Hesabu 5 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 5:1-31

Utakaso Wa Kambi

1Bwana akamwambia Mose, 25:2 Law 13:2, 3; 15:2; 21:11; Mt 9:20; Hes 9:6-10; 12:14; Kum 23:10; 2Fal 5:27; 2Nya 26:20; Isa 52:11; Lk 17:12“Waamuru Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu yeyote ambaye ana ugonjwa wa ngozi uambukizao,5:2 Ugonjwa wa ngozi uambukizao hapa ina maana ya ukoma. au anayetokwa na majimaji ya aina yoyote, au ambaye ni najisi kwa utaratibu wa ibada kwa sababu ya maiti. 35:3 Kut 29:45; Law 26:12; 2Kor 6:16; Kut 25:8; Yos 22:19; Eze 37:26-28; Zek 2:10Hii itakuwa ni kwa wote, yaani, wanaume na wanawake; watoeni nje ya kambi ili wasije wakanajisi kambi yao, ambamo ninaishi miongoni mwao.” 4Waisraeli wakafanya hivyo; wakawatoa nje ya kambi. Wakafanya kama vile Bwana alivyokuwa amemwelekeza Mose.

Malipo Kwa Ajili Ya Makosa

5Bwana akamwambia Mose, 65:6 Law 6:2; 5:14–6:7“Waambie Waisraeli, ‘Wakati mwanaume au mwanamke akimkosea mwenzake kwa njia yoyote, na kwa hivyo akawa si mwaminifu kwa Bwana, mtu huyo ana hatia, 75:7 Law 5:5, 16; 6:5; Lk 19:8; Yos 7:19na ni lazima atubu dhambi aliyoifanya. Ni lazima atoe malipo kamili kwa ajili ya kosa lake, aongeze sehemu ya tano juu ya malipo hayo na kutoa yote kwa mtu aliyemkosea. 85:8 Law 5:15; 6:6-7Lakini ikiwa mtu huyo hana jamaa ya karibu ambaye malipo yanaweza kufanywa kwa ajili ya kosa, malipo yatakuwa mali ya Bwana, nayo ni lazima apewe kuhani, pamoja na kondoo dume ambaye anatumika kufanyia upatanisho kwa ajili yake. 95:9 Law 6:17; 7:6-14; Kut 29:28Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake. 105:10 Law 7:29-34; 10:13Kila kitu cha mtu kilichowekwa wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’ ”

Jaribio Kwa Ajili Ya Mke Asiye Mwaminifu

11Kisha Bwana akamwambia Mose, 125:12 Kut 20:14; Mit 2:16; 7:10-27; Hos 4:13“Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe, 135:13 Kut 20:14; Law 18:20; 18:20; 20:10; Mit 30:20kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine, tendo hili likafichika kwa mumewe na unajisi wake usigundulike (kwa kuwa hakuna ushahidi dhidi yake, naye hakukamatwa katika tendo hilo), 145:14 Mit 6:34; 27:4; Wim 8:6; Isa 19:14nazo hisia za wivu zikamjia mumewe na kumshuku mkewe, naye mke yule ni najisi, au mumewe ana wivu na akamshuku ingawa si najisi, 155:15 Kut 16:36; Law 6:20; Eze 21:23; 29:16; Law 5:11; 1Fal 17:18basi atampeleka mkewe kwa kuhani. Huyo mume itampasa apeleke pia sadaka ya unga wa shayiri kiasi cha sehemu ya kumi ya efa5:15 Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja. kwa niaba ya mkewe. Huyo mwanaume kamwe asimimine mafuta juu ya huo unga wala asiweke uvumba juu yake, kwa sababu ni sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu, sadaka ya ukumbusho ili kukumbushia uovu.

165:16 Yer 17:10; 1Nya 28:9; Ebr 13:4“ ‘Kuhani atamleta huyo mwanamke na kumsimamisha mbele za Bwana. 17Kisha kuhani atachukua sehemu ya maji matakatifu ndani ya gudulia la udongo na kuchanganya na baadhi ya vumbi kutoka sakafu ya Maskani. 185:18 Law 10:6; 1Kor 11:6Baada ya kuhani kumsimamisha huyo mwanamke mbele za Bwana, atazifungua nywele za huyo mwanamke na kuweka sadaka ya ukumbusho mikononi mwake, ile sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu, huku kuhani mwenyewe akishikilia yale maji machungu yaletayo laana. 19Kisha kuhani atamwapiza huyo mwanamke, akimwambia, “Ikiwa hakuna mwanaume mwingine aliyekutana kimwili nawe, wala hujapotoka na kuwa najisi wakati ukiwa umeolewa na mumeo, maji haya machungu yaletayo laana na yasikudhuru. 20Lakini ikiwa umepotoka wakati ukiwa umeolewa na mume wako na umejinajisi mwenyewe kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine asiyekuwa mumeo”; 215:21 Yos 6:26; 1Sam 14:24; Neh 10:29; Mwa 9:25; Isa 65:15; Yer 29:22hapa kuhani atamweka huyo mwanamke chini ya laana ya kiapo akisema: “Bwana na awafanye watu wako wakulaani na kukukataa, wakati Bwana atakapolifanya paja lako kupooza na tumbo lako kuvimba. 225:22 Za 109:18; Kum 27:15Maji haya yaletayo laana na yaingie ndani ya mwili wako ili tumbo lako livimbe na paja lako lipooze.”5:22 Paja lipooze hapa ina maana ya kuwa tasa au kuharibu mimba.

