Hosea 11 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 11:1-12

Upendo Wa Mungu Kwa Israeli

111:1 Kut 4:22; Mt 2:15; Yer 2:2; Eze 16:22; Hos 12:9; 13:4“Wakati Israeli alipokuwa mtoto, nilimpenda,

nilimwita mwanangu kutoka Misri.

211:2 Hos 2:13; 4:13; 2Fal 17:15; Isa 65:7; Yer 18:15Lakini kadiri nilivyomwita Israeli,

ndivyo walivyokwenda mbali nami.

Walitoa dhabihu kwa Mabaali

na kufukiza uvumba kwa vinyago.

311:3 Kum 1:31; 32:11; Kut 15:26; Yer 30:17Mimi ndiye niliyemfundisha Efraimu kutembea,

nikiwashika mikono;

lakini hawakutambua

kuwa ni mimi niliyewaponya.

411:4 Yer 31:2-3, 20; Law 26:13; Kut 16:32; Za 78:25Niliwaongoza kwa kamba za huruma ya kibinadamu,

kwa vifungo vya upendo;

niliondoa nira shingoni mwao

nami nikainama kuwalisha.

511:5 Yer 8:4-6; Hos 7:16; 10:6; Kut 13:17“Je, hawatarudi Misri,

nayo Ashuru haitawatawala

kwa sababu wamekataa kutubu?

611:6 Hos 13:16; Mao 2:9Panga zitametameta katika miji yao,

zitaharibu makomeo ya malango yao

na kukomesha mipango yao.

711:7 Yer 3:6-7; 8:5; Isa 26:10Watu wangu wamedhamiria kuniacha.

Hata kama wakimwita Yeye Aliye Juu Sana,

kwa vyovyote hatawainua.

811:8 Mwa 14:8; 19:25; Hos 6:4; Mao 3:32; Yer 7:29; Za 25:6; 1Fal 3:26“Efraimu, ninawezaje kukuacha?

Ee Israeli, ninawezaje kukutoa?

Nitawezaje kukutendea kama Adma?

Nitawezaje kukufanya kama Seboimu?

Moyo wangu umegeuka ndani yangu,

huruma zangu zote zimeamshwa.

911:9 Kum 13:17Sitatimiza hasira yangu kali,

wala sitageuka na kumharibu Efraimu.

Kwa kuwa mimi ndimi Mungu,

wala si mwanadamu,

Aliye Mtakatifu miongoni mwenu.

Sitakuja kwa ghadhabu.

1011:10 Hos 3:5; 6:1-3; Isa 31:4; 42:13; Za 18:45Watamfuata Bwana;

atanguruma kama simba.

Wakati angurumapo,

watoto wake watakuja wakitetemeka

kutoka magharibi.

1111:11 Isa 11:11; Mwa 8:8; Eze 28:26; 34:25-28Watakuja wakitetemeka

kama ndege wakitoka Misri,

kama hua wakitoka Ashuru.

Nitawakalisha katika nyumba zao,”

asema Bwana.

Dhambi Ya Israeli

1211:12 Hos 4:2; 10:13; Kum 7:9Efraimu amenizunguka kwa uongo,

nyumba ya Israeli kwa udanganyifu.

Naye Yuda ni mkaidi dhidi ya Mungu,

hata kinyume cha yule mwaminifu Aliye Mtakatifu.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

何西阿书 11:1-12

耶和华对以色列的爱

1耶和华说:

以色列年幼时,我就爱他,

视他为儿子,把他从埃及召出来。

2可是,我越召唤他们,他们就跑得越远,

巴力献祭,向偶像烧香。

3是我教以法莲学步,张开双臂抱他们,

他们却不知道是我医治他们。

4我用慈绳爱索牵引他们,

解开他们所负的重轭,

弯腰喂养他们。

5“他们要返回埃及

亚述要统治他们,

因为他们不肯归向我。

6刀剑之灾要临到他们的城邑,

毁坏他们的城门,将他们吞噬,

因为他们倚仗自己的计谋。

7我的子民执意离我而去,

他们虽然求告至高的我,

我也不会拯救他们。

8以法莲啊,我怎能舍弃你?

以色列啊,我怎能弃绝你?

我怎能使你的下场如押玛

我怎能对待你如对待洗扁

我的心意改变,我满怀怜爱。

9我不再发烈怒,

也不再毁灭以法莲

因为我是上帝,不是世人,

是住在你们中间的圣者,

我必不带着烈怒来临。

10以色列子民必跟随耶和华,

祂要像狮子一样吼叫。

祂吼叫的时候,

他们要战战兢兢地从西方来。

11他们必战战兢兢地来,

就像从埃及赶来的鸟儿,

像从亚述飞来的鸽子。

我要带他们返回家园。

这是耶和华说的。”

对以色列和犹大的指控

12耶和华说:

以法莲用谎话包围我,

以色列家用诡诈环绕我;

犹大依然背离圣洁、信实的上帝11:12 犹大依然背离圣洁、信实的上帝”或译为“犹大却与上帝同行,忠于圣者”。