Hesabu 31 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 31:1-54

Kulipiza Kisasi Juu Ya Wamidiani

1Bwana akamwambia Mose, 231:2 Mwa 25:2; Hes 20:26; 25:17; Kum 32:35, 43; Mwa 15:15“Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”

331:3 Amu 11:36; 1Sam 24:12; 2Sam 4:8; 22:48; Za 94:1; 149:7; Isa 34:8; Yer 11:20; 46:10; Eze 25:17; Kum 32:35; Yer 50:28; Za 94:1; Rum 12:19; Ebr 10:30Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha Bwana. 4Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.” 5Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli. 631:6 Kut 6:25; Hes 14:44; 10:2; 10:9Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.

731:7 Hes 25:16; Kum 20:13; Amu 21:11; 1Fal 11:15; 1Sam 27:9; 1Fal 11:15-16; Kum 20:13; Amu 21:11; 6:2, 33; 6:1Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Bwana alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume. 831:8 Yos 13:21; Hes 25:15; 22:5; 24:14; Yos 13:22; Za 9:12; Yud 11; Ufu 2:14; 19:20Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga. 931:9 Mwa 34:29Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara. 1031:10 Yos 6:24; 8:28; 11:11; Amu 18:27; Mwa 25:16; 1Nya 6:54; Za 69:25; Eze 25:4Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote. 1131:11 Kum 20:14; 2Nya 28:8Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama, 1231:12 Mwa 49:27; Kut 15:9; Hes 27:2nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.

13Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi. 1431:14 Kut 18:21; Kum 1:15; 2Sam 18:1Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.

1531:15 Kum 2:34; 20:13; Yos 6:21; 8:25; 1Sam 15:3; Yos 10:40; 11:14Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?” 1631:16 Hes 22:5; 24:14; 2Pet 2:15; Hes 23:25; 25:1-9; 14:37; Yos 22:17; Za 106:28-29; Hos 9:10; Mik 6:5; Ufu 2:14“Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi Bwana kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa Bwana. 1731:17 Kum 7:2; 20:16; Amu 21:11Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa, 18lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.

1931:19 Hes 5:2; 9:6, 10; 19:11, 12, 16; Law 21:1“Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu. 2031:20 Hes 19:19; Law 11:32Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”

21Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo Bwana alimpa Mose: 2231:22 Yos 6:19; 22:8Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi, 2331:23 1Kor 3:13; Hes 8:7; 19:9, 17na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso. 2431:24 Law 11:25; 14:8; Hes 19:10, 22; Za 51:2; Efe 5:26; Ebr 9:9-10Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”

Kugawanya Mateka

25Bwana akamwambia Mose, 2631:26 Hes 1:4; 1:19“Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa. 2731:27 Yos 22:8; 1Sam 25:13; 30:24; Za 68:12Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya. 2831:28 Hes 18:21; 2Sam 8:11; 1Nya 8:11; 26:27; Isa 18:7; 23:18; Mt 22:21Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya Bwana kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi. 29Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya Bwana. 3031:30 Hes 3:7; 16:3Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya Bwana.” 31Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.

32Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000, 33ngʼombe 72,000, 34punda 61,000, 35na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.

36Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa:

Kondoo 337,500 3731:37 Law 25:23; Kum 10:14; Za 50:12; Mk 12:17; Lk 20:25; 1Kor 10:26ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;

38ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;

39punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61;

40Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32.

4131:41 Hes 5:9; 18:8, 19Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya Bwana, kama Bwana alivyomwagiza Mose.

42Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani, 43nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500, 44ngʼombe 36,000, 45punda 30,500, 46na wanadamu 16,000. 47Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama Bwana alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya Bwana.

48Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose 4931:49 Hes 1:19; Yer 23:4; Kut 23:7; Law 26:7-9; Za 72:14; 116:15; 1Sam 30:19na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana. 5031:50 Kut 30:16; Law 17:11; Mt 20:28; Rum 3:25Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa Bwana vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za Bwana.”

51Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa. 52Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,75031:52 Shekeli 16,750 ni sawa na kilo 200. 5331:53 Mwa 34:29; Kum 20:14Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi. 5431:54 Kut 27:21; 40:2; 28:12; Hes 16:40; Kut 30:16; Yos 4:7; Zek 6:14; Lk 22:19; Mdo 1:4Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za Bwana.

Bibelen på hverdagsdansk

4. Mosebog 31:1-54

Guds straf over midjanitterne

1Herren sagde nu til Moses: 2„Jeg vil, at du skal straffe midjanitterne, fordi de lokkede Israels folk til at dyrke afguder. Dette bliver din sidste opgave, inden du skal dø.”

3Da sagde Moses til folket: „Nogle af jer skal ruste sig til kamp imod midjanitterne, så Herren kan straffe dem. 4-6Hver stamme skal stille med 1000 mand.”

