Hesabu 32 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 32:1-42

Makabila Ngʼambo Ya Yordani

(Kumbukumbu 3:12-22)

132:1 Amu 5:16; Hes 21:32; Mwa 31:21; Kut 12:38Kabila la Wareubeni na Wagadi, waliokuwa na makundi makubwa ya ngʼombe, kondoo na mbuzi, waliona kuwa nchi ya Yazeri na nchi ya Gileadi ni nzuri kwa mifugo. 232:2 Law 4:22; Hes 27:2; 2Sam 24:5; Isa 16:8-9Hivyo walimjia Mose, na kuhani Eleazari na viongozi wa jumuiya, na kuwaambia, 332:3 Yos 16:2; 18:13; Hes 21:30; Yos 13:27; Hes 21:25; Isa 15:4; 16:9; Yer 48:34; Yos 13:19; Isa 16:8; Yer 48:32; Hes 33:47“Atarothi, Diboni, Yazeri, Nimra, Heshboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni, 432:4 Hes 21:34; Kut 12:38nchi ambayo Bwana ameishinda mbele ya wana wa Israeli, inafaa kwa mifugo, nao watumishi wako wana mifugo. 532:5 Hes 13:29Kama tumepata kibali mbele ya macho yako, nchi hii na ipewe watumishi wako kama milki yetu. Usitufanye tuvuke Yordani.”

6Mose akawaambia Wagadi na Wareubeni, “Je, watu wa nchi yenu watakwenda vitani wakati ninyi mmeketi hapa? 732:7 Hes 13:27–14:4Kwa nini mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika nchi ambayo Bwana amewapa? 832:8 Hes 13:3; Kum 1:19-25; 1:22Hivi ndivyo baba zenu walivyofanya wakati nilipowatuma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza nchi. 932:9 Hes 13:23; Kum 1:24Baada ya kufika kwenye Bonde la Eshkoli na kuitazama nchi, waliwakatisha tamaa Waisraeli wasiingie katika nchi ambayo Bwana alikuwa amewapa. 1032:10 Hes 11:1; 14:20-23; 14:11; Za 95:11; Eze 20:15; Ebr 3:8-19Siku ile hasira ya Bwana iliwaka naye akaapa kiapo hiki: 1132:11 Kut 30:14; Hes 1:1; 14:23; Kum 1:35; Hes 14:24; 14:28‘Kwa kuwa hawakunifuata kwa moyo wote, hakuna mtu yeyote mwenye miaka ishirini au zaidi ambaye alikuja kutoka Misri atakayeona nchi niliyoahidi kwa kiapo kwa Abrahamu, Isaki na Yakobo; 1232:12 Hes 14:24; Za 63:8; Kum 1:35; Yos 14:8, 9; Ay 4:7; Za 37:29; Mit 11:31hakuna hata mmoja isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni, kwa sababu walimfuata Bwana kwa moyo wote.’ 1332:13 Kut 4:14; Hes 14:28-35; 26:64, 65Hasira ya Bwana iliwaka dhidi ya Waisraeli na akawafanya watangetange katika jangwa kwa miaka arobaini, mpaka kizazi chote cha wale waliofanya maovu mbele yake kimeangamia.

1432:14 Kum 1:34; Za 78:59“Nanyi mko hapa, uzao wa wenye dhambi, mkisimamia mahali pa baba zenu na mkimfanya Bwana kuwakasirikia Waisraeli hata zaidi. 1532:15 Kum 30:17-18; 2Nya 7:20; Yos 22:16, 18; 2Nya 15:2Kama mkigeuka na mkiacha kumfuata, atawaacha tena watu hawa wote jangwani, na mtakuwa sababu ya maangamizi yao.”

1632:16 1Sam 24:3; Za 50:9; 78:70; Kut 12:38; Kum 3:19Ndipo wakamjia Mose na kumwambia, “Tungalitaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu na watoto. 1732:17 Kum 3:18; Yos 4:12, 13; Hes 22:4; Kum 3:20Lakini sisi tuko tayari kuchukua silaha zetu na kutangulia mbele ya Waisraeli mpaka tutakapowaleta mahali pao. Wakati huo wanawake wetu na watoto wataishi katika miji yenye ngome, kwa ajili ya ulinzi dhidi ya wenyeji wa nchi. 1832:18 Yos 22:1-4Hatutarudi nyumbani mwetu mpaka kila Mwisraeli apokee urithi wake. 1932:19 Hes 21:33; Yos 12:1; 22:7Hatutapokea urithi wowote pamoja nao ngʼambo ya Yordani, kwa sababu urithi wetu umekuja kwetu upande wa mashariki ya Yordani.”

