Hosea 10 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 10:1-15

110:1 Eze 15:2; 1Fal 14:23; Hos 4:7; 8:11; 12:11; 13:15Israeli alikuwa mzabibu uliostawi sana,

alijizalia matunda mwenyewe.

Kadiri matunda yake yalivyoongezeka,

alijenga madhabahu zaidi;

kadiri nchi yake ilivyostawi,

alipamba mawe yake ya ibada.

210:2 1Fal 18:21; Hos 13:16; Mik 5:13Moyo wao ni mdanganyifu,

nao sasa lazima wachukue hatia yao.

Bwana atabomoa madhabahu zao

na kuharibu mawe yao ya ibada.

310:3 Mik 4:9Kisha watasema, “Hatuna mfalme

kwa sababu hatukumheshimu Bwana.

Lakini hata kama tungelikuwa na mfalme,

angeweza kutufanyia nini?”

410:4 Hos 4:2; Eze 17:19; Amo 5:7; 6:12; Hos 4:2; Eze 17:19; Amo 5:7; 6:12Wanaweka ahadi nyingi,

huapa viapo vya uongo

wanapofanya mapatano;

kwa hiyo mashtaka huchipuka

kama magugu ya sumu

katika shamba lililolimwa.

510:5 Hos 5:8; 8:5-6; 2Fal 23:5; Sef 1:4; Amu 18:17-18; 1Fal 12:28; Kut 32:4; Isa 44:17-20Watu wanaoishi Samaria huogopa

kwa ajili ya sanamu ya ndama ya Beth-Aveni.10:5 Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.

Watu wake wataiombolezea,

vivyo hivyo kuhani wake wa kuabudu sanamu,

wale waliokuwa wamefurahia fahari yake,

kwa sababu itaondolewa kutoka kwao

kwenda uhamishoni.

610:6 2Fal 16:7; Hos 4:7; 5:13; 11:5; Isa 30:3; Amu 3:15; Yer 48:13Itachukuliwa kwenda Ashuru

kama ushuru kwa mfalme mkuu.

Efraimu atafedheheshwa;

Israeli ataaibika kwa ajili ya sanamu zake za mti.

710:7 Hos 13:11; 10:15Samaria na mfalme wake wataelea

kama kijiti juu ya uso wa maji.

810:8 1Fal 12:28-30; Hos 9:6; Kum 9:21; Ufu 6:16; Isa 32:13; Amo 3:14-15; 7:9; Ay 30:6; Eze 6:6; Lk 23:30Mahali pa kuabudia sanamu pa uovu10:8 Yaani Aveni kwa Kiebrania, kumaanisha Beth-Aveni, jina lingine la Betheli kwa dhihaka. pataharibiwa:

ndiyo dhambi ya Israeli.

Miiba na mibaruti itaota

na kufunika madhabahu zao.

Kisha wataiambia milima, “Tufunikeni!”

na vilima, “Tuangukieni!”

910:9 Hos 5:8; Ay 7:11“Tangu siku za Gibea, mmetenda dhambi, ee Israeli,

huko ndiko mlikobaki.

Je, vita havikuwapata

watenda mabaya huko Gibea?

1010:10 Eze 5:13; Hos 4:9; Amo 8:14Wakati nitakapopenda, nitawaadhibu;

mataifa yatakusanywa dhidi yao

ili kuwaweka katika vifungo

kwa ajili ya dhambi zao mbili.

1110:11 Yer 15:12; 31:18Efraimu ni mtamba wa ngʼombe aliyefundishwa

ambaye hupenda kupura,

hivyo nitamfunga nira

juu ya shingo yake nzuri.

Nitamwendesha Efraimu,

Yuda lazima alime,

naye Yakobo lazima avunjavunje

mabonge ya udongo.

1210:12 Mit 11:18; Yak 3:18; Hos 12:6; Isa 19:22; 45:8; Mhu 11:1; Yer 4:3Jipandieni wenyewe haki,

vuneni matunda ya upendo usio na kikomo,

vunjeni ardhi yenu isiyolimwa;

kwa kuwa ni wakati wa kumtafuta Bwana,

mpaka atakapokuja

na kuwanyeshea juu yenu haki.

