Upendo Wa Mungu Kwa Israeli
111:1 Kut 4:22; Mt 2:15; Yer 2:2; Eze 16:22; Hos 12:9; 13:4“Wakati Israeli alipokuwa mtoto, nilimpenda,
nilimwita mwanangu kutoka Misri.
211:2 Hos 2:13; 4:13; 2Fal 17:15; Isa 65:7; Yer 18:15Lakini kadiri nilivyomwita Israeli,
ndivyo walivyokwenda mbali nami.
Walitoa dhabihu kwa Mabaali
na kufukiza uvumba kwa vinyago.
311:3 Kum 1:31; 32:11; Kut 15:26; Yer 30:17Mimi ndiye niliyemfundisha Efraimu kutembea,
nikiwashika mikono;
lakini hawakutambua
kuwa ni mimi niliyewaponya.
411:4 Yer 31:2-3, 20; Law 26:13; Kut 16:32; Za 78:25Niliwaongoza kwa kamba za huruma ya kibinadamu,
kwa vifungo vya upendo;
niliondoa nira shingoni mwao
nami nikainama kuwalisha.
511:5 Yer 8:4-6; Hos 7:16; 10:6; Kut 13:17“Je, hawatarudi Misri,
nayo Ashuru haitawatawala
kwa sababu wamekataa kutubu?
611:6 Hos 13:16; Mao 2:9Panga zitametameta katika miji yao,
zitaharibu makomeo ya malango yao
na kukomesha mipango yao.
711:7 Yer 3:6-7; 8:5; Isa 26:10Watu wangu wamedhamiria kuniacha.
Hata kama wakimwita Yeye Aliye Juu Sana,
kwa vyovyote hatawainua.
811:8 Mwa 14:8; 19:25; Hos 6:4; Mao 3:32; Yer 7:29; Za 25:6; 1Fal 3:26“Efraimu, ninawezaje kukuacha?
Ee Israeli, ninawezaje kukutoa?
Nitawezaje kukutendea kama Adma?
Nitawezaje kukufanya kama Seboimu?
Moyo wangu umegeuka ndani yangu,
huruma zangu zote zimeamshwa.
911:9 Kum 13:17Sitatimiza hasira yangu kali,
wala sitageuka na kumharibu Efraimu.
Kwa kuwa mimi ndimi Mungu,
wala si mwanadamu,
Aliye Mtakatifu miongoni mwenu.
Sitakuja kwa ghadhabu.
1011:10 Hos 3:5; 6:1-3; Isa 31:4; 42:13; Za 18:45Watamfuata Bwana;
atanguruma kama simba.
Wakati angurumapo,
watoto wake watakuja wakitetemeka
kutoka magharibi.
1111:11 Isa 11:11; Mwa 8:8; Eze 28:26; 34:25-28Watakuja wakitetemeka
kama ndege wakitoka Misri,
kama hua wakitoka Ashuru.
Nitawakalisha katika nyumba zao,”
asema Bwana.
Dhambi Ya Israeli
1211:12 Hos 4:2; 10:13; Kum 7:9Efraimu amenizunguka kwa uongo,
nyumba ya Israeli kwa udanganyifu.
Naye Yuda ni mkaidi dhidi ya Mungu,
hata kinyume cha yule mwaminifu Aliye Mtakatifu.
耶和华对以色列的爱
1耶和华说:
“以色列年幼时,我就爱他,
视他为儿子,把他从埃及召出来。
2可是,我越召唤他们,他们就跑得越远,
给巴力献祭,向偶像烧香。
3是我教以法莲学步,张开双臂抱他们,
他们却不知道是我医治他们。
4我用慈绳爱索牵引他们,
解开他们所负的重轭,
弯腰喂养他们。
5“他们要返回埃及,
亚述要统治他们,
因为他们不肯归向我。
6刀剑之灾要临到他们的城邑,
毁坏他们的城门,将他们吞噬,
因为他们倚仗自己的计谋。
7我的子民执意离我而去,
他们虽然求告至高的我,
我也不会拯救他们。
8以法莲啊,我怎能舍弃你?
以色列啊,我怎能弃绝你?
我怎能使你的下场如押玛?
我怎能对待你如对待洗扁?
我的心意改变,我满怀怜爱。
9我不再发烈怒,
也不再毁灭以法莲。
因为我是上帝,不是世人,
是住在你们中间的圣者,
我必不带着烈怒来临。
10“以色列子民必跟随耶和华,
祂要像狮子一样吼叫。
祂吼叫的时候,
他们要战战兢兢地从西方来。
11他们必战战兢兢地来,
就像从埃及赶来的鸟儿,
像从亚述飞来的鸽子。
我要带他们返回家园。
这是耶和华说的。”
对以色列和犹大的指控
12耶和华说:
“以法莲用谎话包围我,
以色列家用诡诈环绕我;
犹大依然背离圣洁、信实的上帝11:12 “犹大依然背离圣洁、信实的上帝”或译为“犹大却与上帝同行,忠于圣者”。。