Hesabu 22 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 22:1-41

Balaki Anamwita Balaamu

122:1 Hes 22:11; 13:29; Yos 2:7; Hes 31:12; 33:48; Kum 32:49; Yos 2:1Kisha Waisraeli wakasafiri katika tambarare za Moabu na kupiga kambi kando ya Mto Yordani, ngʼambo ya Yeriko.

222:2 Hes 23:1-3; Yos 24:9; Amu 11:25; Mik 6:5; Ufu 2:14Basi Balaki mwana wa Sipori, aliona mambo yale yote ambayo Israeli aliwatendea Waamori, 322:3 Kut 15:15Moabu aliogopa, kwa kuwa walikuwepo watu wengi sana. Hakika, Moabu alijawa na hofu kubwa kwa sababu ya Waisraeli.

422:4 Mwa 19:37; 25:2; Hes 32:17; 18:29; Ay 5:25; Za 72:16Wamoabu wakawaambia wazee wa Midiani, “Umati huu wa watu unakwenda kuramba kila kitu kinachotuzunguka, kama maksai arambavyo majani ya shambani.”

Kwa hiyo Balaki mwana wa Sipori, ambaye alikuwa mfalme wa Moabu wakati huo, 522:5 Hes 24:25; 31:8; Kum 23:4; Yos 13:22; Neh 13:2; Mik 6:5; 2Pet 2:15; Mwa 2:14; Kut 13:3akatuma wajumbe kwenda kumwita Balaamu mwana wa Beori, ambaye alikuwa huko Pethori, karibu na Mto Frati, katika nchi yake ya kuzaliwa. Balaki akasema:

“Taifa limekuja kutoka Misri, nao wamefunika uso wa nchi, nao wametua karibu nami. 622:6 Hes 23:17; 24:9, 10Sasa uje kuwalaani watu hawa, kwa kuwa wana nguvu sana kuniliko. Kisha huenda nikaweza kuwashinda na kuwatoa nje ya nchi. Kwa kuwa ninajua kwamba, wale unaowabariki wanabarikiwa na wale unaowalaani wanalaaniwa.”

722:7 Mwa 30:27Wazee wa Moabu na wa Midiani wakaondoka, wakiwa wamechukua ada ya uaguzi. Walipokwenda kwa Balaamu, wakamweleza kile Balaki alikuwa amesema.

8Balaamu akawaambia, “Mlale hapa usiku huu, nami nitawaletea jibu lile Bwana atakalonipa.” Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakakaa naye.

922:9 Mwa 20:3; Hes 23:5; 24:4Mungu akamjia Balaamu na kumuuliza, “Watu gani hawa walio pamoja nawe?”

10Balaamu akamwambia Mungu, “Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alinipelekea ujumbe huu: 11‘Taifa ambalo limekuja kutoka Misri limefunika uso wa nchi. Sasa uje unilaanie hao watu. Kisha huenda nitaweza kupigana nao na kuwafukuza.’ ”

1222:12 Mwa 12:2Lakini Bwana akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja nao. Hupaswi kulaani watu hao, kwa kuwa wamebarikiwa.”

13Asubuhi iliyofuata Balaamu akaamka, akawaambia wakuu wa Balaki, “Rudini katika nchi yenu, kwa kuwa Bwana amenikataza nisiende pamoja nanyi.”

14Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakarudi kwa Balaki na kumwambia, “Balaamu amekataa kuja pamoja nasi.”

15Kisha Balaki akatuma wakuu wengine, wengi zaidi na wanaoheshimiwa zaidi kuliko wale wa kwanza. 16Wakafika kwa Balaamu na kumwambia:

“Balaki mwana wa Sipori amesema hivi: Usiruhusu kitu chochote kikuzuie kuja kwangu, 1722:17 Hes 24:11kwa sababu nitakulipa vizuri sana na kufanya lolote usemalo. Njoo unilaanie watu hawa.”

1822:18 Hes 22:37; 23:12, 26; 24:13; 1Fal 22:14; 2Nya 18:13; Yer 42:4Lakini Balaamu akawajibu, “Hata kama Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, singeweza kufanya kitu chochote kikubwa au kidogo ili kutenda kitu nje ya agizo la Bwana Mungu wangu. 19Mlale hapa usiku huu kama wale wengine walivyofanya, nami nitatafuta ni nini kingine Bwana atakachoniambia.”

2022:20 Mwa 20:3; Hes 23:5; 24; 13; 2Nya 18:13Usiku ule Bwana akamjia Balaamu na kumwambia, “Kwa kuwa watu hawa wamekuja kukuita wewe, nenda nao, lakini ufanye tu lile nitakalokuambia.”

Punda Wa Balaamu

21Balaamu akaamka asubuhi, akatandika punda wake akaenda pamoja na wakuu wa Moabu. 2222:22 Kut 4:14; Mwa 16:7; Amu 13:3, 6, 13Lakini Mungu alikasirika sana alipokwenda, naye malaika wa Bwana akasimama barabarani kumpinga. Balaamu alikuwa amepanda punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye. 2322:23 Yos 5:13Wakati punda alipomwona malaika wa Bwana akiwa amesimama barabarani akiwa na upanga uliofutwa mkononi mwake, punda akageukia upande kuelekea shambani. Balaamu akampiga ili amrudishe barabarani.

