Hesabu 34 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 34:1-29

Mipaka Ya Kanaani

1Bwana akamwambia Mose, 234:2 Hes 33:51; Mwa 17:8; Kum 1:7-8; Yos 23:4; Za 78:54-55; 105:11; Eze 47:15“Waamuru Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia nchi ya Kanaani, nchi ambayo itagawanywa kwenu kama urithi itakuwa na mipaka ifuatayo:

334:3 Hes 15:21; Yos 15:1-3; Mwa 14:3; Eze 47:13; Mwa 14:3; Yos 3:16“ ‘Upande wenu wa kusini utajumuisha sehemu ya Jangwa la Sini kufuata mpaka wa Edomu. Upande wa mashariki mpaka wenu wa kusini utaanzia mwisho wa Bahari ya Chumvi,34:3 Yaani Bahari Mfu. 434:4 Yos 15:3; Amu 1:36; Hes 32:8; Yos 15:4katiza kusini mwa Pito la Akrabimu, endelea mpaka Sini na kwenda kusini ya Kadesh-Barnea. Kisha mpaka huo utaenda hadi Hasar-Adari hadi Azmoni, 534:5 Mwa 15:18; 1Fal 8:65; Isa 27:12mahali ambapo utapinda, na kuunganika na Kijito cha Misri na kumalizikia kwenye Bahari ya Kati.34:5 Yaani Mediterania.

634:6 Yos 1:4; 9:1; 15:12; 23:4; Eze 47:10; 48:28; 47:9-20“ ‘Mpaka wenu wa magharibi utakuwa Bahari ya Kati. Huu utakuwa mpaka wenu upande wa magharibi.

734:7 Eze 47:15-17; Hes 20:22“ ‘Kwa mpaka wenu wa kaskazini, wekeni alama kuanzia Bahari ya Kati hadi mlima Hori, 834:8 Hes 13:21; Yos 13:5; 2Sam 8:9; 2Fal 18:25; Isa 10:9; Yer 39:5; Eze 47:15-20na kutoka mlima Hori hadi Pito la Hamathi. Kisha mpaka utaenda hadi Sedadi, 934:9 Eze 47:17kuendelea hadi Zifroni, na kuishia Hasar-Enani. Huu utakuwa mpaka wenu upande wa kaskazini.

1034:10 Yos 15:5“ ‘Kwa mpaka wenu wa mashariki, wekeni alama kuanzia Hasar-Enani hadi Shefamu. 1134:11 2Fal 23:33; 25:6; Yer 39:5; 52:9; Yos 15:32; 21:16; 1Nya 4:32; Kum 3:17; Yos 11:2; 13:27Mpaka utaelekea kusini kuanzia Shefamu hadi Ribla upande wa mashariki wa Aini, na kuendelea kwenye miteremko mashariki mwa Bahari ya Kinerethi.34:11 Yaani Bahari ya Galilaya. 12Kisha mpaka utashuka kuelekea Mto Yordani na kuishia katika Bahari ya Chumvi.

“ ‘Hii itakuwa nchi yenu, ikiwa na mipaka yake kila upande.’ ”

1334:13 Law 16:8; Yos 18:10; Mik 2:5; Yos 13:6; 14:1-5; Isa 49:8Mose akawaamuru Waisraeli: “Gawanyeni nchi hii kwa kura kama urithi. Bwana ameagiza kwamba itolewe kwa yale makabila tisa na nusu, 1434:14 Hes 32:19; Kum 33:21; Yos 14:3kwa sababu jamaa ya kabila la Reubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase wamekwishapokea urithi wao. 15Haya makabila mawili na nusu wamekwishapokea urithi wao upande wa mashariki wa Yordani ngʼambo ya Yeriko, kuelekea mawio ya jua.”

