Hesabu 15 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 15:1-41

Sadaka Za Nyongeza

1Bwana akamwambia Mose, 215:2 Law 23:10“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani, 315:3 Law 1:2, 9; 23:1-44; Hes 28:13; 7:16; Ezr 1:4; Kum 16:10; Mwa 8:21; Kut 29:18; 2Kor 2:15; Efe 5:2nanyi mkitoa sadaka za kuteketezwa kwa moto, kutoka makundi ya ngʼombe au kondoo, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, ikiwa ni sadaka za kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum ama sadaka ya hiari au sadaka ya sikukuu zenu, 415:4 Law 6:14; Kut 16:36; Law 14:10; Kut 29:40; Isa 66:20ndipo yeye aletaye sadaka yake ataiweka mbele za Bwana sadaka ya nafaka, sehemu ya kumi ya efa15:4 Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja. ya unga laini uliochanganywa na robo ya hini15:4 Robo ya hini ni sawa na lita moja. ya mafuta. 515:5 Law 3:7; 10:9; Mwa 35:14; Hes 28:7, 14; Gal 3:28; Kol 3:11; Law 24:22Pamoja na kila mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, andaa robo ya hini ya divai kwa sadaka ya kinywaji.

615:6 Law 5:15; 23:13; Hes 28:12; 29:14; Eze 46:14“ ‘Pamoja na kondoo dume andaa sadaka ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa15:6 Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2. za unga laini uliochanganywa na theluthi moja15:6 Theluthi moja ya hini ni sawa na lita moja na nusu. ya hini ya mafuta, 715:7 Law 1:9; 23:13; Hes 28:14; 29:18na theluthi moja ya hini ya divai kama sadaka ya kinywaji. Vitoe kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.

815:8 Kut 12:5; Law 1:5; 22:18; 3:6“ ‘Unapoandaa fahali mchanga kama sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum au sadaka ya amani kwa Bwana, 915:9 Law 2:1; 14:10leta pamoja na huyo fahali sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa15:9 Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3. uliochanganywa na nusu ya hini15:9 Nusu ya hini ni sawa na lita 2. ya mafuta. 1015:10 Hes 28:14; Law 23:13; 1:9; Amu 2:17; Yer 3:2; 7:24; Hos 4:12; Eze 20:16Pia utaleta nusu ya hini ya divai kama sadaka ya kinywaji. Itakuwa sadaka iliyoteketezwa kwa moto, harufu nzuri inayompendeza Bwana. 11Kila fahali au kondoo dume, kila mwana-kondoo au mbuzi mchanga, atatayarishwa kwa njia hii. 1215:12 Ezr 7:17Fanyeni hivi kwa ajili ya kila mmoja, kwa kadiri ya wingi wa mtakavyoandaa.

1315:13 Law 16:29; 1:9“ ‘Kila mmoja ambaye ni mzawa ni lazima afanye vitu hivi kwa njia hii hapo aletapo sadaka ya kuteketezwa kwa moto kama harufu nzuri inayompendeza Bwana. 1415:14 Law 3:17; 22:18; Hes 10:8; Kut 12:19, 43; 22:21Kwa vizazi vijavyo, wakati wowote mgeni au mtu mwingine yeyote anayeishi miongoni mwenu aletapo sadaka ya kuteketezwa kuwa harufu nzuri ya kumpendeza Bwana, ni lazima afanye sawasawa kabisa na jinsi mnavyofanya ninyi. 1515:15 Hes 9:14Jumuiya itakuwa na sheria hizo hizo kwenu na kwa mgeni aishiye miongoni mwenu; hii ni amri ya kudumu kwa vizazi vijavyo. Ninyi na mgeni mtakuwa sawa mbele za Bwana: 1615:16 Kut 12:49; Law 22:18; Hes 9:14Sheria hizo hizo na masharti hayo hayo hayo, yatawahusu ninyi na mgeni aishiye miongoni mwenu.’ ”