2032:20 Kum 3:18; Yos 4:12-13Kisha Mose akawaambia, “Kama mtafanya jambo hili, kama mtajivika silaha mbele za Bwana kwa ajili ya vita, 21na kama ninyi nyote mtakwenda mmejivika silaha ngʼambo ya Yordani mbele za Bwana mpaka awe amewafukuza adui zake mbele zake, 2232:22 Yos 22:4; Law 14:34; Kum 3:18-20hadi wakati nchi itakapokuwa imeshindwa mbele za Bwana, ndipo mtaweza kurudi na kuwa huru kutoka masharti yenu kwa Bwana na Israeli. Nayo nchi hii itakuwa milki yenu mbele za Bwana.

2332:23 Mwa 4:7; Isa 3:9; Mwa 44:16; Za 140:11; Mit 13:21; Isa 59:12; Rum 2:9“Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa mnatenda dhambi dhidi ya Bwana; nanyi kuweni na hakika kuwa dhambi yenu itawapata. 2432:24 Hes 30:2; 32:16, 34Jengeni miji kwa ajili ya wanawake na watoto wenu, na mazizi kwa ajili ya mbuzi na kondoo zenu, lakini fanyeni yale mliyoahidi.”

2532:25 Yos 1:16; 22:2Wagadi na Wareubeni wakamwambia Mose, “Sisi watumishi wako tutafanya kama bwana wetu anavyotuagiza. 2632:26 Yos 1:14; 12:2; 22:9; 2Sam 2:9; 1Nya 5:9Watoto na wake zetu, makundi ya mbuzi na kondoo, na makundi ya ngʼombe zetu, watabaki hapa katika miji ya Gileadi. 2732:27 Yos 4:12Lakini watumishi wenu, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, watavuka ngʼambo kupigana mbele za Bwana, sawa kama bwana wetu anavyosema.”

2832:28 Kum 3:18; Yos 1:13; Hes 11:28; 1:16Kisha Mose akatoa amri kuhusu wao kwa kuhani Eleazari, na Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa jamaa za makabila ya Waisraeli. 2932:29 Hes 22:4Mose akawaambia, “Ikiwa Wagadi na Wareubeni, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, atavuka Yordani pamoja nanyi mbele za Bwana, basi wakati mtakapoishinda nchi iliyoko mbele yenu, wapeni nchi ya Gileadi kama milki yao. 30Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa wamevaa silaha za vita, lazima wakubali kupokea milki yao pamoja nanyi katika nchi ya Kanaani.”

31Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile Bwana alilosema. 3232:32 Yos 12:6Tutavuka mbele za Bwana kuingia Kanaani tukiwa tumevaa silaha za vita, lakini mali tutakayoirithi itakuwa ngʼambo hii ya Yordani.”

3332:33 Yos 13:24-28; 1Sam 13:7; Yos 1:12; Hes 21:21; Kum 2:26; Yos 12:5; Hes 21:24; 34:24; Kum 2:36; Yos 12:6Kisha Mose akawapa Wagadi, Wareubeni, na nusu ya kabila la Manase mwana wa Yosefu ufalme wa Sihoni mfalme wa Waamori, na ufalme wa Ogu mfalme wa Bashani, nchi yote pamoja na miji yake, na nchi inayowazunguka.

3432:34 Kum 2:36; 3:13; 4:48; Yos 12:2; 13:9; Amu 11:26; 1Sam 30:28; 1Nya 5:8; Yer 48:19; Hes 33:45Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri, 3532:35 Amu 8:11Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha, 36Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo. 3732:37 Hes 21:25; Yos 13; 19; 1Nya 6:76; Yer 48:1; Eze 25:9Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu, 3832:38 Isa 15:2; 46:1; Yer 48:1, 22; Hes 32:3; Kut 23:13pia Nebo na Baal-Meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa) na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.

3932:39 Mwa 50:23; Hes 26:29; Kum 2:36; Mwa 10:16; Yos 17:1Wazao wa Makiri mwana wa Manase walikwenda Gileadi, wakaiteka nchi na kuwafukuza Waamori waliokuwa huko. 4032:40 Mwa 50:23; Kum 3:15Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko. 4132:41 Kum 3:14; Yos 13:30; Amu 10:4; 1Nya 2:23Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi. 4232:42 1Nya 2:23; Amu 8:11; 1Sam 15:12; 2Sam 18:18Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.

Священное Писание

Числа 32:1-42

Раздел земли к востоку от Иордана

(Втор. 3:12-20)

1Рувимиты и гадиты, у которых были очень большие стада, увидели, что земли Иазера и Галаада хороши для скота. 2Они пришли к Мусе, священнослужителю Элеазару и вождям народа и сказали:

3– Города Атарот, Дивон, Иазер, Нимра, Хешбон, Элеале, Севам, Нево и Беон – 4земля, которую Вечный покорил народу Исраила, хороша для скота, а у твоих рабов есть скот. 5Если мы нашли у тебя расположение, – сказали они, – то пусть эта земля и достанется во владение твоим рабам. Не переводи нас через Иордан.

