Hesabu 15 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 15:1-41

Sadaka Za Nyongeza

1Bwana akamwambia Mose, 215:2 Law 23:10“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani, 315:3 Law 1:2, 9; 23:1-44; Hes 28:13; 7:16; Ezr 1:4; Kum 16:10; Mwa 8:21; Kut 29:18; 2Kor 2:15; Efe 5:2nanyi mkitoa sadaka za kuteketezwa kwa moto, kutoka makundi ya ngʼombe au kondoo, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, ikiwa ni sadaka za kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum ama sadaka ya hiari au sadaka ya sikukuu zenu, 415:4 Law 6:14; Kut 16:36; Law 14:10; Kut 29:40; Isa 66:20ndipo yeye aletaye sadaka yake ataiweka mbele za Bwana sadaka ya nafaka, sehemu ya kumi ya efa15:4 Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja. ya unga laini uliochanganywa na robo ya hini15:4 Robo ya hini ni sawa na lita moja. ya mafuta. 515:5 Law 3:7; 10:9; Mwa 35:14; Hes 28:7, 14; Gal 3:28; Kol 3:11; Law 24:22Pamoja na kila mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, andaa robo ya hini ya divai kwa sadaka ya kinywaji.

615:6 Law 5:15; 23:13; Hes 28:12; 29:14; Eze 46:14“ ‘Pamoja na kondoo dume andaa sadaka ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa15:6 Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2. za unga laini uliochanganywa na theluthi moja15:6 Theluthi moja ya hini ni sawa na lita moja na nusu. ya hini ya mafuta, 715:7 Law 1:9; 23:13; Hes 28:14; 29:18na theluthi moja ya hini ya divai kama sadaka ya kinywaji. Vitoe kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.

815:8 Kut 12:5; Law 1:5; 22:18; 3:6“ ‘Unapoandaa fahali mchanga kama sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum au sadaka ya amani kwa Bwana, 915:9 Law 2:1; 14:10leta pamoja na huyo fahali sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa15:9 Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3. uliochanganywa na nusu ya hini15:9 Nusu ya hini ni sawa na lita 2. ya mafuta. 1015:10 Hes 28:14; Law 23:13; 1:9; Amu 2:17; Yer 3:2; 7:24; Hos 4:12; Eze 20:16Pia utaleta nusu ya hini ya divai kama sadaka ya kinywaji. Itakuwa sadaka iliyoteketezwa kwa moto, harufu nzuri inayompendeza Bwana. 11Kila fahali au kondoo dume, kila mwana-kondoo au mbuzi mchanga, atatayarishwa kwa njia hii. 1215:12 Ezr 7:17Fanyeni hivi kwa ajili ya kila mmoja, kwa kadiri ya wingi wa mtakavyoandaa.

1315:13 Law 16:29; 1:9“ ‘Kila mmoja ambaye ni mzawa ni lazima afanye vitu hivi kwa njia hii hapo aletapo sadaka ya kuteketezwa kwa moto kama harufu nzuri inayompendeza Bwana. 1415:14 Law 3:17; 22:18; Hes 10:8; Kut 12:19, 43; 22:21Kwa vizazi vijavyo, wakati wowote mgeni au mtu mwingine yeyote anayeishi miongoni mwenu aletapo sadaka ya kuteketezwa kuwa harufu nzuri ya kumpendeza Bwana, ni lazima afanye sawasawa kabisa na jinsi mnavyofanya ninyi. 1515:15 Hes 9:14Jumuiya itakuwa na sheria hizo hizo kwenu na kwa mgeni aishiye miongoni mwenu; hii ni amri ya kudumu kwa vizazi vijavyo. Ninyi na mgeni mtakuwa sawa mbele za Bwana: 1615:16 Kut 12:49; Law 22:18; Hes 9:14Sheria hizo hizo na masharti hayo hayo hayo, yatawahusu ninyi na mgeni aishiye miongoni mwenu.’ ”

17Bwana akamwambia Mose, 1815:18 Law 23:10“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapeleka 1915:19 Yos 5:11; 12; Hes 18:8nanyi mkala chakula cha nchi hiyo, toeni sehemu ya chakula hicho kama sadaka kwa Bwana. 2015:20 Law 23:14; Hes 18:2; Mwa 50:10; Kut 23:19; Neh 10:37; Mit 3:9; Law 2:14Toeni andazi kutoka kwa malimbuko ya chakula chenu kitokacho katika ardhi, na mkitoe kama sadaka kutoka sakafu ya kupuria nafaka. 2115:21 Law 23:14; Eze 44:30; Rum 11:16Kwa vizazi vyote vijavyo hamna budi kutoa sadaka hii kwa Bwana kutoka kwa malimbuko ya unga wenu.