17Bwana akamwambia Mose, 1815:18 Law 23:10“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapeleka 1915:19 Yos 5:11; 12; Hes 18:8nanyi mkala chakula cha nchi hiyo, toeni sehemu ya chakula hicho kama sadaka kwa Bwana. 2015:20 Law 23:14; Hes 18:2; Mwa 50:10; Kut 23:19; Neh 10:37; Mit 3:9; Law 2:14Toeni andazi kutoka kwa malimbuko ya chakula chenu kitokacho katika ardhi, na mkitoe kama sadaka kutoka sakafu ya kupuria nafaka. 2115:21 Law 23:14; Eze 44:30; Rum 11:16Kwa vizazi vyote vijavyo hamna budi kutoa sadaka hii kwa Bwana kutoka kwa malimbuko ya unga wenu.

Sadaka Kwa Ajili Ya Dhambi Isiyo Ya Makusudi

2215:22 Law 4:2; 1Yn 2:1“ ‘Basi kama pasipo kukusudia umeshindwa kushika mojawapo katika amri hizi ambazo Bwana alimpa Mose, 23amri yoyote ya Bwana kwenu kupitia Mose, tangu siku ile Bwana alipowapa na inaendelea hadi vizazi vyote vijavyo; 2415:24 Law 5:15; 4:14; 23:13; 4:3; Hes 6:15; Law 4:13, 23; Hes 28:15; Ezr 6:17; 8:35ikiwa hili limefanyika pasipo kukusudia bila jumuiya kuwa na habari nalo, basi jumuiya yote itatoa fahali mchanga kuwa sadaka ya kuteketezwa ikiwa harufu nzuri inayompendeza Bwana, pamoja na sadaka ya nafaka na ya kinywaji zilizoamriwa kwayo, na mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 2515:25 Law 4:3, 20; Rum 3:25; Ebr 2:17; Rum 5; 11; Dan 9:24; Ebr 10:10-12Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya jumuiya yote ya Kiisraeli, nao watasamehewa, kwa kuwa haikuwa makusudi nao wamemletea Bwana sadaka iliyoteketezwa kwa moto na sadaka ya dhambi kwa ajili ya kosa lao. 26Jumuiya yote ya Kiisraeli pamoja na wageni waishio miongoni mwao watasamehewa, kwa sababu watu wote walihusika katika kosa lile lisilokusudiwa.

2715:27 Law 4:3, 27; Hes 6:14; Za 19:13; Lk 12:48“ ‘Lakini kama mtu mmoja peke yake akitenda dhambi pasipo kukusudia, ni lazima alete mbuzi mke wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 2815:28 Hes 8:12; 28:22; Law 4:20Kuhani atafanya upatanisho mbele za Bwana kwa ajili ya yule aliyekosa kwa kufanya dhambi pasipo kukusudia, upatanisho utakapofanywa kwa ajili yake, atasamehewa. 2915:29 Kut 12:49Sheria hiyo moja itamhusu kila mmoja ambaye ametenda dhambi pasipo kukusudia, awe Mwisraeli mzawa ama mgeni.

3015:30 Hes 14:40-44; Kum 1:43; 17:13; Za 19:13; 2Fal 19:6, 20; Isa 37:6, 23; Eze 20:27; Mwa 17:14; Ay 31:22“ ‘Lakini yeyote ambaye amefanya dhambi kwa dharau awe mzawa au mgeni, anamkufuru Bwana, naye mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. 3115:31 Hes 11:14; Mit 13:13; Za 119:126; 1Sam 15:23-26; 2Sam 11:27; 12:9; Eze 18:20Kwa sababu amelidharau neno la Bwana na kuvunja amri zake, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali; hatia yake inabaki juu yake.’ ”

