Hesabu 3 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 3:1-51

Walawi

13:1 Kut 6:27; 19:11Hii ni hesabu ya jamaa ya Aroni na Mose kwa wakati ambao Bwana alizungumza na Mose katika Mlima Sinai.

23:2 Hes 1:20; 26:30; Kut 6:23; 1Nya 6:3Majina ya wana wa Aroni yalikuwa: Nadabu mzaliwa wa kwanza na Abihu, Eleazari na Ithamari. 33:3 Kut 28:41; 29:30Hayo yalikuwa majina ya wana wa Aroni, makuhani wapakwa mafuta, waliokuwa wamesimikwa kuhudumu kama makuhani. 43:4 Law 10:1-6, 12; Hes 4:28; 1Nya 24:1; Hes 26:61; Kum 4:24; Isa 66:15; 2The 1:8; Ebr 12:29Hata hivyo Nadabu na Abihu walikufa mbele za Bwana walipotoa sadaka kwa moto usioruhusiwa mbele zake katika Jangwa la Sinai. Hawakuwa na wana; kwa hiyo Eleazari na Ithamari walihudumu peke yao kama makuhani wakati wote wa maisha ya Aroni baba yao.

5Bwana akamwambia Mose, 63:6 Kum 10:8; 31:9; 1Nya 15:2; Hes 8:6-22; 18:1-7; 2Nya 29:11“Walete watu wa kabila la Lawi mbele ya Aroni kuhani ili wamsaidie. 73:7 Hes 1:53; 8:19; Law 8:35Watafanya huduma kwa ajili yake na kwa jumuiya yote katika Hema la Kukutania kwa kufanya kazi za Maskani. 8Watatunza samani zote za Hema la Kukutania, wakitimiza wajibu wa kuhudumia Waisraeli kwa kufanya kazi ya Maskani. 93:9 Hes 8:19; 18:6Wakabidhi Walawi kwa Aroni na wanawe; hao ndio Waisraeli ambao wanakabidhiwa kwake kabisa. 103:10 Kut 30:7; 29:9; Hes 1:51; 18:7; Mdo 6:3-4; Rum 12:7; 1Sam 6:19; Hes 16:40; 18:7Waweke Aroni na wanawe kuhudumu kama makuhani; mtu mwingine yeyote atakayesogea mahali patakatifu ni lazima auawe.”

11Bwana akamwambia Mose, 123:12 Neh 13:12; Mal 2:4; Hes 8:14, 16-18; 16:9; Kut 13:2“Nimewatwaa Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli badala ya mzaliwa wa kwanza wa kiume wa kila mwanamke wa Mwisraeli. Walawi ni wangu, 133:13 Kut 13:12; Law 11:44kwa kuwa wazaliwa wote wa kwanza ni wangu. Nilipowaua wazaliwa wa kwanza huko Misri, nilimtenga kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli awe wangu, akiwa mwanadamu au mnyama. Watakuwa wangu. Mimi ndimi Bwana.”

14Bwana akamwambia Mose katika Jangwa la Sinai, 153:15 Hes 1:19; 18:16; 26:62“Wahesabu Walawi kwa jamaa zao na koo zao. Mhesabu kila mwanaume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi.” 16Kwa hiyo Mose akawahesabu, kama alivyoamriwa na neno la Bwana.

173:17 Mwa 29:34; 46:11; Hes 1:47; 1Nya 15:4; 23:6; 2Nya 29:12; Yos 21:4-6Haya yalikuwa majina ya wana wa Lawi:

Gershoni, Kohathi na Merari.

183:18 Kut 6:16-17Haya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni:

Libni na Shimei.

193:19 Kut 6:18Koo za Wakohathi zilikuwa ni:

Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

203:20 Mwa 46:11; Kut 6:19Koo za Wamerari zilikuwa ni:

Mahli na Mushi.

Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi, kufuatana na jamaa zao.

213:21 Mwa 46:11; Kut 6:17Kulikuwa na koo za Walibni na Washimei kwa Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wagershoni. 22Idadi ya waume wote waliokuwa na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 7,500. 233:23 Hes 2:18Ukoo wa Wagershoni walitakiwa kuweka kambi zao upande wa magharibi, nyuma ya Maskani. 24Kiongozi wa jamaa za Wagershoni alikuwa Eliasafu mwana wa Laeli. 253:25 Kut 25:9; 26:14, 36; 40:2; Hes 7:1; 4:25; 1Nya 9:14-33; Ezr 8:28-30Katika Hema la Kukutania, Wagershoni walikuwa na wajibu wa kutunza Maskani na hema, vifuniko vyake, pazia katika mlango wa kuingilia ndani ya Hema la Kukutania, 263:26 Kut 27:9; 35:18; Hes 4:26mapazia ya ua, pazia katika ingilio la ua unaozunguka Maskani na madhabahu, pamoja na kamba, na kila kinachohusika kwa matumizi yake.