Sadaka Kwa Ajili Ya Dhambi Isiyo Ya Makusudi

2215:22 Law 4:2; 1Yn 2:1“ ‘Basi kama pasipo kukusudia umeshindwa kushika mojawapo katika amri hizi ambazo Bwana alimpa Mose, 23amri yoyote ya Bwana kwenu kupitia Mose, tangu siku ile Bwana alipowapa na inaendelea hadi vizazi vyote vijavyo; 2415:24 Law 5:15; 4:14; 23:13; 4:3; Hes 6:15; Law 4:13, 23; Hes 28:15; Ezr 6:17; 8:35ikiwa hili limefanyika pasipo kukusudia bila jumuiya kuwa na habari nalo, basi jumuiya yote itatoa fahali mchanga kuwa sadaka ya kuteketezwa ikiwa harufu nzuri inayompendeza Bwana, pamoja na sadaka ya nafaka na ya kinywaji zilizoamriwa kwayo, na mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 2515:25 Law 4:3, 20; Rum 3:25; Ebr 2:17; Rum 5; 11; Dan 9:24; Ebr 10:10-12Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya jumuiya yote ya Kiisraeli, nao watasamehewa, kwa kuwa haikuwa makusudi nao wamemletea Bwana sadaka iliyoteketezwa kwa moto na sadaka ya dhambi kwa ajili ya kosa lao. 26Jumuiya yote ya Kiisraeli pamoja na wageni waishio miongoni mwao watasamehewa, kwa sababu watu wote walihusika katika kosa lile lisilokusudiwa.

2715:27 Law 4:3, 27; Hes 6:14; Za 19:13; Lk 12:48“ ‘Lakini kama mtu mmoja peke yake akitenda dhambi pasipo kukusudia, ni lazima alete mbuzi mke wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 2815:28 Hes 8:12; 28:22; Law 4:20Kuhani atafanya upatanisho mbele za Bwana kwa ajili ya yule aliyekosa kwa kufanya dhambi pasipo kukusudia, upatanisho utakapofanywa kwa ajili yake, atasamehewa. 2915:29 Kut 12:49Sheria hiyo moja itamhusu kila mmoja ambaye ametenda dhambi pasipo kukusudia, awe Mwisraeli mzawa ama mgeni.

3015:30 Hes 14:40-44; Kum 1:43; 17:13; Za 19:13; 2Fal 19:6, 20; Isa 37:6, 23; Eze 20:27; Mwa 17:14; Ay 31:22“ ‘Lakini yeyote ambaye amefanya dhambi kwa dharau awe mzawa au mgeni, anamkufuru Bwana, naye mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. 3115:31 Hes 11:14; Mit 13:13; Za 119:126; 1Sam 15:23-26; 2Sam 11:27; 12:9; Eze 18:20Kwa sababu amelidharau neno la Bwana na kuvunja amri zake, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali; hatia yake inabaki juu yake.’ ”

Mvunja Sabato Auawe

3215:32 Hes 12:16; Kut 31:14-15; 35:2-3Waisraeli walipokuwa jangwani, mtu mmoja alikutwa akikusanya kuni siku ya Sabato. 33Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Mose, Aroni na kusanyiko lote, 3415:34 Hes 9:8; Law 24:12nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini. 3515:35 Kut 31:14-15; Law 20:2; Lk 4:29; Mdo 7:58Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Huyo mtu ni lazima afe. Kusanyiko lote lazima limpige mawe nje ya kambi.” 3615:36 Law 20:2; Kut 31:14; Yer 17:21Hivyo kusanyiko likamtoa nje ya kambi na kumpiga mawe hadi akafa, kama Bwana alivyomwamuru Mose.