24Ndipo malaika wa Bwana akasimama katika njia nyembamba iliyo kati ya mashamba mawili ya mizabibu, yakiwa na kuta pande zote mbili. 25Punda alipomwona malaika wa Bwana, alijisukumiza karibu na ukuta, na kugandamiza mguu wa Balaamu ukutani. Ndipo Balaamu akampiga tena punda.

26Kisha malaika wa Bwana akaendelea mbele na kusimama mahali pembamba ambapo hapakuwepo nafasi ya kugeuka, upande wa kulia wala wa kushoto. 2722:27 Hes 11:1; Yak 1:19Punda alipomwona malaika wa Bwana, alilala chini Balaamu angali amempanda, naye Balaamu akakasirika na kumpiga kwa fimbo yake. 2822:28 2Pet 2:16Kisha Bwana akakifungua kinywa cha punda, akamwambia Balaamu, “Nimekutendea nini kinachokufanya unipige mara hizi tatu?”

2922:29 Kum 25:4; Mit 12:10; 27:23-27; Mt 15:19Balaamu akamjibu punda, “Umenifanya mjinga! Kama ningelikuwa na upanga mkononi mwangu, ningelikuua sasa hivi.”

30Punda akamwambia Balaamu, “Je, mimi si punda wako mwenyewe, ambaye umenipanda siku zote, hadi leo? Je, nimekuwa na tabia ya kufanya hivi kwako?”

Akajibu, “Hapana.”

3122:31 Mwa 21:19Kisha Bwana akafungua macho ya Balaamu, naye akamwona malaika wa Bwana amesimama barabarani akiwa ameufuta upanga wake. Balaamu akainama, akaanguka kifudifudi.

32Malaika wa Bwana akamuuliza Balaamu, “Kwa nini umempiga punda wako mara tatu hizi? Nimekuja kukuzuia kwa sababu njia yako imepotoka mbele yangu. 33Punda aliniona na kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda hangenikwepa, hakika ningekuwa nimeshakuua sasa, lakini ningemwacha punda hai.”

3422:34 Mwa 39:9; Hes 14:40; 1Sam 15:24; 2Sam 12:13; 24:10; Ay 33:27; Za 51:4Balaamu akamwambia malaika wa Bwana, “Nimetenda dhambi. Sikutambua kuwa umesimama barabarani kunizuia. Basi kama haikupendezi, nitarudi.”

35Malaika wa Bwana akamwambia Balaamu, “Uende na watu hao, lakini useme tu lile nikuambialo.” Kwa hiyo Balaamu akaenda na wale wakuu wa Balaki.

3622:36 Hes 21:13Balaki aliposikia kuwa Balaamu anakuja, akatoka kumlaki katika mji wa Moabu, katika mpaka wa Arnoni, ukingoni mwa nchi yake. 37Balaki akamwambia Balaamu, “Je, sikukupelekea jumbe za haraka? Kwa nini hukuja kwangu? Hivi kweli mimi siwezi kukulipa?”

3822:38 Hes 23:5Balaamu akajibu, “Vema, sasa nimekuja kwako. Lakini kwani nina uwezo wa kusema tu chochote? Ni lazima niseme tu kile ambacho Mungu ataweka kinywani mwangu.”

39Kisha Balaamu alikwenda na Balaki mpaka Kiriath-Husothi. 4022:40 Hes 23:1; Eze 45:25Balaki akatoa dhabihu ya ngʼombe na kondoo; baadhi yake akampa Balaamu na wakuu waliokuwa pamoja naye. 4122:41 Hes 21:28; 23:13Asubuhi iliyofuata Balaki akamchukua Balaamu mpaka Bamoth-Baali, na kutoka huko Balaamu akawaona baadhi ya watu.

New Russian Translation

Числа 22:1-41

Валак призывает Валаама

1Израильтяне двинулись на равнины Моава и остановились у Иордана, напротив Иерихона.

2Валак, сын Циппора, увидел все, что Израиль сделал с аморреями. 3Моав очень испугался народа, потому что их было так много. Они были полны ужаса перед израильтянами.

4Моавитяне сказали старейшинам Мадиана:

– Эта толпа съест все вокруг нас, как вол траву на поле.

И Валак, сын Циппора, который был в то время царем Моава, 5послал вестников за Валаамом, сыном Беора, в Пефор, что на Евфрате, в его родную землю. Валак сказал:

– Из Египта вышел народ, который покрыл лицо земли и поселился рядом со мной. 6Прошу, приди и прокляни мне этот народ, потому что он слишком силен для меня. Может быть, тогда я смогу разбить их и прогнать из страны. Я ведь знаю, что все, кого ты благословляешь, – благословенны, а кого проклинаешь – прокляты.

7Старейшины Моава и Мадиана тронулись в путь, взяв с собой плату за чародейство. Придя к Валааму, они передали ему все, что сказал Валак.

