Hesabu 2 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 2:1-34

Mpangilio Wa Kambi Za Makabila

1Bwana aliwaambia Mose na Aroni: 22:2 Za 74:4; Isa 31:9; Yer 4:21“Waisraeli watapiga kambi zao kuzunguka Hema la Kukutania kwa umbali fulani kutoka kwenye hema, kila mwanaume chini ya alama yake pamoja na bendera ya jamaa yake.”

32:3 Hes 6:23; Rut 4:20; 1Nya 2:10; Lk 3:32-33; Hes 10:14Kwa upande wa mashariki kuelekea mawio ya jua, kambi ya makundi ya Yuda watapiga kambi chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Yuda ni Nashoni mwana wa Aminadabu. 4Kundi lake lina watu 74,600.

52:5 Hes 1:8; 10:15Kabila la Isakari watapiga kambi karibu na Yuda. Kiongozi wa watu wa Isakari ni Nethaneli mwana wa Suari. 62:6 Hes 26:25Kundi lake lina watu 54,400.

72:7 Hes 1:9; 10:16; Mwa 49:13; Kum 33:18Kabila la Zabuloni litafuata. Kiongozi wa watu wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni. 8Kundi lake lina watu 57,400.

92:9 Hes 10:14; Amu 1:1; 1Nya 5:2; Za 78:52Wanaume wote walio katika kambi ya Yuda, kufuatana na makundi yao, ni 186,400. Wao watatangulia kuondoka.

102:10 Hes 1:5, 53; Kum 33:6Kwa upande wa kusini kutakuwa kambi ya makundi ya Reubeni chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Reubeni ni Elisuri mwana wa Shedeuri. 11Kundi lake lina watu 46,500.

122:12 Hes 10:19; 1:6Kabila la Simeoni watapiga kambi karibu na Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Surishadai. 13Kundi lake lina watu 59,300.

142:14 Hes 10:20; 1:14Kabila la Gadi litafuata. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli. 15Kundi lake lina watu 45,650.

162:16 Hes 10:18; Mwa 49:3Wanaume wote walio katika kambi ya Reubeni, kufuatana na makundi yao, ni 151,450. Nao watakuwa nafasi ya pili kuondoka.

172:17 Hes 1:50; 10:21; Mdo 4:4; Ebr 8:2; 1Kor 14:40Kisha Hema la Kukutania na kambi ya Walawi vitakuwa katikati ya kambi zote. Wao watasafiri kwa utaratibu ule ule kama walivyopiga kambi, kila mmoja mahali pake mwenyewe chini ya alama yake.

182:18 Hes 1:10, 53; Mwa 48:20; Yer 31:18-20; Za 80:1; Hos 11:3Upande wa magharibi kutakuwepo na kambi ya makundi ya Efraimu chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Elishama mwana wa Amihudi. 19Kundi lake lina watu 40,500.

202:20 Mwa 48:20; Hes 1:10Kabila la Manase litafuata baada ya Efraimu. Kiongozi wa watu wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri. 21Kundi lake lina watu 32,200.

222:22 Hes 10:24; 1:11; Za 68:27Kabila la Benyamini litafuata baada ya Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni. 23Kundi lake lina watu 35,400.

242:24 Hes 10:22; Za 80:2Wanaume wote walio katika kambi ya Efraimu kufuatana na makundi yao ni 108,100. Nao watakuwa nafasi ya tatu kuondoka.

252:25 Hes 1:22, 53; 10:25; Kum 32:22Upande wa kaskazini kutakuwa na makundi ya kambi ya Dani, chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri mwana wa Amishadai. 26Kundi lake lina watu 62,700.

272:27 Hes 1:13; 10:26Kabila la Asheri watapiga kambi karibu na Dani. Kiongozi wa watu wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okrani. 28Kundi lake lina watu 41,500.

292:29 Hes 1:15; 10:27; Mwa 30:8; 49:21; 2Fal 15:29Kabila la Naftali litafuata. Kiongozi wa watu wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani. 30Kundi lake lina watu 53,400.

