Hesabu 26 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 26:1-65

Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili

126:1 Hes 14:37; 25:8Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni, 226:2 Kut 30:11-16; Hes 1:3; Kut 38:25“Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.” 326:3 Hes 33:48; Yos 13:22; Hes 22:1; Kum 4:46-49Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema, 426:4 Kut 6:14; 13:3“Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.”

Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:

526:5 Hes 1:20; Mwa 46:8, 9; 1Nya 5:3; Ufu 7:5Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa:

kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki;

kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;

626:6 1Nya 5:3; Mwa 46:9kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

7Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

8Mwana wa Palu alikuwa Eliabu, 926:9 Hes 16:1; 1:16; 16:2; Isa 65:16; Kum 11:6; Hes 27:3; 16:1, 2nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana. 1026:10 Kut 15:12; Hes 16:35, 38; Kut 3:12; Ay 31:3; Za 145:20; Yer 29:22; 2Pet 2:6; Yud 7Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo. 1126:11 Kut 6:24; Hes 16:33; Kum 5:9; 24:16; 2Fal 14:6; 2Nya 25:4; Eze 18:20Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.

1226:12 Mwa 46:10; 1Nya 4:24; Kut 6:15Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli;

kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini;

kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

1326:13 Mwa 46:10kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera;

kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

1426:14 Mwa 46:10; Hes 1:23Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.

1526:15 Mwa 46:16Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni;

kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi;

kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;

16kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni;

kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;

1726:17 Mwa 46:16kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi;

kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.

1826:18 Mwa 30:11; Hes 1:25; Yos 13:24-28Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.

1926:19 Mwa 38:3; 38:4; 38:7; 46:12; 1Nya 2:3Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

2026:20 Mwa 38:5; 38:29; Yos 7:17Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela;

kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi;

kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.

2126:21 Mwa 38:29; Rut 4:19; 1Fal 2:9Wazao wa Peresi walikuwa:

kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

2226:22 Hes 1:27Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.

2326:23 Mwa 46:13; 49:14Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola;

kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

2426:24 Mwa 46:13kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu;

kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.

2526:25 Mwa 30:18Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.

2626:26 Hes 1:30; Mwa 46:14; 49:13Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi;

kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni;

kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

2726:27 Mwa 30:20Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.

2826:28 Hes 1:32; 36:1; Mwa 41:52; 46:20; 48:3Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

2926:29 Hes 1:34; Mwa 50:23; Amu 11:1; Hes 32:39Wazao wa Manase:

kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi);

kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.

3026:30 Hes 27:1; 36:1; 1Nya 7:14; Yos 17:2; Amu 6:11; 8:2Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi:

kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri;

kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

31kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli;

kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;

32kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida;

kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

3326:33 Hes 27:1; 36:2; Yos 17:3; 1Nya 7:15; Hes 27:3; 36:11(Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)

3426:34 Hes 1:35Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.

3526:35 Hes 1:32; 1Nya 7:20Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao:

kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela;

kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri;

kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

36Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela:

kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

3726:37 Hes 1:33; Kum 33:13-17Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500.

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.

3826:38 Mwa 46:21; Hes 1:36; 1Nya 8:40Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela;

kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli;

kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;

3926:39 Mwa 46:21; 1Nya 7:12kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu;

kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.

4026:40 Mwa 46:21; 1Nya 8:3Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa:

kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi;

kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.

4126:41 Hes 1:37Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.

4226:42 Hes 1:38, 39; Amu 18:19; Mwa 46:23; 49:16; Kum 33:22Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao:

kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu.

Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani: 43Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.

4426:44 Hes 1:40; 26:47; 1:41Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna;

kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi;

kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;

45kutoka kwa wazao wa Beria:

kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi;

kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.

46(Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)

47Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.

4826:48 Mwa 30:8; 46:24; 1Nya 7:13Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli;

kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;

4926:49 1Nya 7:13kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri;

kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.

5026:50 Hes 1:42, 43Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.

5126:51 Kut 12:37; Hes 1:46; 2:32Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.

