Hesabu 19 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 19:1-22

Maji Ya Utakaso

1Bwana akamwambia Mose na Aroni: 219:2 Mwa 15:9; Ebr 9:13; Law 22:19-25; Kum 21:3; 1Sam 6:7“Hivi ndivyo sheria ambayo Bwana ameagiza itakavyo: Waambie Waisraeli wakuletee mtamba mwekundu asiye na dosari wala waa, na ambaye hajapata kufungwa nira. 319:3 Hes 3:4; Kut 29:14Mpeni kuhani Eleazari huyo mtamba; naye atatolewa nje ya kambi na kuchinjwa mbele yake huyo kuhani. 419:4 Law 4:17Kisha kuhani Eleazari atachukua baadhi ya damu yake kwenye kidole chake na kuinyunyiza mara saba kuelekea upande wa mbele ya Hema la Kukutania. 519:5 Kut 29:14Wakati angali akitazama, mtamba huyo atateketezwa: ngozi yake, nyama yake, damu na sehemu zake za ndani. 619:6 Za 51:7; Law 14:4Kuhani atachukua kuni za mti wa mwerezi, hisopo na sufu nyekundu, na kuvitupa kwenye huyo mtamba anayeungua. 719:7 Law 11:25; 14:8Baada ya hayo, kuhani lazima afue nguo zake, na aoge mwili wake kwa maji. Kisha anaweza kurudi kambini, lakini atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada mpaka jioni. 8Mtu amchomaye huyo mtamba lazima naye pia afue nguo zake na kuoga kwa maji, naye pia atakuwa najisi mpaka jioni.

919:9 Ebr 9:13; Kut 29:31; Law 4:12; Hes 8:1; Mwa 35:2“Mtu ambaye ni safi atakusanya majivu ya mtamba huyo na kuyaweka mahali ambapo ni safi nje ya kambi kwa taratibu za kiibada. Yatahifadhiwa na jumuiya ya Kiisraeli kwa matumizi katika maji ya utakaso; ni kwa ajili ya kutakasa kutoka dhambini. 1019:10 Law 15:10; 14:46; 3:17; 22:18Mtu akusanyaye majivu ya huyo mtamba ni lazima pia afue nguo zake, kadhalika naye pia atakuwa najisi hadi jioni. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa Waisraeli na kwa wageni wanaoishi miongoni mwao.

1119:11 Law 21:1; 8:33; Hes 31:19“Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote atakuwa najisi kwa siku saba. 1219:12 Hes 31:19; 2Nya 26:21Ni lazima ajitakase mwenyewe kwa maji katika siku ya tatu na siku ya saba, ndipo atakuwa safi. Lakini kama hatajitakasa mwenyewe katika siku ya tatu na ya saba, hatakuwa safi. 1319:13 Law 21:11; 15:31; 2Nya 36:14; Za 79:1; Law 22:3; 7:20; Hag 2:13Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote na kushindwa kujitakasa mwenyewe hunajisi Maskani ya Bwana. Mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na Israeli. Kwa sababu hajanyunyiziwa maji ya utakaso, yeye ni najisi; unajisi wake unabaki juu yake.

14“Hii ndiyo sheria itumikayo wakati mtu amekufa ndani ya hema: Yeyote aingiaye ndani ya hema hilo na yeyote aliye ndani yake watakuwa najisi kwa muda wa siku saba, 1519:15 Law 6:28nacho kila chombo kisicho na kifuniko juu yake kitakuwa najisi.

1619:16 Hes 31:19; 1Fal 13:2; 2Fal 23:14; Eze 6:5; 2Fal 23:6; Mt 23:27; Law 5:3“Mtu yeyote aliyeko nje mahali pa wazi agusaye mtu aliyeuawa kwa upanga au mtu aliyekufa kwa kifo cha kawaida, au mtu yeyote agusaye mfupa wa mtu aliyekufa au kaburi, atakuwa najisi kwa siku saba.

