Hesabu 24 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 24:1-25

124:1 Hes 23:20, 23, 28Basi Balaamu alipoona imempendeza Bwana kubariki Israeli, hakuendelea tena kutafuta uchawi kama nyakati nyingine, bali aligeuza uso wake kuelekea nyikani. 224:2 Hes 11:25; 1Sam 19:20; 2Nya 15:1; Mt 7:21-22; 1Kor 12:8-10Balaamu alipotazama nje na kuona Israeli amepiga kambi kabila kwa kabila, Roho wa Mungu akawa juu yake, 324:3 Hes 23:7naye akatoa ujumbe wake:

“Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori,

ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;

424:4 Hes 22:9; Mwa 15:1; 1Sam 19:24; Eze 1:28; Dan 8:18; 10:15; 2Kor 12:2ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu,

ambaye huona maono kutoka kwa Mwenyezi,24:4 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania (pia 24:16).

ambaye huanguka kifudifudi, na ambaye macho yake yamefunguka:

524:5 Yer 4:20; 30:18; Mal 2:12“Tazama jinsi yalivyo mazuri mahema yako, ee Yakobo,

maskani yako, ee Israeli!

624:6 Mwa 2:10; Za 1:3; 45:8; 104:16; Wim 4:14; Ay 29:19; Eze 31:5“Kama mabonde, yanaenea,

kama bustani kando ya mto,

kama miti ya udi iliyopandwa na Bwana,

kama mierezi kando ya maji.

724:7 Kut 17:8-16; Kum 28:1; 2Sam 5:12; 1Nya 14:2; Za 89:27; 145:11-13Maji yatatiririka kutoka ndoo zake;

mbegu yake itakuwa na maji tele.

“Mfalme wake atakuwa mkuu kuliko Mfalme Agagi;

ufalme wake utatukuka.

824:8 Kut 15:6; Yer 50:17; 2Sam 18:14; Za 45:5“Mungu alimleta kutoka Misri;

yeye ana nguvu kama nyati.

Anayararua mataifa yaliyo adui zake,

na kuvunja mifupa yao vipande vipande;

huwachoma kwa mishale yake.

924:9 Kut 23:23; Hes 23:24; Mwa 12:2, 3; 27:29; Za 122:6Hujikunyata na kuvizia kama simba,

kama simba jike; nani anayethubutu kumwamsha?

“Abarikiwe kila akubarikiye,

na alaaniwe kila akulaaniye!”

1024:10 Kut 4:14; Ay 27:23; 34:37; Mao 2:15; Eze 21:14; 22:13; 25:6; Hes 22:6; 23:7-11, 18-24; Kum 23:5Ndipo hasira ya Balaki ikawaka dhidi ya Balaamu. Akapiga mikono yake pamoja, akamwambia Balaamu, “Nilikuita uje kuwalaani adui zangu, lakini umewabariki mara hizi tatu. 1124:11 Hes 22:17Sasa ondoka upesi uende nyumbani! Mimi nilisema nitakuzawadia vizuri sana, lakini Bwana amekuzuia usizawadiwe.”

1224:12 Hes 22:18Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi, 1324:13 Hes 22:18, 20‘Hata ikiwa Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, nisingeweza kufanya kitu chochote kwa matakwa yangu, kikiwa kizuri au kibaya, kwenda kinyume na agizo la Bwana, nami imenipasa kusema tu kile Bwana atakachosema’? 1424:14 Mwa 49:1; Hes 31:8; Mik 6:5Sasa ninarudi kwa watu wangu. Lakini njoo, nikuonye kuhusu kile watu hawa watakachowatenda watu wako siku zijazo.”

Ujumbe Wa Nne Wa Balaamu

15Kisha Balaamu akatoa ujumbe wake:

“Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori,

ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;

1624:16 Hes 22:9; Mwa 14:18; Isa 14:14ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu,

ambaye ana maarifa kutoka kwa Aliye Juu Sana,

huona maono kutoka Mwenyezi,

ambaye huanguka kifudifudi

na ambaye macho yake yamefunguka:

1724:17 Ufu 1:7; Mt 2:2; Mwa 49:10; 19:37; Hes 21:29; Kum 23:6; Isa 15:1–16:14; Yer 48:45“Namwona yeye, lakini si sasa;

namtazama yeye, lakini si karibu.

Nyota itatoka kwa Yakobo,

fimbo ya ufalme itainuka kutoka kwa Israeli.

Atawaponda Wamoabu vipaji vya nyuso

na mafuvu yote ya wana wa Shethi.

1824:18 2Sam 8:12; 1Nya 18:11; Za 60:8; Isa 11:14; Amo 9:12; Mwa 9:25; 14:6; Kum 1:44; Yos 12:7; 15:10; Amu 5:4; Oba 1:2Edomu itamilikiwa,

Seiri, adui wake, itamilikiwa,

lakini Israeli atakuwa na nguvu.

1924:19 Mwa 49:10; Mik 5:2Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo

na kuangamiza walionusurika katika mji.”

Ujumbe Wa Mwisho Wa Balaamu

2024:20 Mwa 14:7; Kut 17:14; Kum 25:19; 1Sam 15:20; 30:17-20; 2Sam 8:12; 1Nya 18:11Kisha Balaamu akawaona watu wa Amaleki, na kutoa ujumbe wake:

“Amaleki ilikuwa ya kwanza miongoni mwa mataifa,

lakini mwisho wake itaangamizwa milele.”