273:27 Mwa 46:11; Kut 6:18; 1Nya 26:23; Hes 4:15, 37Kwa Kohathi kulikuwepo koo za Waamramu, Waishari, Wahebroni na Wauzieli; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wakohathi. 283:28 Hes 4:4, 15; Kut 25:8; 30:13; 2Nya 30:19; Za 15:1; 20:2; Eze 44:27Hesabu ya waume wote wenye mwezi mmoja au zaidi ilikuwa watu 8,600. Wakohathi waliwajibika kutunza mahali patakatifu. 293:29 Hes 1:53Koo za Wakohathi zilitakiwa kuweka kambi zao upande wa kusini wa Maskani. 303:30 Kut 6:22Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli. 313:31 Kut 25:10-22, 23, 31; 26:33; Kum 10:1-8; 2Nya 5:2; Yer 3:16; 1Nya 28:15; Yer 52:19; Hes 1:50; 4:5, 15; 18:3Waliwajibika kutunza Sanduku la Agano, meza, kinara cha taa, madhabahu, na vile vyombo vya mahali patakatifu vinavyotumika kuhudumu, pazia, na kila kitu kinachohusika na matumizi yake. 323:32 Kut 6:23; Hes 4:19; 18:3; 20:25-28; 2Fal 25:18Kiongozi mkuu wa Walawi alikuwa Eleazari mwana wa kuhani, Aroni. Aliwekwa juu ya wale waliowajibika kutunza mahali patakatifu.

333:33 Kut 6:19; Mwa 46:11Kwa Merari kulikuwa na koo za Wamahli na Wamushi; hizi zilikuwa koo za Merari. 34Hesabu ya waume wote wenye umri wa mwaka mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 6,200. 353:35 Hes 1:53; 2:25Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani. 363:36 Hes 4:32; Kut 26:15-25; 35:20-29; 36:36; Hes 18:3Wamerari waliwekwa kutunza miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo, vitako na vifaa vyake vyote na kila kitu kilichohusika na matumizi yake, 373:37 Kut 27:10-19na pia nguzo za ua unaozunguka pamoja na vitako vyake, vigingi vya hema na kamba zake.

383:38 Hes 2:3; 18:5; 1:51; 1Nya 9:27; 23:32Mose, na Aroni na wanawe walitakiwa kuweka kambi zao mashariki mwa Maskani, kuelekea mawio ya jua, mbele ya Hema la Kukutania. Wao walihusika na utunzaji wa mahali patakatifu kwa niaba ya Waisraeli. Mtu mwingine yeyote aliyepasogelea mahali patakatifu angeuawa.

393:39 Hes 26:62Jumla ya hesabu ya Walawi waliohesabiwa na Mose na Aroni kwa amri ya Bwana, kufuatana na koo, pamoja na kila mume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walikuwa 22,000.

40Bwana akamwambia Mose, “Wahesabu wazaliwa wa kwanza wa kiume wote wa Waisraeli wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi na uorodheshe majina yao. 413:41 Law 11:44Nitwalie Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya wazaliwa wa mifugo ya Waisraeli. Mimi ndimi Bwana.”

42Hivyo Mose akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Waisraeli, kama Bwana alivyomwamuru. 43Jumla ya hesabu ya wazaliwa wa kwanza waume wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walioorodheshwa kwa majina, walikuwa 22,273.

44Bwana akamwambia Mose, 453:45 Hes 3:12; 1Sam 1:28“Watwae Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya mifugo yao. Walawi watakuwa wangu. Mimi ndimi Bwana. 463:46 Kut 13:13; Hes 18:15Ili kukomboa wazao wa kwanza 273 wa Waisraeli ambao wamezidi hesabu ya Walawi, 473:47 Law 27:6, 25; Kut 30:13; Hes 18:16; Eze 45:12kusanya shekeli tano3:47 Shekeli tano ni sawa na gramu 55. kwa kila mmoja, kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu, ambayo ina uzito wa gera ishirini.3:47 Gera 20 ni sawa na gramu 11. 48Mpe Aroni na wanawe hizo fedha kwa ajili ya ukombozi wa idadi ya Waisraeli waliozidi.”