8– Переночуйте здесь, – сказал им Валаам, – и я передам вам ответ, который даст мне Господь.

Моавские вожди остались у него. 9Бог пришел к Валааму и спросил:

– Кто эти люди, которые у тебя?

10Валаам сказал Богу:

– Валак, сын Циппора, царь Моава, прислал сказать мне: 11«Народ, который вышел из Египта, покрыл лицо земли. Приди и прокляни мне их. Может быть, тогда я смогу сразиться с ними и прогнать их».

12Бог сказал Валааму:

– Не ходи с ними. Не проклинай этот народ, потому что он благословен.

13На следующее утро Валаам встал и сказал вождям Валака:

– Ступайте в свою страну. Господь отказался отпустить меня с вами.

14Моавские вожди вернулись к Валаку и сказали:

– Валаам отказался пойти с нами.

15Валак послал других вождей, которых было больше, и они были знатнее первых. 16Они пришли к Валааму и сказали:

– Так говорит Валак, сын Циппора: «Не откажись прийти ко мне. 17Я щедро вознагражу тебя и сделаю все, что ты скажешь. Приди, прокляни мне этот народ».

18Но Валаам ответил вождям Валака:

– Даже если бы Валак предлагал мне свой дворец, полный серебра и золота, я не смог бы сделать ничего вопреки повелению Господа, моего Бога. 19Впрочем, останьтесь здесь на ночь, как те другие, а я узнаю, что еще скажет мне Господь.

20В ту ночь Бог пришел к Валааму и сказал:

– Раз эти люди пришли, чтобы призвать тебя, вставай и иди с ними, но делай лишь то, что Я тебе скажу.

Ослица Валаама

21Валаам встал утром, оседлал ослицу и пошел с вождями Моава. 22Но Бог разгневался, когда он пошел22:22 Скорее всего, гнев Бога был вызван тем, какие мотивы двигали Валаамом. Им руководила жажда наживы (см. 2 Пет. 2:15; Иуда 1:11), что, конечно же, не могло быть угодно Богу., и Ангел Господень22:22 Ангел Господень – этот особенный Ангел отождествляется с Самим Господом. Многие толкователи видят в Нем явления Иисуса Христа до Его воплощения. встал на дороге, чтобы помешать ему. Валаам ехал на ослице, и с ним были двое его слуг. 23Когда ослица увидела Ангела Господнего, Который стоял на дороге с обнаженным мечом в руке, она свернула с дороги в поле. Валаам стал бить ее, чтобы вернуть на дорогу.

24Тогда Ангел Господень встал на узкой тропе между двумя виноградниками, где по обе стороны дороги были стены. 25Увидев Ангела Господнего, ослица прижалась к стене и придавила ногу Валаама. Он стал бить ее снова.

26Тогда Ангел Господень перешел вперед и встал в тесном месте, где нельзя было повернуть ни вправо, ни влево. 27Увидев Ангела Господнего, ослица легла под Валаамом, а он разгневался и стал бить ее палкой. 28Тогда Господь открыл ослице рот, и она сказала Валааму:

– Что я тебе сделала, что ты три раза подряд избил меня?

29Валаам ответил ослице:

– Ты издевалась надо мной! Будь у меня в руке меч, я бы сейчас убил тебя.

30Ослица сказала Валааму:

– Разве я не твоя ослица, на которой ты ездил всегда до этого дня? Была ли у меня привычка поступать так с тобой?

– Нет, – ответил он.

31Тогда Господь открыл Валааму глаза, и он увидел Ангела Господнего, Который стоял на дороге с обнаженным мечом. Он низко поклонился, припав лицом к земле. 32Ангел Господень спросил его:

– За что ты три раза подряд бил ослицу? Я пришел сюда, чтобы помешать тебе, потому что твой путь не угоден Мне. 33Ослица увидела Меня и сворачивала от Меня три раза подряд. Если бы она не сворачивала, то Я бы уже убил тебя, а ее пощадил.

34Валаам сказал Ангелу Господнему:

– Я согрешил. Я не знал, что Ты стоишь на дороге, чтобы помешать мне. Но теперь, если Ты недоволен, я пойду назад.

35Ангел Господень сказал Валааму:

– Иди с этими людьми, но говори лишь то, что Я тебе скажу.

И Валаам пошел с вождями Валака. 36Услышав, что идет Валаам, Валак вышел встретить его к моавскому городу на арнонской границе, на краю своей земли. 37Валак сказал Валааму:

– Разве я не посылал, чтобы призвать тебя? Почему ты не приходил ко мне? Разве я не в силах вознаградить тебя?

38– Вот я и пришел к тебе, – ответил Валаам. – Но в силах ли я сказать хоть что-то? Я должен говорить лишь то, что велит мне Бог.

39Валаам пошел с Валаком в город Кирьят-Хуцот. 40Валак принес в жертву волов и овец и послал часть мяса Валааму и вождям, которые были с ним.

Первое пророчество Валаама

41На следующее утро Валак взял Валаама на Бамот-Баал22:41 Это название означает «высоты Баала»., и оттуда он увидел часть народа.