika mahema yao.

79:7 Mik 7:4; Lk 21:22; Yer 10:15; 16:18; 1Sam 10:11; Mao 2:14; Isa 34:8; 44:25; Ay 31:14; Eze 14:9-10Siku za adhabu zinakuja,

siku za malipo zimewadia.

Israeli na afahamu hili.

Kwa sababu dhambi zenu ni nyingi sana

na uadui wenu ni mkubwa sana,

nabii anadhaniwa ni mpumbavu,

mtu aliyeongozwa na Mungu

anaonekana mwendawazimu.

89:8 Hos 5:1; Eze 22:26; Yer 6:17; 31:6; Eze 3:17; 35:7Nabii, pamoja na Mungu wangu,

ndiye mlinzi juu ya Efraimu,

hata hivyo mitego inamngojea

katika mapito yake yote,

na uadui katika nyumba ya Mungu wake.

99:9 Amu 19:16-30; Hos 4:9; 8:13; 10:9; Sef 3:7Wamezama sana katika rushwa,

kama katika siku za Gibea.

Mungu atakumbuka uovu wao

na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.

109:10 Hes 25:1-5; Za 106:28-29; Yer 11:13; Hos 4:14; Wim 2:13“Nilipompata Israeli, ilikuwa kama

kupata zabibu jangwani;

nilipowaona baba zenu, ilikuwa kama kuona

matunda ya kwanza katika mtini.

Lakini walipofika Baal-Peori, walijiweka wakfu

kwa ile sanamu ya aibu,

nao wakawa najisi

kama kitu kile walichokipenda.

119:11 Hos 4:7; 10:5; Isa 17:3Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege:

hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba,

hakuna kutunga mimba.

129:12 Hos 7:13; Kum 31:17; Eze 24:21Hata wakilea watoto,

nitamuua kila mmoja.

Ole wao

nitakapowapiga kisogo!

139:13 Eze 27:3; Za 78:67; Ay 15:22; Mao 2:22Nimemwona Efraimu, kama Tiro,

aliyeoteshwa mahali pazuri.

Lakini Efraimu wataleta

watoto wao kwa mchinjaji.”

149:14 Lk 23:29; Hos 9:11; Lk 23:29Wape, Ee Bwana,

je, utawapa nini?

Wape matumbo ya kuharibu mimba

na matiti yaliyokauka.

159:15 Hos 4:9, 15; 5:2; 7:2; Isa 1:23; Yer 12:8“Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali,

niliwachukia huko.

Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi,

nitawafukuza katika nyumba yangu.

Sitawapenda tena,

viongozi wao wote ni waasi.

169:16 Hos 5:11; 8:7; Ay 15:32Efraimu ameharibiwa,

mzizi wao umenyauka,

hawazai tunda.

Hata kama watazaa watoto,

nitawachinja watoto wao

waliotunzwa vizuri.”

179:17 Hos 4:10; 7:13; Kum 28:65; Yer 6:30Mungu wangu atawakataa

kwa sababu hawakumtii;

watakuwa watu wa kutangatanga

miongoni mwa mataifa.

Hoffnung für Alle

Hosea 9:1-17

Israels Ende

1Du hast keinen Grund zur Freude, Israel! Du wirst nicht länger jubeln und Feste feiern wie die Völker ringsum! Denn du hast deinen Gott verlassen und läufst anderen Göttern nach, ja, du verkaufst dich an sie auf all deinen Dreschplätzen.9,1 Auf den Dreschplätzen wurden Erntefeste zu Ehren der anderen Götter gefeiert. 2Doch Getreide und Wein werden zu Ende gehen, und auch Most wird es nicht mehr geben.

3-4Ihr werdet nicht in diesem Land bleiben, das der Herr euch gegeben hat: Ihr Leute von Ephraim werdet nach Ägypten zurückkehren oder nach Assyrien verschleppt werden. Dort könnt ihr dem Herrn keine Trank- oder Schlachtopfer mehr darbringen. Denn alles, was ihr dort esst, ist unrein und wird euch unrein machen – wie Brot, das man in einem Trauerhaus verzehrt. Es stillt zwar euren Hunger, aber in den Tempel könnt ihr es nicht bringen. 5Wie wollt ihr dann eure Feste zu Ehren des Herrn feiern? 6Diejenigen von euch, die aus dem verwüsteten Land fliehen, werden in Ägypten den Tod finden und in Memfis begraben werden. Euer kostbares Silber wird von Unkraut überwuchert, und Dorngestrüpp wächst in euren Zelten.

7Die Zeit der Abrechnung ist gekommen; jetzt werdet ihr Israeliten für eure Taten bestraft! Ihr werdet schon sehen. Ihr sagt: »Der Prophet ist ein dummer Schwätzer, ja, der Mann ist von allen guten Geistern verlassen!« Weil ich eure große Schuld beim Namen nenne, bin ich euer Todfeind geworden.

8Doch Gott hat mich zu einem Propheten gemacht, damit ich euch warne. Ihr aber versucht, mich wie einen Vogel in die Falle zu locken! Wo ich gehe und stehe, seid ihr hinter mir her, sogar im Haus meines Gottes. 9Ihr seid durch und durch verdorben, wie damals die Leute von Gibea.9,9 Vgl. Richter 19,22‒30. Doch der Herr lässt euch nicht ungestraft davonkommen, sondern wird euch für eure Schuld zur Rechenschaft ziehen!

Von Anfang an wird Israel schuldig

10Der Herr sagt: »Als ich dem Volk Israel zum ersten Mal begegnete, da war es, als hätte ich Trauben in der Wüste gefunden. Eure Vorfahren waren für mich wie die ersten köstlichen Früchte des Feigenbaums. Doch bald liefen sie dem Gott Baal-Peor nach und verschrieben sich diesem abscheulichen Götzen, ja, sie wurden genau wie er! 11Darum wird Ephraims Größe und Herrlichkeit so schnell schwinden, wie Vögel davonfliegen. Keine israelitische Frau wird mehr Nachwuchs bekommen, keine schwanger werden und ein Kind zur Welt bringen. 12Die Kinder, die sie dann noch großziehen, lasse ich sterben. Kein Einziges wird übrig bleiben. Ja, wehe den Israeliten, wenn ich ihnen den Rücken kehre! 13Ich hatte Ephraim wie eine junge Palme auf fruchtbarem Boden gepflanzt. Doch nun muss es seine Söhne an ihre Mörder ausliefern.«

14Ach, Herr, musst du sie wirklich zur Rechenschaft ziehen? Dann strafe sie damit, dass sie unfruchtbar werden und nie wieder ein Kind stillen können!

15Der Herr sagt: »In Gilgal hat sich gezeigt, wie verdorben sie sind, ja, dort habe ich angefangen, sie für ihre Bosheit und ihre Verbrechen zu hassen. Darum vertreibe ich sie jetzt aus meinem Land9,15 Wörtlich: Haus., ich will sie nicht länger lieben! Die führenden Männer des Volkes lehnen sich allesamt gegen mich auf. 16Ephraim ist wie ein toter Baum, seine Wurzeln sind vertrocknet, seine Zweige ohne Früchte. Und selbst wenn diesem Volk noch Kinder geboren werden, töte ich sie, ja, ich vernichte, was ihnen lieb und teuer ist!« 17Mein Gott wird die Leute von Ephraim verstoßen, weil sie nicht auf ihn hören. Als Flüchtlinge müssen sie bei fremden Völkern leben!