52Bwana akamwambia Mose, 5326:53 Yos 11:23; 14:1; Eze 45:8“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina. 5426:54 Hes 33:54; 35:8Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa. 5526:55 Hes 34:13; Yos 11:23; 14:2Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao. 56Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

5726:57 Mwa 46:11; Kut 6:16; 1Nya 6:16Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao:

kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni;

kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi;

kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.

5826:58 Kut 6:20Hizi pia zilikuwa koo za Walawi:

ukoo wa Walibni;

ukoo wa Wahebroni;

ukoo wa Wamahli;

ukoo wa Wamushi;

ukoo wa wana wa Kora.

(Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu; 5926:59 Kut 2:1; 6:20; 2:4; 15:20jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu. 6026:60 Kut 6:23Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari. 6126:61 Law 10:1-2; Hes 3:4; 1Nya 24; 2Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)

6226:62 Hes 3:39; 1:47; 18:23; 2:33; 18:20-24; 35:2-8; Kum 14:27-29Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.

6326:63 Hes 1:19; 22:1Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko. 6426:64 Hes 14:29; 1:44; 1:1; Kum 2:14, 15Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai. 6526:65 Hes 14:18; 1Kor 10:5; Hes 13:6; 11:28; Za 90:3-8; Rum 11:22; Kum 32:49-50; Yos 14:10; Hes 14:18, 30; Ebr 3:17, 18; Yud 5Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.

Священное Писание

Числа 26:1-65

Вторая перепись исраильского народа

1После мора Вечный сказал Мусе и Элеазару, сыну священнослужителя Харуна:

2– Сделайте перепись всего народа Исраила, годных к военной службе, от двадцати лет и старше, по семьям их отцов.

3На равнинах Моава у реки Иордан, напротив города Иерихона, Муса и священнослужитель Элеазар говорили с ними и сказали:

4– Сделайте перепись исраильтян от двадцати лет и старше, как повелел Мусе Вечный.

Вот исраильтяне, которые вышли из Египта:

5Потомки Рувима, первенца Исраила:

через Ханоха – клан ханохитов;

через Фаллу – клан фаллуитов;

6через Хецрона – клан хецронитов;

через Харми – клан хармитов.

7Это кланы Рувима; исчислено было 43 730 человек.

8Сыном Фаллу был Элиав, 9а сыновьями Элиава – Немуил, Датан и Авирам. Датан и Авирам были знатными людьми. Они восстали против Мусы и Харуна и оказались среди сообщников Кораха, когда те восстали против Вечного. 10Земля разверзлась и поглотила их вместе с Корахом, сообщники которого погибли, когда огонь сжёг двести пятьдесят человек. Они стали предостережением. 11Но сыновья Кораха не погибли в тот день.

12Потомки Шимона по их кланам:

через Немуила – клан немуилитов;

через Иамина – клан иаминитов;

через Иахина – клан иахинитов;

13через Зераха – клан зерахитов;

через Шаула – клан шаулитов.

14Это кланы Шимона; 22 200 человек.

15Потомки Гада по их кланам:

через Цефона – клан цефонитов;

через Хагги – клан хаггитов;

через Шуни – клан шунитов;

16через Озни – клан ознитов;

через Ери – клан еритов;

17через Ароди – клан ародитов;

через Арели – клан арелитов.

18Это кланы Гада; исчислено было 40 500 человек.

19Сыновьями Иуды были Ир и Онан. Они умерли в Ханаане.

20Потомки Иуды по их кланам:

через Шелу – клан шеланитов;

через Фареца – клан фарецитов;

через Зераха – клан зерахитов;

21Потомки Фареца:

через Хецрона – клан хецронитов;

через Хамула – клан хамулитов.

22Это кланы Иуды; исчислено было 76 500 человек.

23Потомки Иссахара по их кланам:

через Толу – клан толаитов;

через Пуа – клан пуанитов;

24через Иашува – клан иашувитов;

через Шимрона – клан шимронитов.

25Это кланы Иссахара; исчислено было 64 300 человек.

26Потомки Завулона по их кланам:

через Середа – клан середитов;

через Елона – клан елонитов;

через Иахлеила – клан иахлеилитов.

27Это кланы Завулона; исчислено было 60 500 человек.