1719:17 Hes 8:7“Kwa mtu aliye najisi, weka majivu ya sadaka ya utakaso wa dhambi ndani ya chombo, umimine maji safi juu yao. 1819:18 Kut 12:22; Law 4:17Kisha mtu aliye safi kwa kawaida za kiibada atachukua hisopo, achovye ndani ya maji, na kunyunyizia hema na vifaa vyote pamoja na watu ambao walikuwamo. Pia ni lazima amnyunyizie mtu yeyote ambaye amegusa mfupa wa mtu aliyekufa, au kaburi, au mtu ambaye ameuawa, au mtu ambaye amekufa kifo cha kawaida. 1919:19 Law 16:14-15; Hes 31:19; Eze 36:25; Ebr 10:22; Mwa 35:2Mtu ambaye ni safi ndiye atakayemnyunyizia yeyote ambaye ni najisi siku ya tatu na siku ya saba, na katika siku ya saba atamtakasa mtu huyo. Mtu ambaye ametakaswa lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji, na jioni ile atakuwa safi. 2019:20 Za 14:7; Law 15:31; 14:8Lakini ikiwa mtu ambaye ni najisi hakujitakasa mwenyewe, ni lazima akatiliwe mbali na jumuiya, kwa sababu ameinajisi Maskani ya Bwana. Maji ya utakaso hayajanyunyizwa juu yake, naye ni najisi. 2119:21 Kut 27:21Hii ni sheria ya kudumu kwao.

“Mtu yeyote ambaye ananyunyiza yale maji ya utakaso lazima pia afue nguo zake, na yeyote ambaye hugusa maji ya utakaso atakuwa najisi mpaka jioni. 2219:22 Law 5:2; 15:4-12Kitu chochote anachogusa mtu aliye najisi kitakuwa najisi, na yeyote akigusaye huwa najisi mpaka jioni.”

New Russian Translation

Числа 19:1-22

Вода очищения

1Господь сказал Моисею и Аарону:

2– Вот установление Закона, который дал Господь: Скажи израильтянам привести к тебе рыжую телицу без изъяна, которая никогда не ходила под ярмом. 3Отдайте ее священнику Элеазару. Потом пусть ее выведут за лагерь и заколят в его присутствии. 4Пусть священник Элеазар возьмет на палец кровь телицы и покропит ею семь раз переднюю сторону шатра собрания. 5Пусть у него на глазах шкуру, мясо, кровь и нечистоты телицы сожгут. 6Пусть священник возьмет кедровое дерево, иссоп и алую шерсть19:6 Иссоп – по всей вероятности, это не собственно иссоп, а один из видов майорана, распространенный в Израиле. Кедровое дерево, иссоп и алая шерсть являлись символами очищения от греха в иудейской культуре., и бросит это на сжигаемую телицу. 7После этого пусть священник выстирает одежду и вымоется сам. Теперь он сможет войти в лагерь, но будет нечист до вечера. 8Пусть тот, кто сожжет ее, тоже выстирает одежду и вымоется сам. Он тоже будет нечист до вечера.

9Пусть тот, кто чист, соберет пепел телицы и положит его на чистом месте вне лагеря. Пусть он хранится у народа израильского для воды очищения. Это – очистительное приношение.

10Пусть тот, кто соберет пепел телицы, тоже выстирает одежду. Он тоже будет нечист до вечера. Это установление будет вечным и для израильтян, и для живущих у них чужеземцев. 11Любой, кто прикоснется к мертвому человеческому телу, будет нечист семь дней. 12Пусть он очистит себя водой на третий и на седьмой день; потом он будет чист. Но если он не очистит себя на третий и на седьмой день, то он не будет чист. 13Любой, кто прикоснулся к мертвому человеческому телу и не очистился, оскверняет скинию Господа. Такой человек должен быть исторгнут из Израиля. Его не окропили водой очищения: он нечист; его нечистота остается на нем. 14Вот закон, если кто-то умирает в шатре: любой входящий в шатер и любой находящийся в нем будут нечисты семь дней, 15и любой сосуд без крышки будет нечист.

16Любой прикоснувшийся в поле к убитому мечом или к умершему своей смертью и любой прикоснувшийся к человеческой кости или могиле будет нечист семь дней. 17Пусть для нечистого человека положат в сосуд пепел от сожженного очистительного приношения и нальют сверху свежей воды. 18Пусть тот, кто чист, возьмет иссоп, обмакнет его в воду и окропит шатер, всю утварь, людей, которые там, и того, кто прикоснулся к человеческой кости, могиле, убитому или умершему своей смертью. 19Пусть тот, кто чист, окропит нечистого человека на третий и на седьмой день; так он очистит его на седьмой день. Пусть тот, кто очистился, выстирает одежду и вымоется сам. В тот вечер он будет чист. 20Но если тот, кто нечист, не очистится, то он должен быть исторгнут из народа за то, что осквернял святилище Господа. Его не окропили водой очищения: он нечист. 21Это установление для них будет вечным.

Пусть тот, кто кропит водой очищения, тоже выстирает одежду. Любой, кто прикоснется к воде очищения, будет нечист до вечера. 22Все, к чему прикоснется нечистый человек, станет нечистым, и любой, кто прикоснется к этому, станет нечистым до вечера.