Hosea 14 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 14:1-9

Toba Iletayo Baraka

114:1 Hos 5:5; 9:7; 12:6; Yer 3:12; Isa 19:22Rudi, ee Israeli, kwa Bwana Mungu wako.

Dhambi zako zimekuwa

ndilo anguko lako!

214:2 Rum 8:26; Za 51:16-17; Mik 7:18-19; Ebr 13:15; Kut 34:9Chukueni maneno pamoja nanyi,

mkamrudie Bwana.

Mwambieni:

“Samehe dhambi zetu zote

na utupokee kwa neema,

ili tuweze kutoa matunda yetu

kama sadaka za mafahali.

314:3 Mik 5:10; Isa 31:1; Hos 5:13; 8:6; Yer 49:11; Za 10:14; 33:17Ashuru hawezi kutuokoa,

hatutapanda farasi wa vita.

Kamwe hatutasema tena ‘Miungu yetu’

kwa kile ambacho mikono yetu wenyewe imetengeneza,

kwa kuwa kwako wewe yatima hupata huruma.”

414:4 Isa 30:26; 55:1; Hos 6:1; Yer 2:19; 31:20; Sef 3:17; Ay 13:16“Nitaponya ukaidi wao

na kuwapenda kwa hiari yangu,

kwa kuwa hasira yangu imeondoka kwao.

514:5 Wim 2:1; Isa 18:4; 35:2; Ay 29:19; Mwa 27:28Nitakuwa kama umande kwa Israeli;

atachanua kama yungiyungi.

Kama mwerezi wa Lebanoni

atashusha mizizi yake chini;

614:6 Za 52:8; 92:12; Yer 11:16; Wim 4:11matawi yake yatatanda.

Fahari yake itakuwa kama mti wa mzeituni,

harufu yake nzuri kama mwerezi wa Lebanoni.

714:7 Za 91:1-4; Hos 2:22; Eze 17:23; Mwa 40:10Watu wataishi tena kwenye kivuli chake.

Atastawi kama nafaka.

Atachanua kama mzabibu,

nao umaarufu wake utakuwa

kama divai itokayo Lebanoni.

814:8 Yer 31:18; Yak 1:17; Isa 37:24Ee Efraimu, nina shughuli gani tena na sanamu?

Nitamjibu na kumtunza.

Mimi ni kama msunobari wenye majani mabichi;

kuzaa kwako matunda kunatoka kwangu.”

914:9 Za 107:43; Mit 10:29; Dan 12:10; Sef 3:5; Mdo 13:10; Isa 1:28; 26:7Ni nani mwenye hekima? Atayatambua mambo haya.

Ni nani mwenye ufahamu? Huyu atayaelewa.

Njia za Bwana ni adili;

wenye haki huenda katika njia hizo,

lakini waasi watajikwaa ndani yake.

Japanese Contemporary Bible

ホセア書 14:1-9

14

祝福をもたらす悔い改め

1イスラエルよ、あなたの神、主のところに帰りなさい。

あなたは自分の罪によってたたきのめされたのだから。

2願い事を携えて来なさい。

主のもとへ来て、こう言うのです。

「主よ、私たちの罪を取り去り、

恵みによって私たちを受け入れてください。

私たちは賛美のいけにえをささげます。

3アッシリヤは私たちを救えません。

私たちの戦力も救えません。

もう二度と、自分たちの作った偶像を

『私たちの神』と呼びません。

主よ、みなしごは、あなたの中にしか、

あわれみを見つけることができないのです。」

4「その時、おまえたちの偶像礼拝と不信の罪をいやそう。

わたしの愛は尽きることがない。

わたしの怒りは永久に消え去った。

5わたしは天からの露のようにイスラエルを潤すので、

イスラエルはゆりのように花を咲かせ、

レバノン杉のように土の中に深く根を張る。

6枝はオリーブの木のように美しく伸びて広がり、

レバノンの森のように良い香りがする。

7イスラエルの民は遠い地での捕囚から帰り、

わたしの陰にいこうようになる。

彼らは水をまいた庭園のようになり、

ぶどうの木のように花を咲かせ、

レバノンのぶどう酒のように良い香りを放つ。

8エフライムよ、偶像から離れよ。

わたしは生きていて、力強い。

わたしがあなたの世話をし、面倒を見る。

わたしは常磐木のように、

一年中、あなたのために実をむすぶ。

わたしのあわれみは決して絶えることがない。」

9賢い者はみな、これらのことを悟りなさい。

知恵のある者はみな、聞きなさい。

主の道は真実で正しく、良い人はその道を歩みます。

しかし罪人は、その道を歩こうとして失敗します。