Denne hær, som i alt talte 12.000 mand, sendte Moses nu af sted imod midjanitterne, anført af Pinehas, præsten Eleazars søn. De havde pagtens ark og alarmtrompeterne med. 7Det var på Herrens befaling, de angreb midjanitterne og dræbte samtlige mænd iblandt dem. 8Blandt de dræbte var der fem midjanitiske konger, Evi, Rekem, Zur, Hur og Reba. Også Bileam, Beors søn, blev dræbt.

9Den israelitiske hær tog alle kvinder og børn til fange, beslaglagde midjanitternes husdyr og rigdomme 10og brændte alle deres byer og landsbyer af.

11-13Så førte de fangerne og krigsbyttet i triumftog hjem til lejren på Moabs sletter ved Jordanfloden over for Jeriko. Moses, præsten Eleazar og folkets ledere kom dem i møde uden for lejren. 14Moses blev vred på officererne, da han så, hvad de bragte med sig hjem. 15„Hvorfor har I ladet kvinderne leve?” spurgte han. 16„Det var jo netop dem, der fulgte Bileams råd og lokkede Israels folk til at dyrke afguder på Peors bjerg, så Herrens folk blev ramt af en frygtelig plage. 17Derfor skal I dræbe alle drenge og alle kvinder, der har haft samleje med en mand. 18Kun småpigerne og de kvinder, der er jomfruer, må I skåne og bruge som slaver. 19Alle de af jer, som har dræbt nogen eller rørt ved en død, skal blive uden for lejren i syv dage, og på den tredje og den syvende dag skal I og jeres fanger gennemgå renselsesritualet, så I renses for synd. 20Husk også at vaske jeres tøj og alt, hvad der er lavet af læder, gedehår og træ.”

21Præsten Eleazar sagde derefter til de mænd, der havde deltaget i krigen: „Herren har befalet Moses, 22-23at I skal rense alt det, der ikke er brændbart, såsom guld, sølv, bronze, jern, tin og bly, ved at lægge det i ilden. Men alt det, der er brændbart, skal I rense ved at lægge det i vand. 24Når det er gjort, skal I vente i syv dage, før I gennemgår renselsesritualet og vasker jeres tøj. Først da kan I vende tilbage til lejren.”

25Herren sagde nu til Moses: 26„Sammen med præsten Eleazar og stammelederne skal du lave en liste over alt krigsbyttet, deriblandt også krigsfangerne og husdyrene, 27hvorefter du skal dele byttet i to dele. Den ene halvdel skal deles ud til dem, der tog del i krigen, og den anden halvdel skal deles ud til resten af folket, 28efter at Herren har fået sin del af fangerne, kvæget, æslerne, fårene og gederne. Herrens andel af krigernes udbytte er én ud af hver 500. 29Denne andel skal overdrages præsten Eleazar som en ydelse til præstetjenesten for Herren. 30Herrens andel af folkets udbytte skal være én ud af hver 50. Denne andel skal overdrages levitterne, som arbejder ved Herrens bolig.”

31Moses og præsten Eleazar gjorde, som Herren havde befalet. 32-35Krigsbyttet udgjorde 675.000 får og geder, 72.000 stykker kvæg, 61.000 æsler og 32.000 småpiger og unge jomfruer.

36-40Den halvdel, som tilfaldt dem, der havde været i kamp, udgjorde således 337.500 får og geder, hvoraf 675 blev givet til præsterne, 36.000 stykker kvæg, hvoraf 72 blev givet til præsterne, 30.500 æsler, hvoraf 61 blev givet til præsterne, 16.000 småpiger og unge jomfruer, hvoraf 32 blev overdraget til præsterne som slaver. 41Præsternes andel blev overdraget til Eleazar, sådan som Herren havde sagt.

42-46Den anden halvdel, som tilfaldt folket, beløb sig til 337.500 får og geder, 36.000 stykker kvæg, 30.500 æsler og 16.000 småpiger og unge jomfruer. 47Af disse dyr og mennesker blev én ud af hver 50 overdraget til levitterne, sådan som Herren havde sagt.

48Da kom lederne for de forskellige hærafdelinger til Moses 49og sagde: „Efter at vi har optalt de hjemvendte krigere, kan vi melde, at vi ikke har mistet en eneste mand i krigen. 50Derfor har vi besluttet at give Herren alle de guldsmykker vi tog fra fjenden, dvs. samtlige ankelringe,31,50 Betydningen af det hebraiske ord er omstridt. Muligvis er der tale om en ring omkring overarmen. armbånd, fingerringe, øreringe og halssmykker. Dette offer skal skaffe os soning hos Herren.”

51-53Moses og præsten Eleazar tog imod denne særlige gave. Den samlede vægt af alle disse kunstfærdigt udførte guldsmykker, som krigerne havde taget i krigsbytte, beløb sig til næsten 200 kilo. 54Hærførernes gave blev bragt til åbenbaringsteltet, hvor det blev opbevaret som et minde for Herrens ansigt.