Vifundo Kwenye Mavazi

37Bwana akamwambia Mose, 3815:38 Law 3:17; Hes 10:8; Kum 22:12; Mt 23:5“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Kwa vizazi vyote vijavyo jifanyieni vifundo katika pindo za mavazi yenu vikiwa na uzi wa buluu kwenye kila kifundo. 3915:39 Kum 4:23; 6:12; Za 73:27; 78:37; 106:39; Law 17:7Mtakuwa mkivitazama vifundo hivyo ili mpate kukumbuka amri zote za Bwana, ili mpate kuzitii msije mkajitia uzinzi wenyewe kwa kuzifuata tamaa za mioyo yenu na za macho yenu. 4015:40 Mwa 26:5; Kum 11:13; Za 103:18; 119:56; Law 11:44; Rum 12:1; Kol 1:22; 1Pet 1:15Ndipo mtakumbuka kuzitii amri zangu zote nanyi mtawekwa wakfu kwa Mungu wenu. 4115:41 Mwa 17:7; Kut 20:2Mimi Ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa Misri niwe Mungu wenu. Mimi Ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

民数记 15:1-41

献祭的条例

1耶和华对摩西说: 2“你把以下条例告诉以色列人。

“你们进入耶和华赐给你们的那片土地后, 3要用牛羊作火祭献给耶和华,作蒙耶和华悦纳的馨香之祭。不管是献燔祭、平安祭、还愿祭、自愿献的祭还是节期的祭,都当如此。 4献祭者要同时将一公斤细面粉调上一升油作素祭献给耶和华。 5无论燔祭还是平安祭,每献一只羊羔,要同时献上一升酒作奠祭; 6每献一只公绵羊,要同时将两公斤细面粉调上一点二升油作素祭献上, 7还要献一点二升酒作奠祭。这是蒙耶和华悦纳的馨香之祭。 8如果用公牛作燔祭、平安祭、还愿祭或别的祭献给耶和华, 9就要同时将三公斤细面粉调上两升油作素祭献上, 10还要献上两升酒作奠祭。这是蒙耶和华悦纳的馨香之祭。

11“献公牛、公绵羊、绵羊羔或山羊羔时,都要这样办理。 12无论献多少牲畜,每只都要这样办理。 13以色列人献上蒙耶和华悦纳的馨香火祭时,都要这样办理。 14住在你们中间的外族人,不管是暂住还是世代居住的,若愿意献上蒙耶和华悦纳的馨香火祭,也要这样办理。 15以色列人和寄居的外族人都要遵守上面的条例,永世不变。你们在耶和华面前怎样做,外族人也要怎样做。 16你们和寄居的外族人要遵行一样的条例和规定。”

17耶和华对摩西说: 18“你把以下条例告诉以色列人。

“你们到达耶和华领你们去的地方, 19吃当地的出产时,要拿出一份作举祭献给耶和华。 20你们要用初熟的麦子磨面做饼,当作举祭献上,好像献麦场的举祭一样。 21你们世世代代都要用初熟的麦子磨面,当作举祭献给耶和华。

22“如果你们无意间违背了耶和华借摩西吩咐你们遵守的命令, 23就是吩咐你们从祂颁布之日起要世世代代遵守的命令, 24如果是因会众的无知而造成过失,全体会众就要献上一头公牛犊作燔祭,作蒙耶和华悦纳的馨香之祭,同时按规定献上素祭和奠祭,外加一只公山羊作赎罪祭。 25祭司要为以色列全体会众赎罪,这样他们就得到了赦免,因为是无心之过,并且他们已经向耶和华献上火祭和赎罪祭。 26这样,以色列全体会众和寄居的外族人都必蒙赦免,因为无心之过牵涉到所有的人。

27“倘若是个人无意间犯了罪,他就要献上一只一岁的母山羊作赎罪祭。 28祭司要为这无意间犯罪的人在耶和华面前赎罪,使他获得赦免。 29无论是以色列人或是寄居的外族人,凡是犯无心之过的都要按这规例办理。 30但不管是以色列人还是外族人,若故意妄为,亵渎了耶和华,都要被铲除, 31因为他藐视耶和华的话,违背耶和华的命令,必须被铲除,罪责自负。”

处死违犯安息日者

32以色列人在旷野的时候,发现有人在安息日捡柴, 33他们就把捡柴的人带到摩西亚伦和全体会众那里, 34把他关起来,因为不知道如何处置他。 35耶和华对摩西说:“必须处死那人,全体会众要在营外用石头打死他。” 36于是,全体会众照耶和华对摩西的吩咐,把他拉到营外,用石头打死了他。

衣服穗子的条例

37耶和华对摩西说: 38“你要吩咐以色列人世世代代在衣角缝上穗子,穗子上系一条蓝色细带。 39穗子是用来提醒他们要遵行我的一切命令,不要随从自己心中和眼目的情欲,以免玷污自己。 40这样,你们就会记得遵守我的一切命令,做你们上帝的圣洁之民。 41我是你们的上帝耶和华,我把你们从埃及领出来,是要做你们的上帝。我是你们的上帝耶和华。”