16Bwana akamwambia Mose, 1734:17 Hes 11:28; Kum 1:38; Kut 6:23-25“Haya ndiyo majina ya watu ambao watakusaidia kugawanya nchi kama urithi: Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni. 1834:18 Hes 1:4; Yos 14:1Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi. 1934:19 Hes 26:65; Mwa 29:35; Kum 33:7; Za 60:7; 108:8; Hes 13:6, 30; Kum 1:36Haya ndiyo majina yao:

“Kalebu mwana wa Yefune,

kutoka kabila la Yuda;

2034:20 Mwa 29:33; 49:5; Eze 48:24Shemueli mwana wa Amihudi,

kutoka kabila la Simeoni;

2134:21 Mwa 49:27; Amu 5:14; Za 68:27Elidadi mwana wa Kisloni,

kutoka kabila la Benyamini;

22Buki mwana wa Yogli,

kiongozi kutoka kabila la Dani;

2334:23 Hes 1:34; Mwa 48:8-22; Kum 33:13; Mwa 49:22; Za 80:1Hanieli mwana wa Efodi,

kiongozi kutoka kabila la Manase mwana wa Yosefu;

2434:24 Hes 1:32Kemueli mwana wa Shiftani,

kiongozi kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yosefu;

2534:25 Mwa 30:20Elisafani mwana wa Parnaki,

kiongozi kutoka kabila la Zabuloni;

26Paltieli mwana wa Azani,

kiongozi kutoka kabila la Isakari;

2734:27 Hes 1:40Ahihudi mwana wa Shelomi,

kiongozi kutoka kabila la Asheri;

28Pedaheli mwana wa Amihudi,

kiongozi kutoka kabila la Naftali.”

2934:29 Kum 32:8; Mdo 17:26Hawa ndio watu ambao Bwana aliamuru wagawanye urithi kwa Waisraeli katika nchi ya Kanaani.

O Livro

Números 34:1-29

Os limites de Canaã

1O Senhor mandou Moisés 2dizer assim ao povo: “Quando entrarem na terra de Canaã, que vos dou como vossa pátria, 3terão a sul, por limite, o deserto de Zim, junto à fronteira de Edom. A fronteira do sul começará com o mar Salgado34.3 Também conhecido como mar Morto., 4e continuará pela subida de Acrabim, na direção de Zim. O ponto mais a sul será Cades-Barneia, donde seguirá para Hazar-Adar e para Azmom. 5Depois a linha de fronteira seguirá em direção à Ribeira do Egito, descendo até ao mar Mediterrâneo.

6Este mar constituirá a vossa fronteira a ocidente.

7A norte, a linha fronteiriça começará no mar Mediterrâneo e prosseguirá para o nascente até ao monte Hor, 8seguindo sobre a entrada de Hamate, através de Zedade 9e Zifron, até Hazar-Enã.

10Quanto à fronteira oriental, começará em Hazar-Enã, descendo até Sefã, 11e depois até Ribla, a oriente de Aim. Dali descreverá um largo semi-círculo, indo primeiro para o sul e depois para o poente até passar a ponta sul do mar da Galileia,34.11 Antigamente conhecido por mar de Quinerete. Ver Dt 3.17; Js 11.2; 12.3; 13.27. 12seguindo ao longe do rio Jordão, terminando de novo no mar Salgado.

13Este é pois o território que deverão repartir entre vós. Será partilhado por nove tribos e meia, 14-15porque as tribos de Rúben, de Gad e a meia tribo de Manassés já receberam terra no lado nascente do Jordão, diante de Jericó.”

16Disse mais o Senhor a Moisés: 17“Serão os seguintes, os homens encarregados de proceder à repartição da terra: Eleazar, o sacerdote, Josué, filho de Num, 18e um chefe de cada tribo, 19conforme a seguinte lista:

de Judá, Calebe, filho de Jefoné;

20de Simeão, Samuel, filho de Amiude;

21de Benjamim, Elidade, filho de Quislon;

22de Dan, Buqui, filho de Jogli;

23de Manassés, Haniel, filho de Efode;

24de Efraim, Quemuel, filho de Siftã;

25de Zebulão, Elizafã, filho de Parnaque;

26de Issacar, Paltiel, filho de Azã;

27de Aser, Aiude, filho de Selomi;

28de Naftali, Pedael, filho de Amiude.”

29São estes pois os nomes daqueles que o Senhor designou para supervisionar a divisão do território pelas tribos.