Hesabu 36 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 36:1-13

Urithi Wa Binti Za Selofehadi

136:1 Hes 26:30; Mwa 50:23; Hes 26:28; 27:2Viongozi wa jamaa ya ukoo wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase, waliokuwa wametoka katika koo za wazao wa Yosefu, walikuja na kuzungumza mbele ya Mose na viongozi, wakuu wa jamaa ya Waisraeli. 236:2 Hes 33:54; 26:33; Yos 17:3-4Wakasema, “Bwana alipomwamuru bwana wangu kuwapa Waisraeli nchi kama urithi kwa kura, alikuamuru kutoa urithi wa ndugu yetu Selofehadi kwa binti zake. 3Sasa ikiwa wataolewa na watu wa makabila mengine ya Kiisraeli, itakuwa kwamba urithi wao utaondolewa kutoka urithi wa mababu zetu na kuongezwa katika urithi wa kabila ambalo dada hao wameolewa. Kwa hiyo sehemu ya urithi tuliyogawiwa itachukuliwa kutoka kwetu. 436:4 Law 25:10Wakati mwaka wa Yubile kwa Waisraeli utafika, urithi wao utaongezwa kwa lile kabila ambalo wameolewa, na mali yao itaondolewa kutoka urithi wa kabila la mababu zetu.”

536:5 Hes 27:7Ndipo kwa agizo la Bwana Mose akatoa amri ifuatayo kwa Waisraeli: “Kile wazao wa kabila la Yosefu wanachosema ni kweli. 6Hivi ndivyo Bwana anavyoamuru kwa binti za Selofehadi: Wanaweza kuolewa na mtu yeyote wampendaye, mradi tu waolewe miongoni mwa koo za kabila za baba yao. 736:7 Law 25:23; 1Fal 21:3Hakuna urithi katika Israeli utakaohamishwa kutoka kabila moja kwenda kabila jingine, kwa kuwa kila Mwisraeli atatunza ardhi ya kabila lake aliyoirithi kutoka kwa baba zake. 836:8 1Nya 23:22Kila binti atakayerithi ardhi katika kabila lolote la Israeli ni lazima aolewe na mtu kutoka kabila na ukoo wa baba yake, ili kila Mwisraeli amiliki urithi wa baba zake. 9Hakuna urithi uwezao kuhamishwa kutoka kabila moja kwenda kabila jingine, kwa kuwa kila kabila la Israeli litatunza nchi linayorithi.”

10Kwa hiyo binti za Selofehadi wakafanya kama Bwana alivyomwamuru Mose. 1136:11 Hes 27:1Binti za Selofehadi, ambao ni Mahla, Tirsa, Hogla, Milka na Noa, wakaolewa na waume, wana wa ndugu za baba yao. 1236:12 1Nya 7:15Waliolewa ndani ya koo za wazao wa Manase mwana wa Yosefu, na urithi wao ukabaki katika ukoo na kabila la baba yao.

1336:13 Law 7:38; 27:34; Hes 22:1; 26:3; 31:12; Kum 33:4; Neh 9:12-14; Yn 1:17; 7:19Haya ndiyo maagizo na masharti ambayo Bwana aliwapa Waisraeli kupitia Mose katika tambarare za Moabu, karibu na Yordani ngʼambo ya Yeriko.

La Bible du Semeur

Nombres 36:1-13

La loi sur le patrimoine foncier des familles

1Les chefs des groupes familiaux des descendants de Galaad, fils de Makir, et petit-fils de Manassé, de la lignée des descendants de Joseph, se présentèrent devant Moïse et devant les chefs des groupes familiaux des Israélites, 2pour leur dire : L’Eternel a ordonné à mon seigneur d’attribuer la possession du pays aux Israélites en le partageant par tirage au sort. De plus, mon seigneur a reçu de l’Eternel l’ordre de donner le patrimoine foncier de Tselophhad, notre parent, à ses filles36.2 Voir Nb 27.1-11.. 3Or, si elles épousent l’un des membres d’une autre tribu d’Israël, leur patrimoine sera retranché de l’héritage de nos ancêtres pour être ajouté à celui de la tribu à laquelle elles appartiendront par leur mariage, de sorte que notre part de patrimoine foncier sera diminuée d’autant. 4Quand viendra l’année du jubilé36.4 Voir Lv 25.8-54. pour les Israélites, la part de ces femmes s’ajoutera à celle de la tribu dans laquelle elles seront entrées et, par conséquent, le patrimoine de notre tribu en sera diminué d’autant.

5Moïse ordonna aux Israélites de la part de l’Eternel : Les gens de la tribu des descendants de Joseph ont raison. 6Voici ce que l’Eternel ordonne au sujet des filles de Tselophhad : Elles peuvent épouser qui elles voudront, à condition que ce soit un membre d’une famille de la tribu de leurs ancêtres. 7Ainsi, le patrimoine foncier des Israélites ne passera pas d’une tribu à l’autre et chaque Israélite restera attaché au patrimoine foncier de la tribu de ses ancêtres. 8Si dans l’une des tribus des Israélites, une fille hérite d’un patrimoine foncier, elle devra épouser un homme d’une famille de la tribu de son père, afin que chaque Israélite conserve intact le patrimoine foncier de ses ancêtres. 9Aucun patrimoine ne pourra être transféré d’une tribu à une autre, chaque tribu des Israélites restera attachée à son patrimoine foncier.

10Les filles de Tselophhad firent ce que l’Eternel avait ordonné à Moïse : 11Mahla, Tirtsa, Hogla, Milka et Noa épousèrent des fils de leurs oncles paternels, 12donc des hommes appartenant aux familles issues de Manassé, fils de Joseph, de sorte que leur patrimoine foncier resta dans la tribu à laquelle appartenait leur famille paternelle.

13Tels sont les commandements et les lois que l’Eternel donna aux Israélites par l’intermédiaire de Moïse dans les steppes de Moab, sur la rive du Jourdain, à la hauteur de Jéricho.