“ ‘Kisha mwanamke atasema, “Amen. Iwe hivyo.”

235:23 Yer 45:1“ ‘Kuhani ataandika laana hizi kwenye kitabu, kisha atazioshea laana hizo kwenye yale maji machungu. 24Kuhani atamnywesha yule mwanamke yale maji machungu yaletayo laana, nayo maji haya yatamwingia na kumsababishia maumivu makali. 255:25 Law 8:27; Kum 29:24Kuhani atachukua sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu kutoka mikononi mwa huyo mwanamke, naye ataipunga mbele za Bwana na kuileta madhabahuni. 26Kisha kuhani atachota sadaka ya nafaka mkono uliojaa kama sehemu ya kumbukumbu na kuiteketeza juu ya madhabahu, baada ya hayo, atamtaka huyo mwanamke anywe yale maji. 275:27 Isa 43:28; 65:15; Yer 26:6; 29:18; 42:18; 44:12, 22; Zek 8:13Kama amejitia unajisi na kukosa uaminifu kwa mumewe, wakati anapotakiwa anywe maji yale yaletayo laana, yatamwingia na kusababisha maumivu makali; tumbo lake litavimba na paja lake litapooza, naye atakuwa amelaaniwa miongoni mwa watu wake. 285:28 Ay 17:8-9; Za 47:5-6; Rum 5:3-5Hata hivyo, ikiwa huyo mwanamke hakujitia unajisi, naye ni safi, atasafishwa hatia na ataweza kuzaa watoto.

29“ ‘Basi, hii ndiyo sheria ya wivu mwanamke anapopotoka na kujitia unajisi akiwa ameolewa na mumewe, 30au hisia za wivu zinapomjia mwanaume kwa sababu ya kumshuku mkewe. Kuhani atamfanya huyo mwanamke kusimama mbele za Bwana na atatumia sheria hii yote kwa huyo mwanamke. 315:31 Law 5:1; 20:17; Eze 18:4; Rum 2:8-9Mume atakuwa hana hatia ya kosa lolote, bali mwanamke atayachukua matokeo ya dhambi yake.’ ”

Thai New Contemporary Bible

กันดารวิถี 5:1-31

ความบริสุทธิ์ของค่าย

1องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสว่า 2“จงสั่งประชากรอิสราเอลให้ส่งคนที่เป็นโรคผิวหนัง5:2 โดยปกติแปลว่า โรคเรื้อน แต่คำภาษาฮีบรูอาจหมายถึงโรคผิวหนังชนิดต่างๆ ไม่จำเป็นต้องหมายถึงโรคเรื้อนเท่านั้นผู้มีสิ่งที่หลั่งออกหรือผู้ที่เป็นมลทินตามระเบียบพิธีเพราะไปแตะต้องซากศพ ออกไปจากค่าย 3ไม่ว่าจะเป็นหญิงหรือชาย จงส่งคนเหล่านี้ออกไปนอกค่าย เพื่อไม่ให้เป็นมลทินแก่ค่ายพักซึ่งเราอยู่ท่ามกลางพวกเขา” 4ชาวอิสราเอลก็ปฏิบัติตามโดยส่งคนเหล่านั้นออกไปนอกค่ายตามที่องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงบัญชาโมเสส

การชดใช้เมื่อทำผิด

5องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสว่า 6“จงแจ้งประชากรอิสราเอลว่า ‘เมื่อหญิงหรือชายใดทำผิดต่อคนอื่นอย่างหนึ่งอย่างใด ผู้นั้นย่อมมีความผิดเพราะไม่ซื่อสัตย์ต่อองค์พระผู้เป็นเจ้า 7เขาจะต้องสารภาพบาปและชดใช้เต็มจำนวนตามความเสียหาย และชดใช้เพิ่มอีกหนึ่งในห้าให้แก่ผู้เสียหาย 8แต่หากผู้เสียหายไม่มีญาติสนิทที่จะรับแทน ค่าชดใช้นั้นเป็นขององค์พระผู้เป็นเจ้าและต้องนำไปมอบแก่ปุโรหิตพร้อมด้วยแกะตัวผู้สำหรับขออภัยโทษบาปให้เขา 9ของถวายอันบริสุทธิ์ทั้งหมดที่ประชากรอิสราเอลนำมามอบแก่ปุโรหิตถือเป็นของปุโรหิต 10ของถวายอันบริสุทธิ์ของแต่ละคนเป็นกรรมสิทธิ์ของเขาเอง แต่สิ่งที่ยกให้ปุโรหิตจะเป็นของปุโรหิต’ ”