28Потомки Юсуфа по их кланам через Манассу и Ефраима:

29Потомки Манассы:

через Махира – клан махиритов (Махир был отцом Галаада);

через Галаада – клан галаадитов.

30Вот потомки Галаада:

через Иезера – клан иезеритов;

через Хелека – клан хелекитов;

31через Асриила – клан асриилитов;

через Шехема – клан шехемитов,

32через Шемиду – клан шемидитов;

через Хефера – клан хеферитов.

33(У Целофхада, сына Хефера, не было сыновей; у него были только дочери; их звали Махла, Ноа, Хогла, Милка и Тирца.)

34Это кланы Манассы; исчислено было 52 700 человек.

35Вот потомки Ефраима по их кланам:

через Шутелаха – клан шутелахитов;

через Бехера – клан бехеритов;

через Тахана – клан таханитов.

36Вот потомки Шутелаха:

через Ерана – клан еранитов.

37Это кланы Ефраима; исчислено было 32 500 человек.

Это потомки Юсуфа по их кланам.

38Потомки Вениамина по их кланам:

через Белу – клан белаитов;

через Ашбела – клан ашбелитов;

через Ахирама – клан ахирамитов;

39через Шуфама – клан шуфамитов;

через Хуфама – клан хуфамитов.

40Потомки Белы через Арда и Наамана:

через Арда – клан ардитов;

через Наамана – клан нааманитов.

41Это кланы Вениамина; исчислено было 45 600 человек.

42Вот потомки Дана по их кланам:

через Шухама – клан шухамитов.

Это кланы Дана: 43все они были кланами шухамитов; исчислено было 64 400 человек.

44Потомки Ашира по их кланам:

через Имну – клан имнитов;

через Ишви – клан ишвитов;

через Брию – клан бриитов;

45а через потомков Брии:

через Хевера – клан хеверитов;

через Малкиила – клан малкиилитов.

46(У Ашира была дочь, которую звали Серах.)

47Это кланы Ашира; исчислено было 53 400 человек.

48Потомки Неффалима по их кланам:

через Иахцеила – клан иахцеилитов;

через Гуни – клан гунитов;

49через Иецера – клан иецеритов;

через Шиллема – клан шиллемитов.

50Это кланы Неффалима; исчислено было 45 400 человек.

51Всего исраильтян было 601 730 человек.

52Вечный сказал Мусе:

53– Землю нужно разделить между родами по числу людей. 54Большему роду дай больший удел, а меньшему – меньший. Пусть каждый род получит надел по количеству исчисленных. 55Пусть земля будет распределяться по жребию. Они получат наделы по числу людей в родах. 56Пусть каждый надел распределяется по жребию между более и менее многочисленными.

57Левиты, исчисленные по их кланам:

через Гершона – клан гершонитов;

через Каафа – клан каафитов;

через Мерари – клан мераритов.

58Вот кланы левитов:

клан ливнитов;

клан хевронитов;

клан махлитов;

клан мушитов;

клан корахитов.

(Кааф был предком Амрама. 59Жену Амрама звали Иохеведа, она была из потомков Леви и родилась среди левитов26:59 Или: «Иохеведа, дочь Леви, которая родилась у Леви». в Египте. Амраму она родила Харуна, Мусу и их сестру Марьям. 60Харун был отцом Надава и Авиуда, Элеазара и Итамара. 61Но Надав и Авиуд умерли, когда принесли Вечному чуждый огонь26:61 См. Лев. 10:1-2..)

62Всех исчисленных мужчин-левитов от месяца и старше было 23 000 человек. Они не были исчислены с остальными исраильтянами, потому что не получили своего надела.

63Вот те, кого исчислили Муса и священнослужитель Элеазар, когда они считали исраильтян на равнинах Моава у реки Иордан, напротив города Иерихона. 64Среди них не было никого, кто был исчислен Мусой и священнослужителем Харуном, когда они считали исраильтян в Синайской пустыне. 65Ведь Вечный сказал им, что они непременно умрут в пустыне, и из них не осталось никого, кроме Халева, сына Иефоннии, и Иешуа, сына Нуна.