Hesabu 1 – NEN & TCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 1:1-54

Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza

11:1 Kut 27:21; 40:2; 19:1; 6:14; 40:17; Hes 10:12Bwana alisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia, 21:2 Kut 30:11-16; Hes 3:40; 26:2; 1Nya 21:2; 2Sam 24:2“Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, mmoja mmoja. 31:3 Kut 4:14; 30:14; Hes 17:3; 26:2; Yos 5:4; 1Nya 5:18Wewe na Aroni mtawahesabu kwa migawanyo yao wanaume wote katika Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao wanaweza kutumika katika jeshi. 41:4 Law 24:11; Hes 7:2; 30:1; 31:26; 34:18; Kut 18:21; Kum 1:15; Yos 22:14Mwanaume mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jamaa yake, atawasaidia. 51:5 Hes 2:10; 7:30; 10:18; 17:2; Mwa 29:32; Ufu 7:4-5Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia:

“kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;

61:6 Hes 25:14; 2:12; 7:36; 10:19kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;

71:7 Mwa 29:35; Za 78:68; Kut 6:23; Hes 7:12; Rut 4:20; 1Nya 2:10; Lk 3:32kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;

81:8 Mwa 30:18; Hes 10:15; 2:5; 7:18kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;

91:9 Hes 10:16; 2:7; 7:24kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;

101:10 Hes 2:18, 20; 7:48-53; 10:22-23kutoka wana wa Yosefu:

kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi;

kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;

111:11 Hes 10:24; 2:22; 7:60; Za 68:27kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;

121:12 Hes 2:25; 7:66; 10:25kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;

131:13 Hes 10:26; 2:27; 7:72kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;

141:14 Hes 10:20; 2:14; 7:42kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;

151:15 Hes 10:27; 2:29; 7:78kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”

161:16 Kut 18:25; Hes 32:28; Mwa 6:4; 1Nya 5:24; Amu 6:15Hawa walikuwa wanaume walioteuliwa kutoka jumuiya, viongozi wa makabila ya baba zao. Walikuwa wakuu wa koo za Israeli.

17Mose na Aroni wakawachukua wanaume hao waliokuwa wamepewa majina yao, 181:18 Ezr 2:59; Ebr 7:3; Kut 30:14wakaita jumuiya yote pamoja katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Watu wakaonyesha nasaba zao kwa koo zao na jamaa zao, nao wanaume waliokuwa na miaka ishirini au zaidi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, 191:19 Kut 30:12; Hes 26:63; 31:49kama Bwana alivyomwagiza Mose. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:

201:20 Mwa 10:15; 29:32; 46:9; Ufu 7:5Kutoka wazao wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 211:21 Hes 26:7Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.

221:22 Mwa 29:33; Ufu 7:7; 2Sam 22:35; Za 60:12; Efe 6:12Kutoka wazao wa Simeoni:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi walihesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 231:23 Hes 26:14Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.

241:24 Mwa 30:11; Yos 13:24-28; Ufu 7:5Kutoka wazao wa Gadi:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 251:25 Mwa 46:16; Hes 26:18; 1Nya 5:11Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650.

261:26 Mt 1:2; Mwa 29:35; Ufu 7:5; Mwa 49:8-10; Za 78:68; Ebr 7:14Kutoka wazao wa Yuda:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 271:27 Hes 26:22Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600.

281:28 Mwa 30:18; Ufu 7:7Kutoka wazao wa Isakari:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 291:29 Mwa 30:18; Hes 26:25Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400.

301:30 Mwa 30:20; Ufu 7:8Kutoka wazao wa Zabuloni:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 311:31 Hes 26:27Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.

321:32 Mwa 49:26; 41:52; Hes 26:35-37; Za 60:7; Yer 7:15Kutoka wana wa Yosefu:

Kutoka wazao wa Efraimu:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 331:33 Hes 26:37; 1Nya 7:20Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500.

341:34 Mwa 41:51; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Manase:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 35Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200.

361:36 Mwa 35:18; 2Nya 17:17; Yer 32:44; Oba 1:19; Ufu 7:8Kutoka wazao wa Benyamini:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 371:37 Hes 26:41Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400.

381:38 Mwa 30:6; Kum 33:22Kutoka wazao wa Dani:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 391:39 Hes 26:43Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700.

401:40 Mwa 30:13; Hes 26:44; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Asheri:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 411:41 Hes 26:47Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500.

421:42 Mwa 30:8; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Naftali:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 431:43 Hes 26:50; Kut 1:1-4Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400.

441:44 Hes 26:64Hawa walikuwa wanaume waliohesabiwa na Mose, Aroni na viongozi kumi na wawili wa Israeli, kila mmoja akiwakilisha jamaa yake. 451:45 Hes 14:29; 2:32Wanaume wote Waisraeli waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi la Israeli walihesabiwa kufuatana na jamaa zao. 461:46 Kut 12:37; 2Sam 24:9; Mwa 13:16; Kut 38:26; Hes 26:51; 1Fal 4:20Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550.