312:31 Hes 10:25; Yos 6:9Wanaume wote walio katika kambi ya Dani ni 157,600. Wao watakuwa wa mwisho kuondoka chini ya alama yao.

322:32 Hes 1:45; Kut 12:35-37; 38:26Hawa ndio Waisraeli, wakiwa wamehesabiwa kufuatana na jamaa zao. Wote walio kambini kwa makundi yao ni watu 603,550. 332:33 Hes 1:47; 26:57-62Hata hivyo, Walawi hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine, kama Bwana alivyomwagiza Mose.

342:34 Kut 12:37; Hes 24:2, 9; Isa 45:12Kwa hiyo Waisraeli wakafanya kila kitu Bwana alichomwamuru Mose. Hivyo ndivyo walivyopiga kambi chini ya alama zao, pia hivyo ndivyo walivyoondoka, kila mmoja akiwa na ukoo wake na jamaa yake.

Священное Писание

Числа 2:1-34

Расположение родов в станах

1Вечный сказал Мусе и Харуну:

2– Пусть исраильтяне разбивают стан вокруг шатра встречи, поодаль от него, каждый под своим знаменем, под знаками своей семьи.

3Пусть стан Иуды будет под своим знаменем на востоке, к восходу. Вождь рода Иуды – Нахшон, сын Аминадава. 4В его войске 74 600 мужчин.

5Род Иссахара пусть ставит стан рядом с ними. Вождь рода Иссахара – Нетанил, сын Цуара. 6В его войске 54 400 мужчин.

7Рядом будет род Завулона. Вождь рода Завулона – Элиав, сын Хелона. 8В его войске 57 400 мужчин.

9Всего мужчин в стане Иуды по их войскам 186 400. Они будут отправляться в путь первыми.

10Пусть на юге будет стан Рувима под своим знаменем. Вождь рода Рувима – Элицур, сын Шедеура. 11В его войске 46 500 мужчин.

12Род Шимона пусть ставит стан рядом с ними. Вождь рода Шимона – Шелумиил, сын Цуришаддая. 13В его войске 59 300 мужчин.

14Рядом – род Гада. Вождь рода Гада – Элиасаф, сын Деуила. 15В его войске 45 650 мужчин.

16Всего мужчин в стане Рувима по их войскам 151 450. Они будут отправляться в путь вторыми.

17Затем, пусть в середине станов отправляется в путь шатёр встречи и стан левитов. Они будут отправляться в путь в том порядке, в каком ставят стан, каждый на своём месте, под своим знаменем.

18Пусть на западе будет стан Ефраима под своим знаменем. Вождь рода Ефраима – Элишама, сын Аммихуда. 19В его войске 40 500 мужчин.

20После них будет род Манассы. Вождь рода Манассы – Гамалиил, сын Педацура. 21В его войске 32 200 мужчин.

22Потом будет род Вениамина. Вождь рода Вениамина – Авидан, сын Гидеони. 23В его войске 35 400 мужчин.

24Всего мужчин в стане Ефраима по их войскам 108 100. Они будут отправляться в путь третьими.

25Пусть на севере будет стан Дана под своим знаменем. Вождь рода Дана – Ахиезер, сын Аммишаддая. 26В его войске 62 700 мужчин.

27Род Ашира будет ставить стан возле них. Вождь рода Ашира – Пагиил, сын Охрана. 28В его войске 41 500 мужчин.

29Потом будет род Неффалима. Вождь рода Неффалим – это Ахира, сын Енана. 30В его войске 53 400 мужчин.

31Всего мужчин в стане Дана 157 600. Они будут отправляться в путь последними под своими знамёнами.

32Это исраильтяне, исчисленные по их семьям. Всего в станах – по ополчениям – 603 550 человек. 33Лишь левиты не были исчислены с остальными исраильтянами – так повелел Мусе Вечный.

34Исраильтяне сделали всё, что повелел Мусе Вечный. Они вставали станом под своими знамёнами и также отправлялись в путь – каждый со своим кланом и семьёй.