6Муса сказал гадитам и рувимитам:

– Ваши братья пойдут на войну, а вы будете сидеть здесь? 7Зачем вы отбиваете у исраильтян охоту перейти в землю, которую дал им Вечный? 8Так сделали ваши отцы, когда я посылал их из Кадеш-Барни осмотреть эту землю. 9Придя в долину Эшкол и осмотрев землю, они отбили у исраильтян охоту войти в землю, которую дал им Вечный. 10В тот день Вечный разгневался и поклялся: 11«Никто из покинувших Египет, от двадцати лет и старше, не увидит землю, которую Я клятвенно обещал Ибрахиму, Исхаку и Якубу, потому что они не повиновались Мне от всего сердца – 12никто, кроме Халева, сына кенезеянина Иефоннии, и Иешуа, сына Нуна, которые от всего сердца повиновались Вечному». 13Вечный разгневался на Исраил и заставил народ сорок лет скитаться по пустыне, пока всё то поколение, которое сделало в Его глазах зло, не сгинуло. 14А теперь вы, отродье грешников, встали на место ваших отцов и ещё сильнее разжигаете гнев Вечного на Исраил! 15Если вы откажетесь повиноваться Вечному, то Он снова оставит этот народ в пустыне, а вы будете виновниками их гибели.

16Они подошли к Мусе и сказали:

– Мы построим здесь загоны для скота и города для наших жён и детей, 17а потом будем готовы вооружиться и идти перед исраильтянами, пока не приведём их в их надел. Тем временем наши жёны и дети будут жить в укреплённых городах, в безопасности от жителей этой земли. 18Мы не вернёмся домой, пока каждый исраильтянин не получит свой надел. 19Мы не получим надел с ними на той стороне Иордана, потому что наш надел достался нам на этой, восточной стороне.

20Муса сказал им:

– Если вы сделаете это, если вооружитесь, чтобы воевать для Вечного, 21и каждый из вас, кто вооружён, переправится перед Вечным за Иордан, пока Он не прогонит Своих врагов перед Собой, 22то когда земля будет покорена Вечному, вы можете вернуться. Тогда вы будете свободными от обязательства Вечному и Исраилу, а эта земля будет вашим владением перед Вечным. 23Но если вы не сделаете этого, то вы согрешите против Вечного, и знайте: вам не избежать наказания за грех. 24Стройте города для жён и детей и загоны для отар, но исполните то, что обещали.

25Гадиты и рувимиты сказали Мусе:

– Мы – твои рабы. Мы сделаем, как велит наш господин. 26Наши дети и жёны, отары и весь наш скот останутся здесь, в городах Галаада. 27А твои рабы, все вооружённые для битвы, переправятся, чтобы воевать перед Вечным, как велит наш господин.

28Тогда Муса отдал распоряжение о них священнослужителю Элеазару, Иешуа, сыну Нуна, и главам семейств исраильского народа. 29Он сказал им:

– Если гадиты и рувимиты, все вооружённые для битвы, переправятся с вами за Иордан перед Вечным, то, когда земля покорится вам, отдайте им во владение землю Галаада. 30А если они не переправятся с вами вооружённые, то пусть они примут свой надел с вами в Ханаане.

31Гадиты и рувимиты ответили:

– Мы – твои рабы. Мы сделаем так, как сказал Вечный. 32Мы с оружием переправимся перед Вечным в Ханаан, но пусть удел, который нам достался, останется за нами на этой стороне реки Иордан.

33Тогда Муса отдал родам Гада, Рувима и половине рода Манассы, сына Юсуфа, царство Сигона, царя аморреев, и царство Ога, царя Башана, – всю землю с её городами и их окрестностями.

34Гадиты построили Дивон, Атарот, Ароер, 35Атарот-Шофан, Иазер, Иогбегу, 36Бет-Нимру и Бет-Аран, города-крепости и загоны для скота. 37А рувимиты отстроили города Хешбон, Элеале, Кириатаим, 38Нево и Баал-Меон (их названия были изменены) и Сивму. Они дали отстроенным городам другие имена.

39Потомки Махира, сына Манассы, пришли в Галаад, захватили его и прогнали оттуда аморреев. 40Муса отдал Галаад махиритам, потомкам Манассы, и они поселились там. 41Иаир, потомок Манассы, захватил здесь несколько поселений и назвал их Хаввот-Иаир («селения Иаира»). 42А Нова захватил Кенат с окрестными поселениями и назвал его в свою честь Нова.