Hesabu 25 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 25:1-18

Moabu Yashawishi Israeli

125:1 Hes 21:16; Yos 2:1; Isa 66:11; Yoe 3:18; Mik 6:5; Yer 5:7; 7:9; 9:2; 1Kor 10:8; Ufu 2:14; Mwa 19:37; Hes 31:16Israeli alipokuwa akikaa Shitimu, wanaume wa Israeli walianza kuzini na wanawake wa Kimoabu, 225:2 Kut 32:6; 20:5; Kum 32:38; 1Kor 10:20; Yos 22:17; Hos 9:10; Kut 34:15; 20:5ambao waliwaalika kushiriki katika kutoa kafara kwa miungu yao. Watu wakala na kusujudu mbele ya miungu hii. 325:3 Kum 4:19; Amu 2:19; 1Fal 9:9; Yer 1:16; 44:3; Hes 23:26Kwa hiyo Israeli akaungana katika kumwabudu Baali wa Peori. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi yao.

425:4 Hes 7:2; 13:3; 2Sam 21:6; Kum 4:3; Kut 32:12; Kum 13:17; Yos 7:26; 2Fal 23:26; 2Nya 28:11; 29:10; 30:8; Eze 10:14; Yer 44:3Bwana akamwambia Mose, “Uwachukue viongozi wote wa watu hawa, uwaue na uwaweke hadharani mchana peupe mbele za Bwana, ili hasira kali ya Bwana iweze kuondoka kwa Israeli.”

525:5 Kut 32:27; Hos 9:10Kwa hiyo Mose akawaambia waamuzi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awaue wale wanaume wenu, walioshiriki katika kumwabudu Baali wa Peori.”

625:6 Mwa 25:2; Hes 14:1; Amu 2:4; Rut 1:9; 1Sam 11:4; 2Sam 15:30; Ezr 10:1; Za 126:6; Yer 41:6Ndipo mwanaume wa Kiisraeli akamleta mwanamke wa Kimidiani katika jamaa yake palepale mbele ya Mose na mkutano wote wa Israeli walipokuwa wakilia kwenye lango la Hema la Kukutania. 725:7 Kut 6:25; Yos 22:13; Amu 20:28; 5:8; 1Sam 13:19; 1Fal 18:28; Za 35:3; 46:9; Yoe 3:10; Mik 4:3Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, alipoona jambo hili, akaondoka kwenye kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake, 825:8 Za 106:30akamfuata yule Mwisraeli ndani ya hema. Akawachoma mkuki wote wawili kwa pamoja, ukapenya kwenye mwili wa yule Mwisraeli na mwili wa yule mwanamke. Ndipo tauni iliyokuwepo dhidi ya Waisraeli ikakoma. 925:9 Hes 14:37; 1Kor 10:8; Hes 31:16Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.

10Bwana akamwambia Mose, 1125:11 Za 106:30; Kut 20:5; Kum 32:16; Za 78:58; Nah 1:3; Sef 1:13“Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza. 1225:12 Isa 11:9; 54:10; Eze 34:25; 37:26; Mal 2:4Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye. 1325:13 Kut 29:9; 1Fal 19:10; 2Fal 10:16; Kut 29:36; Rum 3:26; Za 106:31; Yer 33:18Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”

1425:14 Hes 1:6; 25:6Jina la Mwisraeli ambaye aliuawa pamoja na mwanamke wa Kimidiani ni Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa jamaa ya Simeoni. 1525:15 Hes 31:8; Yos 13:21; Hab 3:7Jina la mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa ni Kozbi binti wa Suri, aliyekuwa mkuu wa kabila la jamaa ya Wamidiani.

1625:16 Hes 31:7Bwana akamwambia Mose, 1725:17 Hes 31:1-3; Kut 23:22; Amu 2:16-18; Neh 9:27; Za 8:2; 21:8; 74:23; Kum 21:1; 1Sam 17:9; 2Fal 9:27; 10:25“Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue, 1825:18 Hes 23:28kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”

Korean Living Bible

민수기 25:1-18

모압에서 음행하는 이스라엘 백성

1이스라엘 사람들이 싯딤에 머물러 있을 때 그들은 모압 여자들과 음란 한 짓을 하기 시작하였다.

2그 여자들이 이스라엘 사람을 자기 신들의 제사에 초대하였고 이스라엘 사람은 그들의 제물을 먹고 그 신들에게 절하였다.

3이와 같이 이스라엘 사람들이 모압의 25:3 히 ‘바알-브올’바알 신을 섬겼으므로 여호와께서는 그들에게 몹시 분노하셨다.

4그때 여호와께서 모세에게 말씀하셨다. “너는 이스라엘의 모든 지도자들을 잡아다가 대낮에 내 앞에서 처형시켜라. 그러면 이 백성에 대한 나 여호와의 분노가 사라질 것이다.”

5그래서 모세는 바알에게 절한 사람들을 모두 처형하라고 이스라엘 25:5 또는 ‘사사들’재판관들에게 지시하였다.

6그래서 모든 이스라엘 사람들이 성막 입구에서 울고 있는데 한 이스라엘 사람이 모세와 백성이 보는 앞에서 미디안 여자를 데리고 천막으로 들어갔다.

7그때 제사장 아론의 손자이며 엘르아살의 아들인 비느하스가 그것을 보더니 벌떡 일어나 창을 들고

8그 사람을 뒤쫓아 천막 안으로 뛰어들어가서 그 남자의 등에서부터 그 여자의 배까지 한꺼번에 창으로 찔러 죽였다. 그러자 이스라엘 백성 가운데 퍼진 전염병이 그쳤다.

9그러나 그 전염병으로 죽은 사람이 24,000명이나 되었다.

10그때 여호와께서 모세에게 말씀하셨다.

11“나는 비느하스가 행한 일로 이스라엘 백성에게서 분노를 거두었다. 그가 내 명예를 위해 나처럼 분개하였으므로 내가 분노로 그들을 전멸시키려던 뜻을 돌이켰다.

12-13그러므로 너는 그에게 내가 그와 그의 후손에게 영원한 제사장 직분을 주기로 약속한다고 말하라. 그는 나를 위해 분개하여 이스라엘 백성을 속죄하였다.”

14미디안 여자와 함께 죽음을 당한 이스라엘 사람은 시므온 지파의 한 가장이며 살루의 아들인 시므리였고

15그 여자는 미디안족의 한 족장인 수르의 딸 고스비였다.

16여호와께서 모세에게 말씀하셨다.

17“너는 미디안 사람들을 원수로 취급하여 그들을 쳐서 죽여라.

18그들은 브올에서 교묘하게 너희를 속여 바알을 섬기게 하고 그 일로 전염병이 번졌을 때 죽음을 당한 미디안 족장의 딸 고스비의 사건으로 너희를 유혹하였다.”