Hosea 6 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 6:1-11

Israeli Asiye Na Toba

16:1 Ay 16:9; Kum 32:39; Mao 3:11; Ay 5:18; Isa 10:20; 19:22; Hes 12:13; Yer 3:22; 30:17; Hos 14:4“Njooni, tumrudie Bwana.

Ameturarua vipande vipande

lakini atatuponya;

ametujeruhi lakini

atatufunga majeraha yetu.

26:2 Mit 2:1-9; Za 80:18; 30:5; Mt 16:21Baada ya siku mbili atatufufua;

katika siku ya tatu atatuinua,

ili tuweze kuishi mbele zake.

36:3 Ay 4:3; 29:23; Yoe 2:23; Hos 12:6; Za 72:6; Hos 11:10Tumkubali Bwana,

tukaze kumkubali yeye.

Kutokea kwake ni hakika kama vile

kuchomoza kwa jua;

atatujia kama mvua za masika,

kama vile mvua za vuli

ziinyweshavyo nchi.”

46:4 Hos 11:8; 7:1; 13:3“Nifanye nini nawe, Efraimu?

Nifanye nini nawe, Yuda?

Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi,

kama umande wa alfajiri utowekao.

56:5 Yer 5:14; 23:29; Ebr 4:12; Yer 1:9-10Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande

kwa kutumia manabii wangu;

nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu,

hukumu zangu zinawaka

kama umeme juu yenu.

66:6 1Sam 15:22; Mk 12:33; Yer 4:22; Hos 2:20; Mit 21:3; Mt 12:7; Za 40:6Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu,

kumkubali Mungu zaidi

kuliko sadaka za kuteketezwa.

76:7 Mwa 9:11; Yer 11:10; Hos 5:7; 8:1Wamevunja Agano kama Adamu:

huko hawakuwa waaminifu kwangu.

86:8 Hos 12:11Gileadi ni mji wenye watu waovu,

umetiwa madoa kwa nyayo za damu.

96:9 Yer 5:30-31; Eze 22:9; Za 10:8; Hos 4:2; Yer 7:9-10Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu,

ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo;

wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu,

wakifanya uhalifu wa aibu.

106:10 Yer 5:31; Eze 23:7; Yer 23:14; Hos 5:3Nimeona jambo la kutisha

katika nyumba ya Israeli.

Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba

na Israeli amenajisika.

116:11 Yoe 3:12-13; Yer 51:33“Pia kwa ajili yako, Yuda,

mavuno yameamriwa.

“Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,

Het Boek

Hosea 6:1-11

Gods verlangen naar Israël

1‘Zij zullen zeggen: “Kom, laten we teruggaan naar de Here. Hij heeft ons verscheurd, Hij zal ons ook genezen. Hij heeft ons geslagen, Hij zal ook onze wonden verbinden. 2Hij zal ons na twee dagen weer overeind helpen en op de derde dag zullen wij, weer helemaal opgeknapt, met Hem leven. 3Ja, wij verlangen naar de Here en Hij zal daarop reageren, zo zeker als de komst van dauw of regen in het vroege voorjaar.”

4Wat zal Ik met u doen, Israël en Juda? Want uw liefde verdwijnt als wolken in de morgen en verdampt als dauw in de vroege ochtend. 5Ik stuurde mijn profeten om u te waarschuwen voor uw ondergang. Ik heb u harde klappen toegebracht met mijn woorden en met de dood bedreigd. Onverwacht werd u getroffen door mijn veroordeling, als door een plotseling doorbrekend licht. 6Ik wil uw offers niet, Ik wil uw liefde. Ik hoef uw brandoffers niet, Ik wil dat u Mij kent.

7Maar u bent net als Adam: u hebt mijn verbond verbroken en bent Mij zo ontrouw geworden. 8De bewoners van Gilead zijn misdadigers, de stad is vol bloedsporen. 9Zij zijn als een bende bandieten die loert op slachtoffers. Troepen priesters plegen moorden op de weg naar Sichem en bedrijven schandelijke misdaden. 10Ik heb in Israël iets afschuwelijks gezien: Israël liep afgoden achterna en werd zo verontreinigd. 11Ook u, Juda, zult uw straf nog oogsten. En Ik wilde u zo graag bevrijden!’