Habakuki 1 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Habakuki 1:1-17

11:1 Nah 1:1Neno alilopokea nabii Habakuki.

Lalamiko La Habakuki

21:2 Za 13:1-2; 22:1-2; 6:3; 27:7; Yer 14:9Ee Bwana, hata lini nitakuomba msaada,

lakini wewe husikilizi?

Au kukulilia, “Udhalimu!”

Lakini hutaki kuokoa?

31:3 Ay 9:23; Yer 20:8; Za 55:9Kwa nini unanifanya nitazame dhuluma?

Kwa nini unavumilia makosa?

Uharibifu na udhalimu viko mbele yangu;

kuna mabishano na mapambano kwa wingi.

41:4 Ay 12:6; Za 12:8; 58:2Kwa hiyo sheria imepotoshwa,

nayo haki haipo kabisa.

Waovu wanawazunguka wenye haki,

kwa hiyo haki imepotoshwa.

Jibu La Bwana

5“Yatazame mataifa,

uangalie na ushangae kabisa.

Kwa sababu katika siku zako nitafanya kitu

ambacho hungeamini,

hata kama ungeambiwa.

6Nitawainua Wakaldayo,

watu hao wakatili na wenye haraka,

ambao hupita dunia yote

kuteka mahali pa kuishi pasipo pao wenyewe.

7Ni watu wanoogopwa na wanaotisha;

wenyewe ndio sheria yao,

na huinua heshima yao wenyewe.

8Farasi wao ni wepesi kuliko chui,

na wakali kuliko mbwa mwitu wakati wa machweo.

Askari wapanda farasi wao huenda mbio;

waendesha farasi wao wanatoka mbali.

Wanaruka kasi kama tai ili kurarua;

91:9 Hab 2:5wote wanakuja tayari kwa fujo.

Makundi yao ya wajeuri yanasonga mbele

kama upepo wa jangwani,

na kukusanya wafungwa

kama mchanga.

101:10 2Nya 36:6; Yer 33:4Wanawabeza wafalme,

na kuwadhihaki watawala.

Wanaicheka miji yote iliyozungushiwa maboma;

wanafanya malundo ya udongo na kuiteka hiyo miji.

111:11 Yer 4:11-12; Dan 4:30Kisha wanapita kasi kama upepo na kusonga mbele:

watu wenye hatia, ambao nguvu zao ndio mungu wao.”

Lalamiko La Pili La Habakuki

121:12 Mwa 21:33; Isa 31:1; 37:23; Kut 33:22; Isa 10:6; Mwa 49:24; Za 118:17Ee Bwana, je, wewe sio wa tangu milele?

Mungu wangu, Uliye Mtakatifu wangu, hatutakufa.

Ee Bwana, umewachagua wao ili watekeleze hukumu;

Ee Mwamba, umewaamuru watuadhibu.

131:13 Za 18:26; Mao 3:34-36; Za 25:3; Ay 21:7Macho yako ni safi mno hata yasiweze kuutazama uovu,

wala huwezi kuvumilia makosa.

Kwa nini basi unawavumilia wadanganyifu?

Kwa nini unakuwa kimya wakati waovu

wanawameza wale wenye haki

kuliko wao wenyewe?

14Umewafanya watu kama samaki baharini,

kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.

151:15 Yer 5:26; Isa 19:8; Ay 18:8; Yer 16:16Adui mwovu anawavuta wote kwa ndoana,

anawakamata katika wavu wake,

anawakusanya katika juya lake;

kwa hiyo anashangilia na anafurahi.

161:16 Yer 44:8Kwa hiyo anatoa kafara kwa wavu wake,

na kuchoma uvumba kwa juya lake,

kwa kuwa kwa wavu wake anaishi kwa starehe,

na anafurahia chakula kizuri.

171:17 Isa 14:6; 19:8Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake,

akiangamiza mataifa bila huruma?

Japanese Contemporary Bible

ハバクク書 1:1-17

1

1これは、幻のうちに、神から預言者ハバククに示されたことばです。

ハバククの不満

2主よ、助けを求める私の祈りに、

いつになったら耳を傾けてくださるのですか。

何の答えもないので、むなしく叫ぶばかりです。

「助けてくれ、人殺しだ」と叫んでも、

だれも助けに来てくれません。

3私を取り囲んでいる罪と悲惨を、

いつまでも見ていなければならないのですか。

どこを見ても圧制とわいろがはびこり、

人は議論や争いにふけっています。

4律法は無視され、法廷では正しい裁きが行われません。

悪者の数は正しい人よりはるかに多く、

わいろと詐欺が公然と行われているからです。

主の答え

5主は答えました。

「見よ、そして驚け。

わたしがしようとしていることを知ったら、

驚愕するだろう。

それはあなたが生きているうちに起こる。

目で見なければとても信じられないようなことだ。

6地上の新しい勢力として、カルデヤ人を起こす。

残忍で横暴なこの民は、世界を行き巡り、征服する。

7その残酷さは世に鳴り響く。

やりたい放題のことをするが、

だれにもそれをじゃまされない。

8その馬は豹よりすばやく、

民の狂暴さは日暮れの狼もかなわないほどだ。

騎兵は遠い地から誇らしげに前進して来る。

鷲のように急降下して獲物に飛びかかる。

9反対する者はみな、その姿を見ると、

おびえていなくなる。

まるで砂を集めるように、彼らは捕虜を集める。

10彼らは王や君主をあざけり、要塞を鼻であしらう。

城壁に向かって土を積み上げただけで、

それを占領してしまう。

11風のように吹き抜け、去って行くが、彼らの罪は重い。

その力は自分たちの神々から与えられたと

言い張るからだ。」

ハバククの不満

12ああ、私の神である主、聖なる永遠のお方よ。

このことはみな、私たちを抹殺するためなのですか。

そんなはずはありません。

私たちの岩である神よ、

あなたは、恐ろしい罪を犯した私たちを懲らしめ、

正しい者にしようとして、

カルデヤ人を起こされたのです。

13私たちは悪い者ですが、彼らはもっと悪いのです。

どんな罪をも見のがさないあなたは、

私たちが彼らにのみ込まれるのを

ただ立って見ておられるのですか。

悪者たちが彼らよりましな者を滅ぼすのを、

黙って見過ごすべきでしょうか。

14私たちは、

捕らえられて殺される魚にすぎないのですか。

敵から守ってくれる指導者のいない、

はい回る虫けらにすぎないのですか。

15彼らは楽しみながら、私たちを釣り針で釣り上げ、

網で引きずるのでしょうか。

16そうならば、彼らはその網を拝み、

その前で香をたいて、

「これが、われわれを豊かにしてくれる神々だ」

と言うでしょう。

17いつまでも、こんなことをさせておくのですか。

彼らは情け容赦なく戦い、

いつまで勝ち続けるのでしょうか。