Hesabu 32 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 32:1-42

Makabila Ngʼambo Ya Yordani

(Kumbukumbu 3:12-22)

132:1 Amu 5:16; Hes 21:32; Mwa 31:21; Kut 12:38Kabila la Wareubeni na Wagadi, waliokuwa na makundi makubwa ya ngʼombe, kondoo na mbuzi, waliona kuwa nchi ya Yazeri na nchi ya Gileadi ni nzuri kwa mifugo. 232:2 Law 4:22; Hes 27:2; 2Sam 24:5; Isa 16:8-9Hivyo walimjia Mose, na kuhani Eleazari na viongozi wa jumuiya, na kuwaambia, 332:3 Yos 16:2; 18:13; Hes 21:30; Yos 13:27; Hes 21:25; Isa 15:4; 16:9; Yer 48:34; Yos 13:19; Isa 16:8; Yer 48:32; Hes 33:47“Atarothi, Diboni, Yazeri, Nimra, Heshboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni, 432:4 Hes 21:34; Kut 12:38nchi ambayo Bwana ameishinda mbele ya wana wa Israeli, inafaa kwa mifugo, nao watumishi wako wana mifugo. 532:5 Hes 13:29Kama tumepata kibali mbele ya macho yako, nchi hii na ipewe watumishi wako kama milki yetu. Usitufanye tuvuke Yordani.”

6Mose akawaambia Wagadi na Wareubeni, “Je, watu wa nchi yenu watakwenda vitani wakati ninyi mmeketi hapa? 732:7 Hes 13:27–14:4Kwa nini mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika nchi ambayo Bwana amewapa? 832:8 Hes 13:3; Kum 1:19-25; 1:22Hivi ndivyo baba zenu walivyofanya wakati nilipowatuma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza nchi. 932:9 Hes 13:23; Kum 1:24Baada ya kufika kwenye Bonde la Eshkoli na kuitazama nchi, waliwakatisha tamaa Waisraeli wasiingie katika nchi ambayo Bwana alikuwa amewapa. 1032:10 Hes 11:1; 14:20-23; 14:11; Za 95:11; Eze 20:15; Ebr 3:8-19Siku ile hasira ya Bwana iliwaka naye akaapa kiapo hiki: 1132:11 Kut 30:14; Hes 1:1; 14:23; Kum 1:35; Hes 14:24; 14:28‘Kwa kuwa hawakunifuata kwa moyo wote, hakuna mtu yeyote mwenye miaka ishirini au zaidi ambaye alikuja kutoka Misri atakayeona nchi niliyoahidi kwa kiapo kwa Abrahamu, Isaki na Yakobo; 1232:12 Hes 14:24; Za 63:8; Kum 1:35; Yos 14:8, 9; Ay 4:7; Za 37:29; Mit 11:31hakuna hata mmoja isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni, kwa sababu walimfuata Bwana kwa moyo wote.’ 1332:13 Kut 4:14; Hes 14:28-35; 26:64, 65Hasira ya Bwana iliwaka dhidi ya Waisraeli na akawafanya watangetange katika jangwa kwa miaka arobaini, mpaka kizazi chote cha wale waliofanya maovu mbele yake kimeangamia.

1432:14 Kum 1:34; Za 78:59“Nanyi mko hapa, uzao wa wenye dhambi, mkisimamia mahali pa baba zenu na mkimfanya Bwana kuwakasirikia Waisraeli hata zaidi. 1532:15 Kum 30:17-18; 2Nya 7:20; Yos 22:16, 18; 2Nya 15:2Kama mkigeuka na mkiacha kumfuata, atawaacha tena watu hawa wote jangwani, na mtakuwa sababu ya maangamizi yao.”

1632:16 1Sam 24:3; Za 50:9; 78:70; Kut 12:38; Kum 3:19Ndipo wakamjia Mose na kumwambia, “Tungalitaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu na watoto. 1732:17 Kum 3:18; Yos 4:12, 13; Hes 22:4; Kum 3:20Lakini sisi tuko tayari kuchukua silaha zetu na kutangulia mbele ya Waisraeli mpaka tutakapowaleta mahali pao. Wakati huo wanawake wetu na watoto wataishi katika miji yenye ngome, kwa ajili ya ulinzi dhidi ya wenyeji wa nchi. 1832:18 Yos 22:1-4Hatutarudi nyumbani mwetu mpaka kila Mwisraeli apokee urithi wake. 1932:19 Hes 21:33; Yos 12:1; 22:7Hatutapokea urithi wowote pamoja nao ngʼambo ya Yordani, kwa sababu urithi wetu umekuja kwetu upande wa mashariki ya Yordani.”