493:49 1Tim 2:6; Tit 2:14; Gal 4:4-5; 1Pet 1:18; Ebr 9:12Kwa hiyo Mose akakusanya fedha za ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao ilizidi wale waliokombolewa na Walawi. 503:50 1Sam 12:3-4; Mdo 20:33Kutokana na wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli alikusanya fedha yenye uzito wa shekeli 1,3653:50 Shekeli 1,365 ni sawa na kilo 15.5. kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu. 51Mose akampa Aroni na wanawe ile fedha ya ukombozi, kama alivyoamriwa na neno la Bwana.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

民数记 3:1-51

利未人的职分

1以下是耶和华在西奈山与摩西说话期间亚伦摩西的后代。

2亚伦的长子是拿答,其他儿子还有亚比户以利亚撒以他玛3亚伦的儿子都是受膏的祭司,从摩西那里承受圣职做祭司。 4拿答亚比户西奈旷野用凡火向耶和华献祭,因而被击杀。他们没有后裔,因此只剩下以利亚撒以他玛在父亲亚伦身边担任祭司。

5耶和华对摩西说: 6“你去叫利未支派来协助亚伦祭司。 7他们要为亚伦和全体会众在会幕司职,办理圣幕的事务, 8也要负责看守会幕里面的器具,为以色列人办理圣幕的事务。 9你要把利未人交给亚伦父子们,因为他们是从以色列人中选出来协助亚伦的。 10你要指派亚伦父子们尽祭司的职分,其他人若走近圣幕,必被处死。” 11耶和华又对摩西说: 12“我从以色列人中拣选利未人代替以色列人所有的长子。利未人要属于我, 13因为所有头生的都属于我。我杀死埃及人所有的长子和头生的牲畜那天,已把以色列人所有的长子和头生的牲畜都分别出来,使之圣洁,归给我,我是耶和华。”

14耶和华在西奈旷野对摩西说: 15“你要按利未人的宗族和家系统计他们的人口,登记所有年龄在一个月以上的男性。” 16于是,摩西照耶和华的吩咐统计利未人。 17利未的儿子是革顺哥辖米拉利18革顺的儿子依次是立尼示每19哥辖的儿子依次是暗兰以斯哈希伯仑乌薛20米拉利的儿子依次是抹利姆示。他们按家系都属于利未人的宗族。

21革顺宗族有立尼示每两个家族, 22其中年龄在一个月以上的男性共七千五百人。 23革顺宗族的人要在圣幕的后面,即西面安营, 24拉伊勒的儿子以利雅萨做首领。 25他们负责看守会幕,即圣幕、圣幕的罩棚、顶盖和门帘、 26围绕圣幕和祭坛的院子的帷幔、门帘、绳索及一切相关的物品。

27哥辖宗族有暗兰家族、以斯哈家族、希伯仑家族和乌薛家族, 28其中年龄在一个月以上的男性共有八千六百人,他们负责看守圣所。 29哥辖宗族的人要在圣幕南面安营, 30乌薛的儿子以利撒反做首领。 31他们负责照管约柜、桌子、灯台、两座坛、圣所里面的器具、幔子等一切物品。 32亚伦祭司的儿子以利亚撒利未人的最高首领,负责监督在圣所工作的人。

33米拉利宗族有抹利姆示两个家族, 34其中年龄在一个月以上的男性共六千二百人, 35亚比亥的儿子苏列做首领。他们要在圣幕的北面安营, 36负责照管圣幕的木板、横闩、柱子、带凹槽的底座和圣幕的一切器具, 37以及院子四周的柱子、带凹槽的底座、橛子和绳索。

38摩西亚伦亚伦的儿子们要在圣幕东面、朝日出的方向安营,为以色列人在圣所司职。凡擅自走近圣所的人,都要被处死。 39摩西亚伦照耶和华的吩咐,按宗族统计利未人,年龄在一个月以上的男性共两万二千人。

利未人代替长子的地位

40耶和华对摩西说:“你要统计以色列人中年龄在一个月以上的长子,登记他们的姓名。 41我是耶和华,你要把利未人归给我,代替以色列人所有的长子,也要把利未人的牲畜献给我,代替以色列人所有头生的牲畜。” 42摩西就照耶和华的吩咐统计了以色列人的长子, 43年龄在一个月以上的共两万二千二百七十三人。 44耶和华又对摩西说: 45“你要用利未人代替以色列人所有的长子,用利未人的牲畜代替以色列人所有头生的牲畜。利未人是属于我的,我是耶和华。 46以色列人所有长子的人数比利未人总数多二百七十三人,这些多出来的人需要被赎回, 47每人折合五十五克银子,要以圣所的秤为准,即一舍客勒3:47 一舍客勒约合十一克。是二十季拉。 48要把赎银交给亚伦父子们。” 49摩西就收取了那二百七十三人的赎银, 50以圣所的秤计算,共十五公斤银子, 51照耶和华的吩咐,将赎银交给亚伦父子们。