Hosea 9 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 9:1-17

Adhabu Kwa Israeli

19:1 Isa 22:12-13; 24:16; Za 73:27; Hos 7:14; 10:5; Mwa 30:15Usifurahie, ee Israeli;

usishangilie kama mataifa mengine.

Kwa kuwa hukuwa

mwaminifu kwa Mungu wako;

umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafu

ya kupuria nafaka.

29:2 Isa 24:7; Yoe 1:10; Hos 2:9Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai

havitalisha watu,

divai mpya itawapungukia.

39:3 Kum 4:26-27; Amo 7:17; Eze 4:13; Hos 7:16; 8:13; 10:5; Law 25:23Hawataishi katika nchi ya Bwana,

Efraimu atarudi Misri

na atakula chakula

kilicho najisi huko Ashuru.

49:4 Yer 6:20; 16:7; Kum 26:14; Hos 8:13; Hag 2:13-14; Yoe 2:14; Eze 4:13-14Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai

wala dhabihu zao hazitampendeza.

Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao

kama mkate wa waombolezaji;

nao wote wazilao watakuwa najisi.

Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe;

kisije katika Hekalu la Bwana.

59:5 Isa 10:3; Yer 5:31; Hos 2:11Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa,

katika siku za sikukuu za Bwana?

69:6 Isa 5:6; 19:13; Hos 7:11; 8:13; 10:8; Yer 42:22; Isa 32:13; 34:13Hata ikiwa wataokoka maangamizi,

Misri atawakusanya,

nayo Memfisi9:6 Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu. itawazika.

Hazina zao za fedha zitasongwa na michongoma,

nayo miiba itafunika mahema yao.

79:7 Mik 7:4; Lk 21:22; Yer 10:15; 16:18; 1Sam 10:11; Mao 2:14; Isa 34:8; 44:25; Ay 31:14; Eze 14:9-10Siku za adhabu zinakuja,

siku za malipo zimewadia.

Israeli na afahamu hili.

Kwa sababu dhambi zenu ni nyingi sana

na uadui wenu ni mkubwa sana,

nabii anadhaniwa ni mpumbavu,

mtu aliyeongozwa na Mungu

anaonekana mwendawazimu.

89:8 Hos 5:1; Eze 22:26; Yer 6:17; 31:6; Eze 3:17; 35:7Nabii, pamoja na Mungu wangu,

ndiye mlinzi juu ya Efraimu,

hata hivyo mitego inamngojea

katika mapito yake yote,

na uadui katika nyumba ya Mungu wake.

99:9 Amu 19:16-30; Hos 4:9; 8:13; 10:9; Sef 3:7Wamezama sana katika rushwa,

kama katika siku za Gibea.

Mungu atakumbuka uovu wao

na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.

109:10 Hes 25:1-5; Za 106:28-29; Yer 11:13; Hos 4:14; Wim 2:13“Nilipompata Israeli, ilikuwa kama

kupata zabibu jangwani;

nilipowaona baba zenu, ilikuwa kama kuona

matunda ya kwanza katika mtini.

Lakini walipofika Baal-Peori, walijiweka wakfu

kwa ile sanamu ya aibu,

nao wakawa najisi

kama kitu kile walichokipenda.

119:11 Hos 4:7; 10:5; Isa 17:3Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege:

hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba,

hakuna kutunga mimba.

129:12 Hos 7:13; Kum 31:17; Eze 24:21Hata wakilea watoto,

nitamuua kila mmoja.

Ole wao

nitakapowapiga kisogo!

139:13 Eze 27:3; Za 78:67; Ay 15:22; Mao 2:22Nimemwona Efraimu, kama Tiro,

aliyeoteshwa mahali pazuri.

Lakini Efraimu wataleta

watoto wao kwa mchinjaji.”

149:14 Lk 23:29; Hos 9:11; Lk 23:29Wape, Ee Bwana,

je, utawapa nini?