471:47 Hes 3:17-20; 26:57; 4:3, 49; 1Nya 21:6Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine. 48Bwana alikuwa amemwambia Mose: 491:49 Hes 26:62“Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine. 501:50 Kut 31:18; 15:9; 16:34; Mdo 7:44; Hes 4:15-33Badala yake, waweke Walawi kuwa viongozi wa Maskani ya Ushuhuda, juu ya samani zake na kila kitu kilichomo ndani yake. Wao watabeba Maskani na samani zake zote; wataitunza na kupiga kambi kuizunguka. 511:51 Kut 21:12; 26:1; Hes 4:5, 15; 3:38Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa. 521:52 Hes 10:14; Za 20:4-5; Wim 2:4; 6:4Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake. 531:53 Hes 2:10; 3:23-38; 16:46; 18:2-5; Law 10:6; Kum 9:22; Kut 38:21; 1Nya 23:32; 2Nya 13:10Hata hivyo, Walawi watapiga mahema yao kuzunguka Maskani ya Ushuhuda ili ghadhabu isiipate jumuiya ya Waisraeli. Walawi watawajibika kwa utunzaji wa Maskani ya Ushuhuda.”

54Waisraeli walifanya yote haya sawasawa kama Bwana alivyomwamuru Mose.

Tagalog Contemporary Bible

Bilang 1:1-54

Ang Unang Sensus sa Israel

1Noong unang araw ng ikalawang buwan, nang ikalawang taon mula nang lumabas ang mga Israelita sa Egipto, sinabi ng Panginoon kay Moises doon sa Toldang Tipanan sa disyerto ng Sinai. Sabi niya, 2“Isensus ninyo ang buong mamamayan ng Israel ayon sa kanilang lahi at pamilya. Ilista ninyo ang pangalan ng lahat ng lalaki 3na may edad 20 taong gulang pataas na may kakayahan sa paglilingkod bilang sundalo. Kayong dalawa ni Aaron ang mamamahala sa sensus ng bawat lahi ng Israel. 4Tutulong sa inyo ang pinuno ng bawat lahi.” 5-15Ito ang pangalan ng mga taong tutulong sa inyo:

Lahi PinunoReuben Elizur na anak ni SedeurSimeon Selumiel na anak ni ZurishadaiJuda Nashon na anak ni AminadabIsacar Netanel na anak ni ZuarZebulun Eliab na anak ni HelonEfraim na anak ni Jose Elishama na anak ni AmihudManase na anak ni Jose Gamaliel na anak ni PedazurBenjamin Abidan na anak ni GideoniDan Ahiezer na anak ni AmishadaiAsher Pagiel na anak ni OcranGad Eliasaf na anak ni DeuelNaftali Ahira na anak ni Enan.

16Sila ang mga pinuno ng mga lahing pinili mula sa mga mamamayan ng Israel.

17-18Kasama ng mga pinunong ito, tinipon nina Moises at Aaron ang lahat ng mga Israelita nang araw ding iyon. Inilista nila ang lahat ng lalaking may edad na 20 taong gulang pataas, ayon sa kanilang lahi at pamilya. 19Inilista sila ni Moises doon sa disyerto ng Sinai, ayon sa iniutos sa kanya ng Panginoon.

20-43Ito ang bilang ng mga lalaking may edad 20 pataas na may kakayahan sa paglilingkod bilang sundalo, na nailista ayon sa kanilang lahi at pamilya:

Lahi BilangReuben (ang panganay ni Jacob1:20-43 Jacob: sa Hebreo, Israel.) 46,500Simeon 59,300Gad 45,650Juda 74,600Isacar 54,400Zebulun 57,400Efraim na anak ni Jose 40,500Manase na anak ni Jose 32,200Benjamin 35,400Dan 62,700Asher 41,500Naftali 53,400

44-45Sila ang mga lalaking nabilang nina Moises at Aaron at ng 12 pinuno ng Israel. Ang bawat isa sa kanila ay kumakatawan sa kani-kanilang pamilya. Sila ay 20 taong gulang pataas at may kakayahang maging sundalo ng Israel. 46Ang kabuuang bilang nila ay 603,550 lahat. 47Pero hindi kasama rito ang mga lahi ni Levi. 48Sapagkat sinabi ng Panginoon kay Moises, 49“Huwag ninyong isama ang lahi ni Levi sa sensus kasama ng ibang mga Israelita, na magsisilbi sa panahon ng labanan. 50Sa halip, ibigay sa kanila ang responsibilidad na pamahalaan ang Tolda na kinalalagyan ng aking mga utos at ng lahat ng kagamitan nito. Sila ang magdadala ng Tolda at ng lahat ng kagamitan nito, at kailangang pangalagaan nila ito at magkampo sila sa paligid nito. 51Kapag lilipat na ang Tolda, sila ang magliligpit nito. At kung itatayo naman, sila rin ang magtatayo nito. Ang sinumang gagawa ng ganitong gawain sa Tolda na hindi Levita ay papatayin. 52Magkakampo ang mga Israelita ayon sa bawat lahi nila, at may bandila ang bawat lahi. 53Pero ang mga Levita ay magkakampo sa paligid ng Tolda na kinalalagyan ng aking mga utos, para hindi ako magalit sa mga mamamayan ng Israel. Ang mga Levita ang responsable sa pangangalaga ng Tolda na kinalalagyan ng aking mga utos.”

54Ginawa itong lahat ng mga Israelita ayon sa iniutos ng Panginoon kay Moises.