2124:21 Mwa 15:19; Za 37:27; Mit 1:33; Isa 32:18; Eze 34:27Kisha akawaona Wakeni, akatoa ujumbe wake:

“Makao yenu ni salama,

kiota chenu kiko kwenye mwamba.

2224:22 Mwa 10:22Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa

Ashuru atakapowachukua mateka.”

23Ndipo akatoa ujumbe wake:

“Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?

2424:24 Mwa 10:4, 21; Hes 22:5; Isa 23:1; Dan 11:30; Law 26:28; Kum 28:36; Mt 23:37Meli zitakuja kutoka pwani za Kitimu,

zitaitiisha Ashuru na Eberi,

lakini nao pia wataangamizwa.”

25Kisha Balaamu akainuka na kurudi nyumbani kwake, naye Balaki akashika njia yake.

Korean Living Bible

민수기 24:1-25

1-2발람은 자기가 이스라엘 백성에게 축복하는 것이 여호와를 기쁘게 하 는 것인 줄을 알고 이번에는 전과 같이 여호와를 만나러 가지도 않고 곧장 광야 쪽으로 눈길을 돌려 이스라엘 백성이 각 지파별로 진을 치고 있는 것을 바라다보았다.

3바로 그때 하나님의 영이 그를 사로잡았다. 그래서 그는 이렇게 읊었다.

“브올의 아들 발람이 말하며

눈이 열린 자가 말하노라.

4하나님의 말씀을 듣고

전능하신 하나님의 환상을 보는 자,

엎드렸으나 눈이 열린 자가

말하노라.

5야곱이여,

네 천막이 아름답구나.

이스라엘이여,

네 거처가 정말 훌륭하구나.

6그 천막들이 펼쳐져 있는 모습이

골짜기 같고 강변의 동산 같으며

여호와께서 심으신 침향목 같고

물가에 심겨진 백향목 같구나.

7그들에게는 물이 풍성할 것이며

24:7 또는 ‘그 종자는 많은 물가에 있으리로다’그 자손들은 크게 번성하리라.

그들의 왕이 아각보다 위대하니

그 나라가 왕성하리라.

8“하나님이 그들을

이집트에서 인도해 내어

그들을 위해 들소처럼 싸우시니

그들이 대적하는 나라들을 삼키고

원수들의 뼈를 꺾으며

화살을 쏘아

그들의 심장을 꿰뚫는구나.

9그들이 힘 센 사자와 같으니

잠을 잔들 깨울 자 누구랴?

이스라엘아, 너를 축복하는 자마다

복을 받을 것이요

너를 저주하는 자마다

저주를 받으리라.”

10그러자 발락은 몹시 화가 나서 손바닥을 치며 발람에게 말하였다. “내 원수를 저주하라고 내가 당신을 불러왔는데 오히려 당신은 그들을 세 번씩이나 축복하였소.

11당장 집으로 돌아가시오. 내가 당신에게 큰 사례를 하려고 하였으나 여호와가 당신을 막아 그것을 받지 못하게 하였소!”

12-13그때 발람이 대답하였다. “당신이 금 은 보화가 가득한 궁전을 나에게 준다고 해도 나는 여호와의 명령을 어기고 아무것도 내 마음대로 할 수 없으며 여호와께서 나에게 말씀하시는 것만 말할 것이라고 당신이 보낸 사람들에게 내가 말하지 않았습니까?

14이제 나는 내 백성에게 돌아가겠습니다. 그러나 떠나기 전에 앞으로 이스라엘 백성이 당신의 백성에게 행할 일을 말씀드리겠습니다.”

발람의 넷째 예언

15그러고서 그는 이렇게 예언하였다.

“브올의 아들 발람이 말하며

눈이 열린 자가 말하노라.

16하나님의 말씀을

듣는 자가 말하며

가장 높으신 분에게서

지식을 얻는 자,

전능하신 하나님의 환상을 보는 자,

엎드렸으나 눈이 열린 자가

말하노라.

17“내가 이스라엘의 먼 미래를

바라보노라.

야곱에게서 한 별이 나오며

이스라엘에서 한 24:17 원문에는 ‘홀’왕이 일어나

모압 백성을 칠 것이며

24:17 또는 ‘소동하는 자식들’셋의 자손들을 멸망시키리라.

18이스라엘은 에돔을 정복하고

세일을 정복하여 계속 승리하리라.

19이스라엘이 그 원수들을 짓밟고

살아 남은 자들을 전멸시키리라.”

20그리고 발람은 아말렉 사람들을 바라보며 예언하였다.

“아말렉은 모든 민족들 가운데

으뜸이나 끝내는 멸망하리라.”

21그러고서 그는 켄족을 바라보며 이렇게 예언하였다.

“네가 사는 곳이 안전하며

절벽 위의 보금자리와 같구나.

22그러나 너 켄족은 망하여

앗시리아의 포로가 되리라.”

23그런 다음에 그는 다시 예언하였다.

“하나님이 이 일을 행하실 때

살 자가 누구랴?

2424:24 히 ‘깃딤’키프러스 해안에서

침략자들이 배를 타고 와

앗시리아와 에벨을 정복할 것이다.

그러나 그들도 멸망하리라.”

25그 후에 발람과 발락은 각자 자기 집으로 돌아갔다.