Wape matumbo ya kuharibu mimba

na matiti yaliyokauka.

159:15 Hos 4:9, 15; 5:2; 7:2; Isa 1:23; Yer 12:8“Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali,

niliwachukia huko.

Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi,

nitawafukuza katika nyumba yangu.

Sitawapenda tena,

viongozi wao wote ni waasi.

169:16 Hos 5:11; 8:7; Ay 15:32Efraimu ameharibiwa,

mzizi wao umenyauka,

hawazai tunda.

Hata kama watazaa watoto,

nitawachinja watoto wao

waliotunzwa vizuri.”

179:17 Hos 4:10; 7:13; Kum 28:65; Yer 6:30Mungu wangu atawakataa

kwa sababu hawakumtii;

watakuwa watu wa kutangatanga

miongoni mwa mataifa.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Oseas 9:1-17

El castigo a Israel

1No te alegres, Israel;

no hagas fiesta como las naciones,

porque te has prostituido.

¡Le has sido infiel a tu Dios!

Prefieres la paga de prostituta

que recibes en todos los trigales.9:1 trigales. Lit. eras.

2Ni el trigo ni las uvas podrán alimentarlos;

el vino nuevo no tendrá el gusto que esperaban.

3No habitarán en la tierra del Señor;

Efraín regresará a Egipto

y comerá inmundicias en Asiria.

4No le ofrecerán al Señor más libaciones de vino,

ni le serán gratos sus sacrificios.

Se les volverá pan de lágrimas;

quienes lo coman quedarán impuros.

Tal vez les sirva para matar el hambre,

pero no tendrá cabida en la casa del Señor.

5¿Qué haréis vosotros en los días de fiesta,

o en las peregrinaciones en honor del Señor?

6Aunque escapen de la destrucción,

los recogerá Egipto y los enterrará Menfis.

Sus tesoros de plata se llenarán de ortigas,

y los espinos invadirán sus tiendas.

7Han llegado los días del castigo,

han llegado los días de la retribución.

¡Que lo sepa Israel!

Es tan grande tu maldad,

y tan intensa tu hostilidad,

que al profeta se le tiene por necio,

y al hombre inspirado, por loco.

8El profeta, junto con Dios,

es el centinela de Efraín,9:8 El profeta … de Efraín. Alt. El profeta es el centinela de Efraín, / el pueblo de mi Dios.

pero enfrenta trampas en todos sus caminos,

y hostilidad en la casa de su Dios.

9Han llegado al colmo de la corrupción,

como en los días de Guibeá;

¡pero Dios se acordará de sus perversidades

y los castigará por sus pecados!

10«Cuando encontré a Israel,

fue como hallar uvas en el desierto;

cuando vi a vuestros antepasados,

fue como ver higos tiernos en la higuera.

Pero ellos se fueron a Baal Peor

y se entregaron a la vergüenza;

¡se volvieron tan detestables

como el objeto de su amor!

11El esplendor de Efraín saldrá volando, como un ave;

no habrá más concepción ni embarazo ni nacimiento.

12Y aun cuando vean crecer a sus hijos,

yo los arrebataré de este mundo.

¡Ay de ellos cuando los abandone!

13He visto a Efraín y a Tiro plantados en una pradera.9:13 He visto … pradera. Texto de difícil traducción.

¡Pero Efraín entregará sus hijos al verdugo!»

14Dales, Señor… ¿qué les darás?

¡Dales vientres que aborten y pechos resecos!

15«Toda su maldad comenzó en Guilgal;

allí comencé a aborrecerlos.

Por causa de sus maldades,

los expulsaré de mi casa.

No volveré a amarlos,

pues todas sus autoridades son rebeldes.

16Efraín se ha marchitado:

su raíz se secó y no produce fruto.

Aunque llegue a tener hijos,

mataré el precioso fruto de su vientre».

17Porque no le obedecieron, mi Dios los rechazará;

¡andarán errantes entre las naciones!