Mvunja Sabato Auawe

3215:32 Hes 12:16; Kut 31:14-15; 35:2-3Waisraeli walipokuwa jangwani, mtu mmoja alikutwa akikusanya kuni siku ya Sabato. 33Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Mose, Aroni na kusanyiko lote, 3415:34 Hes 9:8; Law 24:12nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini. 3515:35 Kut 31:14-15; Law 20:2; Lk 4:29; Mdo 7:58Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Huyo mtu ni lazima afe. Kusanyiko lote lazima limpige mawe nje ya kambi.” 3615:36 Law 20:2; Kut 31:14; Yer 17:21Hivyo kusanyiko likamtoa nje ya kambi na kumpiga mawe hadi akafa, kama Bwana alivyomwamuru Mose.

Vifundo Kwenye Mavazi

37Bwana akamwambia Mose, 3815:38 Law 3:17; Hes 10:8; Kum 22:12; Mt 23:5“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Kwa vizazi vyote vijavyo jifanyieni vifundo katika pindo za mavazi yenu vikiwa na uzi wa buluu kwenye kila kifundo. 3915:39 Kum 4:23; 6:12; Za 73:27; 78:37; 106:39; Law 17:7Mtakuwa mkivitazama vifundo hivyo ili mpate kukumbuka amri zote za Bwana, ili mpate kuzitii msije mkajitia uzinzi wenyewe kwa kuzifuata tamaa za mioyo yenu na za macho yenu. 4015:40 Mwa 26:5; Kum 11:13; Za 103:18; 119:56; Law 11:44; Rum 12:1; Kol 1:22; 1Pet 1:15Ndipo mtakumbuka kuzitii amri zangu zote nanyi mtawekwa wakfu kwa Mungu wenu. 4115:41 Mwa 17:7; Kut 20:2Mimi Ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa Misri niwe Mungu wenu. Mimi Ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Números 15:1-41

Leyes adicionales sobre las ofrendas

1El Señor le ordenó a Moisés 2que les dijera a los israelitas: «Después de que hayáis entrado en la tierra que os doy para que la habitéis, 3tal vez alguno quiera ofrecerle al Señor una vaca o una oveja, ya sea como ofrenda presentada por fuego, o como holocausto, o como sacrificio para cumplir un voto, o como ofrenda voluntaria, o para celebrar una fiesta solemne. Para que esa ofrenda sea un aroma grato al Señor, 4el que presente su ofrenda deberá añadirle, como ofrenda de cereal al Señor, dos kilos de flor de harina mezclada con un litro15:4 dos kilos … un litro. Lit. una décima (de efa) … un cuarto de hin. de aceite. 5A cada cordero que se le ofrezca al Señor como holocausto o sacrificio se le añadirá como libación un litro15:5 un litro. Lit. un cuarto de hin. de vino.

6»Si se trata de un carnero, se preparará una ofrenda de cereal de cuatro kilos15:6 cuatro kilos. Lit. dos décimas (de efa). de flor de harina, mezclada con un litro y medio15:6 litro y medio. Lit. un tercio de hin; también en v. 7. de aceite. 7Como libación ofrecerás también un litro y medio de vino. Así será una ofrenda de aroma grato al Señor.

8»Si ofreces un novillo como holocausto o sacrificio, a fin de cumplir un voto o hacer un sacrificio de comunión para el Señor, 9junto con el novillo presentarás, como ofrenda de cereal, seis kilos15:9 seis kilos. Lit. tres décimas (de efa). de flor de harina mezclada con dos litros15:9 dos litros. Lit. medio hin; también en v. 10. de aceite. 10Presentarás también, como libación, dos litros de vino. Será una ofrenda presentada por fuego, de aroma grato al Señor. 11Cada novillo, carnero, cordero o cabrito deberá prepararse de la manera indicada. 12Procederás así con cada uno de ellos, sin que importe el número de animales que ofrezcas.