1310:13 Ay 4:8; Gal 6:7-8; Za 33:16; Mit 22:8; Hos 7:3; 8:7; 11:12Lakini mmepanda uovu,

mkavuna ubaya,

mmekula tunda la udanganyifu.

Kwa sababu mmetegemea nguvu zenu wenyewe

na wingi wa mashujaa wenu,

1410:14 Isa 13:16; 17:3; Mik 5:11; Hos 13:16; 2Fal 17:3mngurumo wa vita utainuka dhidi ya watu wako,

ili kwamba ngome zako zote zitaharibiwa:

kama Shalmani alivyoharibu Beth-Arbeli katika siku ile ya vita,

wakati mama pamoja na watoto wao

walipotupwa kwa nguvu ardhini.

1510:15 Hos 10:7Ndivyo itakavyotokea kwako, ee Betheli,

kwa sababu uovu wako ni mkuu.

Siku ile itakapopambazuka,

mfalme wa Israeli ataharibiwa kabisa.

Swedish Contemporary Bible

Hosea 10:1-15

Hosea predikar straffdom

1Israel var en grönskande vinstock,

som bar frukt.

Men ju mer frukt han bar,

desto mer offeraltaren byggde han.

Ju rikare hans land blev,

desto fler utsmyckade stoder reste han.

2Deras hjärtan var bedrägliga,

så nu får de bära sin skuld.

Herren ska bryta ner deras altaren

och krossa deras stoder.

3Då ska de säga: ”Vi har ingen kung,

för vi har inte fruktat Herren.

Men vad gör det?

Vad skulle kungen kunna uträtta för oss?”

4De talar och talar,

de svär eder

och sluter förbund.

Domen skjuter upp

som giftigt ogräs i åkerns fåror.

5Samariens invånare fruktar

för kalven10:5 Egentligen kvigor; här följer översättningen bl.a. Septuaginta. i Bet Aven.

Dess folk sörjer över den,

dess avgudapräster klagar,

de som gladde sig över dess ära,

för den har förts bort i exil.

6Också den ska släpas bort till Assyrien

som tribut till den store kungen.

Efraim ska komma på skam,

Israel får skämmas för sin plan10:6 Ordet kan också syfta på en avgud av trä..

7Samarien med dess kung ska flyta bort

som en pinne på vattnet.

8Ondskans10:8 Eller: Avens offerhöjder. offerhöjder läggs öde

– de var Israels synd.

Törne och tistel ska växa på deras altaren,

och de ska säga till bergen: ”Dölj oss!”

och till höjderna: ”Fall över oss!”

9”Sedan tiden i Giva

har du, Israel, syndat.

Där har de blivit kvar.

Men nådde inte kriget de onda i Giva?

10När jag vill straffar jag dem.

Folken ska samlas mot dem

för att binda dem

för deras dubbla synd.10:10 Grundtextens innebörd är osäker.

11Efraim är en kviga,

van vid och villig att tröska,

så jag ska lägga ett ok

på dess vackra nacke.

Jag ska driva Efraim,

Juda ska plöja

och Jakob ska harva.

12Så åt er rättfärdighet,

skörda efter nådens bud,

bryt er ny mark!

Nu är det dags att söka Herren,

så att han kan komma

och låta rättfärdighet regna över er.

13Ni har plöjt ondska

och skördat orättfärdighet,

ni har ätit lögnens frukt.

För du har förlitat dig på din egen väg

och på dina många soldater.

14Därför ska ett stridslarm uppstå mot ditt folk,

och alla dina fästningar

ska ödeläggas,

så som när Shalman ödelade Bet Arbel,

när striden bröt ut

och mödrar och barn krossades.

15Så gör man mot er, Betel,

på grund av er stora ondska.

När dagen gryr

är det slut med Israels kung.