ทดสอบภรรยาที่ไม่ซื่อสัตย์

11แล้วองค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสว่า 12“จงแจ้งประชากรอิสราเอลว่า ‘ภรรยาของชายคนใดคบชู้และไม่ซื่อสัตย์ต่อเขา 13โดยไปนอนกับชายอื่นและยังเป็นความลับ ไม่เป็นที่ประจักษ์ต่อสามี (เพราะว่าไม่มีพยานหลักฐานและจับไม่ได้คาหนังคาเขา) 14และถ้าสามีรู้สึกหึงหวง และสงสัยในตัวภรรยาของตน ไม่ว่าภรรยาจะทำผิดหรือไม่ก็ตาม 15เขาจะต้องพาภรรยาและเครื่องบูชาของเธอคือแป้งบาร์เลย์ประมาณ 2 ลิตร5:15 ภาษาฮีบรูว่า หนึ่งในสิบเอฟาห์มาหาปุโรหิตโดยไม่ต้องเคล้าน้ำมันหรือโรยเครื่องหอม เพราะเป็นธัญบูชาเรื่องความหึงหวง และเป็นเครื่องบูชาที่เตือนให้ระลึกถึงความผิด

16“ ‘ปุโรหิตจะพานางมายืนอยู่ต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า 17จากนั้นเขาจะเอาน้ำบริสุทธิ์บรรจุในภาชนะดินเผา ผสมฝุ่นที่พื้นพลับพลาลงในน้ำนั้น 18หลังจากปุโรหิตพานางมายืนอยู่ต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า เขาจะปล่อยผมของนาง และให้นางถือเครื่องบูชาที่เตือนให้ระลึกถึงความผิดและธัญบูชาเรื่องความหึงหวง ในขณะที่ปุโรหิตถือน้ำขมแห่งคำสาป 19ปุโรหิตจะให้นางสาบานตนแล้วพูดกับนางว่า “หากไม่มีชายอื่นหลับนอนกับเจ้า และเจ้าไม่ได้หลงผิด และไม่เป็นมลทินขณะอยู่กินกับสามีของเจ้า ขอให้น้ำขมที่นำคำสาปแช่งมานี้ไม่ทำอันตรายเจ้า 20แต่หากเจ้าหลงผิดขณะที่ยังอยู่กินกับสามี และเจ้าได้ทำตัวให้เป็นมลทินโดยหลับนอนกับชายอื่นที่ไม่ใช่สามี” 21จากนั้นปุโรหิตจะให้นางสาบานว่า “ขอองค์พระผู้เป็นเจ้าทรงทำให้ประชากรของเจ้าสาปแช่งและประณามเจ้าเมื่อพระองค์ทำให้เจ้าแท้งลูกและเป็นหมัน5:21 หรือทำให้ท้องเจ้าบวมและโคนขาเจ้าเสียไปเช่นเดียวกับข้อ 22 และ 27 22ขอให้น้ำนี้นำคำสาปแช่งเข้าสู่ร่างกายของเจ้า ทำให้เจ้าแท้งลูกและเป็นหมัน”

“ ‘แล้วนางต้องกล่าวว่า “อาเมน ขอให้เป็นไปตามนั้นเถิด5:22 ภาษาฮีบรูว่าอาเมน อาเมน

23“ ‘ปุโรหิตจะเขียนคำสาปแช่งเหล่านี้ลงบนหนังสือม้วน แล้วนำมาล้างออกในน้ำขมนี้ 24แล้วปุโรหิตจะให้นางดื่มน้ำขมแห่งคำสาปแช่ง น้ำนี้จะเข้าไปในตัวนางและทำให้นางทุกข์ทรมาน 25ปุโรหิตจะรับธัญบูชาเรื่องความหึงหวงจากมือของนาง นำมายื่นถวายต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า แล้วนำมาที่แท่นบูชา 26ต่อจากนั้นปุโรหิตจะกอบธัญบูชาขึ้นมากำมือหนึ่ง เป็นเครื่องบูชาส่วนอนุสรณ์ เผาบนแท่นบูชา แล้วให้นางดื่มน้ำนี้ 27หากนางได้ทำตัวให้เป็นมลทินและไม่ซื่อสัตย์ต่อสามี เมื่อปุโรหิตให้นางดื่มน้ำที่นำการสาปแช่งมา น้ำจะเข้าไปในตัวของนางและทำให้นางทุกข์ทรมานอย่างแสนสาหัส ทำให้นางเป็นหมันหรือแท้งลูกไป นางจะเป็นที่สาปแช่งในหมู่ประชากรของนาง 28แต่หากนางไม่เป็นมลทินและบริสุทธิ์ ไม่ได้คบชู้ นางจะพ้นผิดและจะสามารถมีลูกได้

29“ ‘นี่คือบทบัญญัติเรื่องความหึงหวง เมื่อภรรยาได้หลงผิดและทำตัวให้เป็นมลทินโดยนอกใจหรือมีชู้ 30หรือเมื่อสามีรู้สึกหึงหวงและสงสัยในตัวภรรยา ปุโรหิตจะนำนางมายืนอยู่ต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าและดำเนินการตามที่กล่าวมาแล้ว 31สามีของนางจะไม่ต้องรับผิดใดๆ แต่นางต้องรับผลเพราะบาปของนาง’ ”