13»Cada vez que un israelita presente una ofrenda por fuego, de aroma grato al Señor, se ceñirá a estas instrucciones. 14Si un extranjero que viva entre vosotros desea presentar una ofrenda por fuego, de aroma grato al Señor, se ceñirá a estas mismas instrucciones, 15porque en la comunidad regirá un solo estatuto para ti y para el extranjero que viva en tus ciudades. Será un estatuto perpetuo para todos tus descendientes. Tú y el extranjero sois iguales ante el Señor, 16así que la misma ley y el mismo derecho regirán, tanto para ti como para el extranjero que viva contigo».

Ofrenda de los primeros frutos

17El Señor le ordenó a Moisés 18que les dijera a los israelitas: «Cuando entréis en la tierra adonde os llevo 19y comáis de lo que ella produce, ofreceréis una contribución al Señor. 20De tu primera horneada presentarás, como contribución, una torta de flor de harina. 21Todos tus descendientes ofrecerán perpetuamente al Señor una contribución de la primera horneada.

Ofrendas por pecados inadvertidos

22»Podría ocurrir que vosotros pecarais inadvertidamente y que no cumplierais con todos los mandamientos que el Señor entregó a Moisés, 23es decir, con todos los mandamientos que el Señor os dio por medio de Moisés, desde el día en que los promulgó para todos vuestros descendientes. 24Si el pecado de la comunidad pasa inadvertido, esta ofrecerá un novillo como holocausto de aroma grato al Señor, junto con la libación, la ofrenda de cereal y un macho cabrío como sacrificio expiatorio, tal como está prescrito. 25El sacerdote hará propiciación en favor de toda la comunidad israelita, y serán perdonados porque fue un pecado inadvertido y porque presentaron al Señor una ofrenda por fuego y un sacrificio expiatorio por el pecado inadvertido que cometieron. 26Toda la comunidad israelita será perdonada, junto con los extranjeros, porque todo el pueblo pecó inadvertidamente.

27»Si es una persona la que peca inadvertidamente, deberá presentar, como sacrificio expiatorio, una cabra de un año. 28El sacerdote hará propiciación ante el Señor en favor de la persona que haya pecado inadvertidamente. El sacerdote hará propiciación, y la persona que pecó será perdonada. 29Una sola ley se aplicará para todo el que peque inadvertidamente, tanto para el israelita como para el extranjero residente.

30»Pero el que peque deliberadamente, sea nativo o extranjero, ofende al Señor. Tal persona será eliminada de la comunidad, 31y cargará con su culpa, por haber despreciado la palabra del Señor y quebrantado su mandamiento».

Quebrantamiento del día de reposo

32Un sábado, durante la estancia de los israelitas en el desierto, un hombre fue sorprendido recogiendo leña. 33Quienes lo sorprendieron lo llevaron ante Moisés y Aarón, y ante toda la comunidad. 34Al principio solo quedó detenido, porque no estaba claro qué se debía hacer con él. 35Entonces el Señor le dijo a Moisés: «Ese hombre debe morir. Que toda la comunidad lo apedree fuera del campamento». 36Así que la comunidad lo llevó fuera del campamento y lo apedreó hasta matarlo, tal como el Señor se lo ordenó a Moisés.

Flecos recordatorios

37El Señor le ordenó a Moisés 38que les dijera a los israelitas: «Vosotros y todos vuestros descendientes deberéis confeccionaros flecos, y coserlos sobre vuestros vestidos con hilo de color púrpura. 39Estos flecos os ayudarán a recordar que debéis cumplir con todos los mandamientos del Señor, y que no debéis prostituiros ni dejaros llevar por los impulsos de vuestro corazón ni por los deseos de vuestros ojos. 40Tendréis presentes todos mis mandamientos, y los pondréis por obra. Así seréis mi pueblo consagrado. 41Yo soy el Señor vuestro Dios, que os sacó de Egipto para ser vuestro Dios. ¡Yo soy el Señor