2032:20 Kum 3:18; Yos 4:12-13Kisha Mose akawaambia, “Kama mtafanya jambo hili, kama mtajivika silaha mbele za Bwana kwa ajili ya vita, 21na kama ninyi nyote mtakwenda mmejivika silaha ngʼambo ya Yordani mbele za Bwana mpaka awe amewafukuza adui zake mbele zake, 2232:22 Yos 22:4; Law 14:34; Kum 3:18-20hadi wakati nchi itakapokuwa imeshindwa mbele za Bwana, ndipo mtaweza kurudi na kuwa huru kutoka masharti yenu kwa Bwana na Israeli. Nayo nchi hii itakuwa milki yenu mbele za Bwana.

2332:23 Mwa 4:7; Isa 3:9; Mwa 44:16; Za 140:11; Mit 13:21; Isa 59:12; Rum 2:9“Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa mnatenda dhambi dhidi ya Bwana; nanyi kuweni na hakika kuwa dhambi yenu itawapata. 2432:24 Hes 30:2; 32:16, 34Jengeni miji kwa ajili ya wanawake na watoto wenu, na mazizi kwa ajili ya mbuzi na kondoo zenu, lakini fanyeni yale mliyoahidi.”

2532:25 Yos 1:16; 22:2Wagadi na Wareubeni wakamwambia Mose, “Sisi watumishi wako tutafanya kama bwana wetu anavyotuagiza. 2632:26 Yos 1:14; 12:2; 22:9; 2Sam 2:9; 1Nya 5:9Watoto na wake zetu, makundi ya mbuzi na kondoo, na makundi ya ngʼombe zetu, watabaki hapa katika miji ya Gileadi. 2732:27 Yos 4:12Lakini watumishi wenu, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, watavuka ngʼambo kupigana mbele za Bwana, sawa kama bwana wetu anavyosema.”

2832:28 Kum 3:18; Yos 1:13; Hes 11:28; 1:16Kisha Mose akatoa amri kuhusu wao kwa kuhani Eleazari, na Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa jamaa za makabila ya Waisraeli. 2932:29 Hes 22:4Mose akawaambia, “Ikiwa Wagadi na Wareubeni, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, atavuka Yordani pamoja nanyi mbele za Bwana, basi wakati mtakapoishinda nchi iliyoko mbele yenu, wapeni nchi ya Gileadi kama milki yao. 30Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa wamevaa silaha za vita, lazima wakubali kupokea milki yao pamoja nanyi katika nchi ya Kanaani.”

31Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile Bwana alilosema. 3232:32 Yos 12:6Tutavuka mbele za Bwana kuingia Kanaani tukiwa tumevaa silaha za vita, lakini mali tutakayoirithi itakuwa ngʼambo hii ya Yordani.”

3332:33 Yos 13:24-28; 1Sam 13:7; Yos 1:12; Hes 21:21; Kum 2:26; Yos 12:5; Hes 21:24; 34:24; Kum 2:36; Yos 12:6Kisha Mose akawapa Wagadi, Wareubeni, na nusu ya kabila la Manase mwana wa Yosefu ufalme wa Sihoni mfalme wa Waamori, na ufalme wa Ogu mfalme wa Bashani, nchi yote pamoja na miji yake, na nchi inayowazunguka.

3432:34 Kum 2:36; 3:13; 4:48; Yos 12:2; 13:9; Amu 11:26; 1Sam 30:28; 1Nya 5:8; Yer 48:19; Hes 33:45Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri, 3532:35 Amu 8:11Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha, 36Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo. 3732:37 Hes 21:25; Yos 13; 19; 1Nya 6:76; Yer 48:1; Eze 25:9Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu, 3832:38 Isa 15:2; 46:1; Yer 48:1, 22; Hes 32:3; Kut 23:13pia Nebo na Baal-Meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa) na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.

3932:39 Mwa 50:23; Hes 26:29; Kum 2:36; Mwa 10:16; Yos 17:1Wazao wa Makiri mwana wa Manase walikwenda Gileadi, wakaiteka nchi na kuwafukuza Waamori waliokuwa huko. 4032:40 Mwa 50:23; Kum 3:15Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko. 4132:41 Kum 3:14; Yos 13:30; Amu 10:4; 1Nya 2:23Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi. 4232:42 1Nya 2:23; Amu 8:11; 1Sam 15:12; 2Sam 18:18Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.

Japanese Contemporary Bible

民数記 32:1-42

32

ルベン族とガド族の土地

1さて、イスラエルの中でルベン族とガド族は、羊をたくさん持っていました。その羊を飼うには、今いるヤゼルやギルアデの地域が最適です。 2そこで、モーセと祭司エルアザル、族長たちに願い出ました。 3-4「主は私たちに味方して、このあたりのアタロテ、ディボン、ヤゼル、ニムラ、ヘシュボン、エルアレ、セバム、ネボ、ベオンの住民をみな滅ぼされました。ここはもともと、羊を飼うには理想的な場所です。 5ヨルダン川の向こう側の土地はいりませんから、ここを私たちに下さい。」

6モーセは答えました。「ほかの者が向こう側へ渡ってこれからも戦いを続けるのに、ここに残りたいと言うのか。 7主が下さる国へ進んで行こうとする、他の部族の士気をくじくつもりか。 8それでは先祖たちと少しも変わらない。四十年前、カデシュ・バルネアから偵察を送り込んでカナンの地を探らせた時、 9エシュコルの谷から戻って来た者たちは何と言ったか。あきれたことに、約束の地へは上って行かないほうがいいと言って、みんなの士気をくじいたのだ。 10-11もちろん、主は怒って、『エジプトから助け出された者のうち、二十歳以上の者にはだれ一人、アブラハム、イサク、ヤコブに与えると誓った地は見せない』と断言なさった。主のお考えに従おうとしなかったからだ。 12しかし、ケナズ一族のエフネの子カレブと、ヌンの子ヨシュアは違う。主の言われるとおり、あくまでも約束の国へ行こうと熱心に勧めたのだ。 13主に背いた者がみな死んでしまうまで、四十年もの間、私たちは荒野をさまよい歩いた。 14ああ、それなのに、やはり血は争えないものだ。また同じことをくり返すとは、なんということか。しかも、今は以前より人数も多い。主はもっと激しくお怒りになるだろう。 15またしても主に背いたら、これからもずっと荒野をさまよわなければならない。おまえたちのせいでみなが苦しみ、死ぬはめになったらどうするつもりだ。」

16彼らは言いました。「とんでもない。私たちはただ、羊を飼えるように柵を作り、子どもたちのために町を建ててやりたいだけです。 17ここに残るつもりは全くありません。武装し、みなの先頭に立ってカナンに攻め入ります。ただその前に、残る家族が安全に住めるように、城壁で囲まれた町を建てさせてもらいたいのです。 18他の部族がそれぞれ相続地を手に入れるまでは、決して戻って来ません。 19ヨルダン川のこちら側の土地さえ頂ければ、向こう側の土地はいりません。」

20モーセは答えました。「よくわかった。今言ったとおり武装し、 21主が敵を追い払うまでヨルダン川の向こう側で戦いに加わるなら、 22征服を終えしだい戻ってよい。それで主と他の部族に対する責任は果たしたことになる。主はヨルダン川のこちら側の土地を下さるだろう。 23しかし約束を破ったなら、主に罪を犯すのだから、必ず罰せられる。 24さあ、言ったとおり町を建て、羊を飼う柵を作りなさい。」

25「すべて命令どおりにいたします。 26子ども、妻、羊、牛は、このギルアデの町に残りますが、 27兵役に就いている者は全員、おっしゃるとおり主のために戦います。」

28モーセはこれを承知し、エルアザル、ヨシュア、族長たちに言いました。 29「ガド族とルベン族のうち兵役に就いている者が、いっしょにヨルダン川を渡り、神様のために戦う。だから征服し終えたら、このギルアデの土地を与えてやりなさい。 30しかし、いっしょに行こうとしなかったら、あなたがたと同じように、ヨルダン川の向こう側のカナンに土地を持たせるのだ。」

31これに答えるように、ガド族とルベン族の者は、口をそろえて誓いました。「主のご命令どおりにいたします。 32武装して、カナンの地へまいります。ただ相続する所有地は、ヨルダン川のこちら側の土地を頂きたいのです。」

33そこでモーセは、エモリ人の王シホンとバシャンの王オグの領土を、ガド族とルベン族、それにヨセフの子マナセの半部族に割り当てました。

34-36ガド族が建てたのは次の町です。ディボン、アタロテ、アロエル、アテロテ・ショファン、ヤゼル、ヨグボハ、ベテ・ニムラ、ベテ・ハラン。以上はみな、城壁を巡らし、羊を飼う柵のある町です。

37-38ルベン族が建てた町は次のとおりです。ヘシュボン、エルアレ、キルヤタイム、ネボ、バアル・メオン、シブマ。この中の幾つかは、再建した時に新しい名をつけました。

39一方、マナセ族のうちのマキル族がギルアデを征服し、エモリ人を追い出したので、 40モーセはそこを彼らに与えました。 41また、やはりマナセ族であるヤイル族は、ギルアデの村を幾つも占領し、ハボテ・ヤイルと名前を変えました。 42さらにノバフという男がケナテと周辺の村を攻め落とし、自分の名にちなんで、その地域をノバフと名づけました。